Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.



 

Wednesday, May 31, 2006
magesse

miss tz 2001 alikuwa happiness magesse ambaye kama saida kessy, basila mwanukuzi na hoyce temu, alizawadiwa dari
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 30
jumba la ajabu

jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
jumba la ajabu

jukwaa wazi la ngome kongwe lionekanavyo toka jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

jukwaa wazi la ngome kongwe lionekanavyo toka jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

mandhari toka kibaraza cha jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

picha ya sultani bargash na kiti ckae cha enzi na vito alivyokuwa akitumia
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

picha ya sultani bargash na kiti ckae cha enzi na vito alivyokuwa akitumia
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

magari alokitumia rais wa kwanza wa zanzibar mzee abeid amani karume yamo jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
jumba la ajabu

jumba la ajabu zenj liliitwa hivyo sio tu kwa kuwa na umeme na taa zilizolifanya ling'ae usiku, bali pia ndilo jumba la kwanza kuwa na lifti afrika mashariki
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

sebule la jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu


lango kuu la jumba la ajabu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
jumba la ajabu

jumba la ajabu kwa mbele
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jumba la ajabu

dirisha la mbele jumba la ajabu zenj ambalo sasa ni makumbusho kuu
 
© Michuzi | Wednesday, May 31, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
Tuesday, May 30, 2006
wanawake wa shoka


wanawake wa shoka bongo: saida simba kilumanga (wima) na dada asha wa baraka. asha anafanya barrick gold na dada asha anafanyakazi bima na pia anaendesha bendi za twanga pepeta - international na chipolopolo
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
nakivubo

hapa ni nakivubo, kampala, mwaka 1993 klabu bingwa afrika mashariki na ya kati. wenye ubavu tupeni majina tafadhali
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 21
msondo ngoma

nuta jazz oktoba 30, 1970. f.mtimkubwa hebu tupe listi hiyo bwana. uko kimya mno!
au ndio mambo ya samataimu tena...
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
kigoma

mwishoni mwa 1997 nilibahatika kuongozana na baba wa taifa kwenda kigoma na hatimaye kwenye makambi ya wakimbizi wa kirundi. hapa ni hoteli ya kitalii ya hilltop, kigoma. wa mbele ni aliyekuwa mkuu wa mkoa huo wakati huo, athumani ukiwaona ramadhani ditopile wa mzuzuri
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
jacquiline

na huyu ndiye miss tz 2000 jacquiline ntuyabaliwe anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii la k-lynn. hivi sasa ameshatoa singo mpya na anakaribia kuzindua albamu yake ya pili
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
jackie

hoye temu alimpasia taji jacquiline ntuyabaliwe taji la miss tz 2000
ambapo wa pili alikuwa mercy galabawa na wa tatu lilian kusekwa
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
washindi

miss tz 1999 hoyce temu akiwa na mshindi wa pili ayan hassan (pili toka kulia) na wa tatu hellen ongara (pili toka shoto)
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
moro

miss tz 1999 ilikuwa ya kwanza kutembelea mkoa mwingine kufanya onesho. hapa ni morogoro hotel ambapo warembo walipanda kuonesha mitindo ya mavazi ya chek-bob-maarifa cbm ya mbunifu slim
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
hakuna

hakuna miss tz aliyetawazwa kwa mbwembe kama alivyokuwa hoyce temu mwaka 1999
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
bills

hoyce temu alizawadiwa na bosi wa billicanas freeman mbowe kwa ushindi wake wa kuwa miss tz 1999
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
zawose

nipo na gwiji la muziki tanzania daktari hukwe zawose (shoto) ambaye sasa ni marehemu, kwenye tuzo za zeze mwaka 2004 pale diamond jubilee hall. kulia ni msanii anayechora kwenye canvas (ndesanjo na makene na jeff naomba kiswahili chake) ajulikanaye kama kiim
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
kisongo

bucha ya mbuzi huko kisongo, geita
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
kurudi nyumbani

hoyce hivi sasa amerudi nyumbani na ana mipango ya kufungua kampuni yake ya pr, ingawa ofa za kazi zinamuandama. pia leo katangazwa kuwa jaji mkuu wa miss kilimanjaro itayofanyika moshi siku ya ijumaa. habari na picha zake zaidi baadae
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
hoyce

miss tanzania 1999 alikuwa hoyce temu ambaye ndo mwanzo amehitimu pr & mass com na pia uandishi wa habari toka chuo kikuu cha arizona state.
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 22
taa
taa za barabarani zinatengezezwa siku hizi, toka iundwe wizara ya maendeleo ya miundombinu kuna kitengo maalumu kwa kazi hiyo
 
© Michuzi | Tuesday, May 30, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
Monday, May 29, 2006
wanja letu kwa juu

uwanja wa taifa unavyoonekana kutoka angani
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
onesho

wannchi wakiangalia onesho la utamaduni bustani ya mnazi mmoja garden
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
bongo

haya mambo yalipotea kwa muda, sasa yamerudi tena kwa kasi
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
picha ya bismini

katika miaka yangu takriban 20 kwenye fani ya kupiga picha, hakika nimepiga picha nyingi na kila mojawapo naipenda kama mtu umpendavyo mtoto wako, hivyo hata wawe mia, penzi lako kwao huwa sawa. lakini pamoja na hayo, mmoja wa watoto hao anakuwa kipenzi, kama ilivyo picha hii ya sanamu ya bismini mtaa wa azikiwe
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
tovuti ya utalii zenj


A GIANT LEAP FOR ZANZIBAR ASSOCIATION OF TOURISM INVESTORS (ZATI)

The Zanzibar Deputy Minister for Information, Culture and Sports, Hon. Mahmoud Thabit Kombo, this month inaugurated a website http://www.zati.org/ at the Zanzibar Serena Inn aimed at promoting Zanzibar and also serve as a link for ZATI members.

ZATI, registered in Zanzibar, is a non-governmental, non-religious and non-political organization which stands for the unification and interests of tourism investors as well as locally owned and foreign investments on the isles.

Further to that, ZATI works closely with relevant government institutions to ensure a sustainable and professional tourism industry of the highest standard.

The majority of the foreign investments on the island are ZATI members. They include the newly opened Fumba Beach Resort, Zamani Kempinski, La Gemma ( Renco ), Ras Nungwi, Karafuu, Bluebay Beach Resort and Zanzibar Travel Services.

According to the Chairman of ZATI, Mr Simai Mohammed Said, the website would serve as promotional tool for Zanzibar due to the fact that a special page has been set up with the aim of promoting the unique culture and history of Zanzibar.

Said also said that another page aimed at promoting events and news which will be updated accordingly has also been developed. The events will include Sauti Za Busara Music Festival 2007, Zanzibar International Film Festival, Mwakakogwa, Charity Events, Concerts, Special Occassions of ZATI members and current events.


Group Photograph after the http://www.zati.org/ website launching ceremony. Seated from left Maryam of Explore Zanzibar, Simai Mohammed Said Chairman ZATI, Deputy Minister of Information Culture and Sports Hon : Mahmoud T Kombo, Deputy Principal Secretary Mr Shabaan, Lena Kasfiki General Manager Zamani Kempinski (Picture : Courtesy of ZATI)
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
nyumba ya sanaa

nyumba ya sanaa inavyoonekana kwa ndani hivi sasa ambako kuna sanaa pub
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
furaha ya harusi

david goodband wa london, uingereza, na mkewe tash shanang, mbongo ambaye pia anaishi ughaibuni, walifunga ndo jumapili dar, na kusindikizwa na rafikie david, brian, ambaye mkewe anatoka ghana.
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
photo point

kila wikiendi tunapata oda kama hii ya jumapili iliyopita
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
gari kwa miss tz

saida kessy ndiye aliyekuwa miss tz wa kwanza kupata zawadi ya gari. hapa amepozi juu ya mkoko wake akiwa na waziri wa elimu na utamaduni enzi hizo profesa juma kapuya na mwenyekiti wa kamati ya miss tz prashant patel
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
pasi

miss tz 1997 saida kessy akimpasia basilla mwanukuzi taji la 1998
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
basilla

miss tz 1998
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
miundombinu

trafiki akilielekeza gari la naibu waziri wa wizara ya miundombinu dr milton makongoro kuvuka daraja huko wilayani mbinga
 
© Michuzi | Monday, May 29, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
Sunday, May 28, 2006
dar

unapokaribia kutua uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere (zamani dar es salaam) international airport chini kuko hivi
 
© Michuzi | Sunday, May 28, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
j'burg

ukiruka toka uwanja wa ndege wa johannesburg afrika kusini chini kuko hivi...
 
© Michuzi | Sunday, May 28, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
Saturday, May 27, 2006
sabasaba

kakampuni ketu kalishinda tuzo ya kibanda bora cha elekroniki sabasaba ya mwaka juzi. mwaka jana kalikuwa ka pili, mwaka huu sijui itakwaje. ila tupo na usikose kutembelea photo point banda la pta kubwa mwisho kushoto mtaa wa kwanza. hapo napokea hiyo tuzo toka kwa makamu wa rais dkt ali mohamed shein
 
© Michuzi | Saturday, May 27, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
airbus

kiwanda cha ndege za airbus, hamburg, ujerumani
 
© Michuzi | Saturday, May 27, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
gerezani

mtaa wa nyamwezi, gerezani, dar
 
© Michuzi | Saturday, May 27, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
vipaji

bongo tuna vipaji kibao, ila basi tu
 
© Michuzi | Saturday, May 27, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
jangwani

barabara ya morogoro kwenye mteremko wa jangwani ionekanavyo toka magomeni mapipa
 
© Michuzi | Saturday, May 27, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
motel afrique

hiyo ya njano ndo motel afrique ambayo sasa inakarabatiwa
 
© Michuzi | Saturday, May 27, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
Friday, May 26, 2006
kk na mie

kuna ndugu kaomba nirudie hii picha nikwia na rais wa zamani wa zambia kenneth kaunda dar
 
© Michuzi | Friday, May 26, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
betty


jk akisalimiana na betty mkwasa na mtoto wao wa kwanza huku william lukuvi akishuhudia. hii ni katika hafla ya kuchangisha ya watu wa iringa. betty (chalamila) mkwasa ni mke wa charles boniface mkwasa, kocha wa moro united
 
© Michuzi | Friday, May 26, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
moro united hureeee!!!!!

charles boniface mkwasa kocha wa moro united akiwa amebebwe kidedea. leo moro united wameidungua apr ya rwanda 3-0 neshno na kutwaa ubingwa wa kagame kapu
 
© Michuzi | Friday, May 26, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
Thursday, May 25, 2006
emily

mwaka 1995 miss tz aliibuka kuwa emily adolph toka dodoma (tatu shoto) na wa pili alikuwa flora mushi (pili shoto) na wa tatu rosemary mlekwa (tano shoto)
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
aina

mwaka 1994 miss tz iliibuka na mshindi wa kwanza alikuwa aina maeda, lucy ngongoseke (Sshoto wa pili na dotto abuu wa tatu
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
ooyaaaaah!!

