NAUNGANA NA WADAU WOTE KATIKA WAKATI HUU MGUMU WA KUOMBOLEZA KIFO CHA KIKATILI CHA NDUGU YETU HASSAN MBONDE AMBAYE JUZI USIKU MKUU WA MKOA WA TABORA UKIWAONA RAMADHANI DITOPILE MZURURI ANATUHUMIWA KUMPIGA RISASI MAREHEMU NA TAYARI AMESHASOMEWA SHTAKA LA MAUAJI LEO KATIKA MAHAKAMA YA KISUTU, NA YUKO KOROKORONI BAADA YA KUJISALIMISHA MWENYEWE KWENYE MIKONO YA SHERIA.

WAKATI TUNAOMBOLEZA NA WAKATI HUO HUO TUKITEGA MASIKIO KUJUA NINI KITAENDELEA MBELE YA HAKI, AMBAYO NINA IMANI ITAFUATWA NA NAOMBA ITENDEKE KWA MUJIBU WA SHERIA, CHONDE CHONDE WADAU NAOMBA TUWE NA SUBIRA NA NIKO CHINI YA MIGUU YENU KUWAOMBA TUKUMBUKE KWAMBA TAYARI HII KESI IKO MAHAKAMANI NA SI SHERIA KUIZUNGUMZIA KWA NAMNA YA KUTOA HUKUMU, WAKATI TUKISUBIRI MKONDO WA SHERIA, AMBAO UMESHASHIKA HATAMU, UCHUKUE NAFASI YAKE.

KILA MTU ANA JAZBA NA UCHUNGU DHIDI YA TUKIO HILI LA KUSIKITISHA NA KUSTUA, NAMI KWA HESHIMA YA MAREHEMU NIMEAMUA KUFUNGULIA WIGO WA MAONI NIKITUMAI WADAU TUTAITUMIA BLOGU YETU HII KWA MAONI AMBAYO HAYAENDI NJE YA SHERIA NA KUIBEZA MAHAKAMA, KAMA SI KUWA MAJAJI/MAHAKIMU WAKATI KESI INAENDELEA.

BINAFSI NILISTUSHWA NA KUSIKITISHWA SANA BAADA YA KUPATA HABARI HIZI, NA NAUNGANA NA WADAU WOTE WANAOLILAANI KWA NGUVU ZOTE TUKIO KAMA HILI AMBALO NI KWELI NI LA AIBU NA MAJARIBU KWA SERIKALI YETU YA AWAMU YA NNE NA SI UWONGO KWAMBA KASI MPYA, NGUVU MPYA NA ARI MPYA IKO JUU YA MIZANI.

MUNGU AILAZE MAHALI PEMA ROHO YA MAREHEMU NA KUWAPA NGUVU NA UVUMILIVU WANAFAMILIA WAKE AMBAO, KAMA SISI SOTE, TUNA UCHUNGU USIOPIMIKA KWA KUONDOKEWA KWAKE. AMINA.

MUNGU IBARIKI BONGO, WABARIKI PIA NA WATU WAKE…

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 149 mpaka sasa

  1. NASIKIA DITO ALIKUWA BEST MAN WA JK SIKU ALIPOA, JE ATAMLINDA SWAHIBA WAKE WA SIKU NYINGI ?? TUONE HIYO KASI MPYA KAMA NI KWELI.

    ReplyDelete
  2. HALAFU HAWA WATOTO WA WAKUBWA (KINJE NA WENGINE) NAO WANA MICHEZO HIYO YA KUTOA BASTOLA NA KUTISHIA WALALAHOI WANAPOKATALIWA NA MADEMU ZAO,MTOTO WA MUNGAI NAYE KAFYATUA BASTOLA JANA TU KWENYE UKUMBI, DAWA YAO IKO JIKONI, WASIDHANI BASTOLA HATUJUI ZINAPOUZWA. DAWA YA MOTO NI MOTO!!!

    ReplyDelete
  3. Michuzi,
    Najaribu kukubaliana na wito wako kwamba "sheria itachukua mkondo wake".Imani yangu inakuwa haba kutokana na sababu za kihistoria,kiutendaji na mambo kama hayo.Lakini sina jinsi bali kusubiri kwa matumaini kwamba safari hii sheria itachukua mkondo wake kweli.

    Wakati huo huo najaribu kuwaza kwa kina ni jinsi gani tunaweza kuwasaidia familia ya Ndugu Mbonde ambao kwa hakika unyama huu hawakuutarajia hata kidogo.

    Kwa mujibu wa taarifa za magazetini marehemu Mbonde ameacha mke,watoto wawili(mmoja miaka 10 na mwingine miaka 7),wazazi,ndugu na jamaa wengine ambao walikuwa wakimtegemea.Tutawasaidiaje(hususani sisi tulio nje ya nchi) katika wakati huu mgumu na wa aina ya kipekee?

    Naamini watanzania ni watu tunaopendana na kuweza kusaidiana hususani katika hali ngumu kama hii.Upendo huo ulionekana na kujitokeza waziwazi mwenzi mmoja uliopita baada ya unyama mwingine kufanyika kule Michigan,Marekani ambapo watanzania wawili walipoteza maisha kikatili.Mawazo yenu tafadhali.

    ReplyDelete
  4. Ndugu Jeff Msangi,kama kawaida yako,wazo la maana sana hili.Ni muhimu sana kuisaidia familia ya marehemu.aisee hao watoto bado ni wadogo sana jamani.We must do something.Tafadhalini mnaojua jinsi ya kuratibu masuala kama haya tuambieni tufanyeje.

    ReplyDelete
  5. Inatia uchungu sana.

    ReplyDelete
  6. Nashangaa mnasema tusihukumu lakini tayari naona mmeshaanza kutoa hukumu. Ingekuwa bora kutokuliongelea kabisa tukio hilo, hapo tungekuwa tunatenda haki. Hilo ni tukio kama matukio mengine na Ditopile ni binadamu kama binadamu wengine anakosea. Kitendo cha kujidai mnaomuonea huruma sana marehemu kinaleta hisia kwamba kaonewa na kinafanya aonekane kwamba hakuwa na hatia yoyote isipokuwa alifanyiwa tu ukatili. Hamtaki kutafuta sababu zilipelekea kutokea kama lilivyotokea. Hamtaki kutafuta chanzo mmengangania tu matokeo. Baadhi ya madereva wa daladala wanatakiwa wafikirie tukio hilo kwa makini. Wengi wao hawana discipline kabisa barabarani. Huyo bwana kagonga gari ya watu, anaambiwa shuka uone mahali ulipogonga, anafunga vioo. Kiburi gani hicho? Kawaida madereva huwa wanasuluhisha masuala kama hayo barabarani bila hata ya kuyapeleka polisi. Sasa kilichompa huyo bwana kiburi cha kukataa kushuka na kuona alichofanya ni nini?

    ReplyDelete
  7. Hivi wewe ananymous wa hapo juu una akili kweli??? Unafikiri maisha ya mtu yako mikononi mwa wenye bastola???? hasa kwa wale weny uwezo wa kutumia hiyo bastola. nasikitika sana kuona watu kama ninyi bado mpo na mnaishi dunia hii hii tunayoishi sisi. hakuna sababu kabisa ya huyo Ditopile kufanya hivyo, yeye nani hasa kuona kwamba lazima afundishe madereva adabu!! We mtu umenishangaza sana. Na nakuomba sana tena sana ufikiri saaaaaana kabla hujakuja hapa kuleta hayo maneno yako. Ingekuwa wewe ni dereva au ndugu wa huyo dereva ungesema maneno hayo???? Kama kweli unaamini hayo uliyoyasema kwa kweli unajitaji msaada wa kina.

    ReplyDelete
  8. Rais Jakaya Mrisho Kikwete apata mtihani wa kwanza akiwa kama Rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.Taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema "Dito unataka mimi nikubebe vipi sasa!!" alisikika JK
    Je kikwete kuacha nyota yake inayong`aa iishie kwa mpumbavu mmoja aliyetaka kujioonyesha?Na kama kumbeba atambeba kwa staili ipi?
    Kikwete sasa yuko kwenye "point of no return"'Ajimalize mwenyewe kisiasa kwa kumbeba huyu bwege !!!!Angarishe nyota yake kwa kuacha mkondo wa sheria uchukue nafasi yake.
    Utemi kwa bwana Ditopile ni kitu cha kawaida,kama mtakumbuka alipofumaniwa kinondoni akila uroda na mke wa mtu wakati huo akiwa mkuu wa mkoa wa Dar-es -salaam ,hii ndiyo kauli aliyotoa"kwa kizaramu ukifumaniwa ni sifa yaani wewe ni dume huku akijinyoshea kidole"
    SpoilerAtl niko very concerned na mashahidi,nyinyi angalieni jinsi watakavyouawa au kufa vifo vya ajabu ajabu.
    Kwa mtazamo wangu mimi Ditopile aliwahi kuwa mwanajeshi hivyo ni mtu mwenye utaalam wa kutosha wa matumizi ya silaha.Bahati mbaya hapo hakuna kwani accident na bastola ni vitu viwili tofauti.Yule dereva alifuata taratibu zote ,kwani baada ya kumuona Ditopile kahamaki baada ya ajali alifunga kioo na mlango wa gari lake kuepusha shari!!Sasa wewe ungekuwa yule dereva ni nini ungefanya zaidi ya alichofanya??
    LIFE IN PRISON WITHOUT PAROLE OR KITANZI NDIZO ADHABU ANAZOSTAHILI BWANA DITO!
    Wenye maoni tofauti endelea....

    N.B MICHUZI HALAANI MAUAJI,WHITE HOUSE KIMYA

    ReplyDelete
  9. Huyu Ditopile naye amzidi skendo kuanzia alipofumaniwa na mke wa mtu miaka ya 90 na kusema ni sifa kwa mzalamo kufumaniawa. Sasa atasema ni sifa kwa mzalamo kuua? asitake kutumoia madaraka yake ya serikali kwa kutoa rh za wananchi kwa kuwa yeye ni mtu mkubwa. Hana chochote bali shetani mkubwa. Wananchi lazima tushilikiane kuna kwamba sheria imechukuliwa. Wakubwa na matajiri wananyanyasa saaana wananchi hapa nchini.

    ReplyDelete
  10. kwa kweli inauma sana pale mtu anapotoa roho ya mtu bila hatia,pamoja kuwa tunakumbushwa kuwa kuna wattoto wa vigogo ambao wana tumia silaha kutishia watu mfano kinje,hata peter rupia alishaua,haya kuna huyo wa mungai naye amelipua yake juzijuzi jamani kiburi cha madaraka kinaonekana,ila damu ya mtu huwa haiendi hivihivi inauuuuuuuuma sana sana,iko siku watajuta.

    ReplyDelete
  11. mungu tusaidie tanzania mungu ibariki tanzania kiburi cha kiongozi huyu cha kutoa roho ya mtu bila hatia kiwa mfano kwa viongozi wote wenye tabia kama hizo.hatua kali ichukuliwe ,tayari watu wanajua ni best wa jk ,kwa hiyo jk ukimlinda umekwisha watu wana hasira sana sana

    ReplyDelete
  12. jamani ni viongozi wengi tu tz wenye viburi vya madaraka hatua kali ichukuliwe ili hata ikitokea mtu mwingine anajaribu jambo kama hilo akomeshwa,go bless tanzania.

    ReplyDelete
  13. alafu michuzi uwe fair kwa kila habari kama unaona mtu ametukanwa hapa kwenye globu basi uombe radhi wote na sio tu watoto wa wakubwa kama ulivyofanya kwenye familia ya lowassa.pamela lowassa alitukanwa sana humu globuni nakuhusu tabia yake ya kujisikia na dharau kwa sababu ya babake pm,na akadaiwa kuwa amelazimisha ndoa na kijana alikuwa hayuko tayari kumuoa ,na uchafu mwingi tu,ni watu wengi sana walioandikwa mno lakini hukuomba radhi hata siku moja.leo hii umeomba radhi,kwa nini unakuwa hivyo??be fair kwa kila mtu.

    ReplyDelete
  14. Mimi sina imani na mahakama na pia sina imani na serikali !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    Serikali itafanya mbinu zote kumuachia Bwana Dito. Kwa kosa la Dito yabidi ahukumiwe kunyongwa hadi kufa, lakini mahakama sio huri kabisa. Hata hivyo makosa ya jina yako chini ya DPP ambaye yuko mojakwa moja serikalini. Kwa hiyo serikali ikitaka kumsaidia na ambavyo nahisi ndivyo itafanya ni kumuagiza DPP kuipunguza kesi kuwa ya kuuwa bila kukusudia. Na DPP akifanya hivyo mahakama haiwezi kupinga.

