
wazee wa busara wakimshamgilia kassim baada ya kufanya bonge la shoo


kassim hemed mganga akiimba kibao chake cha 'haiwezekani' usiku kuamkia leo ngome kongwe. kijana huyu wa tanga ni mmoja wa masupa staa waliokuja juu kwa kasi sana kwa sauti nzuri na uwezo wa kutawala jukwaa. akiwa mtoto wa mwanamuziki wa zamani wa urafiki jazz kassim ana kipaji nechuro na akama atafunga buti atafika mbali sana. yeye ni mmoja wa matunda ya kundi kali sana katika bongo fleva la tip top connection
mwanangu kassim nyimbo yako hii super ile mbaya mademu wakibongo hata wakikenya waliopo u.s wanaifagilia sana hasa hasa wa new york na D.C yani tukiwa na mawazo tunaifungulia nyimbo yako basi mawazo yote yanayayuka mwanangu hongera sana, hivi sasa niko offisini namuaza mpenzi wangu huku nakula nyimbo yako na kuburudika. hongera sana, njo u.s ku perform, njoo njoooo kassim weeee.