wmisho wa mwezi huu tra wanatarajia kupiga mnada magari haya yote ambayo hayajachuliwa na wenyewe bandarini dar kwa muda mrefu
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
kipozi

watangazaji mahiri ahmed na sango kipozi wakipozi na binti zao wanamuziki wanaounda kundi la unique stistaz
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
kizimbani

maofisa wa idara ya uhandisi wilaya ya kinondoni wakiwa mahakama ya hakimu mkazi ya kisutu wakingoja kusomewa shtaka la kughushi nyaraka zilizopelekea kujengwa kwa hekalu la masaki toka ghorofa tatu hadi nane
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
hekalu

hekalu lilopigwa nyundo na site lililopo masaki barabara ya toure kuelekea hoteli ya sea klifu, kona ya kwenda ubalozi wa afrika kusini
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
k'nyama

kituo kipya cha mabasi cha kijitonyama makumbusho kinachochukua nafasi ya kituo cha mwenge. watu wa mwenge hivi sasa inabidi wadunde kwa mguu tokea hapo makumbusho ambako ni mwisho kwa mabasi yatokayo mjini. si zogo hilo lililopo!
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
mambo ya bongo

pana nini hapa
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
sindimba orijino

kinamama wakicheza sindimba
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
uzuri wa bongo

sheikh mkuu wa bakwata sheikh Simba akichati na muadhama polycarp kardinali pengo wa kanisa katoliki dar bila kelele wala mikwaruzo
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
enzi hizo

naripoti gogoro la yanga pale klabuni jangwani mwaka 1991. alieegemea bomba nyuma yangu ni masoud sanani wakati huo magazeti ya 'uhuru' na 'mzalendo' na nyuma yake mwenye njano begani ni james nhende wa gazeti la 'mfanyakazi'. chini shoto ni mfadhili vinod asar
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
miss zenj

miss zanzibar wa kwanza hediye khamis musa (kati) akitamba na wenzie januari 13, 1968 baada ya mashindano hayo yaloandaliwa na chama cha hockey cha visiwani na kufana sana.
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
miss tz wa kwanza

miss tz wa kwanza theresa shayo akiteleza ukingoni mwa bwawa la hoteli ya kilimanjaro siku ya shindano la kwanza la ulimbwende mwaka 1967. wazee kuona hivyo wakayapiga top mashindano hayo ambayo yakaja ibuka tena mwaka 1964 na kuendelea hadi hii leo.

naona ndugu wengi hawana kumbukumbu nzuri, hivyo kuanzia kesho naweka picha na habari za miss tz moja moja kuanzia 1994. stei tyunnndd....
 
© Michuzi | Thursday, May 25, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
Wednesday, May 24, 2006
miss tz

washiriki wa miss tanzania ya kwanza nchini hoteli ya kilimanjaro. mshindi aliibuka bibie theresa shayo (namba 5), ila baada ya hapo mashindano yakapigwa marufuku kwa dhana kuwa kinyuma na maadili ya mtanzania.
 
© Michuzi | Wednesday, May 24, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 20
Tuesday, May 23, 2006
maskini yanga....


wacheaji wa yanga wakimshangilia gaudence mwaikimba siku walipoifunga ulinzi ya kenya 3-1 kwenye kombe la kagame. leo polisi uganda wamewachapa yanga 1-0 kwenye robo fainali na kuwatoa mashindanoni. ffu ilibidi warushe mabomu 15 ya machozi kutuliza ghasia na bakola...
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
jk na kichaka
jk akiwa na joji kichaka majuzi nyumba nyeupe. jamani eeee... vipi tena huko? soma chini kwa makini. inglishi mwenzenu iz noti richebo, la sivyo ningewatafsilia...kunradhi



NINE CHARGED IN MULTI-MILLION DOLLAR THEFT CONSPIRACY FROM HOUSTON CAMPUSES OF HEWLETT-PACKARD AND EXEL LOGISTICS...

HOUSTON, TX , May 22, 2006

Nine persons were indicted for conspiring to transfer in interstate commerce servers, processors, hard drives, and memory strips stolen from the Houston campus of Hewlett-Packard (HP) and the Houston facility of HP’s logistical partner Exel Logistics (Exel). United States Attorney Don DeGabrielle announced today that the nine charged are Njaidi Othman Njaidi, 35, of Houston; Franklin Lauwo, 35, formerly of Houston; Wasia Kessi Maya, 28, formerly of Houston; Abby Hussein Omari, 24, of Houston; Misso Canute Temu, 30, of Houston; Ahmed Juma Khalid, 30, of Houston; James Mtae, 27, of Houston; Frederick Omondi, 31, of Houston; and Jamese Hill, 25, of Houston. The indictment, returned by a Houston grand jury under seal on May 16, 2006, was unsealed on Friday, May 19, 2006. Njaidi, Khalid, Mtae, Omondi, and Hill are alleged to be current or former employees of HP or Exel.
On May 18 and 19, law enforcement personnel from the Federal Bureau of Investigation (FBI), Houston Police Department, and the Harris County Sheriff’s Department arrested Njaidi, Maya, Omari, Khalid, Omondi, and Hill. With the exception of Hill, who has released on bond following her initial appearance in court on Friday, all others arrested have been ordered to remain in federal custody without bond pending a detention hearing scheduled for Wednesday, May 24, 2006, at 10:00 a.m. before United States Magistrate Judge Mary Milloy.
Arrest warrants remain outstanding on Lauwo, Temu, and Mtae. It is believed that Lauwo and Temu may have returned to Tanzania. Mtae is believed to be in the Houston or Dallas area. Anyone with information concerning any of these three defendants should contact the FBI at 713-693-5000. Photos of these three fugitives are attached.
According to allegations in the indictment, Njaidi and Lauwo recruited individuals working at HP or Exel to steal processors, hard drives, memory strips, and other items. Njaidi and Lauwo, along with Maya, Temu and Omari, allegedly paid sums ranging from $20,000 to in excess of $100,000 to Hill, Omandi, Mtae, Khalid and other HP or Exel employees who provided them with stolen products. It is further alleged that the next step of the scheme involved employees Omondi, Khalid, Hill, Mtae and others changing the shipping labels on outgoing shipments from HP and Exel, redirecting the shipments from customers to Njaidi, Omandi and other members of the conspiracy. Another part of the scheme involved charged employee defendants and others removing the processors from their packaging at the computer company facility, secreted the stolen goods in their shoes or clothing, and leaving the premises with the stolen goods. According to the transactions alleged in the indictment, Njaidi, Lauwo, Maya, Omari, Temu and Khalid sold more than $2.9 million of the stolen products to purchasers in Minnesota, California, and other states.
All nine defendants are charged with conspiring to transfer stolen products in interstate commerce, a crime that carries a punishment of up to five years in prison and a fine of up to $250,000 upon conviction. Njaidi, Lauwo, and Maya are also charged in two separate counts, and Temu with one count, of transferring stolen products in interstate commerce, a crime that carries a punishment of up to ten years in prison and a fine of up to $250,000 upon conviction. The indictment also seeks a forfeiture judgment from all the defendants of approximately $3.25 million, alleging this sum constitutes the proceeds of their alleged illegal conspiratorial conduct. The case was investigated by the FBI and the Houston Police Department’s Major Offenders Division, Cargo Theft and Fence Detail, and will be prosecuted by Assistant United States Attorney Gregg Costa. An indictment is a formal accusation of criminal conduct, not evidence. A defendant is presumed innocent unless and until convicted through due process of law.
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 64
bayi

niko na bingwa wa dunia wa mbio za mita 1500 na 3000 filbert bayi morogoro mwezi mei mwaka 1993 kwenye mashindano ya taifa ya riadha
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
tsj


alumni ya tsj mwaka 1996. semkae kilonzo (chini shoto) naomba utaje majina ya wote... na ukiweza wako wapi na wanafanya nini. kwa taarifa yako hili ndilo darasa la mwisho la diploma la tsj kusomea ilala shariff shamba kabla ya kuhamia mikocheni. makene upoooo?
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
bakora

nadhani picha hii itamfurahisha sana f.mtimkubwa na wenzie
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
weah

george weah akiwa nasi dar mwaka 1994 alipotangulia kuandaa mechi kati ya tanzania na liberia. juma pinto (kulia) hapo uingereza salama? shoto ni shy-rose bhanji (zamani deiliniuzi, sasa dawasco) na nyuma yake nami ni abdallah majura wa bbc. aliyebambwa na weah ni francis lucas wa mtanzania na nyuma yake ni mtangazaji abubakar liongo na mbele yake ni jabir idrissa wa uhuru...
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
berlin

darasa langu kwenye ziara ya masomo uwanja wa olompiki wa berlin mwaka 1992. jamaa huyo tulimuona mzushi aliposema ujerumani itaandaa wodikapu hapo mwaka 2006
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
oau

jkm, bwm na peter onu wakiwa kwenye mkutano wa 17 wa oau huko addis ababa
 
© Michuzi | Tuesday, May 23, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
Monday, May 22, 2006
temu

hoyce temu
 
© Michuzi | Monday, May 22, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 38
magessa

hapiness magessa miss tanzania 2001
 
© Michuzi | Monday, May 22, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 26
wanyasa

vijana wa kinyasa wakicheza ngoma
 
© Michuzi | Monday, May 22, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 20
kenyatta

napeana tano na uhuru kenyatta dar
 
© Michuzi | Monday, May 22, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
kessy

saida kessy miss tanzania 1997
 
© Michuzi | Monday, May 22, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 21
Sunday, May 21, 2006
balozi

kwa mlio ughaibuni longi taimu mjue ubalozi wa uingereza upo nyumba ya umoja pomoja na ofisi za dfid, eu na kadhalika
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 32
magari

siku hizi huna haja ya kuja na gari toka ughaibuni. hata machinga wanauza mitaani siku hizi
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
bahati nasibu

wakati wa miss upanga kulichezeshwa bahati nasibu ambapo mshindi alitangazwa na kuchukua zawadi hapo hapo ukumbini. huyu ni mmoja wa washindi
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
chipolopolo

burudani ya chipolopolo miss upanga 2006
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
bosi mpya wa deiliniuzi

jk kamchagua isaack mruma kuwa bosi mpya wa deliniuzi kuanzia alhamisi ilopita
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
mabondia

toka shoto ni emmanuel mlundwa, mbwana matumla na bakari selemani. mlundwa ni rais wa pugilistic syndicate of tanzania (pst) na sele ni pr0mota na refa. mbwana anazipiga bado
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
jm

an huyu ni james mbatia mwenyekiti wa nccr-mageuzi
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
jk

kuna mtu kaomba kumuona jk kwa karibu zaidi. naomba kuwasilisha...
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
algeria

hapa tupo algeria na simba mwaka 1993. toka shoto mwameja, mie, fundi wa rtd neol namaloye, hayati moses nnauye (kiongozi wa msafara), jabi shikamkono, sekioni kitojo wa rtd na nani vileee....
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
namibia

nilibahatika kuwa mjumbe wa kamati ya ushauri wa ujenzi wa ukumbi wa taifa wa maonesho (national theatre) chini ya makumbusho ya taifa, na tulitembelea nchi kadhaa kuonaa wenzetu wanafanya nini ili tuweze kuchuma jani la kufaa watanzania. hapa ni windhoek, namibia, kwenye kituo cha sanaa cha katutura maarufu kama jiko. nchi ya uswidi imekubali kugharamia ujenzi huo wa thieta ya kisasa ilipo makumbusho ya taifa mtaa wa shaaban robert. michoro tayari na mkandarasi anatafutwa. mambo yakienda vizuri tutakuwa na thieta ya taifa ndani ya mwaka mmoja. kwa taarifa yako (samehe ung'eng'e wangu) hivi sasa makumbusho ya taifa dar yanaitwa national theatre and museum. ujenzi wenyewe utakuwa ni wa ghorofa juu ya majengo ya sasa na upanuzi wa uwanja
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
miss upanga


jenerali ulimwengu akimpongeza miss upanga 2006 ngitika mwaka jana usiku
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
miss upanga

tano bora
 
© Michuzi | Sunday, May 21, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
Saturday, May 20, 2006
jenerali

jenerali ulimwengu akiwa na (toka shoto) marion elias, rukia mtingwa na miriam ikoa kwenye shindano la miss upanga jana usiku ambapo yeye alikuwa mgeni rasmi. habari na picha zaidi kesho...
 
© Michuzi | Saturday, May 20, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 27
bandari salama

soma historia hapo chini (nimeshindwa kutafsiri, kwani inglishi iz not richebo) kisha nambie hivi ni nini kilipelekea dar kuitwa bandari ya salama?