    Watu wa kubwa kama Dito dawa yao ni umafya tu.

    Watu wakubwa wanalindana sana na ndio maana wanaonekana wako juu ya sheria, kwa hiyo ili wawe na adabu ni kuwafanyia umafya. Kwa mfano baada ya Dito kuuwa angetekwa na machizi na kwenda kufichwa. na huka mafichoni ndoa abinywe mapumbu, avutwe mboa, akatwe vidole, achunwe ngozi na mwishoni auwawe.

    Nasema JK atamwachia Dito tu

    ReplyDelete
  15. ni kweli michuzi u need to be more carefully on this one.watu wanapenda sana globu yako na wangependa sana uwe unatoa habari sawa kwa mlalahoi na wenyenazo kama ulivyofanya kwa hili la dito,hapo umeonyesha uzalendo na unaipenda sana nchi yako michuzi,na una uchungu ,bravo

    ReplyDelete
  16. ditopile mungu anakuona kwa nini unahukumu binadamu mwenzio siku zake zilikuwa bado???unajisikiaje ukikumbuka ile damu uliyoitoa kichwani kwake??hivi unaonaje kama ingekuwa mwanao wa kumzaa??ungefurahi sana eeh,ulichopanda ndio utakachovuna baba.

    ReplyDelete
  17. yaani wake za watu uchukue wewe na kuua uue wewe kweli mungu alikuwaanakustahi tu,sasa umefikia hukumu yako hapa duniani na akhera inakusubiri wewe usiye na uchungu na damu za watu.

    ReplyDelete
  18. najua serikali itakulinda kwa kiasi fulani ila jk u need to be careful babangu watu sio wajinga na wala sio mambumbu they know justice ,be good on this one jk.

    ReplyDelete
  19. kweli ni wakubwa wengi wenye viburi sana na ndio maana wanajisahau ,ila ditopile lazima atolewe kafara ama sivyo jk unajipalilia mkaaa wa moto,watu wana hasira sana na dito na viongozi wengine ambao kazi yao ni kutishia maisha ya watu .

    ReplyDelete
  20. jamani sasa naona umefika wakati wa kuonyesha kuwa hii ni ari mpya na kasi mpya kwa vitendo,jk unasubiriwa,hata kama ni best man,no way ni murderer.akafie mbali.

    ReplyDelete
  21. ni kweli inauma sana dito baba muombe mungu akuangazie ujione nawe ni binadamu kama watu wengine.ujishushe na utubu dhambi zako manake uko kwenye hali mbaya,mungu anakuona na anakupenda.jitahidi sana umuombe akupe amani na uache kiburi,pole sana.

    ReplyDelete
  22. ni kweli michuzi tunashukuru kwa habari kama hii ambayo watanzania wote inawauma sana,je na hii utamuomba msamaha dito kwa kuandikwa kama ulivyofanya kwa familia ya lowassa??nawe umezidi kujigonga,unajua pamela she need to know kuwa mpambe wake wa harusi ndiye anayemuanika hapa mjini na akitamba kuwa ,pamella can not stand on her own,mpaka amconsult in everything even how to handle a husband,huyo mrs talawa ni mswahili sana,she just dont know how how to handle his own man,kweli anammaliza pamella.

    ReplyDelete
  23. jamani dito umekwisha,

    ReplyDelete
  24. huyo pamella ameshaombwa msamaha mbona mnaendelea kumuandika,hata kama huyo mrs talawa prisca ndio anamharibu pamella yeye ndio amempenda so muacheni,labda huyo ndio expert wake kwenye maswala ya mapenzi na kuhandle mume.labda pamela naye anapenda aishi maisha kama ya matron wake,lakini she need to be careful manake yeye ni maarufu kwa sasa alafu matron wake anamuanika kila mahali,na mswahili sana may be,pamella be careful

    ReplyDelete
  25. dito,umsalimie zombe ukifika huko

    ReplyDelete
  26. Michuzi hakika tukio lilotokea ni tukio baya na la kusikitisha sana kwa pande zote zilizohusika yaani marehemu Hassan Mbonde na Bw. Ditopile. Kikubwa zaidi ni kumwombea kwa mungu Marehemu Hassan asamehewe dhambi zake huko alikofika mbele ya haki na tuwaombee familia ya marehemu, ndugu na jamaa zake wapate moyo wa uvumilivu na subira. Vilevile, kwa Upande wa Bw. Ditopile mwenyewe, familia, ndugu na jamaa zake ninawapa pole pia kwani ninaamini wamesikitishwa sana na tukio hili baya. Isaac - Dar se Salaam.

    ReplyDelete
  27. huyom pamella she need to know kwamba mtu wake wa karibu ndiye anayemuanika sana ,na huyo prisca ni gumzo sana kwenye hiyo group yao she saw her self as a celebrity lakini ni mswahili na shangingi aliyemalizwa enzi zake,na mumewe ni kiwembe ila yeye anatamba kuwa amemshikilia,anamuharibu sana pamella,na ataharibu ndoa ya pamella lowassa,that woman is pamella be careful mama unaanikwa kila kukicha.

    ReplyDelete
  28. ditopile kwaheriii

    ReplyDelete
  29. Ditopile ni mhalifu moja kwa moja wa sababu kwa sheria za barabarani ikitokea ajali dereva ndiye anawajibika.Ditopile alikuwa haendeshi ile gari hata kama ni ya kwake.Alitakiwa dereva wake ndiye aende kuongea na dereva wa Daladala iliyomgonga na siyo yeye Ditopile.Marehemu alikuwa na haki kukataa kuzungumza na Mtu ambaye si dereva wa gari aliyoigonga,na alikuwa na haki ya kukataa hata kuonana naye maana si dereva wa gari aliyoigonga.Ditopile kama abiria kwenye gari yake hakustahili kumfuata dereva wa Daladala. Kwenye kesi ya magari kugongana kesi ni madereva na si ya abiria akiwemo Ditopile.Hivyo katika kesi hii ni haki kusema marehemu aliuawa na jambazi linaloitwa Ditopile Ukiwaona Mzuzuri.Sababu Ditopile hakuwa dereva wa Gari iliyogongwa.Ni vizuri polisi wamfungulie kesi ingine ya ujambazi wa kuua dereva wa daladala.

    ReplyDelete
  30. ditopile kwaheri salam zao huko kwa zombe,ukome.

    ReplyDelete
  31. ditopile mungu amekuona.jk u need to act upon this one fairly,be careful.

    ReplyDelete
  32. Michuzi hii ni 24 century acha watu watoe comments wanazopenda blog zote nilizopitia za ugaibuni na afrika zinatoa uhuru wa comments regardless anayeongelewa ni rais ama regular citizen, hii ndiyo freedom of speech kaka Michuzi. Wewe ni mwandishi wa habari wa siku nyingi ulipasika kulijua hili fika. Ulipo kuwa huku USA na kwingineko umeshuhudia hili ninalolisema freedom of speech kuanzia television, magazeti, blogs na hata radios zinaongea bila uoga sasa iweje wewe leo hii unaanza kuwawekea masharti watu wanaotoa ujumbe kwa jamii? kwa sababu wanatoa comments za vigogo ama watoto wa vigogo usizopendezwa nazo? Hii ni karne ya uhuru na uwazi hatupo Taribani ama North korea tupo kwenye nchi huru na ya demokrasia usidhani watu watatoa comments ambazo wewe unazifurahia ama zinawapendezesha wale waliotajwa humo ndani.Sioni sababu ya msingi ya wewe kuchuja comments kwenye blog? hao unao wapost humu walitakiwa kujua fika kama kuna comments zitatolewa na hazita wafurahisha na hii ndiyo maana ya blog, freedom of posting comments! Natumaini utaipost hii comment yangu na yeyote atakaye penda anaweza kunikosoa kwa ile ile statement ya freedom of speech. Ndimi Mwita Chacha-Silver Spring, Maryland au tuma barua pepe kwa mwitachacha2006@gmail.com

    ReplyDelete
  33. kweli inatia uchungu sana unavyoona kuwa pale unapoona kiongozi anafanya mauaji kama hayo.pole sana familia ya wafiwa.

    ReplyDelete
  34. Tukio limeisha tokea na tumeishampoteza mpendwa wetu Mbonde.Nadhani kilichobaki ni kwetu sisi kuungana pamoja na ndugu wa marehemu kuwapa moyo na nguvu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.Kwa upande wa muuaji Ditopile ninachoweza kusema ni kuwa ATAACHIWA tupende tusipende!!Mnyonge hana haki mbele ya mwenye nguvu.Na hasa ikizingatiwa ni best man wa KJ, ndio kabisaaaaaaa, mtajasikia kapelekwa nje kutibiwa pressure na sukari then ikawa imetoka.Mmesahau waliomuua Kombe wako wapi?Waliomuua Kolimba, si wapo mitaaani wanatanua jamani?Mkubwa ni mkubwa tu.Tumuombe Mungu atulipie kwa yote tunayofanyiwa na hawa wakubwa ambao wanatuona sisi wanyonge ni takataka!!!!

    ReplyDelete
  35. Tukio limeisha tokea na tumeishampoteza mpendwa wetu Mbonde.Nadhani kilichobaki ni kwetu sisi kuungana pamoja na ndugu wa marehemu kuwapa moyo na nguvu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.Kwa upande wa muuaji Ditopile ninachoweza kusema ni kuwa ATAACHIWA tupende tusipende!!Mnyonge hana haki mbele ya mwenye nguvu.Na hasa ikizingatiwa ni best man wa KJ, ndio kabisaaaaaaa, mtajasikia kapelekwa nje kutibiwa pressure na sukari then ikawa imetoka.Mmesahau waliomuua Kombe wako wapi?Waliomuua Kolimba, si wapo mitaaani wanatanua jamani?Mkubwa ni mkubwa tu.Tumuombe Mungu atulipie kwa yote tunayofanyiwa na hawa wakubwa ambao wanatuona sisi wanyonge ni takataka!!!!

    ReplyDelete
  36. Dito umeua binadamu kama NZI, Ukweli ni kuwa ameua na ametuhumiwa, tuna haki ya kutafakari, kutoa hukumu(kwenye black box zetu) na Michuzi tambua kuwa Mahakama zetu ni KOMAVU,haziwezi kuwa influenced na kiblog chako !please nakerwa na wewe kujaribu kutufundisha sheria wakati sisi wengine ni wanasheria.Please uwe unatoa picha. Kama Ditpolie hakuua kwanini wamempeleka kwenye open court??KAUA..Kinachoendelea ni DUE process , kumpa nafasi ya kumsikia

    ReplyDelete
  37. poleni watanzania

    ReplyDelete
  38. DITO AMEUA KWA KUKUSUDIA HILI HALINA MJDALA. HUKUMU YAKE INAELEWEKA NA HUKUMU HIYO ITAKUWA FUNDISHO KWA WATU KAMA HAWA NGULUME AMBAO INASHANGAZA, PAMOJA NA KUKIUKA MISINGI YA UTAWALA BORA, BAADO WANAKUMBATIWA NA JK

    ReplyDelete
  39. Inatia uchungu,hali hii ikiendelea inaweza kuongeza ufa kati ya watawala na watawaliwa.
    Muchuzi tusaidie kwa kutuletea picha ya WILLIAM MUNGAI. Naona nae ameamua kufuata mkondo wa Ditopile mzuzuri.

    ReplyDelete
  40. Wnaoandika pamela sisi hatutaki watu wasiojulikana wajitangaze hapa toa habari hizo. Hapa tunasikitika kuona huyu mzee alivyofanya mambo kama haya. Dito mimi nilikuwa nafikili ni mtoto wa mjini. watoto wa mjini waswahili hawezi kumpiga mwendesha daladala risasi eti kagonga gari lake. Hiki ni kitendo cha ujinga na unyama kabisa.

    Nafikiri kama mmojawapo alivyosema nashangaa hata bungeni, vyombo vya serikali havijarahani mambo kama haya.

    Dito inatakiwa afanyiwe demonstration na iwe fundisho katika jamii ya kitanzania na watu wote wasiotaka kufuata sheria. Mimi naweza sema siyo mwanasheria ila haiitaji kujua sheria kujua nini kinatakiwa kifanyike daladala lilikuwa limejaa watu hakuna aliyesema dereva alimshambulia hata kwa maneno.

    Dito inawezekana alikuwa na frustration zake tunamuombea maisha mema huko jela na pia sheria ifate mkondo wake ktika kuhakikisha dito anafikishwa panapostaili. Na huyu mzee dr tenga nafikiri asitake kutuletea utapeli hapa.

