mengi yamesemwa kuhusu miss kinondoni 2007 richa adhia, hususan kuhusiana na utaifa wake. http://www.bongocelebrity.com/ imemnasa na kuongea naye wiki hii. bofya hapo umsikie mwenyewe anasemaje.





aidha, kuna wadau wamenihoji mimi binafsi kutaka kujua msimamo wangu juu ya swala la bibie richa, nami ingawa sina kawaida ya kuingilia mijadala kwa kuwa kazi yangu ni kama ya sepeto tu, lakini hili najibu bila kusita.
kwanza imenisumbua kuona wabongo wanaoleta mambo ya kibaguzi katika jamii yetu iliyosheheni amani na upendo kadhalika na upofu wa rangi ama jinsia. hainiingii akilini kwamba tumefikia hapo kwani ni imani yangu kwamba si wote wenye mawazo ya kibaguzi.
ndugu zetu waasia na wa matabaka mengine kama vile waarabu, wazungu n.k. tumekuwa nao tokea hata enzi za ukoloni na hata baada ya uhuru baba wa taifa mwalimu nyerere alisimama kidete kuhakikisha hakuna mgawanyo wa aina yoyote katika jamii; uwe wa rangi ama jinsia na katika kudhihirisha hayo kuna wabongo waliokuwa na asili ya kiasia ama kizungu aliwajumuisha katika baraza lake la mawaziri. kwa uchache tu kulikuwa na kina derek bryeson, amil jamal, anoor kassum ambao walitumikia taifa hili katika nyadhifa mbalimbali na nyeti kwa moyo thabiti hadi muda wao ulipogota.
hivi sasa tunao wah. kina mohamed dewji, rostam aziz, mohamed murad, parmukh singh na wengineo waliostaafu kama mzee adamjee wanaolitumikia bunge la jamhuri bila wasiwasi huku wakitoa na kupokea heshima kama wazalendo halisi walivyo.
kwenye michezo ndio usiseme kwani tokea enzi za akina shiraz shariff wa pan, mohamed virani, ramesh patwa, abbas gulamali, muhsin mohamed na murtaza dewji wa yanga na kina azim dewji, kassim dewji, mohamed dewji, shafii bora na nduguze, mzee amijee wa simba na mnyambala kaka wa tukuyu stars kwa uchache nao walikuwa bega kwa bega na wabonhgo wenzao katika kutumikia soka.
kwenye ulimbwende nako tunao kina dk. ramesh shah ambaye ni jaji mkuu na prashant patel mwenyekiti wa miss tz, kwenye cricket na mbio za magari tunao kina zully rhemtulla wamo pia.
hapo sijataja huduma za kijamii kama za hospitali, shule na vyuo vya aga khan, pamoja na ukumbi wetu tegemezi wa hafla za kitaifa na kijamii wa diamond jubilee n.k, hospitali za hindu mandal n.k ambazo mbali na ajira kwa wote pia tunapata huduma bila kujali we ni nani. pia usisahau kwamba familia ya karimjee ndiyo iliyotoa jengo lake kuwa la bunge (ukumbi wa karimjee, dar na tanga) na pia wodi ya kwanza ya muhimbili ya sewa haji ilijengwa na muasia.
siwezi kumtaja kila mtu ama kila kitu ambacho wabongo wa kiasia ama tabaka lingine lakini kwa sasa najiuliza kwa nini yawe haya tena; ya kumsakama binti richa kwa rangi yake kana kwamba yeye hana haki mbele ya wabongo wenzie. kwa nini hatujifunzi toka sauzi ambapo jambo kubwa alilofanya mzee madiba ni kuhakikisha kuna maelewano baina ya matabaka mbalimbali licha ya awali kuwa na ubaguzi wa rangi rasmi? muigizaji cherine ambaye ni mzungu pyua aliposhinda tuzo ya oscar majuzi nchi nzima ya afrika kusini ilishangilia bila kujali rangi.
hata zimbabwe ambayo inapigwa vita sana na nchi za magharibi lakini karibu timu yake ya cricket yoye ni wazungu. bafana bafana ama timu ya soka ya sauzi ina kila tabaka na hakuna anayetia neno na ndio maana wenzetu wanasonga mbele kimaendeleo. hivi mna habari kwamba bongo tuna timu ya taifa ya rugby ambayo imeshawakilisha nchi na wachezaji wake wote karibu ni wazungu?
najua wadau mtashangaa kusema yote hayo na kuonekana kama namtetea richa na nampigia paranja ashinde, la hasha. nimesumbuliwa sana na maneno yalojitokeza ya kibaguzi kiasi hata uzalendo umenishinda. na kwa kuwajibu wadau waliotaka na wanaotaka kujua msimamo wangu juu ya hilo mie sijali kama richa atafika mbali ama la. lakini huu mpasuko wa ubaguzi wa rangi ambao baadhi wanataka kuukumbatia siukubali na naulaani kwa nguvu zangu zote.
namalizia kwa kuomba radhi wote wale wenye msimamo tofauti na mimi na wala sina kinyongo nao kwani kwa vile nchi ni huru na kila mtu ana haki kutoa yaliyo moyoni kwa hoja na sio vioja kama kashfa, mie pia nimeutumia uhuru huo kusema yote hayo ambayo hayahusiani na msimamo wa blogu yetu hii ambayo ni ya kila mbongo kusema atakalo mradi hapitilizi
naomba kuwasilisha na nakaribisha mjadala uendelee bila lugha chafu ama kashfa...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 60 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2007

    Ustaaadhi kama unavyosema ni jambo la kushangaza, kutia aibu na kuuma mno kusikia kwamba leo hii kuna watanzania wenye kubagua wenzao kwa misingi ya rangi,dini au ukabila.Aibu sana kwa taifa lenye watu wakomavu kama Tanzania

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 12, 2007

    Kaka naona unatuchanganyia lugha. Mtanzania mwenzetu leo hii hii kasema hao hao kina richi sijui rachel ndio waliompakazia wewe unasema wametusaidia sasa sielewi kwa mwendo huu tufumbe macho au tufanyeje sielewi kabisa! kwa kweli

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2007

    ehe inaonekana kaka yangu ulikua na jazba sana. mweee wamuache anaweza akautua umiss tz mwishowe umiss world. kila siku wasouth wao mweupe ...what is wrong here. mimi sioni cha ajabu kama amezaliwa bongo, anaongea kiswahili, anajua katiba ya nchi yetu na anaifollow ipasavyo...hamna cha kulonga...

    lakini hili ni kila mahali always wazawa roho zinakatagaaaga hii na huwezi kuistopisha...afadhali kuna sheria katika kila nchi ulimwenguni la sivyo mbona watu wangekoma

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2007

    Michu asante sana. Kweli wewe ni MTZ halisi na nakubaliana na wewe hatuna haja ya kuendeleza ubaguzi wa kijinga. Sisi ni ndugu.

    Nimesoma kwa makini maelezo yako kaka ungekuwa hujaoa waosha vinywa wangesema una demu mhindi...hahaa Ila umesema yaliyo moyoni that is good. Ungeangalia pia upande wa pili kuona HESHIMA kutoka kwa wenzetu waasia. Kuna mtu aliwahi kusema wana tupa DHARAU tunawalipa UBAGUZI. To strike the balance nao waonyeshe heshima kidogo kwa wazalendo, misaada peke yake haitoshi. Hata neno shikamoo huwezi kusikia kutoka kwa mtoto yeyote wa kihindi...

    Nawasilisha sheikh

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 13, 2007

    Sisi ndio tunawabafua au wao ndio wanatubagua!? Muulize ana marafiki wangapi wamatumbi anaowakumbuka majina na namba za za simu? Je ameshawahi kuwa na rafiki wa kiume mmatumbi!? Katika hao ndugu zake watano kuna yeyote ambaye ana rafiki mmatumbi. Ninaposema ni rafiki namaanisha yeye au hao rafiki zake wanaweza kuombana misaada kama yametokea matatizo.

    Wacha hizo Michuzi, wahindi tunawajua!!! pamoja na kuishi Tanzania miaka nenda rudi wao wanajiona ni watu bora sana kuliko sisi ndio maana mpaka leo wana misikiti yao, hawataki kuishi maeneo yasiyo uhindini, hawataki kuoa au kuolewa na wamatumbi (ingawaje waume zao wanawahusudu sana dada zetu) muulize pamoja na wahindi kuishi miaka chungu nzima mbona hawataki kuchanganyika na wabongo!?