Picha hii nimepiga jana, ikionesha bandari ya dar, ambayo haina meli kutokana na uhodari wa upakuaji mizigo wa kisasa uliopo.



Dar es Salaam, formerly Mzizima, is the largest city in Tanzania with an estimated population of 2,500,000. It is also an important economic centre and the former capital city of Tanzania but it continues to serve as the capital for the surrounding Dar es Salaam .

Although inland Dodoma is the official capital, the vast majority of federal government employees live in Dar and most major political figures maintain residences here. Dar es Salaam is located at 6'48' South, 39'17' East (6.8000, 39.2833).

Located on a harbour on the Indian Ocean, its main railways originate in or near the city. Local industries include trade, food products, textiles, cement, and pharmaceuticals. About one half of Tanzania's manufacturing employment is located here despite the fact that Dar holds only ten percent of the population.
The Dar es Salaam Airport connects the city with other African countries, the Middle East as well as Europe.
Dar es Salaam is also the educational center of Tanzania. The city is home to the University of Dar es Salaam, the Open University of Tanzania, the Hubert Kairuki Memorial University (HKMU) as well as the International Medical and Technological University (IMTU). Other institutes of higher education include the Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) and the College of Business Education (CBE).

Though the city has a low violent crime rate, this is increasing along with the already high number of instances of theft as inequality increases and the amount of money available from Tanzania's thriving aid industry increases. A common nickname for the city is "Bongo" (literally, "brain" in Swahili), which refers to the street smarts necessary to survive there.
The Tazara railway runs from Dar es Salaam to Lusaka, Zambia and produces much of the income in the area.
Administratively, Dar es Salaam In 1859, Albert Roscher of Hamburg became the first European to land in Mzizima ("healthy town"). In 1866 Sultan Seyyid Majid of Zanzibar gave it its present name, an Arabic phrase meaning Haven of Peace. Dar es Salaam fell into decline after Majid's death in 1870, but was revived in 1887, when the German East Africa Company established a station there. The town's growth was facilitated by its role as the administrative and commercial centre of German East Africa and industrial expansion resulting from the construction of the Central Railway Line in the early 1900s.
German East Africa was captured by the British during World War I and from then on referred to as Tanganyika. Dar es Salaam was retained as the territory's administrative and commercial centre. Under British indirect rule, separate European (e.g. Oyster Bay) and African (e.g. Kariakoo and Ilala) areas developed at a distance from the city center. The town's population also included a large amount of South Asians.
After World War II, Dar es Salaam experienced a period of rapid growth. Political developments, including the formation and growth of the Tanganyika African National Union (TANU), led to Tanganyika attaining independence from colonial rule in December 1961. Dar es Salaam continued to serve as its capital, also when in 1964 Tanganyika and Zanzibar merged to form Tanzania. However, in 1973 provisions were made to relocate the capital to Dodoma, a more centrally located city in Tanzania's interior. The relocation process has not yet been completed, and Dar es Salaam remains Tanzania's primary city.
One of the deadly 1998 U.S. embassy bombings occurred in Dar es Salaam; the other was in Nairobi, Kenya.
is broken into 3 districts: Ilala, Kinondoni, and Temeke.

Source: Wikipedia, the free encyclopedia
 
© Michuzi | Saturday, May 20, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
mwaibula

mwenyekiti wa mamlaka ya usfirishaji dar david mwaibula akiwa kazini
 
© Michuzi | Saturday, May 20, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
kariakoo

nyumba chache sana za aina hii zimebakia kariakoo, hasa ukizingatia kwamba dau la ununuzi ni kati ya miliono 300 hadi 800, tena kesh!
 
© Michuzi | Saturday, May 20, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
Friday, May 19, 2006
choo kipya

nilipofika nyumbani nimekuta mafundi wakijenga upya choo/bafu. kwa hiyo wiki hii mambo yote kwa jirani. ikiendelea kunyesha huduma hiyo tutaiopata baada ya mwezi. yaani, we acha tu.
 
© Michuzi | Friday, May 19, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
mungi si athumani

mpiga picha athumani hamisi akiwa kazini leo wakati yanga wakicheza na interstars ya burundi(sio all stars kama nilivosema awali) michuano ya kombe la kagame cup kwenye uwanja wa taifa wa neshno stedium dar. yanga walishinda 2-1
 
© Michuzi | Friday, May 19, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
neshno mpya

hivi ndivyo uwanja wetu wa taifa wa neshno stedium utavoonekana mara baada ya kwisha kujengwa pembezoni mwa ule wa zamani mnamo desemba mwaka huu
 
© Michuzi | Friday, May 19, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 20
ivo

nimeingia leo bongo na moja kwa moja nimeenda neshno kutesti kamera yangu aina ya nikon d70s na kukuta yanga anacheza na timu ya all stars ya burundi. msindi alikuwa yanga kwa bao 2-1. hapa ni ivo mapunda akipangua krosi hatari
 
© Michuzi | Friday, May 19, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
kida waziri

mwimbaji wa zamani wa vijana jazz kida waziri akiwa na watoto wake dar
 
© Michuzi | Friday, May 19, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
Wednesday, May 17, 2006
kipese

winga machachari wa zamani wa simba thomas kipese sasa ni kocha wa timu mpya ya wanawake iitwayo dar sisters, ikiwa chini ya mfanyabiashara mashuhuri justin pamba
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 25
nyumbani ni nyumbani

pamoja na kuwa niko ughaibuni, naku-miss sana bongo, na watu wake. huyu hapa faraja kotta (shoto) akiwa na mmoja wa waonesha mitindo wanaokuja kwa kasi bongo. hii picha nilipiga bongo siku ya onesho la mavazi la asia idarous
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 28
jk ufaransa

jk akipokew na chirac paris akiwa katika ziara yake ya ughaibuni. watu wa londoni, stockholm na dc kaeni mkao wa kula
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
wapi?

kwa uliyewahi kufika mji mkuu wa uganda sintokulaumu ukidhania kuwa kituo hiki cha mabasi cha brasilia ni pale stendi kuu ya kampala
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
kocha

hii picha nimeipiga picha kwenye duka la vifaa vya michezo brasilia; nimeipenda sana
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
brasilia

mji wa brasilia wapendeza kama watu wake
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
brazil

kila kona uendapo hapa brazil ni kombe la dunia tu. hapa nipo dukani brasilia
 
© Michuzi | Wednesday, May 17, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
Tuesday, May 16, 2006
muhogo

mtaalamu wa kilimo wa brazil akimueleza dk asha-rose migiro mbinu za ukulima wa zao la muhogo, ambao ni moja wa vyakula mama vya wabrazil. pamoja na soka nchi hii ina maendeleo makubwa kwenye kilimo, viwanda na biashara.
 
© Michuzi | Tuesday, May 16, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
kumwaga wino

dk asha-rose migiro na waziri mwenzie wa mambo ya nje wa brazil wakitia saini mkataba wa ushirikiano wa kudumu wa nchi zao leo hapa brasilia. ushirikiano huo ni katika nyanja za uchumi, utamaduni na tekinolojia. tumeambiuwa leo kwamba jina na tarehe ya kuwasili kwa kocha wa timu ya taifa toka hapa vitatajwa wiki hii... ikiwa ni mojawapo ya matunda ya mkataba huo, na ahadi ya jk kutimia....
 
© Michuzi | Tuesday, May 16, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
brasilia

najidai hapa kwenye jengo la wizara ya mambo ya nje ya brazil jijini brasilia
 
© Michuzi | Tuesday, May 16, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 25
mchuma kahawa

nasalimiana na mchuma kahawa hapa brasilia
 
© Michuzi | Tuesday, May 16, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 25
Monday, May 15, 2006
kumbukumbu

baadhi ya vitu vya mwalimu kwenye kumbukumbu yake kule butiama. usishangae, hivi ni viporo nilivyonavyo huku ughaibuni
 
© Michuzi | Monday, May 15, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
kama mama, kama baba

kuelekea sokoni...
 
© Michuzi | Monday, May 15, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
uso kwa uso

mh. dk. asha-rose migiro akiwa na kondolesa mchele baada ya kikako cha usalama cha umoja wa mataifa kule niuyok juzi
 
© Michuzi | Monday, May 15, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 29
Sunday, May 14, 2006
askari brazil

askari wa pikipíki hapa brasilia wakijiandaa kuweka bendera za taifa za brazil na bongo kwenye mashine zao ili kumpokea mh. dkt. asha rose migiro aliyepokewa leo hapa kwa heshima kubwa inayomstahili waziri wa mambo ya nje
 
© Michuzi | Sunday, May 14, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
brazil

tukiwa na askari wa pikipiki wa mjini brasilia tukimsubiri mhe. asha-rose migiro uwanja wa ndege leo (hapa naandika ni saa kumi na dakika tatu za huku)
 
© Michuzi | Sunday, May 14, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
ledi jei dii

ledi jei dii akiwa na machozi sistaz pamoja na machozi bend jukwaani
 
© Michuzi | Sunday, May 14, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
wanaumeeeee!!!

juma necha na familia yake ya kiumeni. kwenye kili music awards safari hii necha na mastaa kibao kama vile ray c, ledi jei dii, mista bluu, duli saiks, mwanafalsafa na wengineo hawakuchaguliwa kushindania tuzo. waliomo ni profesa jei, mb dogg, keisha, tid na wengine wengi wapya.
 
© Michuzi | Sunday, May 14, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
Thursday, May 11, 2006
samora

mtaa ulioanza kwa kuitwa acacia, kisha independence na sasa samora machel na ambao ndo mkubwa kuliko yote dar
 
© Michuzi | Thursday, May 11, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 32
zungu

haidari mohamed 'zungu' ni kijana mwenye umri wa miaka 17 na mahili katika kupiga ngoma akiwa na bendi ya afrikali. yeye ni mmoja wa wasanii maalbino wakubwa bongo, mwingine akiwa ni keisha
 
© Michuzi | Thursday, May 11, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
cine club

cine club bado ipo. picha hii nimepiga leo asubuhi, nilikwenda kula supu
 
© Michuzi | Thursday, May 11, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
raggeh

hapa tunajichana mjini nice, ufaransa, mwaka 1993 wakati huo ismail aden raggeh akiwa ni katibu mkuu wa simba. simba ilikuwa imealikwa hapo kwa mazoezi kujiandaa kukabiliana na stella abidjan
 
© Michuzi | Thursday, May 11, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
Wednesday, May 10, 2006
mayenga

mbunge mwingine kijana kama amina chifupa ni huyu lucy mayenga (shoto) akionekana hapa akiwa chimwaga dodoma na rafikiye jane mihanji ambaye ni mjumbe wa nec
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 98
biriani

nitajie sifa kumi za kula biriani ama pilau shughulini (makene, mtimkubwa, jeff, msaki mpo???)
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
mrithi

jacquiline kombe ni mmoja wa warithi wa amina chifupa kwenye utangazaji wa vipindi pale klaudz ef emu
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
kopa

khadija kopa na mwanae omar (kulia) wakiwa na maneno uvuruge wa almasi band (shoto). kopa na mwanae wote wanaimbia tot taarab band wakati uvuruge na bendi yake wako umangani wakitumbuiza
y
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 22
video

tujimitambo twa video nako tupo-tupo bongo. huyu ni elliudi pemba wa digital art company. soko lipo kubwa sana la mambo haya, hasa kama unafanya kwa utaalamu na ubora wa hali ya juu
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
mambo ya kileo bongo

haya ni majambo ya kawaida siku hizi bongo
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
wapi?

huu ubao ubo mahali fulani bongo. kuna mtatuzi? ntatoa jibu jumapili. jibu la ramani kesho
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
hatimaye

hatimaye msafara wa gari lililobeba mwili huo ukapita taratibu kuelekea msasani. njia nzima toka uwanja wa ndege hadi huko ilikuwa imefurika watu namna hii kutwa nzima!
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
umati

hii ni sehemu tu ya umati ulojitokeza kuulaki mwili huo. hapa nilikaa juu ya daraja la manzese na kulenga ubungo
 
© Michuzi | Wednesday, May 10, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
Monday, May 8, 2006
kitendawili



naenda kulala nikiacha hiki kitendawili. kuna alama za mipaka ya kimataifa haiko sahihi kwenye ramani hii. ni ipi hiyo? zawadi: picha yoyote utayoomba. samahani zimegandana tatu, lakini zote hazina tofauti, ni aina moja...
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 34
kiapo

leo rais wa zanzibar amani karume kala kiapo mbele ya jaji mkuu barnabas samatta ili kuchukua nafasi yake kwenye baraza la mawaziri kwa mujibu wa katiba. kabla ya hapo rais wa zanzibar alikuwa pia makamu wa kwanza wa rais na alikula kiapo kama hicho mbele ya rais kama ambavyo wazee wetu wapendwa wanaonekana wakifanya
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
nancy aula tena

wakati naelekea kupanda daladala niende homu, habari zimenifikia kwamba nancy sumary kaula tena. kama mjuavyo, inglishi mie is noti richebo, hivyo naibandika kama nilivyoipata. mtimkubwa nisaidie kutafsiri..