    ReplyDelete
  41. DITO KAZOEA. WAKE ZA WATU ACHUKUE HADI KUZAA NA BAADHI YA WAKE ZA WATU NA SASA KATOA ROHO YA MTU! JK NI MTIHANI HUO SIJUI UTAMBEBEA MBELEKO GANI SWAHIBA WAKO. NAAMINI UNAJUA SWAHIBA WAKO HAKUI ANAJIFANYA KIDUME CHA MBEGU.

    KITUO CHA KAZI TABORA NA DAR ALIKUWA LIKIZO? AU NDIYO KUFUATA TOTOS.
    JK WAFAHAMU WATU WAKO VYEMA INAWEZEKANA ALIKUWA MWANAMTANDAO MUHIMU KATIKA KAMPENI ZAKO ZA KUINGIA IKULU LAKINI HAKUFAI HUYO.ATAKUTOSA.

    JAMAA ANAHUSUDU NGONO KIASI CHA KUSAHAU WAJIBU KWA RAIA. KIONGOZI NI MTUMISHI SIYO CHINJACHINJA.

    TULIKUWA TUNAYASIKIA YA AKINA IDDI AMINI WA UGANDA, BOKASSA, HITLER KUMBE HATA SISI TUNAO.

    NAAMINI MWALIMU HUKO ALIKO HAAMINI KAMA HUYU NDIYE KADA WAKE ALIYEAANDALIWA KUONGOZA WATU!

    ReplyDelete
  42. MTUME!!!!!!!! JAMAA ON THE NEWS AGAIN. TUMECHOKA N AHABARI ZAKE. MARA KACHUKUA MKE WA MTU MARA KAZAA NA MKE WA MTU SASA HUYU JAMAA ATAFANYA NINI AMBACHO UONGOZI UTARIDHIKA KWAMBA HAFAI?
    KITUO CHA KAZI TABORA SAS DAR ALIKUWA LIKIZO? KAZOEA KUTOKAA KITUO CHA KAZI.ALIPOKUWA PWANI MAKAZI YALIKUWA DAR.

    JK HAO NDIYO WATU WAKO! INAWEZEKANA ALIKUWA MWANAMTANDAO MUHIMU KATIKA MBIO ZAKO ZA KUELEKEA IKULU SASA UTAMBEBA KWA MBELEKO IPI? JAMAA HAKUI NA HAYUKO SERIOUS ZAIDI YA KUENDEKEZA NGONO.

    SHERIA NA IPINDISHWE LAKINI DAMU YA MTU I JUU YAKE NA HUKUMU ZINAMNGOJA KWANZA KWA UZINZ NA WAKE ZA WATU NA SASA KAUA!

    AKINA IDDI AMINI NA KINA HITLER KUMBE NA SISI TUNAO!

    ReplyDelete
  43. Angalia viongozi walivyo na kiburi na kujiamini. Hii inaweza kuchangiwa na urafiki wa karibu baina yao na JK na viongozi wengine wa juuu pia wanavyomjua JK kuwa yuko upande wao ktk 'mambo yote'. Isije ikawa semina za Ngurdoto ndiyo chanzo cha tabia hizi? Tunaona hata wakuu wa wilaya kuwazaba vibao watendaji wenzao. Viongozi, tumikieni wananchi na si kupenda kutukuzwa! Haki itendeke ktk kesi hii ya Cpt (Rtd) Dito.

    ReplyDelete
  44. poleni sana wafiwa kwa yaliyowatokea ,mungu atamlipia marehemu.

    ReplyDelete
  45. hivi pamella lowassa amefanya nini mpaka kumuandika tena,kwani huyo mpambe wake naye ni wawapi tena,watajijua wenywewe sisi tuna uchungu sana na msiba wa dreva wa daldala.

    ReplyDelete
  46. poleni sana wafiwa mungu yupo atamuonyesha dito kuwa yeye hadhihakiwi.

    ReplyDelete
  47. Mimi kilinisikitisha Michuzi ulipoomba msamaha, tena eti ukawaomba msamaha wale wote walioishawahi kutukanwa na kusemwa vibaya humu bloguni. Ulikuwa wapi wakati hao wengine wanatukanwa?, mfano, issue ya Cynthia humu imekaa miezi kibao, na hukuitoa wala kuomba msamaha, na hii ta Pam pia ulikuwa unaiona weeks kadhaa, mbona hukuitoa?, au ni baada ya wahusika kukutishia ndio ukaitoa?, worse enough ukaomba na msamaha? Mimi ningekuona mtu kama ungeitoa na kusema ilikuwa inaelekea pabaya, sio kuomba hadi msamaha. Wametukanwa kina Blair na bush iwe Pamella bloody Lowassa?
    Cythia uko wapi? michuzi alikudhalilisha sana humu alivyoacha ile mada muda wote huo bila kuistopisha.Tusiwe watumwa jamani.

    ReplyDelete
  48. Jk inabidi kupima akili unaowachagua kuongoza watu, pia usiwape MAGARI ya pesa nyingi za serikali wanayotamba nayo barabarani vilevile lifanyike zoezi la kukusanya silaha kutoka kwa vigogo pia ambao wengi wao ni makatili, roho mbaya...Kwanza inabidi haraka umwachishe kazi kama mkuu wa mkoa...KESI YA MAUAJI tayari skendo

    ReplyDelete
  49. Jamani PAMELA.mbona amekuwa issue tena hapa?? Na mtaanza na FRED tena skendo katika maisha ni kitu cha kawaida tumeona mangapi? Michuzi umepata kupita club inaitwa REGION pale kuna mengi yasiyofuata maadili na hao viongozi ndio wanagida na kuangalia picha za ngono kwenye kuta UNALIJUA HILO?? pamela kapata mume mtarajiwa mwacheni na TUWAPE POLE WAFIWA NA KUOMBA SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE. na huruma ya JK kwa mtoto aliyeungua TABORA nakutibiwa muhimbili vilevile kuagwa ikulu IWASHUKIE WATOTO WA MAREHEMU MBONDE KUTOKA KWA JK.

    ReplyDelete
  50. ditopile ukafie mbali umetuumiza sana sana,hivi unawatoto??unajua uchungu wa kufiwa tena kifo cha ukatili,kweli you deserve to die.

    ReplyDelete
  51. YAANI DITO ana BAHATI MBAYA...kwani angekuwa Dereva Taxi angedai ni jambazi....

    ReplyDelete
  52. This has to be taken far; we have noticed developed countries have advanced with supremacy of judiciary power. Actually, I doubt with our country. Lamentably, Tanzania has demonstrated the profusion and massive destruction of human right. That all about image portrayed outside: SOCIALISM concept of autocracy and dictatorship is still persisting. It is very shamefully for a reputable leader to be murderer. More over there has been a lengthy debate global on good governance. Nevertheless, as a sovereign state wit autonomous power still we can’t practice.

    ReplyDelete
  53. JK ...SEMA NA WANANCHI JAMANI.....!!!!!!Hata kama uko Japan lkn tunahitaji uzungumzie kidogo na tuone msimamamo wako...

    ReplyDelete
  54. Nafikiri hili la dito liwe fundisho kwa watu wote wakiwemo wale watoto wa vigogo ambao huwa wanavaa vyeo vya baba zao. Pili ditopile mimi nafikili kwa sababu amehukumu binadamu mwenzie haraka sana naye pia haukumiwe haraka sana.

    Ucheleweshwaji wa kesi yake utasababisha sisi wapenda haki tuingie mitaani mapema sana. Inabidi aukumiwe mapema iwezekanavyo kama yeye ambavyo hajatoa mwanya kwa kiumbe cha mungu kujitetea. Namuombea mungu amuweke mahala pema peponi huyo kijana, natumaini pia kama tulivyoomboleza vifo vya vijana waliopigwa risasi marekani na huyu pia ni mtanzania mwenzetu nategemea hata bunge letu lilahani kitendo hiki kama walivyotuma ujumbe marekani wafuatilie vifo vya ndugu zetu.

    Hivyo nategemea wahusika watahakikisha watanzania hawapigwi risasi kama ndege tu. na hivyo dito tunamuomba kabla hajafanyiwa demonstration ajifanyie mwenyewe na kuomba musamaha kwa watanzania kabla hata hajahukumiwa.

    Nilitegemea katika picha awe analia na kuomba watanzania wamusamehe lakini alionyesha bado anakiburi na anaweza kuua tena hata kwa meno.

    ReplyDelete
  55. MICHUZI TUMESIKIA MTOTO WA WAZIRI NAYE KALIPUA MARISASI UKUMBI WA STAREHE IRINGA HEBU TUPATIE MANEWS BASI VIONGOZI INAKUWAJE JAMANI NA HAYO MASILAHA YAO??
    wewe ndio tunakuaminia na habari mzee

    ReplyDelete
  56. Michuzi Mtoto wa Mungai kafanyaje tena huko Iringa na silaha?tupe news mzee

    ReplyDelete
  57. Jeff nimekusoma na kukuelewa vizuri unapozungumzia kuwasaidia ndugu wa marehemu.Ninachoona mimi njia pekee ya kuwasaidia ndugu wa marehemu pamoja na kujisaidia sisi wenyewe ni kusimamia kuwepo kwa misingi ya haki nchini.mauaji ya raia sio kitu kigeni katika nchi yetu kuanzia kupindi cha nyerere mwaka 76 kule shinyanga mpaka leo.Prof Shivji ameelezea vizuri sana hii hali katika kitabu chake cha mwaka huu(2006),Let The People Speak-Tanzania Down The Road To Neo Liberalism.tuangalie katika sehemu ya nane ya kitabu hiki-State Violence and Impunity.Michuzi ametuomba tungoje mahakama itoe uamuzi,ni kweli kwa sababu katika sheria wanasema "a person is presumed to be innocent until proven guilty".Mungu Ibariki Tanzania.

    ReplyDelete
  58. Michuzi hawa watu wako wana jazba. Kama ni kutoa pole watoe pole kwa marehemu bila jazba. Sikitika lakini usianze kuhukumu! Iachie mahakama itende haki. Kesi imekwishafikishwa mahakamani. Nina hakika Dito hapo alipo anateseka moyoni, na anatamani kujitundika kutokana na tukio hilo, hamjui kinachoendelea katika akili ya mwanadamu. Wengine wanasema hawana imani na mahakama! Sasa Kitu gani kifanyike, What next? Nawapa pole familia zote mbili zilizohusika katika tukio hilo. Mungu awasaidie waweze kutumia busara!

    ReplyDelete
  59. Tuache jazba jamani, tuiachie mahakama ifanykazi! Kama huamini mahakama, huamini serikali, utamuamini nani? Maana yake wewe unaamini sheria mkononi! Je ni sawa?

    ReplyDelete
  60. michuzi huyo ditopile alikuwa dar kufanya nini???alikuwa anaenda kuloga nini,manake mambo ya pwani ndio kuloga kwa kwenda mbele,sasa yamemtokea puani ,halo halooo jiji atalijua.

    ReplyDelete
  61. serikali ya kikwete inatakiwa iwe fair manake watu wana hasira kali sana.

    ReplyDelete
  62. DITO sasa maisha yako yameishia kapuni.Dito unajifanya home boy ! sasa ukichuchukuliwa wake zako kichizi wakati ukisota na ZOMBE , utajisikiaje?(Nasikia mnakunywa konyagi na sprite na mnajifanya ni maji!! )
    Mabaya hulipwa hapa hapa duniani na mbinguni Dito

    Unaua ndugu yetu anayetusaidia sisi walalahoi kutufikisha nyumbani kwa wake zetu? unataka madereva wa daladala waogope kutuendesha???? ili tutembee na mguu kutokea tegeta hadi mwenge????

    Dito wewe unaua binadamu kama unaua NZI..sasa utaipata

    ReplyDelete
  63. Naungana na wadau wengine wote kushutumu hiki kitendo cha kinyama alichofanya bwana Dito. Huyu kijana hata kama alikuwa na makosa hakustahili kuuwawa.

