Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.





 

Monday, February 11, 2008
kassim atingisha sauti za busara
wazee wa busara wakimshamgilia kassim baada ya kufanya bonge la shoo

kassim hemed mganga akiimba kibao chake cha 'haiwezekani' usiku kuamkia leo ngome kongwe. kijana huyu wa tanga ni mmoja wa masupa staa waliokuja juu kwa kasi sana kwa sauti nzuri na uwezo wa kutawala jukwaa. akiwa mtoto wa mwanamuziki wa zamani wa urafiki jazz kassim ana kipaji nechuro na akama atafunga buti atafika mbali sana. yeye ni mmoja wa matunda ya kundi kali sana katika bongo fleva la tip top connection

 
© Michuzi | Monday, February 11, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako |


Maoni: 2


  • Tarehe Mon Feb 11, 10:20:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    mwanangu kassim nyimbo yako hii super ile mbaya mademu wakibongo hata wakikenya waliopo u.s wanaifagilia sana hasa hasa wa new york na D.C yani tukiwa na mawazo tunaifungulia nyimbo yako basi mawazo yote yanayayuka mwanangu hongera sana, hivi sasa niko offisini namuaza mpenzi wangu huku nakula nyimbo yako na kuburudika. hongera sana, njo u.s ku perform, njoo njoooo kassim weeee.

     
  • Tarehe Tue Sep 29, 11:16:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous alweather

    kaka michuzi hawa wasanii wa bongofleva badala ya kujenga wanajengua zaidi kuliko kujenga.angalia sasa ni wao ndiyo waliofanya neno nyimbo litumike katika umoja wakati lenyewe asili yake ni wingi,hivyo kuua neno wimbo ambalo hasa ktk umoja ndiyo linastahili na si nyimbo.kama mdau kutoka 'us' alivyoandika "nyimbo yako hii super----" badala ya kusema "wimbo wako huu super----"ni ulemavu ambao umekomaa tangu hapa tz hadi huko ughaibuni kwa kweli inasikitisha na kuuma sana.hebu wasaidie hao wasiojua makosa kama haya.na hasa hawa wasanii kwakweli wanaharibu kama si kubananga lugha yetu ni aibu huko duniani hasa ukutane na mkazi wa huko ambaye alikuja hapa tz kujifunza kiswahili halafu karudi kwao.umeongea hivi halafu yeye anakusahihisha utajisikiaje? kwakuwa wao ndiyo waliharibu,basi ni wao ndiyo watengeneze hasa kwakuwa watu wengi huwasikiliza kupitia vyombo vya habari ama kwenye matamasha yao mbalimbali.

     


Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker