wadau kunradhi. katika kupitia mitandao ya wadau wengine jioni hii, nilipofika jambo forums nimepata kitu hicho. nimejaribu tena sasa hivi mambo ni yale yale. je kuna anayejua kimetokea nini ama ni mimi tu mwenye kuikosa?

wadau kunradhi. katika kupitia mitandao ya wadau wengine jioni hii, nilipofika jambo forums nimepata kitu hicho. nimejaribu tena sasa hivi mambo ni yale yale. je kuna anayejua kimetokea nini ama ni mimi tu mwenye kuikosa?Tarehe Tue Feb 19, 09:47:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 09:52:00 PM, Mtoa Maoni:
Even mi nimeanza kuitafuta muda mrefu sana kuanzia kwenye saa kumi na moja mpaka saa nne hii haipatikani, Lakini kwa data nilizonazo ni kwamba kuna mdau mmoja wa JF emechukuliwa na watu waliojiita ni maafisa usalama na wamemwambia wanamchukua kwa ajili ya mahojiano naye lakini wadau wengine wa JF wanaendelea kumtafuta baada ya kumtafuta katika vituo maarufu vya polisi bila mafanikio, sasa yawezekana kuwa haya ndo matunda yake baada ya huyo mdau mmoja kukamatwa....
Inasadikika kuwa wanausalama wanahangaika kujua ninani haswa anayehost hii JF na ni nani haswa anayelikisha habari nyeti kwenye wanja la JF.
Hope itakuwa sawa ngoja tuone maana pale ndo sehemu ya kujua mauozo ya mafisadi wa nchi hii.
Tarehe Tue Feb 19, 09:54:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 09:55:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:00:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:06:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:07:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:09:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:10:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:14:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:17:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:24:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:27:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:30:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:33:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:38:00 PM, Mtoa Maoni:
Inawezekana wametumia "bandwidth" yao kwa siku, kwahiyo hosting account yao imesitishwa kwa muda au hawajalipia hosting kwahiyo wameisitishwa kwa muda...
Ila sidhani tatizo ni pesa kwasababu wanatengeneza pesa nyingi kutoka adsense.
Sitashangaa kama wanatengeneza zaidi ya $5000 kwa siku hasa ukiangalia wana matangazo mengi ya obama na clinton ambanyo yanawagarimu "adwords advertisers" zaidi ya $1 per click. Wacha bwana hawa jamboforum wana traffic isiyo yakawaida
Michuzi weka adsense nawewe ili utengeze hiyo mihela. Kama unahitaji ushauri wa ku-monetize website yako nitakusaidi.
Hata kama hatu nunui kitu tuta click hizo ads ili kaka yetu upate hiyo mihela.
Ukiweka ads utaweza kutengeneza mpaka $10,000 per day and i'm not kiddin kwasababu traffic unayo tena FREE kutoka kwa loyal WADAUZ.
I been running businesses online for more than five years... trust me I know what I'm talking about.
Intrapreneur (internet entrepreneur) kutoka duniani-papaliko19@yahoo.com
Tarehe Tue Feb 19, 10:54:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 10:58:00 PM, Mtoa Maoni:
Michuzi kwa taarifa kuhusu Jambo Forums BOFYA HAPA
Inaelekea kuna watu hawapendi uhuru wa habari. Lakini hawajui kuwa harakati za kwenye internet huwa haziwezi kuzimwa.
Kama hawajui wakamuulize Mugabe ambaye ameonja joto wanaharakati wa internet.
Tarehe Tue Feb 19, 11:04:00 PM, Mtoa Maoni:
Huko JamboForum moderator muhimu kasababisha hiyo suspension.Lakini kumbe wewe Michuzi na ujanja wako wote unatumia Internet Explorer?
Mambo ni Firefox bwana, halafu naona unatesa na Vista yako mwenyewe - anyway wabongo wengi ni Windows sababu Mac ni gharama wakati Linux wengi hawaijui.
Jambo itarudi, na ikishindikana itaundwa forum mpya.Kama ni njama za mafisadi basi watakwama.
Tarehe Tue Feb 19, 11:05:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Feb 19, 11:52:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 12:01:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 12:29:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 01:18:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 04:35:00 AM, Mtoa Maoni: wazalendo
Tarehe Wed Feb 20, 05:19:00 AM, Mtoa Maoni:
HII INANIKUMBUSHA SOO LA BCSTIMES.COM ENZI HIZO NDIO FORUM ZA KWANZA KWANZA JAMAA YANGU POPE ALIPATA MATATIZO KAMA HAYA ALIWEKWA NDANI NA KUHOJIWA NA ILE FORUM ILIFUNGWA, NAWAKUMBUKA WATU KAMA
POPE
MWANAKIJIJI
DUME
LAPTTP
MKANDARA NA WENGINEO NILIPATA KUJUANA NAO PALE NA LEO NAWAONA HADI HUMU.