Nancy bags yet another bingo

Tanzania’s beauty queen and Miss World Africa Nancy Sumary continued her dominance in world rankings after she was announced overall winner of the eighth edition of the Global Beauties Awards Bureau.
The Global Beauties Awards, also known as the 'Oscars' of beauty pageants, have reviwed the four most prestigious beauty pageants on the planet, and members of the Global Beauties Academy voted for the best in several categories, giving away 10 global and 66 continental awards.
Over 300 beauties who competed in Miss Earth, Miss International, Miss Universe and Miss World 2005 had the chance to shine all over again or to finally have their qualities recognized.
Nancy was one of the top five girls in last year’s top 100 beauties survey conducted by the bureau which was announced yesterday, according to a statement issued yesterday.
The awards analysed each of the 310 international beauties who competed in four grand slam pageants namely Miss Earth, Miss International, Miss Universe and Miss World where Nancy competed.
Nancy was placed in ten categories that were up for grabs under the Eighth Global beauties awards.
Nancy took the first positions in Personality, Interview and Stage Presence and finished second in Evening Gown, Face and third in Photogenic, Swimsuit to be the overall winner.
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
madinda

aisha madinda (kulia) na mumewe fikiri na jesca charles siku twanga waliporejea toka sweden. jesca sas hivi ni mjamzito na amepumzika kazi na aisha kenda umangani kutafuta malisho ya kijani (green pasture?)
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 23
mtanganyika halisi

mchungaji mtikila na viongozi wenzie wa upinzani akiongea na waandishi
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 29
mbongo

odemba si mbongo pekee anayetamba kwenye mitindo. hebu cheki na dada cynthia masasa hapo juu akionesha vazi la ufukweni. ama mtembelee www.cynthiamasasi.com
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 103
wapi hapa?

kwa mlio ughaibuni tu: ni wapi hapa?
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
majonzi

bwm akimtuliza mkewe mama wakati wa misa ya wafu siku baba mzazi wa mama anna, mzee maro, alipofariki, mwanzoni mwa mwaka huu
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
buriani sanare

jk akitoa heshima za mwisho leo kwa aliyekuwa mkuu wa kwanza wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) hayati merkizedek sanare aliefariki dunia wiki ilopita. hapa ni kanisa kuu la kilutheri azania front
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
bagamoyo

hii ndo paradise holiday resort iliyoko bagamoyo, ikiwa ni moja ya mahoteli kama kumi hivi ya kitalii kwenye mji huo mkongwe
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
kunduchi

hoteli ya ufukweni ya kunduchi kama inavoonekana leo baada ya kubinafsishwa
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
picha ya kumbukumbu

jk akiwa na aak na jaji mkuu samatta baada ya aak kuapishwa leo ikulu
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
kiapo



rais wa zanzibar amani abeid karume akila kiapo mbele ya jaji mkuu wa tanzania barnabas samatta kuchukua nafasi yake ya kikatiba katika baraza la mawaziri la jamhuri ya muungano wa tanzania ikulu leo
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
ulinzi mkali

askari wa farasi kazini neshno stediumu
 
© Michuzi | Monday, May 08, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
Saturday, May 6, 2006
lifti ya kili III

...hata hivyo ziara iliisha vizuri na wazee waliweza jionea jinsi hoteli hiyo ya kitalii ilivyopendeza. hapa ni ghorofa ya saba kwenye prezidensho swit
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
lifti ya kili II

....ikabidi atoke haraka na kuingia lifti ingine. kumbe ikagundulika uzito ulizidi, na safari hii watu wakapungua, lifti ikakubali
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
lifti ya kili

sintosahau hoteli ya kempinski kilimajaro ilipofunguliwa na aliekuwa rais bwm. unajua alipoingia kwenye lifti na ujumbe wake, ikiwa ni pamoja na jk, lifti ilikwama....
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
ofisi bongo

huyu ni mustapha khataw mkurugenzi mkuu wa skylink travels na wakala wa avis nchini. watu wengi siku hizi wana ofisi za kisasa kama hii
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
amina

kuna ndugu ameomba picha ya karibu ya mh. amina chifupa wa mpakanjia. naomba kuwasilisha
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 93
benchi la simba

kocha mbrazil wa simba na wasaidizi wake. shoto ni kocha msaidizi mwina kaduguda. mwenye nyeupe ni iddi pazi 'faza' kipa wa zamani simba na sasa anasaidia kufundisha baada ya kurejea toka ughaibuni
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
mwanamboka

khadija mwanamboka akila pozi na watoto walioshiriki kwenye onesho lake la mavazi ya watoto pale coco beach jumapili ilopita
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
lindi

mbunge wa lindi mjini na mkuu wa mkoa wa tanga mohamed adbulazizi akimvisha joho la heshima waziri mkuu edward lowassa alipozuru lindi majuzi
 
© Michuzi | Saturday, May 06, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
Friday, May 5, 2006
wapi hapa

mlio ughaibuni hapa ni ni mtaa gani. jengo linaitwa zahra towers
 
© Michuzi | Friday, May 05, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
wapi hapa

mlio ughaibuni hapa ni ni mtaa gani. jengo linaitwa zahra towers
 
© Michuzi | Friday, May 05, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
mei dei

maandamano ya mei dei dar, hawa ni idara ya wanyama pori
 
© Michuzi | Friday, May 05, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
Thursday, May 4, 2006
jk gerezani

jk akitembelea magereza ya dar leo. bahati mbaya/nzuri wapiga picha hawakuruhusiwa kuingia ndani. ila kwa nje wafungwa walisikika wakimwimbia jk kwa shangwe na vifijo...
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
wakala wa ndege za serikali

watangazaji waandamizi abubakar liongo (pili shoto), masoud masoud (anaemfuatia) na ahmed kipozi katika banda la wakala wa ndege za serikali wakati wa kuadhimisha siku ya mawasiliano. wenye bizbo ni watumishi wa wakala hiyo.

KUNRADHI: IFUATAYO NI HABARI ZA REO REO ZA WALE 'MAKOCHA' WA CHELSEA NA TOTENHAM...... ni kwa umombo lakini. kama mjuavo mwenzenu inglishi is not richebo... samahani...

'Bookman and Aibange are academy, not club coaches'

JEFF Bookman and Ose Aibange are not assistant coaches of two UK Premier league clubs--Chelsea and Tottenham Hotspur--as it had been reported by a section of the local media on Wednesday.

Instead, the two men, who arrived in Tanzania on Tuesday to facilitate a soccer development programme presented by Global Scouting Bureau (GSB), are the coaches of Chelsea and Tottenham Hotspur football academies, respectively.

"It is very unfortunate that some media had not been clear about the status of the two coaches hence causing unnecessary confusion," Elliud Pemba, a close associate of the GSB boss, said.

Pemba also confirmed that both Bookman and Aibange were not Chelsea and Tottenham Hotspur clubs coaches rather coaches of the two Premier side academies that gloom young talent.

Our findings also show that Bookman is the manager of the under-13 team in the Chelsea Football Academy and is not involved whatsoever in training the Premier League side.

Bookman details shows that he is a qualified coach holding an UEFA A Licence Coach, and he also possesses an FA Youth Coaches Award and English FA Coach Educators Award.

The records also show he had also played for Chelsea as a professional player and various non-league semi-professional clubs.

The same is for Ose Aibange, who had previously been with Arsenal FC and the Beckham academy.

However, his name does not appear in line-up of managers of the Premier side, league Tottenham Hotspur.

The GSB vice-president Jack Pemba introduced the two coaches to the media on Wednesday and they were quoted as saying they were highly impressed by Tanzanian national team--Taifa Stars.

At least three newspapers reported yesterday that Bookman was an assistant to charismatic Jose Mourinho of England champions Chelsea.

The 'Daily News', whose phone lines were almost jammed by a barrage of local and international calls demanding clarification on the issue, had decided to dig deeper to clear the air, with success.

The full line-up of the 20 people on Chelsea's club management team, include assistant managers and coaches to Mourinho are Baltemar Brito and Steve Clarke.

Assistant managers are Silvino Louro (Goal keeping coach) and Andre Villas (Assistant coach scout). Others are Rui Faria (fitness coach), Ade Mafe (assistant fitness coach), Mick McGiven (Reserve team coach) and Brendan Rodgers (Youth team coach).
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
natalia

kuna mdau aliomba amuone kwa karibu natalia noeli miss photopoint-phot0genic 2005/2006 na pia miss tanzania wa pili mwaka huo. haya, huyu hapa akiwa amepozi kwenye kastudio ketu pale mayfair plaza
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
bi kidude

nimekula pozi na bi kidude akiwa ameshika tuzo yake. soma chini kwa maelezo ya hiyo tuzo. samahani inglishi iz noti richebo, hivyo nimeigandisha hivyo hivyo...