    Hao akina Dewji na company wala usiwataje wanaingia kwenye siasa ili waongeze utajiri wao lakini hawana mapenzi ya kweli na Tanzania.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 13, 2007

    Hii ishu ya waasia na wazawa inazimwa zimwa tu lakini hii ishu ni nzito sana.Michuzi sidhani kama kwa kutaja hao watu waliopo kwenye hizo nafasi za kijamii (ambazo upatikanaji wake ni fedha mbele) inaweza ikamaliza hii ishu.Mpaka kesho huwezi kuni-convince kwamba waasia ni sawa na wazawa. Kwanza waasia ni wabaguzi wa kutupwa akiwa anataka kitu kutoka kwako atakuwa rafiki vinginevyo ni patupu.Pili waasia ndio mzizi wa rushwa hapo Tanzania.Tatu hawajamaa kuingia Bungeni na kwingineko ni kuhakikisha biashara zao zinaenda salama na kuwa kwenye circle ya wakubwa sio kukusaidia wewe Michuzi usidanganyike.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 13, 2007

    Wee Misupu Sasa Umeanza Siasa Poa Utakua Kama John Komba Kaaza Kunengua Hadi Kua Mwana Siasa....Sisi Kama Wazawa Wa KINO Hatukubaliani Na Hili Swala Na Utaona Akishinda Miss World Kama Hajabeba Bendera Ya INDIA..Kina Robert Caros Wanapass Za Spain Lakin Wakishinda Game Wanapeperusha Za Brasil...Fumbueni Macho

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 13, 2007

    Mmmh! Michuzi watu wengi wamelalamika kuwawekea maoni yao kapuni? Je walipitiliza!? What is a definition of kupitiliza!? Nilidhani tuko kwenye awamu za uwazi na ukweli!! au bado tuko kwenye awamu ya "kificho na uwongo" kama cha mikataba ya madini mpaka kesho kutwa bado ni siri tu!?

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 13, 2007

    kama huyu binti ni mtanzania na analipa kodi sioni sababu ya matusi,akishinda u miss tanzania ataondoka kwenda kuiwakilisha taifa kwa passport ya tanzania sasa it does not materialize whether she is arab or black. mbona marekani kuna weusi na weupe lakini wote ni wamalekani. hayo yanayo toa matusi kuhusu huyu mrembo wetu wa tanzania yana wivu halafu mbaya zaidi hayajasoma kazi kutoa matapishi, lakini hii yote haita isha binti yetu mzuri kashinda na tunamwombea mafanikio mema.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 13, 2007

    Usifananishe waarabu na maponjoro maana ni sawa na kulinganisha usiku na mchana. Waarabu wanaoa na kuolewa na wamatumbi pia wanaishi uraiani. Waarabu wamejichanganya na wamatumbi ukilinganisha na maponjoro!? umeshasikia sehemu yoyote bongo inaitwa uarabuni!? lakini uhindini ziko kibao!!! Sasa anayetaka kujitenga na kuwa mbaguzi hapa ni nani!?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 13, 2007

    AHSANTE SANA SANA MICHUZI

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 13, 2007

    Anko michuzzzz! nakupa shavu neneeee! yani leo anko umeongea kitu cha maana dunia nzima..... mie huu ubaguzi ata siuelewi..... tanzania tunamakabila mengi sana lakini atuna ubaguzi kabisa sio kama watani wetu wa jadi ambao kila siku wanagombana kabila gani liwe kiongozi wa nji... sasa huu ubaguzi wa race... umetoka wapi? as long as mtu ni mbongo basi mie sioni tatizo..... katika kuongezea mifano yako anko michuzzzz hapo hapo bongo twende upanga pale tuangalie timu yetu ya creketi ya taifa? wachezaji karibia wote ni waindi mara yamwisho nilivyokuwa huko alikuwa mweusi mmoja tu... basi mtasema creketi mchezo wa wadosi basi twende tukaangalie timu yetu ya taifa ya rugby pale gymkhana....

    mbona mashindano ya magari amuongei kuwa hawa wadosi wanaenda kutuwakilisha nje ya nchi? eeh!
    Wewe aujivunii ukienda congo, wanda, burundi na ukiona mtu anaenda supamaketi na kununua unga wa azam? Anko michuzi naomba uendelee kuwaelemisha ndugu zetu wenye kutaka kuleta ubaguzi. Nisingekuwa hapa nilipo kama sio mzizima ile ile shule ya wadosi.

    Mdau mashariki ya mbali.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 13, 2007

    Unajiabisha Michuzi kama kweli uko bongo na uoni kwamba sisi na wahindi ni tofauti basi.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 13, 2007

    ndugu zangu mimi sio profesa wa saikolojia lakini ninachofahamu ni kuwa makundi yote ya binadamu(hata wanyama)huwa yana instinct ya kuji preserve.kwa hiyo tendency ya kutaka kuzaliana wao kwa wao ni natural,ndio maana hata kwetu waafrika tukubali tusikubali hiyo hali imekuwepo muda mrefu na sasa kidogo kidogo ndo inapungua,mhaya atataka aoe mhaya,mchaga mchaga,mnymbala mnyambala etc,that is a fact.na kwa wale wanaodhani mabinti wa kihindi hawapendi ngono na 'waswahili',si kweli',sisi wajanja wa mjini tunawalamba vizuri tu,ukitaka connection nitafute.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 13, 2007

    Lundenga eh,just for a change hebu tupe mlimbwende wa Taifa Mhindi bwana,who knows anaweza akaukwaa u miss dunia.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 13, 2007

    twendeni mbele turudi nyuma ndani ya Tanzania sijawahi kumuona askari wa kihindi,kiarabu na sheria ya hizo kazi zinasema ni lazima uwe ni raia wa nchi,sasa kama na hawa wahindi,waarabu ni raia mbona hizo nafasi hawapewi na wakati ni raia wenzetu?naomba kufahamishwa wadau wenzangu.

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 13, 2007

    HAWA WAHINDI UBAGUZI NI ASILI YAO. HUKO KWAO WANA MATABAKA YANAITWA "CASTE". CASTE YA JUU WANAWANYANYASA NA KUWATENGA CASTE YA CHINI KWA KILA HALI.WENGINE HAPO BONGO WAMEKIMBIA HUKO KWAO KUKIMBIA MATABAKA NA UMASKINI. WAKIJA KWETU WANATULETEA HIZO.

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 13, 2007

    Hapo Michuzi umepasha, wewe kama unamtetea huyo dada sema tu kwa kuwa yupo TZ na ana passport ya TZ. Lakini ukileta mifani ya sijui nani kachangia nini katika maendeleo ya nchi, huo utakuwa ni unafki, maana wahindi wanajulikana na kufuja uchumi wa nchi na pesa kuzisafirisha UK au Canada, na hako kaposho kadogo ndiyo wanachangia ili kuzuga/danganya toto. "Wajinga ndiyo tuliwao"

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 13, 2007

    Haya mimi siongei tena siku moja nilifanya na mama mmoja wa kihindi kama supervisor wetu milton keynes (uk)unajua alisemaje yeye na familia yake walikimbilia Uk kutoka tanzania kwasababu walifukuzwa enzi hizo nilimuuliza unawakika naunachosema maana Tz hakuna kitu kama hicho kimewahi kutokea akasema yes asilimia kubwa ya wahindi hapa tumekimbia toka TZ na Uganda na mume wangu siku moja kazini alimkuta muhindi wa tabora kazini anawahadithia wazungu kwamba hapa watu weusi wanajifanya wanamaana lakini africa wao ndio watumishi wetu ninavyo kwambia mpaka leo hii kesi yao inaendelea wanaendelea kuchunguza CCTV na wazungu wamekubali ushahidi.tu mwachie mungu

    ReplyDelete
  20. AnonymousJuly 13, 2007

    WATANZANIA NAOMBA MCHUKIE UBAGUZI WA AINA YOYOTE ILE.... TAFADHALINI SANA SANA.

    Ndugu Michuzi, Ubarikiwe sana kwa ujumbe wako. Nasikitishwa sana na tuhuma hizi za Miss Kinondoni kwa kiasi kikubwa sina la kusema. Kwanza naona umekuwa mpole sana kwenye majibu yako. TUMIA KALAMU KAKA KEMEA, KEMEA HUU UBAGUZI. Hawa watu ndio wanaowajengea watoto wao tabia hizi mbaya. KEMEA KWA KISHINDO

    Ombi langu kwa Kamati ya Miss Tanzania, naomba wasiwe wabahili wa kutoa elimu kwa Watanzania juu ya sifa za wanaotaka kushindania taji hili. Hii itaondoa maneno maneno pindi akina Richa wengine watakapoamua kushiriki. Tatizo kubwa la hawa wote wanaolalamika hawajui sifa za mshiriki. TUWAKEMEE!! WASHINDWE KABISA NA HIZO ROHO MBAYA ZAO ZA UBAGUZI WA RANGI NA TAIFA WASIJE KUTUTIA KATIKA VITANZI VYA MAISHA!!

    Dada Richa songa mbele katika maandalizi yako ya kugombea Umiss Tanzania tunakutakia kila la Kheri haya yote yanayosemwa na WATANZANIA wenzako yawe "changamoto" kwako, ikibidi prove wrong kwa vitendo. Wajue wewe ni nani? Na unauchungu gani na Taifa lako.

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika!!

    ReplyDelete
  21. AnonymousJuly 13, 2007

    Michuzi unabidi uwe mkweli acha kuwa mwanasiasa. Kama angechaguliwa Mwarabu hata Mzungu isingekuwa shida sana, sababu warabu na wazungu ni watu wanaojichanganya ingawa ni wabaguzi. lakini Wahindi nooooooooo!!, Kama ningekuwa na uwezo ningewarudisha kwao. Wahindi ni watu ovyo kabisa, wapo nchini kwetu karibu miaka mia lakini hawataki kabisa kujichanganya na wenye nchi, wanajiona wao ni bora. Kwenye nyumba zao za ibada umeshawahi kumuona mswahili?