    Mie nina maswali yafuatayo
    a) je bwana JK ameshamfukuza kazi huyu bwana Dito?? Mie nafikiri serikali inabidi ichukue hatua haraka sana, hii haitakiwi kusibiri mkondo wa sheria, watu wamemuona LIVE, hivyo kama serikali inajali basi tunategemea itoe uamuzi haraka. samahani kama kuna tangazo limeshatoka serikalini, sipo uptodate
    b) hivi sheria ya bunduki inasemaje ?? Mie nafikiri inabidi sheria ya bunduki iangaliwe upya-watu vichaa kama bwana Dito hawapaswi kupewa bunduki kabisa.

    narudia tena ingawa hawa jamaa wa daladala wanakera sana lakini adhabu ya kuwaua haikubaliki.
    over and out

    ReplyDelete
  64. ditopile kwa heriiii ya kuonana babaaa,uwasalimie huko keko,umeyataka mwenyeweeeeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  65. huyo ndio best man wa jk,yaani mshauri wa jk katika maswala ya ndoa na unyumba mhh,umetusikitisha sana baba,hatuelewi watanzania kabisa una maana gani kuua.

    ReplyDelete
  66. Anony wa 4:54 huna akili hata chembe umeoza,huoni kwamba huyo kiongozi alitakiwa kuita askari kuliko kutumia bastola zake?? huelewi KUUA ni nini??achia mbali aliyeua ni kiongozi wa wanachi tumia akili kichwani na sio matakoni

    ReplyDelete
  67. Wa ukoo wa Mbonde, poleni sana kwa msiba uliosababishwa na kifo cha kinyama na kikatili. Mahakama, kazi kwako!

    Katika ajali ya trafiki wahusika ni madreva! Katika ajali hiyo (ambayo wengi wetu hatujui ilikuwa na madhara ya namna gani kwenye hayo magari). Siyo kazi ya abiria kuingilia kati...hata kama gari ni la abiria!

    Pisii Dito anajua yeye hakuwa dereva wa gari hilo (ingawa pengine ni la kwake).

    Pisii Dito alikuwa mkufunzi wa ujamaa, kada mkubwa wa CCM, na mwenye nyadhifa lukuki hadi u-Pisii (Mkuu wa Mkoa). Anajua saaaana sheria za trafiki.

    Pisii Dito anajua sana kwamba katika wakati huu wa ujambazi, kama kungekuwa na askari kanzu mwenye kubeba bunduki ya risasi ndani katika daladala hilo, pengine angemlopoa Pisii Dito akimdhania ni jambazi mwenye lethal silaha kali!

    Pisii Dito anajua kuwa kama dereva aliyegonga gari lao alikataa kutoka nje, wajibu wake ni kuchukua nambari za gari, na kuwa shahidi.

    Pisii Dito ni mwanajeshi mstaafu mjua kutumia bunduki...alikuwa Kapteni wa chombo cha dola ambacho kazi yake ni kuua adui.

    Pisii Dito pengine ana kibali cha kuwa na bunduki.

    Pisii Dito pengine hana kibali cha kubeba bunduki yenye risasi...ni kazi ya walinzi wake, kama alikuwa safarini kikazi huko Bwagamoyo.

    Pisii Dito anajua wazi kuwa bunduki aliyokuwa nayo pengine ilikuwa tayari cocked na kufichwa alikoificha.

    Pisii Dito anajua bunduki yake hiyo ilikuwa na risasi ngapi.

    Pisii Dito anajua kwa nini aliitoa bunduki hiyo.

    Pisii Dito anajua kwa nini aliilenga bunduki hiyo dirishani kwa dereva.

    Pisii Dito anajua wazi kama bunduki yake hiyo ilikuwa automatic ama vipi.

    Pisii Dito anajua wazi kuwa bunduki kama hiyo inaweza kufyatuka wakati wowote kama ikitikishwa tikishwa. Hatujui kama bunduki hiyo ilifyatuka ama alifinya triga yake!

    Pisii Dito anajua ni risasi ngapi zilizofyatuka (pengine moja kumwua dereva huyo)!

    Ni kazi ya wakili mtetezi wa mshitakiwa ku-confound ushahidi wa upande wa mshitaki. Wakati mwingine wakili mtetezi huyo anaweza kushinda eti on legal technicality. Tayari wakili mtetezi wa Pisii Dito amekwisha tamka eti vyombo vya habari vimekwishamwona Pissi Dito mhalifu anayestahili kunyongwa hadi afe, kabla ya hajawa proven guilty!

    Wakili mtetezi ameleta rai nyingine kuwa Pisii Dito alikuwa akisumbuliwa na diabetes na high blood pressure! Kama kisukari na ma-pressure vinamsumbua Pisii Dito, kwa nini aruhusiwe kubeba bunduki yenye risasi! Sielewi kabisa!

    Turudi nyuma on legal technicality. Kulikuwa na kesi ya Mkuu wa Polisi Hamza Aziz aliyeachiwa kwa kumkanyaga kwa gari na kumwua pedestrian kwenye barabara ya Bagamoyo na kukimbia crime scene!

    Ili kuweza kumleta Hamza Aziz kortini ilikuwa ni jukumu la chombo cha dola cha mahakama (Injuction Court) ku-prove kwamba Hamza Aziz alikuwa na kesi ya kujibu. Lakini kutokana na kosa la legal technicality, Injuction Court hiyo chini ya Hakimu Mkate, ilitamka kuwa Hamza Aziz aliua. Hii ilileteleza Hamza Aziz aachiliwe kwa Injuction Korti hiyo kujipa wadhifa wa Korti ya kuamua kesi hiyo!

    Naachia wataalamu wa criminal jurisprudence na mahakama!

    Mwisho, ni kazi ya chombo cha dola, Mahakama, kusikiliza na kuamua kesi hii.

    ReplyDelete
  68. jamani huyu Michuzi hata kiomba misamaha kwa vigogo mjue ana sababu njema tu ya kuendelea kuwaletea habari kwa amani,asipojifanya mjinga mnataka aishie selo kama babu seya??nani ataweletea manews moto moto??Hebu fungueni macho..!!na yeye ana familia vile vile akipata matatizo wanawe watakula wapi?
    Asanteni.

    ReplyDelete
  69. Chakusikitisha babaenu Dito alipogongwa na kuuwa alikuwa na kimwana na inasemekana ni mke wa mtu fulani jijini. Ipo kazi bongo ukimwi haishi< mzee Ruksa alisema kabisa pale tunapopapenda pameingia mdudu ila patamu. Mungu Ailaze pema roho ya marehemu.

    ReplyDelete
  70. kuna watu wananishangaza eti sijui watu wasihukumu kama ingelifanyika usiku kama kile kitendo alichofanya wakati akiwa mkuu wa mkoa hakuna ambaye angehukumu moja kwa moja lakini hili limefanyika mchana. daladala imejaa abiria hakuna siri hapa atakayepindisha ajue kila kitu kimeonekana.

    Kwa hiyo hahiitaji elimu kubwa ya chuo kikuu kutoa hukumu hata mtoto mdogo wa darasa la kwanza anaweza kutoa hukumu kwa dito sheria za bunduki zinajulikana na yeye dito kama kiongozi wa watu anazijua sana.

    Hatuna haja ya kupoteza muda na dito.

    ReplyDelete
  71. Ni habri ya kusikitisha sana hasa kwa familia ya marehemu, nawapa pole na mungu amlaze mahali pema peponi.

    Dito ona sasa umewafanyia nini watanzania na familia yako mwenyewe. Unategema watoto wako waiangaliaje jamii? nina uhakika familia yangu isingependa ufanye ulilofanya, nina uhakika watoto wako wataathirika kisaokolojia na itabakia katika historia ya maisha yao. Poleni watoto wa Dito na wanandugu wengine. Mzee ameharibu na itabakia kuwa hivyo.

    ReplyDelete
  72. Both the late Mbonde and Bro Dito had bad luck on that day.....

    ReplyDelete
  73. Michuzi na wengineo mnaotaka tusiongelee hii kesi mnashangaza kidogo. Influence yetu hapa sisi hata tukiongelea ni nini? Pande zinazohusika na kesi ndizo hazitakiwi Mawakili, waendesha mashtaka, hakimu,jugde na wazee wa mahakama ndio wasiotakiwa kuongelea kesi hii lakini siyo sisi. Hicho kipengele kinatumika vibaya sana nchini ati kwa sababu kesi iko mahakamani. Hata hivyo sisi tunaongelea kilichojiri siku hiyo nacho ni kuwa Dito killed in cold blood. Hatuhitaji mahakama kutuambia hilo. Na kama alivyosema anony mmoja hapo juu, yeye hakuwa dereva wa gari iliyohusika, Marehemu Mbonde kukataa kuzungumza naye ilikuwa sahihi kabisa.
    Mrekebisharika,
    Watu kuwa na wasiswasi na mahakama zetu ni sawa kabisa maana rekodi zipo zikionyesha kuna watu wako juu ya sheria. Kuwa kesi iko mahakamani tayari si hoja maana tunajua kuwa polisi watakapo kamilisha uchunguzi jalada litapelekwa kwa DPP na huko ndiko kesi za hawa untouchables zinakoishia. Ndiyo maana watu wanatoa tahadhari.

    ReplyDelete
  74. Jamani huyo anony anayesema tusihukumu..gari ni muhimu kuliko utu kwa mawazo yake?na yeye ni muuaji tu haoni thamani ya roho ya mtu,Huyo bwana Ditopile alishindwa hata kuita askari ashugulike na dereva mpaka amwage hayo marisasi yake??alishindwa hata kutumia basi madaraka yake kumfikisha popote apewe faini mpaka atoe roho jamani??Nchi inaelekea wapi??

    ReplyDelete
  75. Wow! Tanzania nayo Gun zimekua nje nje kama huku tunakoishi!!! Tuiachie mahakama hilo na Mungu mwenyewe ndie atakaye mjudge. Ni kweli mimi naungana na Jeff Msangi. Michuzi naomba tutafutie account number ya familia ya marehemu. Sisi tulio mbali huku hata tumsaidie japo kidogo. Tunajua nchi yetu tena. Once habari hii ikishaondoka kwenye headline news wanaoumia ni watoto wake na mke aliowaacha. Okay please Michuzi post basi any account info tuwire transfer whatever we could direct account. Asante sana

    ReplyDelete
  76. kumbukeni dito na jk ndio walimuweka jela sea na watoto wake kwa kutomba wake zao sasa mambo yamemrudia,kuma la mama yake tunahanza kubeba hata mabom ya mafuta ya taa na kuwa kam hilaki usio na habari ziko tayari katika kitengo cha haki za binadam,ni mimi yulee mwandishi wenu wa gazeti huku swizz

    ReplyDelete
  77. NAONA DITO KAJIUZULU

    http://www.mwananchi.co.tz/mwananchisite/Mwananchi/Habari/Habari7.asp

    ReplyDelete
  78. ANONY 5:54 PUMBA HIZO NDUGU YANGU- THERE IS NO JUSTIFICATION FOR MURDER- WHATEVER DEGREE IT IS.

    ReplyDelete
  79. BREAKING NEWS
    Kufuatia kesi ya mauaji…
    Ditopile ajiuzulu ukuu wa mkoa
    Na Mwandishi Wetu
    RAIS Jakaya Kikwete amekubali kujiuzulu kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile-Mzuzuri, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya raia mjini Dar es Salaam.
    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma jana usiku, Rais Kikwete amekubali ombi hilo kufuatia barua aliyoandikiwa na Ditopile Jumapili iliyopita, siku moja kabla ya kufikishwa mahakamani, akimuomba Rais akubali kujiuzulu kwake.
    Rais alieleza: “kuomba kwako kujiuzulu wadhifa wako wa Mkuu wa Mkoa ni uamuzi wa busara na hekima. Unatoa fursa kwa taratibu stahiki za kisheria kufanyika bila ya vizuizi visivyokuwa vya lazima. Ni heshima kwa taifa letu linalozingatia utawala wa sheria.
    “Hivyo napenda kukuarifu kuwa nimekubali ombi lako la kujiuzulu wadhifa wa Mkuu wa Mkoa. Kwa mara nyingine tena pole kwa yote. Usiache kumshukuru na kumuomba Mungu.”
    Rais Kikwete yuko safarini katika nchi za Asia .
    Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu ilisema, katika barua yake ya kuomba kujiuzulu, Ditopile alieleza kuwa tukio lililotokea “linakingana na dhamira yangu ya wajibu wa kazi yangu ya Mkuu wa Mkoa.”
    Aliomba kuwajibika na kutoa nafasi kwa mkondo wa sheria kuchukua nafasi yake vyema na kuacha serikali kufanya kazi yake ipasavyo kwani “nikiendelea kuwepo madarakani itaathiri imani ya wananchi kwa serikali yetu.”
    Ditopile (58) alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu juzi, akikabiliwa na shitaka la mauaji ya dereva wa daladala Hassan Mbonde.Upande wa mashitaka ulidai kuwa Ditopile alifanya mauaji hayo Jumamosi iliyopita katika makutano ya barabara za Bagamoyo na Kawe, Dar es Salaam.
    Mshitakiwa ambaye hakutakiwa kujibu lolote, yuko rumande na kesi dhidi yake itatajwa Novemba 20, mwaka huu.
    Kwa mujibu wa habari za awali za polisi, Ditopile anadaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kichwani dereva huyo.