Bi Kidude receives a Lifetime Achievement Award at this year’s World Music Expo (WOMEX)



In October 2005, 93-year old Zanzibari legend Bi Kidude bint Baraka was presented with the World Music Expo (WOMEX) lifetime achievement award. Busara Promotions in Zanzibar arranged for her travel to Gateshead Newcastle in the UK. “There was a hairy moment the day before we were due to leave Zanzibar when Bi Kidude had gone missing somewhere on the mainland. But in the end we caught the flight and all was well. This was a significant award, she faced stiff competition from the likes of Peter Gabriel and Miriam Makeba, among others. We were all immensely proud and it was an honour to accompany her,” enthused Yusuf Mahmoud, Director of Busara Promotions.WOMEX is the world’s premier networking event exclusively dedicated to international music of all kinds. Attending were more than 2000 international professionals, 500 musicians, 300 exhibitors representing record companies, festival and concert promoters, agents, cultural institutions, the media and other sectors gathered from more than 84 countries.
A moving tribute to Bi Kidude was delivered by Banning Eyre, musician, author and co-editor of the renowned Afropop website and radio programmes, in which he informed delegates that “the singer, well in her nineties yet still sporting a bone-crushing handshake, received the honours in recognition of her more than 80 years of singing and serving as a cultural mediator and advisor of the younger generations, including on matters of sex and marriage - a proper symbol of World Music’s emancipatory, liberating and strengthening power.”As Bi Kidude walked on stage to accept her reward, the two thousand WOMEX delegates gave her a five-minute standing ovation. A proud day it was indeed for Africa. Many were literally moved to tears as Bi Kidude sang unaccompanied and gave her acceptance speech.“Bi Kidude was a popular choice for this year’s WOMEX Award. During the short film feature shown before she came on to receive her award, the classic feisty line ‘I drink, I smoke, I don’t need a microphone’ brought riotous applause from the assembled throng.”Ian Anderson, fROOTS magazineAs Old As My Tongue film documentaryIn celebration of Bi Kidude’s remarkable life, ScreenStation (UK), in partnership with Busara Promotions is currently putting finishing touches to a feature documentary film As Old As My Tongue: The Myth and Life of Bi Kidude to be screened at festivals and cinemas around the world in 2006. As Old As My Tongue has been filmed over the last three years in Zanzibar and on tour in Europe with Bi Kidude. More than a biography, it’s an insight into the politics and personalities of Zanzibar’s contemporary society.This year also sees the release of a new CD music compilation on Buda Musique label of Bi Kidude’s recordings old and new; accompanied by Sahib el-Arry, Zanzibar Taarab All Stars, Culture Musical Club, Afro Arab Grooves and Bi Kidude’s very own msondo ngoma group. Furthermore audiences at Sauti za Busara 2006 in Zanzibar will have a chance to see a new photographic exhibition centred around Bi Kidude, specially curated by Roger Armstrong of Globestyle/Ace Records (UK).
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
mwalimu na sheik

mwalimu nyerere na sheikh karume na wake zao ikulu zenj
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
msela

mshikaji akila kijua nje ya hom huko ngorongoro
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
kepy

kepy kiombile sio tu ni mpiga gitaa la bezi mkongwe akiwa na kilimanjaro band 'wananjenje', bali pia ni mhandisi bingwa wa sauti kiasi ambacho tamasha lolote ambalo ni tamasha akikosekana basi aidha hayupo nchini ama anaumwa. hapa ni wakati wa sauti za busara zenj
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
wanaume na mwanadada

mhariri wa jarida la bang akiwapa juma necha na wanaume famili tuzo ya kundi bora mwaka jana. mwaka huu nyota wengi hawamo kwenye awamu ya awali ya kuteuliwa kwenye tuzo hizo, ukiondoa profesa j, tid, mana fa, na dully sykes.
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
kinanda
kama kuna kitu kinachonokisha niingiapo kanisani basi hakuna kama kinanda ambacho mpigaji hutumia miguu na mikono yote miwili macho yote mawili na bila shaka na akili zote (ngapi sijui) na hakosei
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
lidaz klab

kila jumapili watu hujaa hivi lidaz klab kinondoni ambapo twanga pepeta hutumbuiza kwa posho ya alfu shing tano kwa kicha ama alfu mbili
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
mzigo

naomba caption (ndesanjo naomba kiswahili chake) ya picha hii
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
mapokezi uswazi

baadhi ya wasanii waliokuwepo uwanja wa ndege wa manzini kumpokea jk alipozulu swaziland
 
© Michuzi | Thursday, May 04, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
Wednesday, May 3, 2006
hom

ni jumapili nami nimepaki hom nakula siesta. tatizo uswazi kulala mchana soo. si makelele hayo
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
jk muhimbili

jk akimpa pole mmoja wa mapolisi waliopambana na majambazi waliopora pesa za mnb karibuni. kesho (alhamisi) jk anatembelea magereza ya keko, ukonga na segerea kujionea hali ilivyo
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
saida

saida karoli bado anachambua kama karanga
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
jk na mswati

jk akiwa na mwenyeji wake mfalme mswati alipotembelea swaziland majuzi
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
hom

ni jumapili nami nimepaki hom, ila tatizo kulala mchana soo. si mikelele hiyo kama unavyoona
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
che mundugwao

msanii mkongwe che mundugwao na kundi lake la mbega arts
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
ndani ya kadege ketu

hivi ndivyo kadege ketu ka rais kanavoonekana kwa ndani...
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
ubatizo wa uwanja

prof. mark mwandosya akipeana mkono na makongoro nyerere siku uwanja wa ndege wa dar ulipobatizwa upya
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
pedejeee

kinababa wa kibongo hawako nyuma sana kimitindo...
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
mabosi

nipo na mabosi wangu wa deiliniuzi tukitoka nyumba ya sanaa kwenye hafla. toka kulia ni mhariri mtendaji seth kamuhanda (sasa ni mwandishi hotuba wa rais), mkumbwa ali (kaimu mhariri mtendaji sasa) na nyuma ni mwandishi mwandamizi na bingwa wa habari za kichunguzi, charles kizigha.

ndugu zangu kina ndesanjo, jeff msangi, makene, mark msaki, da mija, mwaipopo, mk, na wengineo naona mnaogopa hata kutoa maoni, ingawa najua mwanitembelea. najua mnakerwa baadhi ya wana blogu wenzetu ambao hawana lugha aali, kiasi cha kufanya maoni ya maana toka kwa watu kama nyie yakosekane.

kuna ndugu yangu (jina kapuni) kasema hiyo inatokana na wivu wa baadhi ya watu ambao blogu zao zimevunda kwamba kwa nini mie nitembelewe na watu wengi kiasi hiki; kwani mie nani?

sina ubavu wa kukubali hayo ya huyo ama kuyakataa, kwani kama alivyoimba bitchuka, duniani kuna mambo.

waraka huu ni kuwaomba msiogope kuwa nami kwani wote jahazi hili tumelijenga wenyewe, hivyo endapo wimbi na papa visitutenge bali vitupe nguvu na kuzidi kuwasiliana hata waseme nini.

naomba kuwasilisha
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
mh. chifupa akiondoka

mh. amina chifupa akiondoka baada ya kuhudhuhuria sherehe za kukabidhiwa nyumba ya nancy sumari leo huko tabata chang'gombe
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 32
chumbani kwa nancy

hapa ni chumba kikuu kwenye nyumba alikabidhiwa nancy leo. hao wanaopozi ni kati ya wasichana 26 waliofika fainali za miss tanzania 2005
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
mh. na nancy

mh amina chifupa akimfunda nancy baada ya kukabidhiwa nyumba yake leo
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
mh. chifupa

mbunge wa kuteuliwa kupitia vijana mh. amina chifupa wa mpakanjia akihutubia leo wakati wa kukabidhi zawadi ya nyumba kwa miss world africa nancy sumari kule tabata chang'ombe. wengine toka kulia kwa mh. chifupa ni emmanuel ole naiko (mkurugenzi kituo cha uwekezaji cha taifa na patroni wa miss tanzania), nancy, mh. dk. emmanuel nchimbi, naibu waziri wizara ya habari, utamaduni na michezo, mh. machano othman saidi naibu waziri wa masialiano na uchukuzi zenj, hashim lundenga na mkurugenzi wa utamaduni
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
jk tandale

jk alipotembelea soko la nafaka la tandale
 
© Michuzi | Wednesday, May 03, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
Tuesday, May 2, 2006
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
jk kigoma

jk akipewa nondo za jadi na wazee wa kigoma alikotua leo kuwasabahi na kuwashukuru kwa kumpa kura kwa wingi wakati wa uchaguzi mkuu
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
daladala

hapa ni mtaa wa azikiwe karibu na posta mpya
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
mabango shinyanga

baadhi ya mabango yaliyompokea jk shinyanga siku ya mei mosi. hawa ni wachimba madini
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
walemavu shuleni

wazazi wengi wameitikia wito wa kupeleka watotot wao shule, hata kama ni walemavu. hawa wawili wako darasa la pili shule ya msingi lion magomeni na wanadhaminiwa na hospitali ya ccbrt ambayo inamuajili dada (mwenye nyekundu) anayewahudumia wawapo shuleni na kuwatengenezea madawati na viti maalum na pia baiskeli
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
lanchi

siku moja moja huwa tunakaa pamoja, hasa tupatapo mwaliko kama huu wa multi choce pale holiday inn. toka shoto mike mande wa the east african, mie, joster ramadhani (mwananchi), rashid kejo na bloga mwenzetu absolom kibanda
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
twiga staz

timu ya taifa ya wanawake, twiga staz, na waalimu wao
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
neshno mpya

uwanja wetu mpya wa neshno stedium uleee unachungulia tokea jukwaa kuu
 
© Michuzi | Tuesday, May 02, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
Monday, May 1, 2006
hotuba ya jk ya mei mosi
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE,
KWENYE KILELE CHA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, SHINYANGA, MEI MOSI, 2006

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Migodi na Ujenzi (TAMICO) na Mratibu wa Sherehe za Mei Mosi Mwaka huu;
Mheshimiwa Fredy Masasi;
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya
Wafanyakazi Nchini,
Mheshimiwa Nestory Ngulla;
Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana,
Mheshimiwa Profesa Jumanne Maghembe;
Waziri wa Kazi, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,
Mheshimiwa Asha Abdallah Juma;
Waheshimiwa Mawaziri;
Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa;
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga;
Waheshimiwa Wabunge;
Waheshimiwa Mabalozi;
Mwakilishi wa Shirika la Kazi Duniani (ILO)
Mheshimiwa Ali Ibrahim;
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri (ATE)
Mheshimiwa Dr. Aggrey Mlimuka;
Wawakilishi wa Vyama vya Siasa;
Ndugu Wafanyakazi na Wananchi Wenzangu;
Mabibi na Mabwana.

Ndugu Wananchi na
Ndugu Wafanyakazi;
Naomba nianze na shukrani. Kwanza, tumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na afya njema na kutuwezesha kukutana leo katika sherehe za mwaka huu za siku ya Wafanyakazi Duniani zinazofanyika hapa Shinyanga. Tumshukuru Mwenyezi Mungu pia kwa kutujalia uwezo, nguvu na maarifa na hivyo kutuwezesha kufanya kazi ya kuendeleza maisha yetu binafsi na kuijenga nchi yetu kwa ufanisi na mafanikio.

Pili, nawashukuru viongozi wa Vyama Huru vya Wafanyakazi kwa kunipa heshima hii ya kipekee ya kunialika kuwa Mgeni Rasmi katika siku ya leo. Nimefurahi na kufarijika sana kwa kupewa fursa ya kujumuika nanyi wafanyakazi wenzangu katika kusherehekea sikukuu hii muhimu ya wafanyakazi duniani.

Ndugu Wafanyakazi;
Naipongeza Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana chini ya uongozi imara wa Mheshimiwa Profesa Jumanne Maghembe kwa kazi nzuri ya kuratibu mahusiano kati ya Serikali, Wafanyakazi na Waajiri kupitia vyama vyao. Nampongeza pia Waziri wa Kazi, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Asha Abdallah Juma, kwa mchango wake mkubwa katika kufanikisha sherehe hizi.

Aidha, naupongeza Mkoa wa Shinyanga na wakazi wake wote, wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Brigedia Jenerali, Dr. Johanness Balele, kwa mapokezi mazuri, maandalizi mazuri na maonyesho ya kufana ya sherehe hizi.

Ndugu Wananchi na Ndugu Wafanyakazi;
Kwa niaba yangu na kwa niaba ya wageni wenzangu, napenda kuitumia nafasi hii kuwashukuru sana wananchi wa Shinyanga kwa mapokezi makubwa na mazuri yaliyojaa upendo tele.
Jambo hilo limenipa faraja kubwa sana. Nilipokuja hapa wakati wa kampeni mlikuwa wengi sana lakini leo mmetia fora. Hongereni sana.

Ndugu Wananchi;
Tumejumuika hapa kusherehekea Sikukuu ya Wafanyakazi ambayo inaadhimishwa duniani kote siku ya leo. Hivyo basi hotuba yangu inatakiwa ihusu maadhimisho haya. Lakini kwsa sababu maalum nimeongeza mambo mawili. Kwanza, kuwashukuru wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kwa kukichagua Chama Cha Mapinduzi na kunipa heshima ya kuongoza Taifa letu. Ni mara yangu ya kwanza kufika hapa tangu uchaguzi mkuu kumalizika Desemba 14, 2005. Pili, nimeonelea nitumie fursa hii kuijumuisha maneno ya hotuba yangu ya mwisho wa mwezi Aprili katika hotuba yangu ya leo. Kama mnavyojua, nilistahili kufanya hivyo jana lakini niliamua nifanye leo pamoja na kuzungumzia masuala ya Mei Mosi.