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 13, 2007

    We anony wa 13 July 9:57 umenifurahisha sana. ee bwana mi nimewawinda sana hawa mademu wa Kihindi nimeshindwa kuwapata, na nina USONGO nao kweli kweli si mchezo.
    Hebu naomba nipe mbinu nitawapataje? Nikiwa na elfu 50 si zitamshosha?
    Fanya haraka!

    ReplyDelete
  23. AnonymousJuly 13, 2007

    Nakubali kabisa , wahindi walio wengi ni wabaguzi, wapenda kutoa rushwa,waharibifu wa maendeleo na wasio na mapenzi ya kweli kwa wananchi walio weusi.

    Pia hata sisi wazawa weusi ni wa baguzi,wabinafsi na hatupendani, , pia kiasi fulani tuna baguana kwa misingi wa dini,tabaka na ukabila, wengi wetu kuna makabila ambayo hatuta weza kumteua mtu na kumpigia kura ya kugomea urais akiwa kabila hilo , hiyo iko wazi.

    Suala la Bini huyu kugombea na kushinda taji hilo la Miss Kinondoni , sioni tatizo kwani hapo ni tuna fuata sheria iliyo wekwa , je sheria ya uhamiji ina semaje? mtu ili awe raia wa Tanznia ana takiwa awe na vigezo vipi? na je Kamati Ya Miss Tanzania ina semaje katika vipengele vya sheria walizo weka zinazo mruhusu mshiriki kushiriki, je zina sema awe raia wa kuzaliwa na asiwe na asili ya uzungu ,uhindi au chochote kinacho mfanya awe na ngozi nyeupe?

    Kwa kifupi Binti ana kubalika kushiriki mashindani ya kuwakilisha Taifa, kwani ni Mzaliwa wa Tanzania, hilo tosha lina mpa nafasi 100% ya kuwa mzawa, pili wazazi wake wote wamzaliwa Tanzania ,pia anatumai passport ya TAnzania. yey ni raia halali wa Tanzaniana hawezi kuvuliwa uraia wake hata afanya kosa kubwa kiasi gani kasababu ni raia wa kuzaliwa.

    Wanao daini Mhindi kwa Muonekano, hayoma dai hayana maana kani huko India akienda itaisi aombe uraia kwani hatambuliki kama ria wa India na hata akipewa uraia ata kuw ana uraia wa kurithishwa ambao haukupi uhuru 100% , uraia wa naina hiyo ni una weza ukavuliwa wakai wowote na kurudishwa chini uliko zaliwa kama ukipingana na sheria za nchi hiyo huasika.

    Mimi naweza kusema ni mbaguzi nakubali,kwani siwezi kumpa muhindi kura yangu aongoze Tanzania kama raisi, sababu na weza kusema nawaelewa hawa wahindi wengi walivyo , lakini sito weza kupinga muhindi raia wa kuzaliwa asigombee na asishinde uraisi,kwani kama raia yoyote sheria ina mpa haki zote nilizo nazo mimi mzawa mwezake.

    Kitu kimoja nilicho kuwa sija ppendezewa , sija sikia huyu Miss Kinondoni akituhakikishia kuwa anajua kiswahili vizuri, maana interview ilifanyika wka kingereza, ingekuwa vizuri tujue raia mwenzetu na jua nakukienzi lugha yetu ya Taifa

    ReplyDelete
  24. AnonymousJuly 13, 2007

    aaaas........just test....mana kila nikiandika sizioni comments zangu.....sasa najaribu tena....(sorry for the inconvinience).....VIPI huko UK kodi gani mpya imetoka? apart from "PAY AS YOU THROW",...:PAY AS YOU LAUGH"......bado mmekomaa mnaijenga Britain huku mmenuna...poleni.....mambo bongo ni kuku ile mbaya...halafu kwa taarifa yenu siku mtu akiamua kurudi bongo na alikwepa kulipia extension ya visa..basi utayakuta heathrow yanakusubiri....yanachofanya ni kukuchafulia passport halafu linakukabidhi form maalum eti limeku-deport kwa gharama yako mwenyewe.......SINA HAMU

    ReplyDelete
  25. AnonymousJuly 13, 2007

    MICHUZI KUNA MIJADALA MINGINE UNADHANI UNAJARIBU KUTAFUTA USULUHISHI KUMBE UNAZIDISHA KUTIA NDIMU KWENYE KINDONDA KIBICHI.
    HAYA MASUALA YA UTAIFA WA RANGI ETI MUHINDI, MZUNGU AU MWEUSI NANI MWENYE HAKI YA KUWA MTANZANIA, UTAKUPELEKA PABAYA.
    WENGI WANAOTOA MAONI YAO KUHUSU SUALA LA UARIA, SIDHANI KAMA WANAFAHAMU URAIA UNA MAANA GANI AU MTU GANI ANASTAHILI KUWA RAIA WA NCHI FULANI.
    WAPO WEUSI NA WAARABU WANAOCHEZEA UFARANSA MNA WANAHESHIMIWA KAMA WANAVYOHESHIMIWA WATU WENGINE.
    KAMA ULIVYOSEMA RUGBY TEAM YA BONGO IMEJAA WAZUNGU. WATU HAWAJUI HAO WAZUNGU WASINGECHEZA TIMU HIYO YA TAIFA BILA KUWA RAIA WA BONGO.
    HII KASUMBA ILISHAPITWA NA WAKATI NA YOTE ILIANZISHWA NA IDD AMIN DADA WA UGANDA WAKATI WA UTAWALA WALE.
    DADA HAKUSOMA NA ALIKUWA ANAENDESHA NCHI KIENYEJI NA KUJIFANYA YEYE NI JENERALI WA DUNIA.
    MIMI NATAKA HUYO MISS KINONDONI ASHINDE MISS TANZANIA ILI WATU WAKATWE KILOMOLOMO.
    NA KAMA HAKUSHINDA, ITAKUWA IMEFANYIKA NJAMA NA HATA HAO WAANDAAJI WATAJIONA CHOO.

    ReplyDelete
  26. AnonymousJuly 13, 2007

    Kwenye sherehe za kusheherekea uhuru kila mwaka pale uwanja wa Taifa sijawahi kuwaona wahindi. Je, huko nako wanabaguliwa wasiende au hawana mapenzi kweli na Tanzania hivyo hawaoni umuhimu wa kuhudhuria!?

    ReplyDelete
  27. AnonymousJuly 13, 2007

    Nafurahi Kuwepo Na Sehemu Kama Hii Ya Kuweza Kuchangia Mawazo Na Kueleweshana. Jamani Tukubaliane Kuwa Kuna Kitu Udamdam Yaani Hata Iweje Udamdam Upo. Kuna Watu Wako Nje Ya Tanzania Humu Wanaona Udamdam Huko Waliko Na Kuna Watu Wako Nyumbani Hapa Baadhi Wanauona Huo Udamdam na wangine Wanausikia Hapa Kinachoendelea Sio Ubaguzi Ni Udamdam.Twende Mbele Turudi WAHINDI Wabaguzi Japo Tunawaabudu Kwa Shinikizo La Wapambe Wao Lkn Wahindi sio Watu

    ReplyDelete
  28. AnonymousJuly 13, 2007

    Namuunga mkono anonymous hapo juu kwamba hajawahii kuona wahindi askari, hata mimi sijawahi kuona wahindi wafungwa. tembelea magereza yote kama utakuta mfungwa mhindi, wote ni weusi tu. ina maana kama kweli wao ni raia basi watakuwa ni raia watakatifu wasiotenda makisa kabisa. lakini nani asiyejua ushenzi wa wahindi mbona hawafungwi? hebu achini hizo bwana hakuna cha urai wala nini wao ni wahindi tu and they will never be africans hata kama dunia itabadili mwelekeo wake.

    ReplyDelete
  29. AnonymousJuly 13, 2007

    Wahindi ni kweli wabaguzi, tena ni kupoteza muda tu kujadiliana. Ingawa ubaguzi huo hawana linapokuja swala la kuwalamba dada zetu. Na wale ambao wanadhani eti warembo wa kihindi hawatafuniki, tafadhali tuwasiliane. Wanatafunika kilaini mnoooo, ila UKO TAYARI KULIPA BILLS? If you smell money hawana hiyana, sawa tu na dada zetu weusi. Tatizo confidence wanangu ziko chini mno. Confo sifuri kuwachangamkia. Waosha vinywa wananielewa... -SINZA.

    ReplyDelete
  30. AnonymousJuly 13, 2007

    Anony wa July 13, 2007 10:21:00 AM EAT,labda umri wako ni mdogo sana lakini askari wa Kihindi na Kiarabu walikuwepo wengi sana hapo zamani. Unawafahamu akina Colonel Kashmiri? Je yule aliyekuwa celebrated afande mkuu wa FFU Atchutan? Wenye asili ya uzungu walikuwepo akina brigedia generali John Walden "Black Mamba" (lakini ni Mnyakyusa),akina Hanspope (lakini waHehe) etc etc etc

    Bwana eh, mwacheni huyo Richa afurahie ushindi wake. Ndio tunajua waHindi wengi wa bongo wana matatizo yao etc etc lakini kigezo ni cha Ms Kinondoni ni kuwa mzaliwa wa TZ (katika mengi mengine) na Richa kazaliwa Mwanza - sasa tatizo liko wapi????

