Mdau Mwanga Kirahi wa London anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi kilichotokea leo asubuhi huko Tarime, mkoani Mara. Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho huko huko Tarime.
Kwa niaba ya wadau wote natoa mkono wa rambirambi kwa Mwanga Kirahi kwa msiba huu mzito na kuomba Mungu ailaze pema roho ya mpendwa mama yetu - Amina

Kwa mawasilano na kumpa pole piga simu
no +44 7950302881

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Valene Maharaj missworld

    ReplyDelete
  2. Dear Mwanga Kirahi . . . . Pole sana kwa Msiba wa Mama. Bwana Alitoa . . Bwana Ametwaa . . . Jina la Bwana Libarikiwe. RIP Mama Kirahi . . . .

    Mdau Segerea

    ReplyDelete
  3. Bwana Mwanga,
    Pole sana kwa msiba mkubwa uliokufika naamini Mungu atakushika mkono na kukupitisha ktk kipindi hiki kigumu kwako.
    Mungu akubariki sana na akupe Amani yake na aiguse familia yako yote ktk kipindi hiki.
    Mtanzania mwenzio.
    Nick
    houston U.S.A.

    ReplyDelete
  4. wew hapo juu yaani kwenye msiba unaleta mambo ya Miss world. na wewe michuzi mbona comments nyingine unakua unaondoa lakini nyingine hata hujali.

    Kuna watu wasiowaza wanaandika nini ilimradi basi keyboard iko mikononi mwao.

    Poleni wafiwa na mungu awape amani katika kipindi hiki kigumu

    ReplyDelete
  5. Bwana MWANGA jina lako ni faraja kubwa, ninaomba uwe mvumilivu sana katika kipindi hiki kigumu wewe, familia yako na jamaa wote walio katika msiba huu.
    Mwanga wa Bwana Mungu ukuongoze uishinde huzuni ya kufiwa na mama, si jambo rahisi ila kwa mapenzi ya Mungu itawezekana.
    POLENI SANA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...