Home
Unlabelled
selous
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi bwana na wewe mambo yako yankera sana sie tunataka picha za harusi mwanawani za kale kabinti ka eight five sasa unatuletea wanyama aaaa mambo gani lakini.tunaomba picha basi au walikupiga marufuku? sio njema kabisa mwanawan.
ReplyDelete"Kama ng'ombe" siyo kweli. naona mupo mbali kidogo hapo...sogeeni kama mpaka hatua mbili hivi tuuone huo ugemu wenu
ReplyDeleteHalafu kesho tupigieni picha mko karibu na NYATI
Washukaji tuache ushamba wa kuongea mineno kama tunaharisha ili kuchekesha watu washikaji wanawaonyesha sehem ya kujidai nyinyi minenoya kijinga au harusi itatusaidia nini uroda anakula mbunge!
ReplyDeleteHuku tu hatujawaamulia, ukienda india hawa wanawachezea, wanawapanda kama farasi na wamefundishwa mpaka kucheza muziki (nachi). wakiruhusu tuwafuge mtaani mi nitamfundisha kucheza mchiriku
ReplyDeleteIla kazi iko kwenye kulilisha dude hili mpaka lishibe, maana linakula pick up nzima ya majani kwa siku
Du si mchezo, ila ufahamu kwamba tembo wa Selous wamezoea kuwindwa na hivyo mara nyingi huwaga hawafagilii kuona binadamu wanawasogelea kwa miguu!!! ni hatari maana pia kumbuka kwamba wild animal behaviours are unpredictable. Kingine labda Matriach wa group hilo (yaani tembo jike mkubwa kiumri) ambaye ndiye kiongozi wa group hakuwaona maana kwa kawaida tembo wengine humsikiliza yeye, hapo angeamrisha kazi ifanyike...du pangekuwa patupu!!!!Otherwise bonge la kifagizi, hizo ni memories nzuri!!!! ze mdau
ReplyDeleteHivi nyinyi kina ANONYMOUS vipi mbona siwaelewi, wa kwanza ni yupi na wapili ni yupi?
ReplyDeletehakika siwaelewi.
Back to mada, wanyama ni rafiki wa binadam tangu siku nyingi ila tumewaharibu sisi binadamu kwa kushindwa kuwa nao karibu. Hatuwatembelei tulikowatengea kuishi na wakija kututembelea sisi vijijini kwetu tunawaua.
Wenzetu wanawafuga wanaishi nao.
Big up Mr Michuzi, anaetaka picha za harusi mwambie atume za harusi yake humu.
Tembo akianza kuwafukuza mtaweza kukimbia kweli?
ReplyDelete