    ReplyDelete
  31. AnonymousJuly 13, 2007

    Jamani tumesha jadili hapo nyuma,huyo binti ili awaridhishe hao wabaguzi wa rangi ajipake mashizi ili awe mweusi.tatizo la rangi litisha,tatizo si rangi tu!!!Hakuna ziada ajipake mashizi

    ReplyDelete
  32. Bwana eeh! Mimi hata iweje siwezi kuridhika na huyu ponjolo manake hata angeongea kichagga lkn bado ni ponjolo tu!! na tz wapo wengi mno na ni wanyanyasaji sana!! Really I hate them badly!!

    ReplyDelete
  33. AnonymousJuly 13, 2007

    Mawazo yangu ni haya
    a) huyu dada ana haki ya kushinda hayo mashindano kwa sababu ni mtanzania kama wengine-si ajabu hata mababu zake wamezaliwa hapo TZ
    b) wahindi hupenda kujibagua, na kutojichanganya na wamatumbi, ndio maana waeusi hawawapendi sna.
    c) waarabu ni tofauti, wao wamejichanganya ilivyo. Tembelea Tabora utaona mwenyewe.
    d) wahindi wana kadharau fulani hasa wakiwaaajiri weusi, hii nayo inachangia. Au labda sio dharau ni kuwajibika??Wadau mnasemaje, manake mswahili akienda kazini anataka apige domo tu-na kazi inakuwa haiendi
    e)sisi weusi tunaweza kujifunza kwa hawa wahindi-kwa nini wanafanikiwa sana kwenye maswala ya biashara?? Pia kwenye hiyo misikiti yao-wanasaidiana sana
    f) nafikiri mfano wa wahindi ni kama wayahudi (jews) wa huko marekani-hawa ni matajiri sana lakini bado huwa wanalalamika kuwa wanabaguliwa..........

    g) NAOMBA WAHINDI NA NYIE MTOA MAWAZO YENU JUU YA HII MADA.

    ReplyDelete
  34. AnonymousJuly 13, 2007

    KIkubwa ni kuwafundisha kuwa ukienda rome ufanye kama ya waroma hivyo hawatabaguliwa. Wao wenyewew wnajibagua na kutesana sana. Hivyo wanaleta katika nchi yetu pia. Sisis tuliwapenda na kuwaheshimu sana lakini jinsi nionavyo hailipi fadhila na mambo yao ya unyanyasaji.

    USA kuna mmoja na mkewew katupwa jela mpaka leo ndio labda watapata hata hiyo bail wakisubiri kesi yao ianze. Waliwaweka wakwao kama watumwa. Wakawafanyisha kazi usiku na mchana. Marekani haitaki jinga hiyo. Bongo ni vijana wangapi wanafanyinzwa kazi kama nini na kupigwa vibao .

    Ni lazima wajirekebishe na kufundisha watoto wao culture yetu la sivyo watazidi kubaguliwa tu

    ReplyDelete
  35. AnonymousJuly 13, 2007

    Wahindi wanadharau wakiwa na hela. wasipokua na hela au ukiwaajiri ukawa boss wao weee wachapa kazi kweli. Ila usiwaachie wakufanyie mambo ya hela watafungua biashara yao within a week. Hawasubiri hata mwezi wanahamisha hela haraka haraka. This is from my personal experience.

    ReplyDelete
  36. AnonymousJuly 13, 2007

    hihihi bongo unazua zozo la bure mbona Richa alikuwa ndio demu wangu na pia nimeshatoka sana na demu wa kidosi wengi sana ila wanataka iwe siri ila kina dada zetu wao wanataka mpaka kila kona ya dar watu wajuwe kuwa wanatoka na nani ? mademu wa kidosi wao watoka na wabongo ila watakaki shida au waombia kitu ila mradi love ipo kati yenu kama vile sinema za kihindi ila mademu wa kibongo wanawapenda watu wenye pesa na majina so that problems wivu kama binti hamwashinda wenzio kwa mwachie mtoto wa kihindi wakilishe bongo ndio mbongo duuuuuu, kama baba zetu ndio wanaokuwa rushwa so wakulaumiwa ni wazee wetu sio wahindi maana mtu ahakikupa rushwa kama ukikataa hapo safi na kama ukikupali ndio umepatikana lazima ulipe fadhila back sasa wao wahindi wameona ndio wakati wakula na wazee ndio maana viongozi mpaka sasa kwenye kila kona kila ofisi, wizara,wabunge bodiwanalilia kuwapo maana kuna rushwa na pia wakitoka na kijana hakiingia ndio mambo kwao pia hawa wazee wawezi kuleta maendeleo hata kidogo wapeshe vijana ....

    ReplyDelete
  37. AnonymousJuly 13, 2007

    Michuzi mimi ningeomba uweke mjadala wa ukimwi tu kuliko haya.

    Hawa watu wanasema wanabaguliwa sisi tuko nchi za watu tukiona mambo yamekua magumu tunarudi kwetu. wao kama na ubaguzi mbona wanakaa tuuuuu hapo nchini na kuzaa watot na wajukuu na vitukuu. Na reproduction yao ilivyo ya nguvu utakuta 4 or 5 generations zipo hapo.

    Ndio maana huku tuliko tuko wachache sana kila nchi unayoenda wanaongoza wahindi, wanigeria, wachina, waphilipino na wakenya. Sie waaaaa.... ukiona jazba limezidi unafungasha virago unarudi kwenu. Kila siku wabongo wanasemaga....waliaga walivyoondoka makwao na wala hawakufukuzwa na mtu. Maji yakiwa marefu twarudi kwetu....Hawa hawana kwao?????????? You don't like the people rudi kwenu otherwise kaa kimya.

    ReplyDelete
  38. AnonymousJuly 13, 2007

    Kaka MICHUZI, HIZI NI ZAMA MPYA KABISA, NADHANI HUJAWAHI KUFANYA KAZI KWA WAHINDI HATA UNGEKUWA PROFESA KWAO NI KAMA KUKU TU, kwa nini SISI TUWAPIGIE MAGOTI?,KWA NINI WATUDHARAU?, KWA NINI WANA TUDHALILISHA, KWA NINI WANATULIPA MISHAHARA MIDOGO, KWA NINI WANAWANUNUA VIONGOZI EWTU WAFANIKIWE KIBIASHARA, SIKUWA TUNAWACHUKUIA KUNA ZAIDI YA HAYO. na hapo ndipo penye hoja.Ni mimi mdau, mwajiriwa wa wahindi.

    ReplyDelete
  39. AnonymousJuly 13, 2007

    ukweli ni kwamba huyu demu kiwango.hata mkisema ni muhindi haina maana,mlinganisheni na wenzio aliopambanishwa nao.yeye peke yake anafanania na walimbwende wengine wa miss world.sawa na yale yaliotokea mwaka wa wema sepetu-nadya ndo aliku mzuri kuliko wanawake wote walioingia ms tanzania mwaka jana.alafu huyu dada wa sasa ivi mzazi wake mmoja ni msukuma,hivyo msiumize sana vichwa jamani.tunakutakia kila la kheri mama.stay focused. Ila jihadhari na wenye ukimwi wanaoacha wake zao na kufata dogodogo. ok ma? shinsa

    ReplyDelete
  40. AnonymousJuly 13, 2007

    Michuzi you were very right!

    I WISH TUNGEWAPATIA URAIA WA TANZANIA AKINA
    DIDAH,
    EMMERSON,
    KAKA,
    BECKHAM
    VIEIRA,,
    THIERRY HENRY,
    LEHMANN,
    PETER CHEZC,
    MIDO,
    MARIA MUTOLA,
    THE KENYANS LONG DISTANCE RUNNERS,
    MICHAEL JORDAN,

    Oh list ni ndefu sana.
    Kumbukeni comments za mzee Warioba (Waziri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu
    ) juu ya timu ya taifa ya ufaransa iliyoshiriki kombe la dunia.
    Ile timu ilikuwa na zaid ya 70% wa first eleven ambao si wazawa wa Ufaransa, lakini wemeweza kuipigania Ufaransa kama taifa lao kuipatia heshima kubwa mbele ya uso wa dunia.
    Kumbukeni kuwa binadamu wote ni sawa.

    ReplyDelete
  41. AnonymousJuly 13, 2007

    Hakuna anayekataa km wahindi ni wabaguzi na wana dharau. Lakini haya ni mashindano na vigezo havikumtenga huyu binti. Kwa hiyo mi sioni sababu ya kumbagua. Binti hongera. GUCHI GUCHI GOTAHEEE....BUNYERI BUNYETE PWAHEEE..!!!!

    ReplyDelete
  42. AnonymousJuly 13, 2007

    Mnanichekesha sana wa Tanzania. Huwa mnapiga makelele mwishoni ambapo hamna hata maana ya kupiga hayo makelele. Yaani hii inaitwa loser all the the time. Mbona huyu dada alikuwa anawekwa kwenye magazeti all the time kabla hajachukua crown hiyo na hakukuwa na makelele.Sasa kapata makelele mengi ile mbaya. Kweli nguvu ya masikini .......... Mimi sio funny kabisa ya wahindi kutokana na tabia mbaya waliyonayo hata huku US tunanotice lakini kama hatupendi mambo haya basi tujitokeze mapema kabla ya maji kumwagika. .