SO KWETU HAYA MAMBO BADO WANATAKA YAWE NA MIPAKA.
MDAU MPONJIKA
Tarehe Wed Feb 20, 07:43:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 09:20:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 09:44:00 AM, Mtoa Maoni:
Jambo Forum is not affiliated to any political party in Tanzania. It is an independent institution that welcomes all Tanzanians who are pushing for changes for betterment of Taifa.
Yes we are critical of malaise and poor governance by Serikali, that is why you will brand us Anti-Government.
We are going to stay strong and keep up the fight.
JF Premium members and Senior expert members please email me kishoka70@yahoo.com
Rev. Kishoka
Tarehe Wed Feb 20, 09:59:00 AM, Mtoa Maoni:
Finally the chickens have come home to roost!! Bora wameifunga na ningefurahi sana kama yule bishoo aliyekuwa anajiita "Invisible" wangemtia lupango pia.
La ajabu ni kwamba kulikuwa hakuna uhuru wa kutoa maoni kwenye ile forum wakati wao walikuwa mstari wa mbele kudai uhuru huohuo wa kutoa maoni. Ile slogan yao ya "Where we dare to talk openy ilkuwa ni gimmicks tu
Halafu kuna baadhi ya wachangiaji walikuwa wakijiona wao ni elite mle na ukiwapinga au kuwashutumu basi wanakutishia kukufuta uanachama (haswa yule primadonna aliyejipachika jina la "mwafrika wa kike"). Yote kwa vile wanajuana wakati wao hapohapo walikuwa wakilaani usiku na mchana dhana za cronyism, favoritism, nepotism etc.
Na ule msemo wao wa eti walikuwa pale "kumkoma nyani giladi" naona sasa kibao wamegeuziwa wao ... bwahahaa! :-)
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!
Mzee Avenue Mavuzi
Tarehe Wed Feb 20, 10:26:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 12:07:00 PM, Mtoa Maoni:
kwa upande wangu mimi jambo forum naiona kama genge la wahuni tu! Ukisoma mawazo ya watu kwenye ile forum kwa hakika utaondoka siku hiyo hiyo ya kwanza.
Mawazo mengi ya watu yamejikita kwenye vitu vya kufikirika tu! Uchochezi na uwongo! Dini, na upuuzi mwingine mwingi sana. Mtu anaweza kusoma section ya bible au Quran akaamua iwe thread! Waht is that?! Kwa kweli, kwa mtu ambaye ni intellectual, kwa hakika jambo forum atasikiliza music tu. Maana huo hauna shida. The rest ni garbage. Na dhani na watu wanaochangia huko ni GARBAGE pia.
Laiti kama wangeweka majina yao, sina shaka ingedhihirisha ninayosema. Ndo maana wanaficha majina. Lakini ndo mambo ya DEMOCRARY
Tarehe Wed Feb 20, 12:14:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 03:10:00 PM, Mtoa Maoni:
Nyie vilaza mnaoponda na kukandia JF mna walakini katika uelewa wenu. Kumbukeni kwamba yale ni mawazo ya watu, na kamwe huwezi kumzuia mtu kuwaza! Huwezi kuzuia mvua ama jua! Kama mnadhani JF ndio imekufa poleni sana, kwani hamjui mtendalo, bado inaendelea huko kwingine kama kawaida. Kile sio chama cha kisiasa, ni vyama vya kisiasa, ni taifa huru, ni serikali huru, ni mawazo huru nk, kwa kifupi inatisha!
We Avenue ******** ulifungiwa kwa sababu wewe ni mwendawazimu, kwani kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kutumia jina ambalo huwezi kulitamka hadharani.
Michuzi usibane maoni yangu, kwa sababu bado tunaendelea na juhudi za kuiweka JF hewani very soon!
Tarehe Wed Feb 20, 03:22:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 03:27:00 PM, Mtoa Maoni:
Acheni propaganda zenu, mmetumwa sasa kuja kuichafua JF? Hamtafanikiwa, JF ina mizizi iliyokomaa na itarudi kwa nguvu zote.
JF sio CHADEMA wala hailipiwi na CHADEMA. Inaendeshwa na Watanzania wenye moyo na mapenzi kwa nchi yao.
Haya ni mapambano, njiani kunaweza kuwa na miiba na visiki, lakini tutavuka tu.
Kama tulivyowaumbua Richmond na vibaraka wao, BOT na mafisadi wakiongozwa na Rostam. JF itaendelea kudumu na kutetea maslahi na maliasili ya Watanzania.
