Ndugu wapendwa,Sasa radio yenu ya TIMES FM 100.5 imewaletea kipindimaalumu kabisa LIVE from USA kiitwacho Sunday NiteSlow Jams.


Kipindi hiki kitarushwa kila siku za Jumapili kuanzia saa 2:00 (8pm) hadi 6:00 (12 Midnight) USIKU hivyo mnaombwa msikilize kipindi hiki mashuhuri kabisa kutoka huko USA.


Kipindi kitapiga nyimbo laini zikiambatana na salamuORAL EXPRESSIONS au DEDICATIONS hivyo tumia nafasi hiyo kumkumbuka umpendaye popote pale DUNIANI.


pigasimu sasa +1 877 2090631 kutuma salamu zako aukuchagua nyimbo au Ingia katika WEB www.slowjams.com


NA HAPO utatuma salamu zako ambazo zitasikika kote DUNIANI na hapa Nyumbani kupitia radio yako yenye MGUSO WA JAMII " TIMES FM 100.5" iliyopo Dar essalaam.Anza sasa kutuma salamu na tafadhari watumie wengine ujumbe huu ili nao wafaidi kusikiliza kipindi hiki.


Mgori JT

Senior Marketing Officer

Sunday Nite Slow Jams-Tanzania

0773 223152,

0784 291697

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kuna vitumbua kwenye picha

    ReplyDelete
  2. E bwana ee je mkate wa kumimina upo? au kalimati poa tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...