    ReplyDelete
  43. AnonymousJuly 13, 2007

    Kwa kweli mi sioni sababu ya huyu dada kutokuiwakilisha nchi eti kwa sababu ya uasili wake. Ni ukweli usiofichika kwamba wahindi ni wabaguzi kwa mambo mengi. Na kwa wale wachambuzi wa kihistoria watakuwa wanafahamu kuwa nchini India hata wao wenyewe wanabaguana. Huoana kwa kufuata makabila etc. Na hii iwe changamoto kwa Watanzania wote wenye asili ya kihindi kujua kwamba ubaguzi haufai na ndio maana wengi wanakosa kura kutoka kwa wazalendo wanapogombea nyazifa muhimu za serikali na hata kuiwakilisha nchi katika mashindano mbali mbali.

    ReplyDelete
  44. AnonymousJuly 13, 2007

    Napenda kuchukua nafasi kumpongeza binti mzuri. Mtanzania mwenye asili ya Kiasia. Nadhani hii ndio inafaa zaidi kuliko kumuita Mhindi(Hindustan) maana yeye hana urahia wa India. Binti Hongera sana. Ila napenda kuchukua nafasi hii kukupa ushauri huu. Nadhani umeona haya maneno mengi yaliyosemwa hapo juu na wa-Tanzania wenzio ambao sidhani kama wanakuchukia, bali wanakerwa na mambo yanayofanywa na wa-Tanzania wenzetu wenye asili ya Ki-Asia, sana sana wale wenye asili ya India ambayo kwa upande mmoja au mwingine yanadhihirisha kuwa ni ubaguzi kwa wa-Tanzania wenzio wenye asili ya Kibantu. Kwahiyo wewe kama KIOO CHA JAMII napenda uwe balozi mzuri katika jamii yetu ya ki-Tanzania na kuwaelemimisha wa-Tanzania wenzetu wenye asili kama yako waondokane na dhana chafu walizo nazo za kibaguzi. Offcourse mi kwa sasa nakaa India na najua ubaguzi wa hapa jinsi ulivyo mbaya na jinsi unavyokera hasa kwa mtu mwenye ngozi nyeusi. Lakini siwezi kukuhukumu wewe kwani we sio HINDUSTAN. We ni Mtanzania, ingawa sidhani kama ungelikuwa hapa India ungelibaguliwa kama mimi m-Tanzania mwenzio. lol!

    Ila achana na mambo ya hapa India maana hapa tunaongelea juu ya Tanzania na watu wake.

    Nadhani serikari ya Tanzania inabidi itoe elimu ya uraia kwa watu wake. Lazima watu wajue nini maana ya kuwa Mtanzania. Utanzania sio kuwa m-Bantu. Nchi yetu ilishabadirika siku nyingi tangu enzi zile mababu zetu wameruhusu Asians hasa Persians(Arabs) na Indian kuingia nchini kwentu na kujiweka mizizi) so kwa wakati huu nao ni wazawa. Mtu ambaye si mzawa ni yule mhamiaji(Migrant) na nadhani serikari yetu inazo sheria za kumpa mipaka mhamiaji. Ila m-Tanzania mwenye asilia ya India kama si mhamiaji basi yeye ni mzawa na ana haki ya kushiriki jambo lolote.

    Ila hapa India is worse kuwa mgeni na kuwa mtu mweusi. Wao offcourse wana mambo yao hapa. Kizazi chao hakijachanganyika sana kama sisi, so wao wanajiona kama ni wao tu, so wanapoona mtu wa sehemu nyingine kwa njia moja au nyingine lazima watambagua. Kwanza wao kwa wao wanabaguana. Nadhani mmesikia juu ya caste zao mbalimbali. Zimejaa ubaguzi. Pia kama mhindi ametoka South India, ambao wao ni weusi kiasi fulani ubaguliwa. So India kusema kweli ni WABAGUZI bila kubisha.

    Sasa je ndio hayo hayo wa-Tanzania wenzetu wenye asilia ya India wanatuletea sisi wenyewe asilia ya Bantu. Je wanataka Tanzania iwe kama India? Je tuanze wanyima urahia watu wenye asili ya Asia?J e tuanze wakatalia pangisha katika nyumba zetu? Je tuanze waita majina yasiofaa kama wao watuitavyo sisi? Je tuwakatalie wasicheze katika viwanja vyetu? Je tujaribu wagonga kwa magali yetu? Je tuwatenge kama wao wajitengavyo? Maana haya ndio niyaonayo India na ni yale yale ndugu zetu wanatufanyia Tanzania.

    Mengi ninayoyaona hapa India na ni yale yale unayaona yanatokea kwa wa-Tanzania wenzetu wenye asili ya Asia wakiwafanyia wa-Tanzania wenzao wenye asili ya Kibantu. So inabidi wa-Tanzania wenye asili ya ki-Hindi wabadirike, la sivyo jamii itazidi kupata hasira na mengi mabaya tutayaona hapo mbeleni. Maana ni mbaya mfano kwa mtu ambaye amekaa India na ameona ubaguzi wa hali ya juu ukimtokea hapa, then arudi nyumbani akute the same SHIT happening. Hapo itakuwa mtafutano. So wa-Tanzania wenzangu bila jali kabila, dini, rangi au chochote kile tusaidiane kuelimishana. Tuanchane na Ubaguzi. Ila lazima tujue endapo tutatoka nje ya TANZANIA iyo lazima iwe isiwe tutabaguliwa tu. This world isn't fair at all. Ila nyumbani ni nyumbani bwana iweje nibaguliwe nyumbani kwangu kabisaa? Kutawaka moto!

    Binti songa mbele usikate tamaa. Nadhani hii inakupa changamoto na unapata kazi ya kufanya kwa Wa-Watanzania. TOKOMEZA UBAGUZI. Elimisha watu. Wajue nini maana ya ubinadamu. Watu waondokane na dhana ya kujitenga, ya kunyanyasa, ya kuwafanyia unyama wenzao, kuwatumikisha kazi za kijinga. Mi ninasema yote haya sababu nimeishafanya kazi na wa-Tanzania wenzangu wenye asili ya India na nawajua kabisa jinsi wanavyowafanyia unyama wa kijinga watu wa asili ya BANTU. Sasa huu ndio wakati wa kuvunja UKIMYA HUU. SO LETS BREAK THE SILENCE na tutokomeze ubaguzi. Binti fanya kazi.

    Yafanyike haya.
    1. Mambo mengi yanatakiwa fanyanyike kwa nguvu moja kwa faida ya watanzania wote. Michezoni watu waingie si kwa manufaa yao binafsi bali kwa manufaa ya taifa zima.
    2.Serikarini watu waingie kwa manufaa ya taifa na si kwa manufaa yao binafsi.
    3.Michezo kama CRICKET, RUGBY, GLF ifundishwe kwa watu wote si kwa wa-Tanzania wenye asili fulani.
    3.U-miss Tanzania pia ushirikishe wa-Tanzania wote bila jali rangi.
    3. Kila m-Tanzania achukue nafasi ya kuitangaza Tanzania. Ni aibu kuona Tanzania aijulikani sehemu mbalimbali. Tunazidiwa na majirani wenzetu wa-Kenya. So kila mtu mwenye uraia wa Tanzania anayo haki ya kuiwakilisha nchi yake katika ngazi yoyote ya kimataifa na nchi yetu itapata jina zaidi na heshima zaidi.

    Naomba kuishia hapa!

    RICHA Karibu India! lol

    Mungu ibariki TANZANIA, na WATU WAKE.

    ReplyDelete
  45. AnonymousJuly 14, 2007

    Ndugu Michuzi,

    Napenda chukua nafasi hii tena kusema yafuatato. Niliweza toa maoni pitia www.bongocelebrity.com na nika-copy the same comments katika blog hii. Baada ya kusoma comments za watu walio tangulia napenda kusema yafuatayo tena.

    Watu wameongelea juu ya Tanzanians wenye asili ya India kuwa wabaguzi. Ni kweli hawa watu ni wabaguzi. Kila mtu aliyefanya kazi kwa watanzania wa namna hii ataweza kuwa shahidi tosha.