Shukrani kwa Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga
Ndugu Wananchi;
Napenda sasa kutumia nafasi hii kuwashukuru sana wananchi wa mkoa huu wa Shinyanga kwa heshima kubwa mliyonipa ya kunichagua kuiongoza nchi yetu. Nawashukuru pia kwa kukichagua Chama cha Mapinduzi na hivyo kukiwezesha kuendelea kuongoza nchi yetu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Ndugu Wananchi;
Wakati wa kampeni za uchaguzi niliwaomba mchague kwa mithili ya mafiga matatu. Mlifanya hivyo kasoro katika jimbo moja tu la Bariadi Mashariki ambapo mtani wangu na mtani wa CCM, Mheshimiwa John Cheyo alichaguliwa kuwa Mbunge. Naambiwa pia kuwa kati ya Kata 166 Mkoani tumeshindwa Kata 26. Nimefurahishwa sana na ushindi huu mnono. Ahsanteni sana.

Ndugu Wananchi;
Mmeonyesha imani kubwa sana kwangu na kwa chama changu cha CCM. Watu husema: “Imani huzaa imani”na “mcheza kwao hutuzwa”. Napenda niwahakikishie kuwa nami pia nitawalipa kwa imani. Nitajitahidi kwa uwezo wangu wote alionijalia Mwenyezi Mungu na kwa kutumia mamlaka mliyonipa kutimiza ahadi zangu kwenu. Natambua vyema methali ya Kiswahili isemayo: “Ahadi ni deni”. Hivyo nami ninalo deni kwenu na kwa wananchi wa Tanzania ambalo ninao wajibu wa kulilipa.

Ndugu Wananchi;
Kazi ya kutekeleza ahadi za CCM zilizomo katika Ilani ya Uchaguzi na zile zangu nilizozitoa hapa na kwingineko nchini tumeshaianza. Mawaziri wote na wizara zote wamekamilisha mipango ya utekelezaji wa Ilani kuhusu sekta zao wanazoziongoza. Bajeti ijayo utekelezaji unaanza. Tutafanya hivyo kwa bajeti zote tano za kipindi cha uongozi wangu na wa Chama chetu.

Ndugu Wananchi;
Nilipokuja mkoani hapa mwaka jana wakati wa kampeni niliwaahidi kuwa mkinichagua mimi na Chama Cha Mapinduzi pamoja na mambo mengine tutatekeleza mambo yafuatayo:

1. Kujenga daraja la mto Simiwi;

2. Kukamilisha ujenzi wa barabara za Shinyanga - Mwanza, Shinyanga – Nzega, na Tinde – Isaka, kwa kiwango cha lami;

3. Kutengeneza barabara za Shinyanga – Maswa – Meatu hadi Bariadi; na

4. Kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mkoa huu.

Ahadi hizo ninazikumbuka na kama nilivyosema mchakato wa kuzitekeleza tunaendelea nao.

Ndugu Wananchi;
Pale tutakapokwama tutafahamishana ili kila mmoja wetu ajue sababu za kukwama. Napenda kutumia nafasi hii pia kuwakumbusha viongozi wenzangu wa kuchaguliwa yaani, Wabunge na Madiwani, nao pia wasisahau ahadi walizotoa kwa wananchi wakati wa kampeni za uchaguzi. Nawaomba wazifikishe kwa Halmashauri zao ili zijumuishwe katika mipango ya wilaya. Zile ambazo zimewazidi kimo Wabunge watuletee taifani ili na sisi tuone namna ya kusaidia. Tafadhalini wananchi wapendwa, wakumbusheni Wabunge wenu na Madiwani wenu kama wamesahau ili waziainishe ahadi hizo kwenye mipango ya Halmashauri zenu ili zipate kutekelezwa mapema.


Ndugu Wananchi;
Kwa kuwa hii ni mara yangu ya kwanza kuzungumza na wafanyakazi nchini, naomba niwashukuru kwa kunichagua. Nina hakika wengi wenu mlinipigia kura, tena kura nyingi tu. Ushindi mnono nilioupata ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na kura zenu. Nawashukuruni sana kwa imani kubwa mliyoionesha kwangu. Nawaahidi kuwa nitajitahidi kuwatumikia kwa kadri ya uwezo wangu wote. Naomba mzidi kuniunga mkono, kuniombea dua kwa Mwenyezi Mungu na sote tufanye kazi kwa juhudi na maarifa ili shabaha yetu ya kuwa na maisha bora kwa kila Mtanzania itimie.

MASUALA YA KITAIFA

Hali ya Chakula Nchini
Ndugu Wananchi;
Naomba nitumie nafasi hii kuwapeni pole sana wananchi wa Shinyanga kwa tatizo la upungufu mkubwa wa chakula lililoukumba mkoa wenu msimu huu. Mkoa huu ni moja ya mikoa michache hapa nchini iliyoathirika sana na uhaba wa chakulauliosababishwa na hali ya ukame. Serikali, kwa kutambua uzito wa tatizo lenu ilichukua hatua zote muhimu kuhakikisha kuwa mnapatiwa chakula cha msaada mapema. Waziri Mkuu Mheshimiwa Edward Lowassa alikuja hapa Mkoani Shinyanga kujionea wenyewe ukubwa wa tatizo na kuona jinsi zoezi la usambazaji wa chakula cha njaa kwa waathirika lilivyokuwa linaendelea. Natambua kuwa bado hamjavuna na hivyo wengi wenu bado mnahitaji msaada mpaka mavuno. Tutaendelea kufanya hivyo mpaka tuvuke salama.

Ndugu Wananchi;
Pamoja na kwamba hali ya chakula nchini bado siyo ya kuridhisha sana, kwa ujumla kuna matumaini ya hali hiyo kuimarika zaidi katika msimu huu. Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo yote nchini zinatupa matumaini hayo. Nimeona jitihada zenu katika kilimo. Nawaomba tushikilie msimamo wetu huo huo wa kutunza mashamba yetu ili mavuno yawe mzuri. Tukifanya hivyo tutakuwa tumemfurahisha Mwenyezi Mungu ambaye tumemuomba sana atujalie mvua na kutuitikia. Wito huo huo nautoa kwa Watanzania wote kwani karibu nchi nzima mvua za masika zilizoanza mwezi Machi zimekuwa nzuri. Tuzitumie vyema mashambani mwetu.

Ndugu Wananchi;
Juhudi zetu za kuhakikisha kuwa hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa, ilikuwa ni shughuli pevu. Ilikuwa ni kazi nzito na yenye gharama kubwa. Tathmini ya mwisho iliyofanywa Februari, 2006 ilionyesha kuwa zaidi ya watu 3,776,000 walikuwa wanahitaji msaada wa chakula. Mpaka sasa Serikali imeshasambaza zaidi ya tani 57,000 za mahindi zilizowapunguzia ukali wa tatizo ndugu zetu hao. Kati ya chakula hicho, tani 14,955 zimetolewa bure kwa watu ambao hawana uwezo wa kununua chakula hata kwa bei nafuu ya shilingi 50 kwa kilo. Hivi karibuni Serikali iliagiza kutoka nje tani 42,000 za mahindi. Mahindi hayo yameanza kuwasili na tayari yameanza kusambazwa kwenye mikoa yenye upungufu wa chakula.

Napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru viongozi na Watendaji wote wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa kwa kazi nzuri waliyoifanya kunusuru maisha ya Watanzania wenzetu katika baa hili. Pongezi maalum kwa Waziri Mkuu Mheshimiwa Edward Lowassa kwa uogozi wake mahiri wakati wote wa tatizo hili mpaka sasa.

Ndugu Wananchi;
Katika kipindi hiki pia, wafanyabiashara wameingiza nchini jumla ya tani 147,379 za mahindi. Aidha, wameingiza tani 96,960 za ngano na tani 37,000 za mchele kuchangia juhudi za Serikali. Nao pia nawashukuru kwa juhudi zao hizo ambazo zimepunguza makali ya tatizo hilo nchini na hasa mijini.

Napenda pia kuitumia fursa hii kutoa shukrani maalum kwa wahisani wa ndani na wa nje waliochangia kuongezea nguvu za Serikali kukabiliana na tatizo la upungufu wa chakula nchini. Nawashukuru sana kwa moyo wao wa huruma na upendo. Wahisani wa ndani walichangia jumla ya shilingi 5,802,526,070/=. Kati ya hizo, fedha taslimu ni shilingi 4,480,136,070/= na shilingi 1,332,390,000/= ni thamani ya vyakula na vitu vingine vilivyotolewa Wahisani wa nje nao tayari wametoa jumla ya shilingi 10,039,538,810/=. Kati ya fedha hizo, shilingi 2,926,650,000/= zimekabidhiwa kwa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa ajili ya kununulia madawa ya kuulia wadudu na mbegu. Kiasi kilichosalia cha shilingi 7,112,888,810/= kimekabidhiwa kwa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kwa ajili ya kununulia na kusambaza chakula cha njaa nchini.

Wiki hii, Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) litaanza zoezi la kusambaza tani 5,400 za mahindi kwa watu wasio na uwezo wa kununua chakula kwa shilingi 50/= kwa kilo kwenye wilaya chache zilizoathirika zaidi na uhaba wa chakula. Napenda kusisitiza kuwa chakula kinachoendelea kutolewa bure ni kwa wale tu wananchi walioathirika sana na ambao hawajaanza kuvuna chakula chao wenyewe hadi sasa.

Ndugu Wananchi;
Sina budi kutoa pongezi na shukrani maalum kwa kitendo cha aina yake kulichofanywa na wananchi wenzetu cha kuchangia kiasi kikubwa cha fedha na chakula kusaidia wananchi wenzao wenye shida. Ni mara ya kwanza jambo hili kufanyika na imeleta sura mpya ya uwajibikaji na moyo wa kujali wa Watanzania wazalendo. Nawashukuru kwa moyo wao wa huruma na wametuwekea heshima mbele ya mataifa na wananchi. Wahenga wamesema “Kutoa ni moyo na wala si utajiri”. Nawaomba waendelee na moyo wao huo ambao ni wa kuigwa na kila mtu mwenye mapenzi na nchi yetu.

Upatikanaji wa Umeme

Ndugu Wananchi;
Ndugu Wafanyakazi;
Tatizo lingine kubwa ambalo limekuwa linalikabili taifa letu katika miezi ya hivi karibuni ni upungufu wa umeme uliopelekea tuwe na mgao wa umeme nchi nzima. Kama nilivyowafahamisha mara kadhaa, Serikali imeendelea na jitihada zake za kushughulikia tatizo hili. Leo hii nafurahi kusema kwamba hali imekuwa nafuu kiasi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini.

Uzalishaji umeme umeongezeka kutoka megawati 265.5 zilizokuwa zinazalishwa mwishoni kwa mwezi Machi mwaka huu hadi kufikia megawati 546 mwishoni mwa mwezi uliopita. Ongezeko hili ambalo limesaidia kupunguza makali ya mgao wa umeme limetokana hasa na kuongezeka kwa maji kwenye mabwawa ya Kihansi na Kidatu. Lakini, hali ya Bwawa la Mtera bado ni mbaya sana. Mpaka sasa maji yameongezeka kwa karibu mita mbili tu na kufikia mita 688.95 mpaka majuzi. Bado kina cha maji ni pungufu kwa mita 9. Hakuna matumaini ya kujaza kiasi hicho katika msimu huu wa mvua ambao sasa unaelekea ukingoni.