    ReplyDelete
  80. BREAKING NEWS
    Kufuatia kesi ya mauaji…
    Ditopile ajiuzulu ukuu wa mkoa
    Na Mwandishi Wetu
    RAIS Jakaya Kikwete amekubali kujiuzulu kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile-Mzuzuri, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya raia mjini Dar es Salaam.
    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma jana usiku, Rais Kikwete amekubali ombi hilo kufuatia barua aliyoandikiwa na Ditopile Jumapili iliyopita, siku moja kabla ya kufikishwa mahakamani, akimuomba Rais akubali kujiuzulu kwake.
    Rais alieleza: “kuomba kwako kujiuzulu wadhifa wako wa Mkuu wa Mkoa ni uamuzi wa busara na hekima. Unatoa fursa kwa taratibu stahiki za kisheria kufanyika bila ya vizuizi visivyokuwa vya lazima. Ni heshima kwa taifa letu linalozingatia utawala wa sheria.
    “Hivyo napenda kukuarifu kuwa nimekubali ombi lako la kujiuzulu wadhifa wa Mkuu wa Mkoa. Kwa mara nyingine tena pole kwa yote. Usiache kumshukuru na kumuomba Mungu.”
    Rais Kikwete yuko safarini katika nchi za Asia .
    Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu ilisema, katika barua yake ya kuomba kujiuzulu, Ditopile alieleza kuwa tukio lililotokea “linakingana na dhamira yangu ya wajibu wa kazi yangu ya Mkuu wa Mkoa.”
    Aliomba kuwajibika na kutoa nafasi kwa mkondo wa sheria kuchukua nafasi yake vyema na kuacha serikali kufanya kazi yake ipasavyo kwani “nikiendelea kuwepo madarakani itaathiri imani ya wananchi kwa serikali yetu.”
    Ditopile (58) alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu juzi, akikabiliwa na shitaka la mauaji ya dereva wa daladala Hassan Mbonde.Upande wa mashitaka ulidai kuwa Ditopile alifanya mauaji hayo Jumamosi iliyopita katika makutano ya barabara za Bagamoyo na Kawe, Dar es Salaam.
    Mshitakiwa ambaye hakutakiwa kujibu lolote, yuko rumande na kesi dhidi yake itatajwa Novemba 20, mwaka huu.
    Kwa mujibu wa habari za awali za polisi, Ditopile anadaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kichwani dereva huyo.

    ReplyDelete
  81. DITOPILE UKIMUONA NI MZURI LAKINI NI KILLER.

    ReplyDelete
  82. pole kwa marehemu na watanzania wote ambao wameguswa na tukio hili kwa njia moja au nyingine. bwana msangi katoa hoja ya kuangalia ni jinsi gani familia ya marehemu inaweza kusaidiwa lakini quick scan through points out that not one if not a few have bothered to come up with an idea. Lets stop bikering about that evil man mzuzu.....he is probably feeling the heat now.


    I'M THE VICTIM OF MY OWN MAKING

    ReplyDelete
  83. Hivi hapa tunachobishana ni kipi?ajali imetokea Dito akashuka, akamuamrisha The late Mr. Mbonde ashuke, mbonde akakataa, Dito hajawahi kukataliwa kitu chochote, kwa hiyo mtu mdogo kama dereva wa daladala kumkatalia kikiwa ni kitendo ambacho dito alishindwa kuvumilia, hasira ikamzidi akatoa bastola akomlenga akamtwanga BANG!!Ubongo wa jamaa ukafumuka,Jamaa akadrop Dead! wote waliokuwepo wameona, Dito anajua alichokifanya akaenda kujisalimisha! It was a cold Blooded Murder!Sasa issue ni kuona Korti itatoa haki ama vipi!JK unafikiri atakutetea ukiua?

    ReplyDelete
  84. Hivi hapa tunachobishana ni kipi?ajali imetokea Dito akashuka, akamuamrisha The late Mr. Mbonde ashuke, mbonde akakataa, Dito hajawahi kukataliwa kitu chochote, kwa hiyo mtu mdogo kama dereva wa daladala kumkatalia kikiwa ni kitendo ambacho dito alishindwa kuvumilia, hasira ikamzidi akatoa bastola akomlenga akamtwanga BANG!!Ubongo wa jamaa ukafumuka,Jamaa akadrop Dead! wote waliokuwepo wameona, Dito anajua alichokifanya akaenda kujisalimisha! It was a cold Blooded Murder!Sasa issue ni kuona Korti itatoa haki ama vipi!JK unafikiri atakutetea ukiua?

    ReplyDelete
  85. Ditopile's gun goes missing
    FAUSTINE KAPAMA
    Daily News; Wednesday,November 08, 2006 @00:08

    JK accepts his resignation

    THE pistol allegedly used by the Tabora Regional Commissioner, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, to kill a commuter bus driver in Dar es Salaam last Saturday, was lost after the shooting, the 'Daily News' has learnt.

    Ditopile, who is former Dar es Salaam, Lindi and Coast regional commissioner, appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court on Monday, charged with the murder of a daladala driver, Hassan Mbonde (33).

    Commander of the Dar es Salaam Special Police Zone Alfred Tibaigana told the 'Daily News' in the city yesterday that according to the accused, the firearm, loaded with five rounds of ammunition, got lost when a mob attacked him (Ditopile) immediately after the incident.

    Mr Tibaigana said the accused told the police that a group of people attacked him after the shooting, wrestling the weapon from his hands. The RC also allegedly sustained injuries on his left arm. He said police were still searching for the gun.

    Meanwhile, President Jakaya Kikwete has accepted the immediate resignation of Mr Ukiwaona Ditopile Mzuzuri as Tabora Regional Commissioner, who is currently facing murder charges.

    A brief statement issued by State House yesterday evening said the president had accepted Ditopile's resignation offer filed yesterday.

    The president said in the communique that Ditopile's resignation was the best option in the circumstances, and that, it had manifested his steadfast patriotism even in dark moments.

    He added: "Your resignation brings honour to our nation, which adheres to the rule of law". CCM Secretary-General Yusuf Makamba told the 'Daily News' later that Ditopile did not hold any post on the ruling party.

    At the Kisutu Resident Magistrate's Court on Monday; Ditopile was not allowed to enter any plea to the charge because his case would be tried by the High Court. Principal Resident Magistrate Michael Luguru, who is conducting a preliminary inquiry on the case, remanded him until November 20, this year.

    It was alleged before the killing that the driver of the commuter bus, plying between Ubungo and Tegeta, slammed into Ditopile's vehicle from the back. At the time of the accident, the RC's vehicle was being driven by Mr Nassor Mohammed (42), and was heading to Bagamoyo.

    ReplyDelete
  86. Ahaaaaa kumbe alikuwa anaelekea bagamoyo kurenew mambo?Poor him naona alichelewa kidogo vika-expire barabarani.Pole sana Ditopile,you should learn to trust God and not bagamoyo thing'
    na huyo Mungai ashachuja ajiuzulu tu na yeye kawaambukiza na wanawe wivu wa wanawake na ubabe sasa wanashuti tu risasi kazi kwelikweli

    ReplyDelete
  87. HII MITOTO YA VIGOGO INAKUWAJE INAPEWA SIRAHA KIRAHISI? NA UKICHUNGUZA UTAKUTA HAWANA HATA KIBALI KIBALI CHA KUMILIKI, NA HATA JINSI WALIVYO ZIPATA UTAKUTA SIO HALALI MAMBO YANAZIMWA KIJUJU TU MIMI NAOMBA SERIKALI IANGALIE UMILIKI WA SIRAHA KWA HAWA KINA KINJE SIJUI NA WANGINE WATAOTO WA VIGOGO

    ReplyDelete
  88. DITO JIANDAE KUNYEA KWENYE NDOO NA PIA WASALIMIAE SANA WAKINA BABU SEYA NA WANAE

    ReplyDelete
  89. Kama huyu Raisi wenu Kikwete angekuwa mtu wa kufikiri kwa kina, angeanza kwa kulaani kitendo hicho cha kiubabe na kutoa rambirambi za dhati kwa familia ya marehemu, siyo kumuombea dua na kumuhurumia huyu muuaji. Hii inaonyesha kuwa Kikwete kutokana na madaraka yake kama Raisi anaweza kumuachia huyu muuaji kiulaini regardless of court ruling.

    ReplyDelete
  90. michuzi usipende kuomba msamaha kwa familia za wakubwa bila kujua unachoombea msamaha,nilivyoona haya mambo ya pamella lowassa yanalenga kabisa kuwa sio yeye mwenyewe anayejitangaza bali ni rafiki yake mpendwa ambaye anamzunguka,huku pamella akimuona ni mtu wa maaana,jamani michuzi watu sio wazuri hata kidogo,je unajua kuwa pamella anakila haki ya kujua kuwa anazungukwa ili ajipange upya,naomba usifute hii comment.

    ReplyDelete
  91. naomba sana ditopile achinjwe kama sio kunyongwa manake sio binadamu bali ni shetani mkubwa.

    ReplyDelete
  92. ditopile baba umekwisha sasa kwa nini uchukue sheria mkononi???bloodfull

    ReplyDelete
  93. hizo ni laaana za watu ndio mana dito ameumbuka,manake aliyoyafanya ni makubwa mpaka kuchukua wake za watu??akome na viongozi wengine wenye tabia hizo wakome kabisa,ni wengi sana na asilimia kubwa wako hivyo.

    ReplyDelete
  94. ditopile lazima ulipe damu ya mtu haiendi hivihivi hata siku moja.kwaheriiiiiiiiii

    ReplyDelete
  95. jamani dito kwa nini unapenda ubabe??viongozi wengi wababe mkome hizo tabia hilo ni fundisho kwenu,mkomemkome

    ReplyDelete
  96. sasa ditopile afadhali umejiuzulu ukae nyumbani sasa manake kazi imekushinda baba ,wapo wengi sana wanaoitaka hiyo kazi,jamani kuna vacant tabora ,application zinahitajika cv bila kusahau,uwe unajua kutumia silaha vizuri.

    ReplyDelete
  97. jamani ditopile baba umevuna ulichokipanda,byebye.

    ReplyDelete
  98. tanzania nchi yangu nakupenda sana nilalapo nakuota mamaweeeeeeeeee,ditopile hivi wewe ni mtanzania au mtaliban???

    ReplyDelete
  99. pamella lowassa mimi nampenda sana rangi yake ya mwili wake,hongera pamella kwa kuamua kuolewa,watalijua jiji wenye vijiba vya roho halooo,mie ni mswahili haswa na mume wangu nimemuweka sawa,shosta nitakufundisha jinsi ya kushughulika kitandani,m,manake hapa ndio kigoma,mwisho wa reli,

    ReplyDelete
  100. ditopile baba umeyavulia nguo maji ni lazima uyaoge baba,hata kama ni ya moto.

    ReplyDelete
  101. hizi ni nuksi za serikali ya jk tu maana imejaa mizengwe kibao,na labda ndio kafara zenyewe za mambo ya uganga,watu wa pwani hao,ohh

    ReplyDelete
  102. wakubwa wamezoea kudekeza sana watoto wao,wanajifanyia wanachotaka,ila gharama zake ni kubwa sana yatawafika tu siku moja.kinje amekuwa gumzo sana hapa mjini dsm lakini naye mwisho wake uko karibu manake hata mungu hapendi uonevu kiasi hicho.

    ReplyDelete
  103. michuzi ni mshenzi sometimes anaogopa comments za watanzania,t=funga globu basi ukalale kama unaona mambo huyawezi.watanzania tuko free,na hii ni moja ya mitambo ya kurekebisha tabia za watu.kama hao wa wakubwa ambao wanaona dunia yote ni ya kwao,shenzy

    ReplyDelete
  104. Kwa kweli Michuzi unanishangaza mno - hilo jambo la huyo dereva wa dala dala umelishikia bango mno - KWA KWELI IT SERVES HIM RIGHT. Hao madereva wa dala dala wakishirikiana na makonda wao wananyanyasa sana wanafunzi jamani. Two weeks ago - mwanafunzi kakanyagwa na gari na kufa papo hapo tena mbele ya macho ya mdogo wake - wakienda shule - je hilo hamlifikirii jamani - au kisa huyo kapigwa risasi na mkuu wa mkoa?? Just think about it JAMANI - afadhali hata huyo dereva ameishi kuona watoto wake - je yule mtoto aliyekuwa awe taifa la kesho??? THIS IS BULL SHIT - kwa kweli hao madereva na ni BADO.Huo ni mfano tu.