    Na pia ni kweli hawa jamaa hawana uchungu na nchi yetu. Na hii si Tanzania pekee, bali ni kila nchi walipo Indians( iwe Africa, Europe au America au popote pale), hawa watu ni kama watafutaji na pia kama wapita njia. Wakiingia nchi fulani offcourse watakuta sheria za nchi fulani, na watajaribu kutafuta njia rahisi ya kuwawezesha wao waishi pale. Wataomba uraia, mtawapa uraia, watafanya wanachotaka kufanya then mambo yakikaa sawa watatafuta usawa wa kusonga mbele. Lakini kumbuka mali zote watazipeleka huko kwao. Nani anabisha? Nenda sehemu za Chandigher hapa India utaona ni jinse gani hawa jamaa walivyochuma huko na kuja kufanya mambo ya jabu katika miji yao. Wameujenga mji wao ingawa wao binafsi hawakai hapo. Si Chandighar pekee ni miji kadhaa jamaa wamefanya hivyo. Siwalaumu kwa hilo. Nadhani wao ni wajanja na sisi inabidi tujifunze kwao. Kama sisi ni watanzania na tukaamua enda sehemu zingine tukaona pale twaweza tengeneza pesa, basi tufanye kazi vyovyote vile vile ila tujue kwamba hela yetu tuirudishe Tanzania na kuijenga Tanzania yetu. Msitegemee Mhindi atakuja wajengea Tanzania au Mzungu. Hawa jamaa wata-set office zao zitakazowasaidia wao kutengeneza pesa na wakishatafuna vya kutosha watachomoka na kuangalia usawa mbele. Ukija India utashangaa India inakua kiuchumi, inakua kiuchumi. Unandhani pesa inatoka wapi? Kwa hawa hawa jamaa walio katika nchi za watu. Wanajitahidi waikuze India yao iwe kama sehemu nyingine kubwa dunia hii. Offcourse sisi Tanzanian were so blind tangu siku nyingi kiaisi kwamba haya mambo hata ukiyaongelea utaonekana mzushi. Ila ukweli ndio huo. Indian yeye atabaki kuwa Indian.

    Kwanza msishangae kuhusu wao kujitenga. This is how they are. Sema labda sisi tulishindwa weka mikakati tangu zamani ya ku-control movement za hawa watu ndio maana tukawa overloaded na hawa jamaa mpaka kiasi kwamba wanaweza kuwa rich people wa hapa, na sasa politicians n.k. Nchi kama hapa India baba ni noma. Kwanza we mtu mweusi uje uupate uraia wa hapa utalia. Pili hata ukiupata hata siku moja don't expect kuwa treated the same as they are. We angali sisi wenyewe tuko hapa jamaa hawa watutenga. Hawataki kaa karibu na sisi. Sometime waenda tafuta nyumba ya kukaa akikiuona mweusi yani anavyokukatalia ni noma. Sasa ngoja niwachekeshe. Siku moja rafiki yangu Congolese anatafuta nyumba karibu na mtaa wangu. Sasa yeye English kidogo tabu akaniomba nimsaidie. Tunafika kwa Property Dealer, nje kabisa Kibao cha Office kimeandikwa "Properties Dealers" na jamaa anahusika na kutafutia watenja nyumba, eh ile naingia hata sijasema ninachokitaka jamaa ananiambia "No Vi don't provide". Namuuliza vipi kwani nyie sio properties Dealers? anakataa "No, Vi are not". Ila natoka nje namuuliza jamaa mwingine anasema ni pale pale nilipotoka. Offcourse niliumia sana ila uzalendo ulinishinda na nilirudi ndani na kuwapa kubwa jamaa. Hafu jamaa wenyewe madingi watu wazima kabisa. Siku nyingine jamaa wataka tugomba na magari yao. Siku nyingine waenda Club kujirusha ah wakataliwa kisa mweusi. Sasa njoo street jinsi unavyoitwa majina ya kisenge kisenge. Mara "sabsiiii", mara "kaluu" n. k kama wanavyojua wao. Yani usenge usenge. Ila me siku hizi ninawaweza. Nawapiga dole na kuwaambia "benkirola mazachotii"

    Sasa njoo swala la madada zao. Ohoo ni noma baba. Sijawahi ona jamaa wana wivu. Wao wamefundishwa hivi "unaweza olewa au olewa na mhindi mwenzako" mweusi na mzungu ni kitu kichafu kwao. Ila wanaruhusu mvulana kuwa na mahusiano na msichana mweusi au mzungu. Na kusema kweli madada zetu waliokuwa hapa lol "mambo wametoa kwa wadosi.. ha ha ha ha" ila sasa binti baba ni noma. Hawezi kamwe kuwa na bwana mweusi. Cha kuchekesha siku moja jamaa kaona Totoz moja wakati ameenda cheza kikapu, dah si jamaa kaipenda ile anaitokea unajua inamwambiaje? "Remember I am white and you are black so we can't be together" Jamaa ikabidi atukane tuu maana aliona demu anamzingua. Sasa hapa mademu wengine wanapenda kweli blacks ila shida iko kwa makaka zao. AU tuseme wanaume kwa ujumla. Wakuona na binti wa kihindi mmeongozana yani wanaweza wakakuvamia wakakupiga au ukaitiwa police mfano wamemkuta binti ndani ya nyumba yako au mwenye nyumba akakufukuza kwenye nyumba yake. Offcourse huwezi kosa mabinti wa kihindi wale wajanja. Wapo ila ndio hivyo jiandae kwa lolote. Pia inabidi iwe siri. Hamuwezi ile mkawa mnajiachia kama wao wanavyojiachia. Inabidi binti aje kwako usiku kwa kujificha. Mchana kama vipi mnaweza hata mkapitana kama hamjuani. Na wanapenda kweli mambo ila sasa ndio hivyo baba ikijulikana au mwenyewe akakugeuka siku moja ukawii pewa kesi ya kubaka na hapo jiandae kutoa bingo kibao au ndio uingie jela. Kwa ujumla hii ni DUNIA NYINGINE. Thats why jamaa kibao huamua kiukimbia nchi yao ya uzawa na kwenda tafuta maisha sehemu nyingine. Lakini kumbuka hawajasahau kabisa walikotoka. Kila baada ya muda watakuja kuhiji makwao. Ninao rafiki zangu wa kindi waishio Tanzania na huwa wanakuja India kutembea walikotoka ingawa wao ni Watanzania. Embu niwaulize Mchaga ataacha kwenda Moshi kila baada ya muda flani kuhiji? Basi ndio kwa hawa ndugu zetu.

    Kwahiyo sisi inabidi tusiwalaumu sana kwa ambayo wameyafanya maana ni tabia yao tangu zamani bali twaweza yakemea na wakabadirika na kuwa kitu kingine. Kama kweli wao ni Tanzanians, iwe kwa kuzaliwa au kwa kupata uraia wa kuomba basi wafanye vitu kwa mapenzi ya Tanzania. Pia sheria yetu lazima iwe wazi kwa wahamiaji na kwa wazawa(iwe mzawa Mbantu au mzawa Mhindi). Kila mtu ajue wajibu wake kwa taifa na mipaka yake pia. Pia serikari inabidi iiangalie mikataba ya makampuni ya hawa jamaa zetu maana mara nyingi wao hata kama hutoa ajira angalia jinsi vyeo walivyojipatia patia. Kwanini hakuna proportionality ya kazi katika kampuni za hawa jamaa? Kumbuka wako ni minority hapa iwezje Mbantu ndo awe anafanya kazi za kishenzi shenzi tuuu? Mi nilishawahi fanya kazi kwa Mhindi hapo Bongo kama mtaalamu wa Computer. Siku umeme ukawa umekatika "Which means computer hazifanyi kazi eti ananiambia "("jina langu" sasa kwasababu umeme hakuna twende ukawasaidie jamaa kubeba mizigo" Mizigo yenyewe ni makabati, mameza toka kwenye nyumba moja kwenda nyingine. Wafanyakazi wenyewe wanaobebeshwa ni madereva wa magari yao makubwa, wafanyakazi wa ndani na walinzi. Lakini kumbuka mshahara hauongezeki. Ah mi kusema kweli mbishi bwana nilimbishia jamaa kwamba siwezi, na jamaa alipoona ninaweza wajanjarusha wale wafanyakazi wengine jamaa aliniomba msamaha na akaniambia nikae ofisini kwangu. hakutaka nikutnane na wafanyakazi wengine. Iwezje niajiliwe kwa kazi za ofisi baadaye nifanyishwe kibarua bwanaaa? eh. uhuu ni usenge. Hafu serikari ipo tu inaangalia hata haiwafuatilii hawa jamaa. Mi nafikiri labda tungekuwa wabaguzi kama wazungu au hata hawa wazungu tangu mwanzo tungekuwa juu sisi wenyewe kwa nguvu zetu maana hawa jamaa wasingapata nafasi ya kijichimbia mizizi katika jamii yetu na sasa tungeulilia u-Tanzania wetu halisi. Ila sasa ni too late. Hii hali imetokea miaka kibao tangu babu zetu walipowalegezea wa-Arabs, Indians na Wazungu. Sasa Hawa wagenii ndio sio wageni tena. Waishakuwa more than wageni na sasa ni wenyeji "Wazawa" na wao ndio matawi ya juu na wao ndio waiendeshayo serikari yetu, uchumi wetu nakadharika. Sasa tutabisha nini? Kama tangu zamani tungewabagua hawa watu tungeijenga nchi yetu kwa kuwa tungekuwa na machungu na nchi yetu. Sasa utakuwaje na machungu ya nchi yako wakati hawa jamaa wenye pesa wanaokunyonya kila siku wenyewe hawana uchungu na nchi yako? Haiwezekani bwana tunadanganyana. Cha muhimu ni sisi kuliona hili ni tatizo. Kumbuka hatuwezi wakana hawa jamaa maana ni ndugu zetu na pia ni wa_tanzania wenzetu, so wana haki kama watanzania. Ila labda inabidi tuyakemee mambo yao ya kisenge wanayoyafanya na wabadirike. Me kusema kweli siwachukii, na I hope hawanichukii pia. Ila kama, nasema kama jamaa hawa watanizingua yani kusema kweli sijui itakuwaje. Patakuwa padogo. Kwanza kulingana na mahasira ninayoyapata nikiwa hapa India. Natamani ningeliwafukuza kama Idd Amin. Ila sasa siwezi na pia sheria za kimataifa zitanibana.

