HATIMAYE KWA MAJAALIWA YAKE MANANI LEO MCHANA NIMEFANIKIWA KUITOA ILE ZAWADI YA $500 KWA MDAU ALIYEBAHATIKA KUWA WA MILIONI 2 KATIKA GLOBU YETU HII YA JAMII, BRIAN MARIKI, KUPITIA KWA MAMA YAKE MZAZI MAMA MARIKI NA KUSHUHUDIWA NA MWANAKIJIJI MAGGID MJENGWA KUFUATIA MAELEKEZO YA MSHINDI MWENYEWE BAADA YA URASIMU KWENYE TAASISI ZA KUTUMA PESA NJE YA NCHI KUTAKA KUCHELEWESHA HAKI YAKE.
NAMPONGEZA BRIAN KWA KUNYAKUA ZAWADI HIYO, NAMSHUKURU MAMA MARIKI KWA KUJA KUPOKEA ZAWADI HII KWA NIABA YA MWANAWE ALIEKO MASOMONI HOUSTON, TEXAS, NA NAMPA TANO MWANAKIJIJI MAGGID KWA KUAHIRISHA KWAKE SAFARI YA KURUDI IRINGA ILI KUSHUHUDIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA. ASANTE SANA MAGGID!
PIA NASEMA AHSANTE SANA SANA KWA KAKA RODRICK MWAMBENE NA KAMPUNI YAKE YA COMPUTERCONSULT LTD KWA KUDHAMINI SHINDANO HILO NA HILI LINALOENDELEA LA KUTABIRI MSHINDI WA MECHI YA MANCHESTER UNITED NA ARSENAL WIKIENDI HII
arsenal atashinda 1 - 0 em2da@yahoo.com
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteMbona hii issue umeifanya kuwa kubwa namna hii?....lo hata kama ndo mshindi lakini blog nzima sasa imejaa habari za ushindi tu na makabidhiano ya dola 500 toka wiki iliyopita!
bwana Brian dont forget to pay your taxes!! ala kumbe imopekelewa bongo! imetoka hiyo!
ReplyDeleteThanks for the compe' Michuzi :D!
ReplyDeleteHahahahaha Heheheheheh iiiiiiiii Mithupu nimekukamata.Si ulijifanya kuacha Mikonoziii,Haya mara moja jibu huo mkono wa kulia unamaanisha nini na unafanya nini hapo.Hahahahahahahah
ReplyDeleteMan Itashinda bao 2 na Arsenal 1.Bao la Man la kwanza litafungwa kwa shuti la Steven Gerald na la pili penalti nzuri ya Didier Drogba.Bao pekee la Arsenal litafungwa na beki mahiri wa Arsenal Lio Ferdinand.
ReplyDeleteBeki mstaarabu
MEchi kati ya Manchester United na Arsenal itamalizika kwa sare ya bila kufungana.
ReplyDeletemanU tutawafunga asernal bao 1 kwa 0.
ReplyDeletejingo2020@yahoo.com
hongera Brian kwa ushindi, pia safi sana umemuachia kitita mama mzazi,,kwani MAMA NI MAMA MPAKA KIAMA! good boy.......na wewe anon hapo juu unayesema sijui Michuzi amekazania wiki nzima, mambo ya huu shindi, we kinakuuma nini? TULIZA MPIRA,,ungelishinda wewe, ungetaka mpaka picha ya bibi na babu yako wamatumbi tuwaone au la ungeng'ang'ania hizo pesa utumiwe uweze kulipia madeni yako huko uliko...tulia mwenzio kashinda muache apete...Hongera Brian, na naona mama ametoa tabasabu la nguvu hapo( anajisemea kumoyo, kuzaa kuzuri jamani)...
ReplyDeleteMANCHESTER UNITED 1.....ASERNAL I.
ReplyDeleteMECHI HII ITAKUWA NI DROO YA GOLI MOJA KWA MOJA.
MICHUZI MBONA KAMA VILE MNAFANANA NA HUYO MSHINDI!! AU NDIO UKOO ULE ULE WA MZEE MICHUZI.
ReplyDeleteMICHUZI KWELI WEWE UNATIMIZA ULIYOYAHAHIDI...SASA HUO NDO TUNAITA being responsible KWA MAANA WATU WENGI WALIJUA KWAMBA JAMAA WA HOUSTON KASHAPIGWA MCHANGA WA MACHO...keep it up
ReplyDeletekasera
kansas city,
Majita..
ReplyDeleteaaaahaa mwana kumbe umemstukia....naona nidhamu juu ka mfuko wa shati...kaweka tu vidolezi...
Misupu upoooooooooo kamua baba
MAN UTD watashinda kwa BAO 2 -ARSENAL BAO 0(patupu)
ReplyDeleteN:B
Sijui nikutumie kabisa sanduku la barua ili initumie kabisa cash yangu au unaweza kuwapatia madereva wa malori wanaweza kuniletea hizo dola..Tafadhali mimi zichenji kabisa maana huku home hakuna MADUKA YA KUBADILISHIA PESA...joke
Michuzi mi nataka changu tu
ReplyDeleteMshindi mechi hii ni Man U!
Man Utd 2
Arsenal 1
Mithhupu eeh! mambo!
ReplyDeletemi sio mpenzi wa mpira lakini hiyo ngoma ni droo ya bila bila au moja moja.
kkiwango@yahoo.se
Hello Michuzi, mshindi katika mechi hii ni Arsenal. Matokeo yatakuwa Arsenal 2 na Manchester United 1.
ReplyDeleteremmygama@yahoo.com
matokeo ni Arsenal 1, Manchester 0.
ReplyDeletereginambilinyi@yahoo.com
matokeo ni kwamba Manchester united 1 Arsenal 0 ndo kusema Manchester united watashinda hiyo mechi kwa idadi hiyo ya bao niliyoandika. nasubiri pesa yangu tu hapa Michuzi. charliekomba@yahoo.co.uk
ReplyDeletemambo michuzi
ReplyDeleteARSENAL 1 MAN UNITED O
GOLI LITAFUNGWA KIPINDI CHA KWANZA
felixhaule@yahoo.com
ARSENAL 1 MAN U 0
ReplyDeleteGOLI LITAFUNGWA KIPINDI CHA PILI
hopemgoba@yahoo.com
arsenal 1,manchester 0
ReplyDeletegoli litafungwa kipindi cha kwanza
felixhaule@yahoo.com
arsenal 2,man united 0
ReplyDeletegoli moja kipindi cha kwanza na lingine kipindi cha pili
0714-460977