    ReplyDelete
  105. Michuzi nina wasiwasi wengi wa wanablog yako wanajua kusoma na kuandika tu na wala siyo waelewa (hata kama watajibu kwa kujifanya ni waelewa). Mwanzoni kabisa ulipotoa taarifa ya maandishi uliwaeleza wakati wakutoa maoni yao wazingatie kuwa hii kesi iko mahakamani, lakini sasa wanablog wako ndio waendesha mashtaka, mashahidi, majaji nk. Kwa kufanya hivyo watambue hawamtendei haki Marehemu Hassan na Bw. Ditopile pia. PILI: Wengi hatilii maanani wazo zuri la kusaidia familia ya marehemu badala yake kutoa matusi na maneno ambayo hayasaidii lolote, isitoshe hii blog inasomwa na watoto wengi wa marika mbalimbali tunatakakuwaeleza nini. Kama huna jambo la msingi toa salaam zako za rambirambi kwa familia ya marehemu then endelea na kazi za kujenga familia yako. Tutuitumie hii blog kuelimishana zaidi. Nawapongeza wale wote waliochangia vizuri. Isaac - Dar es Salaam

    ReplyDelete
  106. Watanzania tuwe makini na tutafakari developments zifuatazo:

    1. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda ya DSM aongea na wandishi wa habari na katika taarifa yake anaeleza kuwa Mheshimiwa DITTO alikuwa anagonga dirisha la daladala kumuamuru dereva ashuke mara risasi inafyatuka na kumpiga dereva huyo kichwani na kumuua. Hii inaashiria bahati mbaya na mheshimiwa kama aliuua basi hakukusudia.

    2. Mheshimiwa Ditto ANALETWA mahakamani ndani ya baloon. .... Muuaji apewa VIP treatment.

    3. Ditto's gun goes missing. Sasa hapa jamaa tayari imewekwa kuwa hakuwa na silha kwenye tukio. Sasa nani alimpiga risasi dereva? Ni mtu mwingine yeyote aliyekuwa na bastola mahali hapo na ni juu ya mupande wa mashitaka kuthibitisha kwamba Ditto ndiye aliyefanya hivyo! Pengine dereva alijigonga kwenye usukani wa gari lake akapasuka kichwa! Ama dereva alijilipua mwenyewe baada ya kugundua kuwa amegonga gari la mheshimiwa R.C.? Proof inatakiwa hapa kumtia hatiani mheshimiwa!!!

    4. Mheshimiwa DITTO anajiuzuru na President anakubali OMBI lake. Pamoja na kukubali JK anampongeza kwamba kitendo chake ( KIPI.. kuua ama kujiuzuru? ) ni cha kizalendo na ameifanyia nchi yetu heshima kubwa na inadhihirisha nchi jinsi inavyoheshimu utawala bora wa kisheria!

    Rais umechemka hapa. Pamoja na kujiuzuru kwa R.C. wako nafikiri ungemfukuza kazi badala ya kukubali kujiuzuru kwake. Hapa serikali imepokonywa wajibu wake. Kitendo ckako cha kukubali kujiuzuru ni political calcualtion kumlinda swahiba wako na zaidi unatuma message muhimu kwa vyombo vyako vya dola kulishughulikia suala hili katika muellekeo ambao umkwisha kuuweka sasa.

    Na kwa Mheshimiwa Ditto, hesabu zako ni mbovu.hutafanikiwa kama Mzee rukhusa ambaye alijiuuzuru Uwaziri wa Mambo ya Ndani baada ya vifo vya mahabusu kule Shinyanga na baadaye kuukwaa URAIS kwanza wa Zanzibar na baadaye wa Jamhuri ya Muungano.

    By the way Ditto umeleta misiba mikubwa siyo kwa wafiwa tu bali mademu zako huku nje wna hali mbaya sana. Wapo wanaochekelelea kwani wao siyo wajamaa wazuri na wangeaafiki kushare bwana mabibi kibao! Na wapo wanaoomboleza kwani wanakosa majambozi yako na wengine misaada yako finacially na wengine kwa kutumia postions zako mbali mbali walifanikiwa kwa namna mbali mbali kama vile kupata ajira, nyumba na kadhalika.
    SALI SANA KAMA JK ALIVYOKUSHAURI NA IKIWEZEKANA MPOKEE BWANA YESU SASA. MUNGU NI MWINGI WA HURUMA ATAKUSAMEHE NA KUKUSAIDIA!!!!!

    ReplyDelete
  107. Poleni sana familia ya marehemu, sisi watanzania tunaomba haki itendeke.

    ReplyDelete
  108. Lakini ni kweli madereva wa daladala wanamauzi sana, tunaomba wajirekebishe wanapokuwa barabarani ama Dito watakuwa wengi!

    ReplyDelete
  109. Ditopile amechezea wake za wanyamwezi kama alivyokuwa amezoea pale kinondoni wanyamwezi wakamutoa baruti akakimbilia kwenye kijiwe chake bila kujua kuwa kwa nini wale jamaa wakaitwa wanyamwezi. Dito wale siyo wazalamo uliozoea kuwatania masikini hata bagamoyo hajafika, hata hao aliowachezea hajarudi kuwaaga.

    Bye mzee dito tutamiss maneno yako ya umbea.

    ReplyDelete
  110. Madereva wa daladala wanaboa jamani, acheni wapate fundisho. WANAKERA MNO, MIMI SIWAPENDI KABISA NINGEKUWA NA UWEZO WOTE NINGEWANYWESHA SUMU!!! Wanaendesha hovyo barabarani utadhani barabara ni yakawao peke yao! Walishanigonga sana, acheni wapate fundisho, ingawa namuonea huruma kaka dito kwa kitendo cha kiutumia silaha yake vibaya, lakini all in all wanaboa hawa watu, kwanza wana kauli mbaya sana!!!

    ReplyDelete
  111. MBONA MHS RAIS HATUJAMSIKIA KUTOA RAMBIRAMBI NA KUHUDHURIA MAZISHI AU NDIO KAMPENI ZA KIJANJA MAANA VIONGOZI WETU WANALINDANI KWANI HATA IKICHEMSHA KWENYE UONGOZI TUNAZIMWA KWA MUDA FULANI HALAFU UTASIKIA MTU HUYO KAPEWA WADHIFA MWINGINE TUMECHOKA SASA NA HAO VIONGOZI AMBAO MUDA WOTE WAPO TUUU WANAHARIBU WANARUDISHWA UTADHANI TANZANIA HAKUNA WASOMI ILA WAO TU

    ReplyDelete
  112. haki ya nani kesi hii haihitaji muda mrefu maana ushahidi uko hadharani, cha msingi ni kupanga tarehe ya hukumu tu. tena apelekwe guantanamo maisha yake yote, na mwenyezi mungu amjaalie ugonjwa wa joto kali, njaa, kiu, mbu, hakuna maji nk... nk.. kwa maisha yote huko gerezani. Amina

    ReplyDelete
  113. pamela i love you so much i cant wait to see you in your wedding gown,stunning and unique.let people say what they feei but at the end of the day ua the winner.all the best.

    ReplyDelete
  114. hivi kweli ninyi mnaosema eti tusijajai ,tusubiri mpaka mahakama imjajaji mheshimiwa Dito kweli ninyi mnashangaza .murder ni murder tu au manslaughter ni manslaughter tu mbona huyo Dito pamaoja na hadi yake yote alishindwa yeye kuruhusu sheria ifuate mkondo wake hatimaye akaamua kujichukulia sheria mkononi? na kupoteza maisha ya kijana mwenzetu?
    hakuna mtu aliye na haki ya kuua mtu mwingine ,maisha ya mwanadamu haywezi kulinganishwa na bei ya dhahau,almasi.mafuta ,tanzanite au thamani ya hilo gari ambalo inasemekana marehemu aliligonga
    Technically hakuna excuse yoyote ya kumpamba muuaji Dito ,ameua ameua.na hiyo si kwa watu wakubwa tu hata mlala hoi akiua ameua tu hakuna jambo la kuremba au kukava kwa lugha yoyote
    Teana mimi nashangaa kwamba kwa sababu zisizo wazi au sijui ndio mambo ya semantics hayo eti baadhi ya vyombo vya habari vimeandika dito atuhumiwa kuua mtu hatuumiwi muuaji amabaye kwa kila corner na uwazi kabisa na hata yeye mwenyewe anafahamu kuwa ameua na mtu akafa pale pale kwenye tukio
    AMEUA AMEUA TU.TUMWOMBE MOLA AIJAZE FAMILIA YA MAREHEMU NGUVU NA MATUMAINI HASA KTK KIPINDI WALICHOONDOKEWA NA MPENDWA WAO KIJANA MWENZETU MAR MBONDE.AMIN
    NAOMBA NIFAHAMISHWE KAMA KUNA UTARATIBU WOWOTE UMFUNGULIWA ILI KUWEZA KUISAIDIA FAMILIA YA MAREHEMU

    ReplyDelete
  115. Ni changamoto kwa majaji kuonyesha kuwa Shule walizosoma ndio zile zile wababe wa Scotland yard wamepitia.Tutavijua vichwa vya majaji wa nchi hii kama vina maji na ni uchwara au viko fit kwa jinsi watakavyoamua kesi hii.Majaji kazi kwenu.Kesi hii ni muhimu kwenu mno.Mkichemka tutazomewa na majaji wa nchi zingine.Sababu kuna uwezekano wa Majaji wengine wa nchi nyingine kuombwa na wapigania haki waifanyie study case hii.Huu ndio wakati wa kuonyesha kuwa kweli majaji wameenda shule ya sheria na si shule za siasa au porojo.Kuna majaji watapanda hadhi au kushuka hadhi kutegemea na uamuzi wao kwenye hii kesi.Kila jaji awe makini.

    ReplyDelete
  116. pamella lowassa ni mzuri sana na nio kipenzi cha babake sana nasikia babake hakohoi kwa mwanawe,harusi inafanywa kama pamella anavyotaka na sio vinginevyo.mambo ya pm hayo.kamati kuna olenaiko ndani,wamasai wote wa mjini wenye hella zao.mbona ya lusajo cha mtoto.ohhhhhh

    ReplyDelete
  117. jamani ditopile umenuka sana hapa tz nafikiri unajuta kilichokuleta dar,nasikia ulikuwa na totoz kwenye gari unaenda kuponda maye raha.laana hiyo .utalijua jiji na mitaa yake dito ,mungu hadhihakiwi kwa uumbaji wake ,uso na hayab baba mzima unaua,koma we.

    ReplyDelete
  118. dereva wa madaladala nao wamezidi ubishi barabarani mno,nao wanatakiwa wajifunze kwa haya yaliyotokea,ila kutoa mtu roho nayo hairuhusiwi nidhambi kubwa sana.

    ReplyDelete
  119. mzuzuri nakuonea huruma hivi huyo mganga wako wa bagamoyo bado yupo??kama yupo mwambie afanye kazi ya ziada manake unaangamiaa baba.najua mambo ya kalumanzila wewe ndio mwenyewe nakuaminia.fanya mambo mjomba.

    ReplyDelete
  120. JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia mtoto wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. William Mungai (36), kwa tuhuma za kutishia usalama wa raia kwa kufyatua risasi ndani ya ukumbi mjini Mafinga wilaya ya Mufindi.

    Ilielezwa kuwa mtoto huyo ambaye pia aliwahi kufanya kazi Benki Kuu ya Tanzania na baada ya hapo kwenda nje ya nchi kwa shughuli zake binafsi, alirejea mkoani hapa na kuendelea kufanya shughuli za kibiashara.

    Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, inadaiwa siku ya tukio mtuhumiwa huyo alifika katika ukumbi wa John's Corner, akiwa na mwanamke na baada ya muda mwanamke huyo alitoweka katika mazingira ya kutatanisha, hali iliyomfanya kijana huyo kumtafuta bila mafanikio.

    Ilidaiwa kuwa kwa kuwa alikuwa amelewa pombe aliamua kuchomoa bastola yake mfukoni na kufyatua angani ili wale waliomficha mwanamke huyo wakimbie.

    Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Bw. Mohamed Mbwana, alithibitisha jana kukamatwa kwa mtoto huyo wa Waziri Joseph Mungai na kusema kuwa tukio hilo lilitokea Novemba 3 mwaka huu saa 6 usiku.