    Lakini hii isiwe kigezo cha kumuhukumu Binti yetu mrembo-Recha. Nadhani huu ni wakati wa kumtumia Recha katika kutoa elimu ya ubaguzi kwa watu wa jamii yake na kwa watanzania kwa ujumla. Naaamini anaweza kuwa balozi mzuri.

    Kumbuka wahindi wanalalamika sana wao wanavyobaguliwa sehemu nyingine za dunia. Kumbuka kipindi kile cha BIG Brother UK- Shilpa Shetty alivyofanyiwa. India nzima watu walilalamika juu ya wao kubaguliwa. Lakini wao hata siku moja hutasikia wakisema wao ni wabaguzi. Juzi juzi kuna mwanamziki mweusi toka UK (anaitwa Simon Webbe-he is a POP singer) amekuja hapa India kufanya shows yani huwezi amini jamaa walivyomfanyia alipokuwa aki-perform on stage. Alianza rushiwa chupa kiasi kwamba jamaa akashidwa endelea na show. Mobb Deep from US walifanyiwa dharau mbaya pia. Yani ujinga ujinga ujinga hapa.

    Sasa angalia kitu hiki ingawa nyie hamuwezi kijua. Kusema kweli India kusoma habari za za watu weusi (hata wafanye mema vipi) kwenye magazeti yao ni ndoto. Nimekuwa nikisoma magazeti yao tangu zamani. Kipindi cha kombe la Dunia na matukio mengine ya kimataifa mfano Kricket, Music n.k wataandika habari za mtu mweupe tu. Hutawahi sikia sijui wamemuandika mchezaji wa timu fulani ambaye ni mweusi. Wao wataandika mzungu au Mmarekani/Muingereza mwenye asili ya India. Watu wachache utakaowasikia labda sana sana huku ni Beyonce, Willy Smith, Halle Belly na Opra. Basi. Wengine sahahu. Sasa ukija kwa habari za Africa ndio kabisa sahahu.

    Mi nadhani sisi Africans (especially Black People tunahitaji kuyaangalia haya mambo katika mtazamo mpya) offcourse hatutakiwi kuwa wabaguzi ila lazima tujue tunabaguliwa popote dunia hii. Mkitaka amini nyie tokeni nje ya Tanzania ndio mtaamini kwamba ngozi nyeusi yabaguliwa hadi sasa. Sasa tunahitaji jiwekea heshima yetu wenyewe. Magazeti yetu yajazwe habari za weusi wenzetu. Sisi tujitangaze. Iwe mweusi wa ndani ya africa au nje ya africa. Tujitangaze na tupende mila zetu na rangi zetu. Tuandike magazeti yanaowaonyesha watu maarufu weusi. Wasiootupenda hakuna kuwapa shavu maana hawa hawa ndio wasaliti. kama wakija nchini kwetu tutawakaribisha bila kuwadhuru ila tusiwape nafasi ya kujepenyeza katika jamii zetu na kutufanya sisi tuwaabudu. Angalia jinsi waarabu, wahindi, wazungu walivyotuteka akili kiasi kwamba twaona yetu hayafai. Wao ndio matawi ya juu sisi tuko chini. Kwanza wahindi na waarabu ilitakiwa wawe vibarua nchini kwetu kama sisi tunavyokuwa sometimes vibarua katika nchi zao. Sasa iweje sisi ndio tuwe vibarua wao katika nchi zetu? Hii ndio what we call "SLAVE IN YOUR OWN COUNTRY"

    Anyway ni mambo mengi ya kusema. Na nayasema haya simaanishi tuwe wabaguzi. Maana hii sio karne ya ubaguzi. Ila lazima watu wajue what we are facing as black people and lets BREACK THE SILECNCE"

    Naomba tuendelee kumpa nguvu huyu dada yetu na kama mambo yakaenda poa akashinda katika hatuza za mbele na akaiwakilisha nchi yetu kimataifa na akashinda nadhani itakuwa sifa kwetu sote. Offcourse watu wa hapa India watasema sana juu ya hilo, Ndio hivyo wako proud na damu yao. lol! Maana Sunita William (Mhindi mmarekani-mwanamke wa kwanza kuweka rechords ya kukaa on space kwa muda mrefu) amekuwa maarufu hapa India maana kila kukicha habari zilikuwa ni juu yake na walikuwa wanamsifia kama mhindi mwenzao na kama shujaa kwao. Wapo wengine kama Sanjaya alikuwa katika American Idol naye ilikuwa balaa ingawa na mmarekani mwenye asili ya Kihindi. So nadhani na kwa dada yetu hapo watapata kujisifia kama Mtanzania mwenye asili ya Kihindi, na wataendelea dhihirisha kuwa wao ndio wazuri wa dunia. (jamani mnaona hapo ilivyo complicated? lol). Sisi tutajisifia vipi? Kwamba ni ni mtanzania mwenzetu na ameitangaza Tanzania. Achilia mbali of what they gonna say here in India. Sisi tutasonga bwana. Na inawezekana kwanza yeye Recha akawa anapingana na wahindi wenzake wenye mambo ya kishenzi na hata wahindi wa hapa India. So tumuombee awe na moyo safi na afanye kazi yenye mafanikio.

    Mi nina rafiki yangu mmoja kwa asili ni mhindi ila sema kweli hawapendi whindi wa hapa India. Kwanza anasema wachafu, wana wivu nakadharika. lol.

    Sema kweli "INDIA IS ANOTHER PLANET"

    Sory kwa maneno mengi naomba ishia hapa.

    Mungu IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.

    RECHA, karibu INDIA....lol

    ReplyDelete
  46. AnonymousJuly 14, 2007

    MICHUZI ACHA KUJIKOMBA KISENGE SENGE, UNABOA

    ReplyDelete
  47. AnonymousJuly 14, 2007

    haya na hii usiipost manake najua unanibania sana post zangu....michuzi acha kujipendekeza....ukweli ni kwamba wahindi wanakuona wewe ni mtu mweusi ni mbwa kwao...acha kujikomba ..ebu jivunie uafrica wako....

    ReplyDelete
  48. AnonymousJuly 14, 2007

    Jamani naomba kuwauliza Je kama kuna binti mweupe mwenye asili ya kihindi au kiarabu raia wa tanzania anataka kushiriki Miss Tanzania akaamua kufanya plastic surgery akawa mweusi anaweza kushiriki??

    ReplyDelete
  49. AnonymousJuly 14, 2007

    Michuzi mimi ningependa kuuliza mbona watu walimkubali ayan hassan kama miss tanzania? au kwasababu ayan ni mweusi au vipi?

    nukuomba upost hili swali langu

    ReplyDelete
  50. AnonymousJuly 14, 2007

    michuzi how long does it take for comments to be posted? maana nimesubiri mpaka nimechoka sioni comments zangu.!

    ReplyDelete
  51. AnonymousJuly 14, 2007

    Jamani ngojeni niwaambieni kitu kimoja....Watanzania tulishafanya makosa toka baba nyerere na wenzanke walivyotupotosha juu ya kuwaachia waasia kujinafasi katika nchi yetu....Inabidi tuendelee kuwakubali tu wahindi....Kitu ambacho ni caha msingi kwa watanzania na waafrica wote tunatakiwa kujiuliza, ni waafrika wangapi wako kwenye Bunge la India,ni waafrica wangapi wapo katika nafasi yoyote ya utawala katika serikali ya india....Hapo jamani sizungumziii watanzania,nazungumzia waafrika...wahindi ni watu wabaguzi kupita kiasi..wanaipenda nchi yao kuliko kitu kingine katika maisha yao.Naamini mwafrika akifungua duka katika mji wowote pale india hata kama atauuza bidhaa yake kwa robo ya bei anayouzia mhindi ,hakuna mtu atakaye ingia kwenye duka hilo la mweusi,kama ataingia basi si kununua bali kwenda kukejeli tu nadani ya duka hilo....Kwa mwafrika yoyote amabae amewahi kishi india atakubaliana na mimi asilimia 100%.

    ReplyDelete
  52. AnonymousJuly 14, 2007

    mbona coment zetu zinakataa michuzi? au unapenda mambo ya mision impossible?

    ReplyDelete
  53. AnonymousJuly 14, 2007

    hata mimi zinakataa kwa nini michuzi

    ReplyDelete
  54. AnonymousJuly 14, 2007

    Ubaya wa kwetu ni kuwa hatujui kusupportiana. Watu wengi tu wanafanya mambo mengi ya biashara TZ lakini watu wanakimbilia vya wahindi.

    Tungekua tunawa support our local people wasingekua na pawa hivi na kutunyanyasa. Wangeishiwa waondoke.