Msiyumbishwe na hao wanaoleta siasa za mafisadi hata kwenye mambo ya maana.
JF inakuja kwa nguvu zote, tunaomba muwe wavumilivu. Muda sio mrefu tutakuwa na nguvu zaidi ya hii tuliyokuwa nayo sasa.
Kama kuna mtu ana visa na Mwanakijiji au Mwafrika wa Kike basi akapambane naye kwa hoja, at JF we dare to speak openly.
Mwambie Lowassa kwamba JF ni garbage, mwambie JK, kwamba JF ni garbage, Mwambie Hosea kwamba JF ni garbage. JF imewakuna pasipokunika na ndio maana mnaanza kuleta propaganda.
Hatutawaachieni mwaka huu mpaka kieleweke.
Tarehe Wed Feb 20, 03:43:00 PM, Mtoa Maoni: Gembe
Tarehe Wed Feb 20, 04:16:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 06:08:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 07:03:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Wed Feb 20, 08:08:00 PM, Mtoa Maoni:
Wanamjamvi, naomba niweke bayana JF na KLHnews vyote si mali ya CHADEMA. CHADEMA kwa sasa haina chombo chochote cha habari zaidi ya tovuti yake www.chadema.net. Ingawa baadhi yetu wanaCHADEMA tumeshikiriki mijadala JF na kwingineko kama watanzania wengine wanavyoshiriki. Tuelewe kuwa mabadiliko hayana chama, wapenda mabadiliko wanaweza kufananishwa kwa dhamira zao za kutaka mabadiliko. Hivyo, kupotea kwa mitandao ya namna hii ni hasara kwa wote bila kujali itikadi. Ni pigo kwa wapenda ukweli na fikra mbadala. Leo nilikuwa mambo ya ndani asubuhi na nimeonana na Mac na Mike pamoja na Wakili Tundu Lissu. Kwa kweli tumeelezwa mengi na wao na hata polisi waliokuwepo. Sitapenda kusema chochote kati ya yale tuliyoyazungumza. Furaha yangu ni kuwa vijana wenzetu wameshatoka polisi na sasa wako mtaani. Kama kuna mwenye kutaka chochote awasiliane nao. Na nimejikusuru kwenda huko leo kwa kuwa mimi ni mwanachama wa JF, na muumini mkubwa wa hizi jumuia za TEKNOHAMA. Lakini kwa upande mwingine, Mac ni rafiki yangu wa siku nyingi. Nawaombeni tuwaunge mkono vijana wenzetu katika harakati zao hizi bila kujali itikadi kwa kuwa faida yake ni kwa taifa letu. Lakini pia, waswahili wanamsemo kwamba 'mwenzio akinyolewa nawe tia maji'. Tukiruhusu JF ikazama, wakimalize JF jiulize, ni kijiwe gani kitafuata? Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia mnyika@yahoo.com au 0754694553. Nawatakieni heri. Pamoja tutashinda.
JJ
Tarehe Wed Feb 20, 08:50:00 PM, Mtoa Maoni: John Mnyika
Tamko langu kuhusu suala hili linapatikana hapa: http://www.chadema.net/blogu/mnyika/2008/02/kwa-niaba-ya-baraza-la-vijana-wa.html
Kijua ndio hiki, tusipouanika- tutautwanga mbichi.
Mnaweza pia kutembelea www.klhnews.com naona Mwanakijiji na wengine wanaweka updates za mara kwa mara kuhusu suala hili.
Bujiku Ngw'aka(kwa wale walio nyumbani)
JJ
Tarehe Wed Feb 20, 09:56:00 PM, Mtoa Maoni:
WE ANON FEB 20,2008 4:16:00 UNAAKILI KWELI WEWE?/ AU NA WE NDO WALE WALE??
UHURU WA KUTOA MAONI AMBAO TUNAUPATA KLH NA TULIOKUWA TUNAUPATA JAMBOFORUMS KWA MICHUZI HUWEZI KUUPATA DAIMA.
MICHUZI ANAOGOPE ASIJE AKABANIWA NA YEYE NA NDO MAANA UKIPOST COMMENTS ZENYE KUFICHUA MAOVU YA SERIKALI AU VIONGOZI WA SERIKALI HAWEZI KUYAPOST KABISA SASA WE UNAWAAMBIA WATU KUWA MWANAKIJIJI NI MNAFIKI WAPI NA WAPI BWANA??
GROW UP MZEE AMKA SHITUKA PIGANIA NCHI YAKO.
Tarehe Thu Feb 21, 01:58:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Thu Feb 21, 08:27:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Sun Feb 24, 02:04:00 PM, Mtoa Maoni:
Wawili washikiliwa na Polisi kwa sababu ya Jambo Forums. Kwa maelezo zaidi visit www.klhnews.com