Home
Unlabelled
eboh!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
michuzi naona swala hili umelishikia bango sio kitoto,nyie wamatumbi wachafu sana pamoja na hao watu wa halmashauri ya jiji,hapo labda usubiri mpaka CRDB wadhamini hivi hivi hawafungui hapo,jiji gani ambalo halmashauri ya jiji limelala usingizi huyo meya hajui hata wajibu wake,na mta kufa sana na kipindupindu.
ReplyDeleteWEWE ISSA HUYU DADA ULIMWOMBA UNYUMBA AKAKUNYIMA ? EBO...
ReplyDeletehiyo ni sawa tu .Hii ni dunia ya tatu hata ustaarabu tuupate kwa njia ya msaada.Pakiachwa wazi watu wanaanza kujisaidia na vibaka kuramba watu roba.
ReplyDeletekaka michuzi mimi ushidi nawapa mashetani wekundu magoli yatakua 2-1 .mail yangu ni ramabady@yahoo.com
ReplyDeletekwa maaan hiyo hadi kipenga cha mwisho MANUNITED 2 WASHIKA BUNDUKI 1
Kufunga kwa kufuri hapo ni utovu wa akili.
ReplyDeleteMaisha bongo tambarare....!
ReplyDeletehiyo ni sawa na kufunga choo kwa sababu mtumuaji aliyepita hakuflash!!!...kufunga choo hakuzuii haja,sasa hawa wenzetu watueleze lile lengo la kuanzisha hii garden limekadiriwa vipi iwapo hii imefungwa?mimi naamini maamuzi haya yalifanywa na watu wasioheshimu historia ya jiji kwa vile hawaijui au wameisoma tu kwenye vitabu.kama tatizo ni umatumbi mbona kuna wamatumbi wengine wananunuliwa ndege,wengine wanafanyia mikutano kwenye 5 star hotels na hao wakija ndio garden inafunguliwa.hii ni kukosa heshima kwa wananchi.bustani ifunguliwe na halmashauri ya jiji ielewe kuwa kuweka bustani safi ni jukumu lake,hivyo basi waweke taratibu za kuhakikisha bustani inasafishwa.hata buckingham palace gardens zisiposafishwa zitakuwa chafu kama yetu sisi wamatumbi.bustani IFUNGULIWE.....zemarcopolo.
ReplyDeleteWE ANON WA PILI UNAMFANYA ISSA KAMA
ReplyDeleteBABU YAKO EEH? KILA WAKATI UTANI
TU.HAMNA CHA MAANA KAMA WALEVI WA
KOMONI.WATU WENGINE HOVYO SANA
MIMI MNANIUDHI NINGEKUWA ISSA WALA
NISINGETOA HII,ILA MSHUKURU SANA
MICHUZI SIO MTU WA KUBANIA COMMENTS
HATA KAMA NI MBAYA KWAKE.
Kwani ni ulongo michuzi wamatumbi hatutachafua? Ingawa kuweka huo uzio ilikuw ani njia moja wapo ya kumpa mtoto wa shangazi tenda ili na yeye aishi mjini. zaidi ya hapo wangeweza kuweka polisi wa mgambo ili yoyote atayechafua apigwe faini halafu wasambaze mapipa ya kuweka taka. manake palipo na watu lazima taka zitakuwepo na kama hakuna sehemu ya kutupa taka basi watu watatupa chini tu.
ReplyDelete