    Kamanda Mbwana alisema kijana huyo ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa mjini wa Mafinga, baada ya kufyatua risasi moja kwa bastola yake hali iliyosababisha watu waliokuwa katika ukumbi huo kutawanyika ili kuokoa maisha yao.

    ReplyDelete
  121. Unajua kwanza ndio maana suala zima la maendeleo katika nchi zetu linakuwa kitendawili kwa sababu viongozi wamekaa muda mrefu wakiwa viongozi na kuwa professional viongozi.

    Hili la dito ni mfano mmojawapo wa mifano hii ya professional viongozi wamelewa madaraka kiasi kwamba anafikiri kuwa anaweza kuua mtu kama ndege.

    Lakini angelikuwa anajua kuwa wananchi wana nguvu na huwezo wa kumuondoa madarakani hasingefanya kitendo kama hiki.

    Haya aliyoyafanya yanaweza kufanywa na viongozi wengi tanzania. Viongozi wengi tanzania wanadharau wananchi vibaya sana. Kwa sababu mojawapo ni kwamba wananchi hawana lolote wanaloweza kuwafanya katika kazi zao wanazopewa na wakubwa wao kama asante.

    ReplyDelete
  122. mchumba wa pamella lowassa yaani siyoi jeremia sumari hongera sana kwa kupata mtoto mzuri kiasi hicho.all the best in your future.mungu awatangulie katika ndoa yenu.

    ReplyDelete
  123. HATA KAMA SILAHA ILIYOTUMIKA,KUFANYA MAUAJI IMEPOTEA BADO MSHATAKIWA KAMA ANABISHA KWAMBA HAIKUWA YAKE ATAAMBIWA ALETE YA KWAKE MAHAKAMANI KWA UCHUNGUZI.AU RISASI ILIYOMUUA DEREVA INAWEZA KUTUMIKA KUTHIBITISHA SILAHA ILIYOTUMIWA.

    LAKINI HILI JAMBO KAMA AMELIFANYA ATUBU KWA MUNGU NDIO SALAMA YAKE NA SIO KUANZA KUTAFUTA NJIA ZA KUKWEPA.

    ReplyDelete
  124. blogu hii inanifurahisha sana ina mambo yanayoleta raha sana,mpaka kujua habari za watoto wa wakubwa kama akina pamella lowassa ni vitu vinafurahisha jinsi ambavyo bongo watu wanapenda ustaaa.nawashangaa sana watoto wa wakubwa ambao hawapendi kutulia kila kukicha wanapenda kuanikwa mbona hamtulii jamani.mbona watoto wa mzee mwinyi hawajisikii kuanzia dr mwinyi na wadogo zake wote,mimi nawafahamu vizuri sana wametulia sana,hata kama yuko mkorofi ni moja ya mia,hongera mzee rukhsa.

    ReplyDelete
  125. Big UP DITTO, wakome kabisa..!!!!

    ReplyDelete
  126. Poleni wafiwa

    ReplyDelete
  127. Michuzi naomba ututumie picha za CYNTHIA MASASI huu msiba umekwisha tikea na Dito yupo kwenye mikono ya sheria GUYS LETS MOVE ON....!Mzee Michuzi naomba picha zaidi za TAUSI NA MREMBO CYNTHIA MASASI NINAMUHUSUDU huyu dada kupita kiasi nadindisha kila mara ninapoona picha yake niko mbali kidogo na Atlanta siunajua siunajua tena ubusy wa Maryland mzee michuzi?

    ReplyDelete
  128. Naungana na familiya ya marehmu mbonde,mungu atawasaidi na haki itatendeke.
    Hivi kweli huyu dito ni kama mwehu yaani mtu mzima tena mwenye wasifa wa mkuu wa mkoa kweli unakuwa kama mwindaji wa wanayapori,.kweli natamani ningekuwa katika viombo vya sheria nimmalize kabisa,yaani aungane na sadamu husen,hakuna kusema anaumwa kisukari wal kichumvi mambo hazarani kitanzi tuu au ashutiwe mbele ya famili yake waone uchungu kama walioupata familia ya marehemu.MRS AHMED

    ReplyDelete
  129. ditopile umeua jamani??mungu wangu hivi unajisikiaje ukikumbuka damu ya yule dreva??huoti usiku??au huoni majinamizi usiku??pole sana.muombe mungu akuangazie bila hivyo shetani atakumaliza walah

    ReplyDelete
  130. dito au hukuwaaaga vizuri wazee wa tabora wakati unakuja dar???au umewachokoza??mpaka wakakuambia we nenda ila hutorudi hapa hebu fikiria,manake hapa ni mjini bwana masangoma wanatofautiana sana,inaelekea kule tabora umechukua mke wa kalumanzila akakutegeshea,sasa kazi huna ,ni jobless ,fanya sala sana.

    ReplyDelete
  131. mama yangu weeeeeeeeeeeeeeeeeee dito hivi umekuwaje wewe??umeumwa wazimu au kichaa,kweli za mwizi ni arobaini,umetoa uhai wangapi kwa siri na hiyo bastola??sasa umeona ufanye hazarani kama akina rambo,au ulikuwa unaact movie??

    ReplyDelete
  132. Kwako Kaka Ditto,

    Habari za siku nyingi, ni matumaini yangu umeanza maisha ya rumande kwa ukakamavu, kwanza pole sana kwa kukutwa na hilo dhahama, kiswahili ni kigumu naogopa kusema kuwa umetuhumiwa kwa mauaji wakati ni jambo la wazi kuwa umeua lakini sipendi kuingilia lugha ya mahakama maana ni lugha ngumu na 'learned colleagues' tu ndio waijuayo. Katika utaratibu huu huu naomba kutoa pole kwa wafiwa waliondokewa na ndugu yao. Na pole sana kaka Ditto kwa mauaji ya kisiasa yaliyokukuta. Maana sidhani kweli baada ya hili una nafasi yeyote kisiasa nalo hilo ni kubwa vile vile, juu ya tuhuma zilizokuweka mikononi mwa sheria.

    Baada ya dibaji hiyo Kaka Ditto, naomba nikueleze kuwa umetubebea mzigo mkubwa sana mabegani kwako hukumu itakayotoka mahakamani itakuwa ni hukumu kati ya wananchi wenye hasira barabarani na madereva wa dala dala. Madereva wa dala dala wametuua, wametugonga na kufanya vurugu zoote barabarani, fani ya udereva katika mji kama dar sasa imekuwa si jambo la heshima tena, kiasi kuwa mtu akisema unaendesha gari kama dala dala imekuwa kama amekutusi vile. Huku barabarani bastola zimeshatolewa katika mapambano kati ya madereva wa kawaida na madaladala, na wenyewe madereva wa daladala washapigana nondo za kichwa mara kwa mara.
    Je ni kweli haiwezekani daladala zikaendeshwa bila vurugu? je ni kweli tunaangalia watu wangapi washapoteza maisha kwa uendeshaji ovyo wa madaladala? je uhai uliotoka njia panda ya kawe una tofauti gani na roho nyingi zilizopotea katika barabara zetu za dar? kwa nini madereva wote wapita njia watozwe ubani 'kuomboleza' kifo cha dereva mwenzao?. Je sheria iko wapi katika nchi inayodai utawala wa sheria !?. Wakati sheria inatakiwa kuchukua mkondo wake ikuhukumu kwa kosa ulilolitenda, ningependa kuchukua wakati huu kuwakumbuka marehemu wote waliopoteza maisha yao kwenye mikono ya madereva wa daladala. Nadhani wakati umewadia tuanze kuangalia jinsi ya kurudisha 'sanity' kwenye barabara zetu ama sivyo milio ya risasi itaongezeka barabarani. Nawaombeni radhi wale ambao mtakuwa mmekwazwa na ujumbe huu kwa kaka Ditto.

    wasalaam,

    ReplyDelete
  133. Wewe rose na Anony hapo juu ya rose, ndio madereva wa daladala wanakiuka sheria sana tu na wanatuudhi, but hiyo siyo justification ya kuwauwa. Jiweke ktk shoe za mke wa Marehemu, wewe rose ungelaumu mumeo kwa kukiuka sheria au ungemlaani muuwaji. Msiongee tu for the sake of kuongea, think it over before pouring your brains out. Capiche!

    ReplyDelete
  134. mimi huwa kuna vitu vinanipa wasiwasi sana. Kwanza watanzania wengii mimi nikiwemo si proactive bali ni reactive.Ni sisisisi ambao tunawajenga hawa wapuuzi hadi kufikia sehemu ambapo wanaona kila kitu ni haki kwao, af likitokea tatizo kama hili tunareact kana kwamba tulikuwa tunategemea huu uozo kutokea(hindsite bias)wakati muda wote tulikuwa kimya na tunasifu kaka dito,kaka dito..tukiwaacha wanafanya wanavyotaka. Mbili,wasiwas wangu una zidi kuongezeka ninavyosikia kuwa huyu ni mtu wa karibu wa rais wetu na alkuwa bestman wake.uoga unazidi nikifikiria kuwa urafiki uwaga unaendana sana wakati mwingine na watu wanaoshahabiana muonekano, lakini nzuri, mbaya kwa hii case ni kwa wale pia wanaoshahabiana kimawazo na pia kiakili.Huwaga si mtu wa kupenda kuconclude mapema, lakini nikitumia huu mtazamo ninaanza kuingalia tena kesi ya babu seya kwa mtazamo mpya, kweli nimeamini lisemalwo lipo!. Tatu, najua kuna vingozi wengi tumewasifu, na tumewakashifu, lakini nimegundua uozo wa wale ambae wamekuwa wakikashfiwa kabla, haufikii ya wale ambao watu walikuwa kimya juu yao, hau ya wale baadhi ya wajuu wanaosifiwa sana( nafkiri mnanielewa!). Wasiwasi unataka kuniua ninapofkiri ipo siku watafanya zaidi ya haya na tutabaki tunashangaa na kusema tulijua wakati sio. Unajua sio siri mwanzoni nilikuwa naona watu wanaotoa maoni kukosoa wengine ni wazushi, lakini sasa nimeona umuhimu wa kukosoa watu hawa wanaotishia hali yeyote ya kijamii as ni njia ya kuwa proactive kwani wakijua watu hawapendi na wanajua watapunguza uozo wao. Hivyo napenda kutoa pongezi kwa watu wote waliokuwa wanakashifu upumbavu na uozo wa watu na naomba msamaha kwa mtazamo wangu wa kabla, kuanzia leo tuko pamoja. Kutokana na mwamko wangu huu mpya nadhani ingefaa hata kuanzisha blogu ya kuwaanika adharani na kuwapaka viongozi, watu, na vitukuu vyao ambavyo vinatishia value katika jamiii yetu. Hii nafkiri ni njia ya kuzuia uozo katika jamii( hata katika criminology kuna policy ya crime controll inayoitwa zero torelance ambayo inasema kuzuia uhalifu mdogomdogo ni njia nzuri ya kuzuia uhalifu mkubwa).kwa hiyo naomba mawazo yenu wanabogu

    ReplyDelete
  135. wako wapi hao viongozi na wake zao waliokwenda kwenye mazishi ya akina walter na Vonetha?? Mbona hatukuwaona kwenye mazishi ya dereva wa daladala au kwa kuwa ni mlala hoi?

    ReplyDelete
  136. wewe anony hapo juu kweli umeongea ukweli na mbali na viongozi je wale waliojipendekeza kwenda kwa vanetha na wolta au kwasababu walikuwa usa,watu walijipendekeza kwasababu ya msosi sio mazishi wengine michuzi mwanaume anafanya vitu kwa kujituma angalia leo huku kesho huku

    ReplyDelete
  137. WABONGO WENZANGU.... MAONI MENGI YANAONEKANA KUELEMEA UPANDE MMOJA, PIA KUTOKUJUA HASWA KINAGAUBAGA KWANI WOOOTE HATUKUWAPO ENEO LA TUKIO HIVYO MAPAMBANO HAPA NI KWA KUWA MTU ALIKUFA NA ALIYEUWA NI KIONGOZI WA NCHI...ALIYEAMUA KUWA NINJA. KUSEMA HIVYO SIO KWAMBA NAFURAHIA KITENDO CHA MUUAJI LA!! ILA NAUNGANA NA WATANZANIA WENGINE WANAOOAMINI KUWA MHESHIMIWA KAMA YEYE ALIKUWA NA UWEZO WOOTE WA KUPIGA SIMU POLISI NA KWA SABABU BONGO TUNAIJUA WANGEFIKA PALE NDANI YA DAKIKA.... LAKINI AKAAMUA KUONYESHA KUWA NA YEYE NI MTOTO A MJINI PIA NA KWAMBA HAFANYIWI KIBURI. TUACHANE NA HIYO KWANI KAUWA TUU !!!!