Ndugu Wananchi;
Hali hiyo mbaya ya maji katika Bwawa la Mtera inaashiria kuwa tatizo la upatikanaji wa umeme nchini litaendelea kuwepo. Kwa sababu hiyo basi, tegemeo letu kubwa katika muda mfupi ujao bado liko katika kukodisha mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura. Vilevile, lipo katika ununuzi na upatikanaji wa mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi. Bahati nzuri mchakato wa kupata mitambo hiyo upo katika hatua nzuri za kiutekelezaji. Ni matarajio yangu kuwa kama mambo yakienda kama ilivyopangwa katika kipindi cha miezi michache ijayo hali itarejea na kuwa ya kawaida. Mipango yetu ya muda wa kati na muda mrefu ya kukabiliana na tatizo la umeme nayo inaendelea vizuri.

Ongezeko la Bei ya Mafuta
Ndugu Wananchi;
Ongezeko la mara kwa mara la bei ya mafuta limeendelea kuwa tatizo kwa uchumi wa nchi yetu. Upande mmoja ongezeko hilo linaongeza mzigo katika matumizi ya akiba yetu ya fedha za kigeni katika uagizaji. Upande mwingine, linaathiri utulivu wa bei za bidhaa na huduma nchini. Hatuna matumaini ya kushuka kwa bei za mafuta ila muelekeo wake ni kupanda zaidi. Naomba nirudie wito wangu wa kuwaomba wananchi wenzangu kuwa waangalifu na wabanifu katika matumizi ya mafuta.

Tatizo la Uhalifu

Ndugu Wafanyakazi;
Katika hotuba yangu pale Dodoma, nilielezea jitihada tunazoendelea nazo kukabiliana na tatizo la uhalifu nchini. Juhudi hizo zinaendelea na ushirikiano wa karibu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vimeongeza uwezo wa kudhibiti uhalifu. Hata hivyo ujambazi bado upo na uovu wao na ukatili wao unaendelea kusikika hapa na pale kama ilivyotokea hapa majuzi. Napenda kurudia tena kuwahakikishia kuwa hatutalegeza uzi mpaka ushindi upatikane. Inshallah tutashinda tu kwa sababu tunasimamia haki na wao wanasimamia uovu. Hivi karibuni nimeagiza pia kuwa katika mapambano dhidi ya uhalifu, tatizo la biashara ya madawa ya kulevya nalo walishughulikie kwa ari, nguvu na kasi ile ile.

Nawaomba wananchi wote tuendelee kushirikiana kwa karibu na Jeshi letu la Polisi na vyombo vingine vya usalama katika mapambano haya. Ushirikiano wenu mpaka sasa umewezesha mafanikio ya kutia moyo yaliyopatikana. Tuendeleze ushirikiano huo kwa manufaa yetu sote.

Rasilimali ya madini
Ndugu Wananchi;
Nimeona pia Mwenyezi Mungu ameijalia nchi yetu utajiri mkubwa wa madini. Tunayo madini ya kila aina yakiwemo dhahabu, almasi, madini ya vito na kadhalika. Sekta ya Madini ni moja ya sekta muhimu katika kuharakisha kuendeleza uchumi na maendeleo ya nchi na wananchi wake. Kutokana na umuhimu huo, Serikali imefanya kazi nzuri na kubwa ya kushawishi watu na makampuni makubwa kuja kuwekeza hapa nchini.

Matokeo ya jitihada zote hizi siyo tu kwamba makampuni makubwa ya uchimbaji madini kutoka nje yameweza kuja kuwekeza hapa nchini, bali pia mchango wa sekta ya madini kwenye uchumi wa taifa letu umeongezeka. Kwa mfano, takwimu zinaonyesha kwamba mapato ya fedha za kigeni kutokana na mauzo ya madini yameongezeka kutoka dola za Marekani milioni 45 mwaka 1995 hadi kufikia dola milioni 693 mwaka 2004. Aidha, takwimu za awali zinaonyesha kwamba mauzo ya madini nje kwa mwaka 2005 yanatarajia kufikia dola za Marekani milioni 800 kutokana na ongezeko la bei ya dhahabu kwenye soko la dunia.

Vile vile mchango wa sekta ya madini kwenye pato la taifa umeongezeka kutoka asilimia 1.4 mwaka 1995 hadi asilimia 3.2 mwaka 2004. Pia ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali kutoka sekta ya madini umeongezeka kutoka shilingi 454 milioni mwaka 1995/6 hadi kufikia shilingi 23,810 milioni mwaka 2004/5.

Tunayashukuru makampuni makubwa ya nje yaliyokubali kuja kuwekeza kwenye sekta ya madini hapa nchini ambayo yameiwezesha Tanzania kuwa nchi ya tatu barani Afrika baada ya Afrika ya Kusini na Ghana katika uzalishaji madini aina ya dhahabu. Tunayashukuru kwa kutuletea mitaji na teknolojia ya kisasa ambayo imetuwezesha kuchimba madini ambayo huko nyuma tulishindwa kuyachimba kutokana na uwezo wetu mdogo kwenye maeneo hayo. Tunayashukuru pia kwa kutoa ajira kwa wananchi wetu. Nimeelezwa kuwa idadi ya Watanzania wanaofanya kazi moja kwa moja kwenye migodi mikubwa hapa nchini sasa inafikia watu 8,300 na idadi hii inaendelea kuongezeka kila mgodi mpya unapoanzishwa.

Ndugu Wananchi;
Napenda kuyahakikishia makampuni hayo na wawekezaji wengine kuwa, Serikali inathamini sana mchango wao katika kuinua uchumi wa nchi yetu na tutaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwenye sekta ya madini na nyinginezo. Ni matumaini yangu kuwa ushirikiano uliopo hivi sasa kati ya makampuni hayo, wenyeji waishio maeneo jirani na migodi, na Serikali kwa ujumla utaendelea na kuimarika zaidi. Aidha, tunakaribisha watu na makampuni mengi zaidi kuja kuwekeza nchini mwetu kwani bado tuna raslimali kubwa ya madini ardhini ambayo haijachimbwa.

Ndugu Wananchi;
Pamoja na kuongezeka kwa mchango wa sekta ya madini katika pato la taifa, bado Taifa halijanufaika vya kutosha na raslimali hiyo hasa kwa upande wa kodi ya mapato na mambo mengineyo. Sheria ya Madini na mikataba tuliyowekeana imekuwa na upungufu wa hapa na pale. Nimeagiza Wizara ya Nishati na Madini, ikishirikiana na Wizara ya Sheria na Katiba, Wizara ya Uchumi, Mipango na Uwezeshaji na Wizara ya Fedha na Mashirika husika yaiangalie upya sheria hiyo na mikataba ili tufanye marekebisho stahiki.

Lengo langu ni kutaka sisi wenye raslimali nao tufaidike. Kwa jinsi ilivyo sasa inaelekea yule mwenye fedha, mitaji na teknolojia ndiye anayenufaika zaidi kuliko sisi wenye raslimali tuliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu. Hii si sawa. Si jambo jema upande mmoja tu ndio unaofaidi. Si haki. Tunataka haki itendeke.

Maslahi ya watumishi wa Umma

Ndugu Wafanyakazi;
Hii ni Mei Mosi yangu ya kwanza tangu mnipe heshima ya kuongoza nchi yetu. Hivyo, napenda nitambue na kuwapongeza wafanyakazi wote nchini kwa kazi nzuri mnayoifanya ya kulijenga Taifa hili changa. Nawapongezeni kwa dhati kwa jinsi mnavyoshirikiana na Serikali na waajiri wenu katika kuzalisha mali na kutoa huduma mbalimbali nchini. Nyinyi ni wadau na wahimili muhimu wa uchumi wa Tanzania. Ahsanteni sana kwa mchango wenu adhimu na nawaombeni mzidishe juhudi na kufanya kazi kwa bidii ili tuweze kupunguza umaskini unaolikabili Taifa letu. Ninyi kama Wafanyakazi, ndiyo kichocheo na kiungo muhimu katika ujenzi wa nchi yetu.

Ndugu Wafanyakazi;
Naelewa mazingira magumu yanayowakabili katika utendaji wa kazi zenu. Nayatambua matatizo yanayohusiana na uduni wa maslahi yenu, uhaba wa nyezo za kazi na vikwazo mbalimbali vya uwajibikaji. Nafahamu jinsi matatizo hayo yasivyojenga motisha na kupunguza tija ya mfanyakazi. Nilipoongea na Uongozi wa TUCTA walinieleza kwa kina faraja zenu na karaha zenu.

Ndugu Wafanyakazi;
Pamoja na upya wangu katika nafasi hii, naelewa jinsi gani Serikali imekuwa ikishughulikia matatizo na kero za Wafanyakazi. Naelewa kwa kiasi gani imefanikiwa au kutofanikiwa kuboresha mazingira ya kazi, kukuza motisha na kuongeza tija ya uzalishaji mali nchini. Nawapongezeni pia wafanyakazi kwa kutambua kuwa Serikali imekuwa inajitahidi kuyashughulikia matatizo ya wafanyakazi wa umma na wengineo kwa kiasi cha uwezo wa mapato yake na uwezo wa uchumi wa Taifa letu.

Napenda kuwaahidi kuwa nitafanya kila niwezalo kuendeleza juhudi hizi ili wafanyakazi waishi maisha bora zaidi.

Uboreshaji mishahara

Ndugu Wafanyakazi;
Katika risala yenu mmelieleza kwa uzito na kina tatizo la msingi la udogo wa mishahara ya wafanyakazi nchini. Ni kweli, mishahara ya wafanyakazi kwa ujumla ni midogo na haikidhi mahitaji yao ya maisha. Mimi na wenzangu Serikalini tunaelewa vyema athari za mshahara usiokidhi mahitaji kwa mfanyakazi na kwa kazi aifanyayo. Lengo la Serikali ni kukabiliana vilivyo na tatizo hilo kwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi. Nia ya Serikali ni kufanya hivyo ili wafanyakazi waweze kuishi maisha ya heshima.

Ndugu Wafanyakazi;
Kwa ajili hiyo tumeamua kuanza mchakato utakaotuelekeza katika kumlipa mfanyakazi mshahara ambao utamfanya aishi maisha ya heshima. Swali kubwa hapa ni namna ya kufikia ulipaji wa mshahara huo. Kuna masuala mengi ambayo hayana budi kuangaliwa na kuzingatiwa kwa pamoja ili kuiwezesha Serikali kufikia uwezo wa kumlipa mfanyakazi mshahara wa kiwango hicho cha kukidhi mahitaji yake ya kila siku. Katika kutekeleza hili, Serikali imekusudia kufanya mambo yafuatayo:-

Moja: Kuunda Tume ya Kuboresha Maslahi ya Watumishi wa Umma ambayo itashughulikia uchambuzi wa suala zima la mishahara na maslahi ya wafanyakazi na kupendekeza hatua za kuchukua.Tume hii nitaitangaza wiki ijayo na itafanya kazi katika muda usiozidi miezi sita. Mara baada ya kumaliza kazi yake, mapendekezo ya Tume hiyo yatashughulikiwa mapema iwezekanavyo na uamuzi juu ya hatua za kuchukua utafanywa kwa umakini unaostahili.

Pili: Hata hivyo, wakati tume hiyo ikifanya kazi zake Serikali itaendelea kuchukua hatua za kuboresha mishahara ya kada mbalimbali za wafanyakazi katika mwaka wa fedha wa 2006/07.

Tatu: Serikali itahakikisha kuwa Mabaraza ya Kisekta ya mishahara ya Kima cha Chini cha mishahara yanaendelea kuundwa. Kwa ajili hiyo naiagiza Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana kuongeza kasi ya uundwaji wa mabaraza hayo. Kasi ya sasa hairidhishi.