    Sio mbali na kwangu kuna mtaa wa wahindi. Kila siku nikiendaga hapo nilikua nashangaa. Kuna groceries mbili ziko zinaaangaliana moja kila siku linajaa watu na wanavyojua kubanana. Lingine liko empty hamna mtu kila nikienda. Nilizania kuwa duka lile lenye watu wengi linauza vitu kwa bei nafuu kumbe hapana. Ni kuwa moja sijui ni la mtu kutoka wapi au class gani na lingine ni la wakutoka class ya juu. I was so pissed from that day sijawahi kwenda kwenye duka la class ya juu kabisa.

    Kwa hiyo ni ushirikiano tu. Kama tukijitahidi mambo madogo madogo yatarudisha utu wetu

    ReplyDelete
  55. AnonymousJuly 15, 2007

    thank u wewe kaka naku suport 100% mimi nimeishia nao hao darasani unatoa presentation wanafanya kama kukucheka natamani kama ningeamka siku moja asubuhi wahindi wote wawe wameondoka nchini kwetu

    ReplyDelete
  56. AnonymousJuly 15, 2007

    Nyie yote tasema neno zenu halafu taishia hapahapa.Acha senge bana,kama anashindwa weka kakati nzuri asisingizie sisi.Sisi anaweza penya hadi mahali asipoingilika bwana,kwani myu ya kwenu si iko penda pesa.Pesa iko sawasawa na tamtam danganya toto bana.Mtu anaandika maneno mengi tu lakini yote hakuna maana.Hilo toto naumbwa nashinda imependeza sanasana.Sasa badala ya kusifia nyie naanza tukana sisi.Je hizo mambo manzosema mimi haingii akilini kwangu kabisa.Just like rubish whichhave been spit in the bin.Nachemsha nyie woteeee.

    ReplyDelete
  57. AnonymousJuly 15, 2007

    Wewe unayejifanya kuandika Kiswadosi unaniudhi NIKIKUKAMATA ???? Margachuti!!! Michu usinibanie napasua hisia zangu nina hasira nao hawa wanaotuendeshea nchi wakati sisi tunaangalia

    ReplyDelete
  58. AnonymousJuly 16, 2007

    hey yal..any1 can become miss tz..mbona nchi nyingine hawabagui rangi kwenye mashindano hayo.eg miss america wanakua blacks most of the time..this chik shudn win coz she ain ol that she ain hot enough 2 become miss tz..mshindi wa 2 na 3 wa miss kinondoni ndo bomba!!

    ReplyDelete
  59. AnonymousJuly 16, 2007

    JAMANI MBONA HATUBADILIKI MWAKA JANA RANGI IYO IYO MWAKA HUU NIKAJUA TUTABADILIKA KUMBE WAPI SASA HAO NGOZI NYEUPE PEEEE TUTAWAPELEKA WAPI?TUMECHOKA AU MPAKA TUTEMBEE NA MABANGO? MBONA WENYE VIGEZO WALIKUWEPO?KWANZA HANA SURA YA KUVUTIA JAMANI.LUNDENGA KAZI KWAKO.

    ReplyDelete
  60. AnonymousJuly 18, 2007

    Mimi ni mtanzania mwenye asili ya kiasia na ningependelea pia kutoa maoni yangu juu ya hii mada inayozungumzwa.

    Kwa kweli mada hii inataka uchambuzi, mjadala mrefu na tathmini ndefu na sio kutoa maoni kwa jazba na kuwa wepesi wa kutoa maoni ya kwamba wahindi ni wabaguzi. Pia ipo haja ya kutafuta njia nzuri ya pamoja ambayo itawashirikisha watanzania wote wakiwemo wahindi, waarabu, na watu wenye asili ya kitanzania - juu ya kipi kinachoweza kufanyika ili kusiwe na ubaguzi na uwepo umoja na UTANZANIA. Mimi maoni yangu ni kama haya chini:

    1. Kwanza nakubali kwamba ubaguzi upo na watu wengi wenye asili ya kiasia wanayo tabia hiyo ya kubagua na kunyanyasa na dharau. Hili ni jambo ambalo lipigiwe vita na tulikatae kwa sababu halikubaliki katika jamii kabisa.

    2. Katika mjadala huu pia yametajwa mambo ya wahindi kutokujichanganya na waafrika. Hapa tuweke wazi na sawa kwamba ipo tofauti kati ya ubaguzi ambao unamnyima mtu haki yake na ule wa kutokuchanganyika. Hapa tuelewe kwamba watu wana utamaduni na dini tofauti ambazo walitoka nazo mbali na kuzifuata mpaka leo. Mfano tuna makabila ya Kimasai, kichaga, wamakonde, na kadhalika ambao wakienda makwao au katika jamii zao nyumbani basi wanazifuata kisawasawa. Sasa tuchukulie mfano wa mhindi ambaye ni hindu (au kwa jina jengine baniani). Sasa huyu hawezi akaacha dini yake akaibadilisha ili aonekane mzalendo. Na ili aifuate dini yake basi inambidi aende katika msikiti wake tu akafanye ibada. Na katika dini yake kuna mambo ya kiutamaduni lazima ayafuate, kama kuzungumza lugha yake, kuvaa mavazi yake ya kiutamaduni, na chakula chake. Na wahindu wengi huwa wanafanya ibada nyumbani basi inawabidi wafuate mambo hayo. Huu si ubaguzi - huu ni kufuata utamaduni wa mtu. tusitegemee kwamba ikiwa tunataka wahindi wajichanganye basi wabadilishe utamaduni wao au dini yao. Lakini ninakubali kabisa kwamba wachangayike na watu wote wanapokuwepo nje na washiriki katika ujenzi wa taifa. Na haya tumeyaona kwa kiasi fulani katika bunge, michezo na nyanja nyingi tu ijapokuwepo inataka uwepo mbadiliko mkubwa.

    3.Katika maoni hapo juu pia yametajwa mambo kama wahindi hupenda kuwanunua viongozi wetu, kutoa rushwa na kuufanya mfumo mzima wa nchi kuharibika kwa faida yao ya kibinafsi. Lakini ikiwa mtoaji rushwa ni mkosa basi mkosa zaidi ni mpokeaji rushwa. Ingelikuwa viongozi wetu na watu waliokuwepo katika nyadhifa za juu ambao wengi wao lazima tukubali kuwa sio wahindi wangelikuwa wanakataa rushwa basi mfuma wa nchi nzima ungelikuwa mzuri na wahindi (au mtu yeyote yule) wazingeweza kuuharibu. Lakini ikiwa watu watapokea rushwa (hata kama ni kutoka kwa wahindi, waarabu, wazungu au waswahili) basi ndio wa kulalamikiwa. Jee kama ni hivyo basi si kweli kwamba ni watu wetu wenyewe ambao hawana mapenzi na nchi yetu na wanakubali kuiuza na kukubali kuharibu mfumo mzima? Chukua mfano wa ulaya na marekani ambako rushwa haikubaliki. Na katika nchi kama hizo basi mifumo na mikakati yao iko vizuri tuu. Na matokeo yake ni kwamba hakuna mtu anayeweza kufanya anavyotaka - ikiwa ni kuwadharau watu, kuwanunua viongozi au chochote kile - ikiwa watu hawa ni wahindi au wa rangi yoyote ile. Basi kama tungelikuwa na mfumo huu sisi katika nchi yetu basi na sisi tungeweza kufanya mengi.

    4. Nne ni kwamba tunapozungumzia ubaguzi basi tujue kwamba mtu yeyote kumbagua mwenziwe basi ni kosa. Hata kama ni mhindi kumbagua mwafrika au mwafrika kumbagua mhindi. Katika mjadala huu hapo juu nimeona majina ya wahindi kama WADOSI, MAPONJOLO N.K. sasa ikiwa mtu anaitwa majina kama haya basi na yeye atahisi ubaguzi upo na atazidi kubagua. Jee majina haya yalitoka wapi? Ikiwa kama mwanangu ambaye hana hisia za ubaguzi kabisa atakwenda shule na ataitwa majina kama haya (kama ni wanafunzi wenzake au watu wazima) basi na yeye atajengeka kibaguzi katika mfumo huu na kwa hivyo atataka alipizie. Matokeo yake ni kwamba ubaguzi utaendelea kuwepo, chuki na hasama zitajijenga na pande zote zitapoteza manufaa. Juhudi za kufanywa hapa ni za pamoja ambazo zitatusaidia sote kulitatua tatizo hilo. Nafikiria basi kwa kuanzaia tumpe support Richa na mambo mengine madogo madogo.

    Kama nilivyosema hapo juu kwamba jambo hili la ubaguzi linataka juhudi za pamoja, za makusudi na kwa kushirikisha watu wote na kuwaelimisa kwa upendo na sio kwa kuendeleza chuki na hasama. Pia kinachotakiwa ni uwepo mkakati wa kujenga mfumo na mkakati wa nchi isiwepo rushwa ili mtu yeyote asiweze kututeteresha. Na hapo basi tutapata maendeleo ya nguvu, umoja na upendo. Niliyoyasema hapa ni kwa ajili ya watanzania wote wenyewe asili zote ikiwa ni ya kiasia, kiarabu, kizungu na ya kiafrika. Katika karne hii tunataka maendeleo na sio ubaguzi

    Naomba tushirikiane kuijenga nchi yetu KWA PAMOJA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...