    TURUDI KWENYE MAHAKAMA YETU TUKUFU... JE HAKI ITATENDEKA AU NDIO TUTASIKIA DITO KAACHIWA KIMYA KIMYA NA KAHAMA NCHI NA FAMILIA YAKE???? JEE KAMA ATAHUKUMIWA KUNYONGWA TUTARUHUSIWA KWENDA KUSHUHUDIA ILI TUJUE KANYONGWA HADI KUFA??? JEE AKIHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA TUTAFANIKIWA KUJUA YUPO GEREZA GANI NA HAPEWI SPECIAL TREATMENT..??? JEE TUTAMUONA AKIFANYA KAZI MITAANI KAMA WAFUNGWA WENGINE WANAVYOKWENDA SAFISHA NYUMBANI KWA MAAFISA????

    POLE NYINGI KWA FAMILIA YA WAFIWA NA MUNGU AWAPE NGUVU YA KUMUDU MAISHA BILA MWANAWAO NA KAMA KAWAIDA WASITEGEMEE CHOCHOTE TOKA KOKOTE KWANI NDIO HALI YA MAISHA - WAJITAHIDI TUU KUJIJENGA BILA KUTUMAINIA MSAADA KWA HILI KWANI ZITAKUWA NI AHADI TUU.

    ReplyDelete
  138. Gazeti la Amani la leo Alhamisi linaripoti kuwa Abasi Mbonde ambaye pia ni dereva daladala kama yule Mbonde aliyeuawa na Ditopile amepigwa risasi na majambazi Mbagala,Temeke jana jumatano na kujeruhiwa.Hawa akina Mbonde wiki hii wana nini mbona risasi zinawaandama sana?

    ReplyDelete
  139. nashukuru kwa yule aliyesema upuuzi wa viongozi wetu. Unajua nchi kama tanzania tunaendelea kuwa nyuma kwa sababu ya viongozi wapuuzi wasiopenda kubadilika kama dito, wako wengi sana wa namna hii. Na ndio maana wakipata madaraka siku hiyo na watoto wao wanafikiri kuwa wamekuwa viongozi.

    Hawawezi kwenda na wakati, ndio maana ka nchi pamoja na rasilimali zote bado tunaendelea kuomba misaada kila kukicha na misaada hiyo asilimia kubwa inaishia kuwakarabati viongozi wasiokuwa resåponsible. hicho dito alichokifanya ndicho anachoweza kufanya wakati amepewa msaada kama mkuu wa mkoa kusaidia wananchi. Viongozi wa namna hiyo wako tayari kuonyesha ubabe wao na kuwapiga risasi wananchi wote wanaotaka kuwachallenge.

    Tanzania eti tulimkimbiza nduli iddi amini kwa sababu alikuwa anaua watu wake je dito amefanya nini. Ameua mchana kweupe halafu nasikia serikali inapata kigugumizi badala ya kumfukuza kazi eti anajifukuza kazi. Nilitegemea mara tu baada ya kufikishwa polisi raisi anamfukuza kazi sasa anasubiri mpaka eti dito tulitegemea yuko segerea kwenye mikono ya afande tiba eti awe tena mkuu wa mkoa.

    Hapo ndipo nashangaa eti watu wanafurahia kajiuzulu wakati tayari yuko rupango siwaelewi kabisa.

    ReplyDelete
  140. Nawaomba waandishi wa habari wapekuzi (investigative jounaliists) watafute majibu ya maswali yafuatayo (habari hii is good for a movie script):

    Eti, tunaambiwa bastola ya Pisii Dipo haionekani! Je, ni kweli?

    Je, kulikuwa na bastola ngapi zilizoonekana hapo ajalini?

    Je, Pisii Dipo alimpa mwenzanke bastola yake?

    Je, Pisii Dito aliondoka hapo ajalini saa ngapi!

    Je, alipitia barabara gani?

    Je, kuna uwezekano kaitupa vichakani bastola yake?

    Je, bastola hiyo likuwa na leseni?

    Je, pengine ni ya kijeshi, kaisogeza kutoka jeshini ndio maana kaitupa isimuumbue?

    Je, Pisii Dipo alikuwa likizoni ama kikazi?

    Je, alikuwa nje ya kituo chake cha kazi kisheria?

    Je, ma-Pisii wenzi wa Mikoa ya Pwani na Dar walikuwa na habari ya ziara ya Pisii mwenzao katika mikoa hiyo?

    Je, Ofisi ya Pisii Dipo iliziomba ofisi za ma-Pisii wenzi apewe ulinzi ki-usalama?

    Je, gari lake lilikuwa na insurance? Manake insurance ingeweza kudhibiti matengenezo bila mauaji.

    Je, daladala ilikuwa na insurance? Manake insurance ingekidhi matengezo hayo.

    Je, Pisii Dipo alikuwa na selula?

    Je, Pisii Dito alim...(au waliokuwa naye)wali...pigia nani kwanza baada ya ajali?

    Je, aliwahi kumtaarifu Waziri Mkuu Lowa?

    Je, Waziri Mkuu Lowa ndie alimwagiza Pisii Dipo kujisalimisha kwa Afande Tiba?


    Je, alifika kujisalimisha kwa Afande Tiba saa ngapi?

    Je, alikwenda kuarifu ama kujisalimisha asije akauliwa na umma?

    Je, pengine, marehemu Mbonde kafunga kioo cha dirisha kwa kuogopa kuwa alikuwa anakabiliwa na jambazi?

    Je, kuna uwezekano kwamba ujambazi wa wizi na uporaji mali mwingine hufanywa na ninja vigogo/wakubwa kwa kizingizio kuwa wako innocent baada ya kutwaa bounty? Ni rahisi kwao kusafirisha bounty!

    Bye for now.

    ReplyDelete
  141. KILA MTU ANA HAKI YA KUTOA MAONI YAKE - AU SIO? MBONA MNATUKANANA? HAPA KUNAFUNDISHO NA NI VIZURI TUTUMIE NAFASI KAMA HII BLOG KUULIZANA, KUELIMISHANA, KUJADILI, N.K.

    KITENDO ALICHOFANYA DITOPILE NI KIBAYA - KILE KITENDO. SABABU ZILIZOMFANYA AFANYE HICHO KITENDO NI KERO ZA MADEREVA WA DALADALA - DEREVA YEYOTE ANYEISHI DAR ANAFAHAMU HILO. WANGAPI TUNAHAMU KUWATWANGA HAO MADEREVA. MTOA MAONI MMOJA ANASEMA DITOPILE ANGEWAPIGIA SIMU POLISI - POLISI? UNAISHI WAPI NDUGU YANGU? KWANI HIZO DALADALA ZENYE MADEREVA WENYE JAZBA ZINAMILIKIWA NA NANI?

    KINGINE NDUGU ZANGUNI TUSIWE NA HARAKA - DITOPILE AKIPATA MWANASHERIA WA MAANA ANAWEZA KUEPUKA NA SENTENSI YA KIFO - KWANI ANAWEZA KUDAI LEGAL INSANITY.

    UPANDE MWINGINE HATA AKIPATA SENTENSI YA KIFO, MNADHANI KWELI RAIS KIKWETE ANAWEZA KUTIA SAHIHI RAFIKI YAKE ANYONGWE? KWELI? HATA INGELIKUWA WEWE....

    MWISHO WA YOTE, NI MUHIMU WAZIRI MHUSIKA NA MASWALA YA USAFIRI KUWACHUKULIA HATUA KALI DHIDI YA MADEREVA WA DALADALA - DITOPILE NI MWANZO TU NA MADEREVA WASIPOJIREKEBISHA, KUTAIBUKA FUJO - TUJIFUNZENI TOKA KWA WENZETU - EMBU WASELA MLIOKO MAREKANI, TUAMBIENI VIFO VINAVYOTOKANA NA ROAD RAGE NI VINGAPI HUKO?

    NA SASA HIVI UKIANGALIA TZ, WATU WAMEKUWA AGGRESSIVE DRIVERS - INATISHA WAJAMENI...

    ReplyDelete
  142. Weye born again pagan, unamaanisha nini unaposema Pisii. Au bado unakumbuka enzi za mkoloni. Hawatu siku hizi wanaitwa RC au basi kwa lugha yako arasii lakini siyo pisii. acha kujiyeyusha

    ReplyDelete
  143. Taarifa zinaonyesha bwana dito yupo Muhimbili kwa matibabu na sio selo tena

    ReplyDelete
  144. Grrrrrrrrrrrrrrr,inauma jamani.
    Grrrrrrrrrrrrrrr,huyu mzee nadhani hana busara.

    Grrrrrrrrrrrrrr,Riafanda rimemuachia tu,aritakiwe apatiwe rigwaride kwanza

    Grrrrrrrrrrrr,ririkuwa rinakwenda wapi,na ririkuwa na nani kwenye gari.

    Grrrrrrrrrrr,wnawake wanchanganya,riritaka sifa kwa rikidosho rake arirokuwa naro kwenye rigari.

    Grrrrrrrrrrrr,hiro ripurado rikowapi,rabuda arihongwa rushwa


    Grrrrrrrrrrrrrrijambazi hiro,huko Tabora rimekiba madhahabu migodini


    Grrrrrrrrr.nasikia rinarara nyumbani,asudbuhi wanarirudisha sero

    Grrrrrrrrrrr,hongera Mwema kurikamata,ringekuwa rimahita ringetukana wananchi

    Hata riripokuja kwetu kuomba kura rikatuigiza,ngoja rikihamishiwa ukonga nitarisubiri kwa hamu


    \grrrrrrrr,rikrikuwa ribunge retu ra huku ukonga,reo ritakuwa riteja retu.

    ReplyDelete
  145. Good stuff mates,keep in discussing bthe issue critically

    ReplyDelete
  146. Simtetei Brother Ditto, lakini nauliza kuwa mbona dereva wa daladala akivuta mabangi yake na kutumbukiza basi mtoni likauwa watu 10 kelele haziwi nyingi namna hii? Au abiria huwa hawana ndugu au watoto wanaowaacha kuteseka? Kwa nini hawa hawapewi ubani na serikali au basi japo fidia na Bima? Naomba tuwe na mtizamo chanya, tuache personalization na tuiachie mahakama ifanye kazi yake. Ditto sasa ni Ditto, sio RC tena!

    ReplyDelete
  147. ISITOSHE - ATI SASA MADEREVA WA DALADALA WANABEBA MAPANGA ILI WAWEZE KUJIHAMI - BASI MMOJA WA HAWA MADEREVA SI AMEMKATA JAMAA ARUSHA KISA KAMPIGIA HONI? TWENDA WAPI YARABI? HEBU MICHUZI TUPE DATA - JE NI KWELI HAYA?

    ReplyDelete
  148. JAMANI SASA HIKI KIFO CHA HUYU DEREVA KIMEKUWA ISHU! KILA MTU NTAKUDITO, NTAKUDITO! TWENDE MBELE TURUDI NYUMA, MADEREVA WA DALAALA WANABOA! KILA KUKICHA WANAZIDISHA JEURI NA KIBURI, WANAPITA BARABARANI UTADHANI WAO PEKEE NDO WANA HAKI YA KUENDESHA MAGARI, WAO NDO WANA HARAKA KWA HIYO KUCHOMEKEA KAMA KAWA! KWA KWELI WAMEPATA FUNDISHO, NA WAKOME!! DITO KWELI KAFANYA MAKOSA LAKINI SI YEYE TU MWENYE HASIRA, WATU WENGI HUWA WANATAMANI WASHUKE KWENYE MAGARI YAO WAWASHIKISHE ADABU HAWA WAPUMBAVU WANAOENDESHA MADALADALA! WANABOA SANA JAMANI, WATANZANIA FUNGUENI AKILI ACHENI KUTETEA UPUMBAVU WA MADEREVA WA DALADALA! SIWAPENDI KABISA HAO WATU JAMANI!NA MSIWAPE KICHWA KWA TUKIO LA DITTO, LILE LIKO MIKONONI MWA SHERIA! NA SIO LAZMA JK AENDE KUWAPA POLE WAFIWA, SI KANUNI YA NCHI! JE ANGEKUFA KWA AJALI?? ACHENI FIKRA POTOFU! JENGENI NCHI!

    ReplyDelete
  149. BIG UP DITTO, DALADALA DRIVERS WANAGEUKA WANYAMA WANAPOINGIA BARABARANI, WANAUWA KILA KUKICHA. HILI NI SOMO KWAO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...