Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano unaozungumzi juu ya masuala ya utafiti wa uchumi kwa Afrika, mara baada ya kufungua mkutano huo asubuhi ya leo katika Hoteli ya kilimanjari kempisk jijini Dar es salaam.
Home
Unlabelled
dk. shein
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hawa wanakutana kwa ajili ya perdiem tu hakuna chochote cha maana, Africa, africa africa wameifanyia nini toka waanze kukutana?
ReplyDeleteWapuuzi tu.
Hivi jamani naomba kujua, kweli Dr shein makamu wa raisi hana nyumba aliyojenga ya kuishi?
Nimeambiwa eti jeshi wanataka kumchengea nyumba anakaa nyumba ya urithi ya wazazi wake!?.
Mambo ya ujamaa bwana.