Suala la ajira:

Ndugu Wafanyakazi;
Tunatambua kuwepo tatizo kubwa la ajira nchini. Kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo ni moja ya agenda kubwa ya Serikali ya Awamu ya Nne. Mikakati inakamilishwa na muda si mrefu Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana italifahamisha Taifa. Dhamira ya Serikali ni kuongeza ajira kwa Watanzania. Ajira zipo za kuajiriwa katika Serikali na Sekta binafsi na zipo ajira za kujiajiri wenyewe. Serikali imedhamiria kuweka mazingira mazuri ambayo yatawezesha kukuza ajira nchini ili Watanzania wanufaike na kupunguza dhiki ya maisha.

Ndugu Wafanyakazi;
Katika risala yenu mmelizungumzia tatizo ambalo limekuwa likipigiwa kelele na watu wengi nalo ni lile la kuajiri wageni katika nafasi ambazo zingeweza kufanywa na Watanzania. Napenda kuwahakikishia kuwa, tutakuwa makini na wakali kwa ajira za namna hiyo. Tutasimamia kwa karibu kanuni na taratibu zilizopo kuhusu ajira za wageni nchini. Upo ulegevu fulani fulani ambao tumekusudia tuurekebishe miongoni mwa wahusika Serikalini na kwenye makampuni. Lakini, ni kweli pia kwamba, ajira ya wageni ipo sana katika maeneo ya kada za kati yaani mafundi mchundo (technicians) ambapo nchini kuna upungufu. Ni vyema tuelewe kuwa, tatizo hili linakuzwa na upungufu wetu wa kutokuwa na vyuo vya kutosha vinavyotoa mafunzo ya kada za kati hasa mafundi mchundo na kadhalika. Hatuna budi kutilia mkazo mafunzo ya namna hiyo kwa kuendeleza vyuo vilivyopo na kuanzisha vingine kama hapana budi. Hata hivyo, Serikali haitatoa vibali kwa ajira za namna hiyo mahali ambapo Watanzania wapo na wanaweza kufanya kazi hizo.


Ubinafsishaji wa mashirika

Ndugu Wafanyakazi;
Nilipoongea na Uongozi wa TUCTA hivi karibuni, walionyesha kutoridhika kwao na ubinafsishaji wa mashirika yanayotoa huduma za kijamii na kiuchumi. Risala yenu nayo imesisitiza tena kilio hicho. Napenda niwahakikishie, Wafanyakazi na Watanzania wenzangu, kuwa Serikali haina mpango wa kubinafsisha mashirika yote makubwa yanayotoa huduma za kijamii na kiuchumi (public utilities). Badala yake Serikali inao mpango wa kufanya marekebisho mbalimbali katika mashirika hayo. Katika marekebisho hayo baadhi ya shughuli zinaweza kubinafsishwa au kukodishwa. Dhamira kubwa ya Serikali ni kutafuta mbinu za kuimarisha uendeshaji wa shughuli za mashirika hayo ili yaweze kuboresha utoaji wa huduma zao. Ni ukweli ulio wazi kwamba mashirika yetu mengi yana matatizo makubwa ya uendeshaji.

Ndugu Wafanyakazi;
Serikali haina nia kabisa ya kubinafisha mbuga za wanyama. Ni jambo ambalo halijafikiriwa kabisa na sijui kama litafikiriwa. Mbuga ni urithi wa taifa letu na hatukusudii kuzibinafsisha.

Pamoja na hayo napenda kusisitiza kuwa Serikali haitarudi nyuma katika sera ya mageuzi ya kiuchumi. Hatukusudii kurudia katika kufanya shughuli za uzalishaji mali na biashara. Hiyo ni shughuli itakayofanywa na sekta binafsi, serikali itafanya kazi ya kuboresha mazingira ili sekta binafsi istawi nchini.

Suala la Pensheni

Ndugu Wafanyakazi;
Pensheni ndiyo maslahi pekee ya mfanyakazi anapostaafu kutoka katika utumishi wake wa Umma. Hivyo basi, naelewa masikitiko yenu kama mambo hayako sawa. Serikali inatambua kuwepo kwa tofauti mbalimbali za ulipaji wa pensheni kwa wastaafu kutokana na kuwepo mifuko tofauti ya pensheni na yenye masharti tofauti. Serikali inakubaliana na rai yenu ya kutaka tofauti hizo ziondolewe na usawa uwepo. Napenda kuwahakikishia kuwa tumesikia kilio chenu na tutashughulikia ipasavyo. Naamini hatimaye mtafurahi. Nafurahi kuwaarifu pia kuwa suala la mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa tumeshaanza kulishughulikia. Lengo letu ni kuubadili mfuko huo nao uwe ni wa pensheni tofauti na ilivyo sasa. Naomba mvute subira kwani subira yavuta heri. Mambo yatarekebishwa kwa manufaa ya wafanyakazi wa Serikali za Mitaa.

Ushirikishwaji katika maamuzi

Ndugu Wafanyakazi;
Suala la ushirikishwaji wa wafanyakazi katika utoaji wa maamuzi yanayohusu utendaji katika sehemu za kazi halina mjadala. Umuhimu wake kwa upande wa kuongeza uwajibikaji, ufanisi na tija unaeleweka. Agizo la Serikali Na.1 la mwaka 1970 lilitambua umuhimu huo na kuweka msingi na utaratibu wa ushirikishwaji wa wafanyakazi katika utoaji wa maamuzi sehemu za kazi. Nimesikia kilio chenu kuhusu mapungufu yaliyopo. Nawahakikishieni kwamba, Serikali itasimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa Agizo hilo. Nitasisitiza kuzingatiwa kwa agizo la kuwateua wawakilishi wa wafanyakazi kuwa wajumbe katika Bodi za mashirika ya umma.

Aidha, tunatambua umuhimu wa uwakilishi wa makundi ya jamii katika Bunge. Bahati nzuri jambo hili linatekelezwa vizuri hapa nchini kwa uwakilishi wa wanawake. Ndugu zanguni, katika mfumo wa demokrasia ya uchaguzi na sasa katika siasa za vyama vingi nafasi ya upendeleo zina ukomo wake kwa makundi ya kijamii. Upendeleo maalumu kwa wanawake unatokana na muafaka wa kimataifa na kikanda. Muafaka huo unaelekeza kuwepo kwa asilimia 30 mpaka 50 ya wanawake katika nafasi za uamuzi mojawapo ikiwa ni Bunge la nchi. Hivyo, enyi wafanyakazi wenzangu, napenda kuwashauri kuwa, wale wanaopenda kujihusisha na siasa katika ngazi ya Ubunge, wakagombee katika majimbo yao au sehemu za makundi maalum, kwa wale ambao ni wanawake.

Ndugu Wananchi na
Ndugu Wafanyakazi;

Sisi ni Serikali mpya. Tuna miezi minne tu tangu tuanze kazi. Tunaongozwa na kaulimbiu ya Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya. Lakini ili tuweze kwenda kwa kasi na msukumo mpya, tunahitaji sana ushirikiano na msaada wa kila mmoja wenu. Nawaomba muiunge mkono Serikali yenu kwa kuchapa kazi kwa bidii na maarifa ili safari yetu ya kuelekea kwenye Tanzania yenye neema kwa wote iwe fupi zaidi.

Naamini uwezo huo mnao. Historia ya nchi yetu imejaa mifano mingi mizuri ya mchango mkubwa wa wafanyakazi kwa uhai na maendeleo ya taifa letu. Wakoloni walipotuvamia na kututawala kwa mabavu, ni nyinyi wafanyakazi mliosimama kidete kupambana nao na kudai uhuru wa nchi yetu. Wengi wa mashujaa wa mapambano hayo, akiwemo Mzee wetu Mheshimiwa Rashid Mfaume Kawawa, walitoka miongoni mwenu.
Baada ya uhuru, wafanyakazi mmekuwa pia mstari wa mbele katika kazi ngumu na nzito ya kujenga nchi yetu. Maendeleo tunayozungumzia na kujivunia leo yana mchango mkubwa wa wafanyakazi kwa ushirikiano na Watanzania wote. Hakuna mafanikio yoyote ya nchi yetu ambayo hayakuchangiwa na ninyi wafanyakazi.

Ni kwa msingi huo, mimi nina imani kubwa nanyi. Nathamini sana mchango wenu na nawategemeeni sana katika kufanikisha majukumu mazito mliyonikabidhi ya kuliongoza taifa letu kutoka hapa tulipo kwenda mbele zaidi kwenye neema.

Nataka kuwathibitishia kuwa daima nitashirikiana nanyi kwa hali na mali. Katika risala yenu hapa mmezungumzia mambo mengi na mazito. Baadhi tayari nimeyagusia lakini kwa mengine yaliyobaki nataka niseme tu kwamba tumesikia, tumeyapokea na tutayafanyia kazi. Naamini hakuna lisilowezekana wala hakuna jambo lisilokuwa na ufumbuzi. Hivyo tutaendelea kuwasiliana na kushirikiana katika kutafuta ufumbuzi wa mambo yote mliyoyaeleza. Waziri mhusika Profesa Jumanne Maghembe yuko hapa, naamini naye amesikia vizuri. Atafuatilia kwa karibu.

HITIMISHO

Ndugu Wafanyakazi;
Nilikusudia leo kusema machache. Sina hakika kama nimetimiza ahadi yangu hiyo kwenu. Hata hivyo naomba nimalize kama nilivyoanza. Nawashukuru sana wafanyakazi na wananchi wote kwa juhudi kubwa na nzuri za kujenga taifa letu. Nawashukuru nyote kwa kuiunga mkono Serikali katika kutekeleza majukumu yake ya kikatiba. Nawashukuru pia kwa uelewa na uvumilivu wenu katika kipindi ambacho tumekuwa tukikabiliwa na changamoto mbalimbali. Nawaomba muendelee na moyo huu wa ushirikiano ili kwa pamoja tujenge uchumi na Taifa imara.

Wahenga walisema: penye nia pana njia. Basi sote tuwe na nia moja ili twende njia moja ya kuelekea kwenye Tanzania yenye maendeleo. Na linalowezekana leo, lisingoje kesho. Inawezekana Timiza Wajibu Wako.

Mungu Ibariki Afrika.
Mungu Ibariki Tanzania.
Ahsanteni kwa kunisikiliza.
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
mjasiliamali

getrude k. balomi ni mmoja wa wajasiliamali wabunifu wa nguo anayekamia zaidi mavazi ya kiafrika kwa kinamama na baba, batiki na sanaa za mikono. ukija dar msake pale barabara ya kimweri mkabala na hospitali ya ccbrt
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
joni feza

huyu ndiye mfanyabiashara maarufu jijini aitwaye joni feza. yeye anaendesha bar na hoteli ya bambuu kule kinondoni, awali alikuwa tazara klabu kisha hugo house. hapa akiserebuka na mkewe kwenye harusi ya ndugu yao
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
darasa

mambo yameanaza kuwa mazuri taratibu ambapo si tu watoto wengi wanaenda shule bali pia madarasa na madawati vipo. hii ni shule ya msingi ya manzese, darasa la pili
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
ubitozi

vijana wengi wa bongo wameacha ubitozi na kujiingiza kwenye fani mbalimbali ikiwa ni pamoja na utamaduni. hawa ni oya thieta
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
harusi

mlio ughaiubuni msihofu kuja kuoa ama kuolewea hom. tuna uwezo wa kuandaa sherehe aina yoyote ile - toka ya mkeka hadi ya kukata na shoka
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
coco beach

leo ni mei mosi na kama ilivyo kawaida kila sikukuu wakazi wengi wa kipato cha chini hadi cha kawaida wa dar hufurika hapa - kwa kukosa sehemu ingine kwa kwenda ukiacha kumbi za starehe na kontena
 
© Michuzi | Monday, May 01, 2006 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6


Idadi ya watu
eXTReMe Tracker