wadau poleni na kazi za ujenzi wa taifa. bado niko porini nawinda. na kuhusu libeneke msikonde wala nini. japo niko porini lakini mambo kama kawa....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 23, 2008

    Mr. Michuzi, I am a Tanzanian, and you have written about me before,and getting a chance to read the pathetic comments today. It is the first time I am visiting your site and like your T-Shirt.

    I will be returning to Tanznaia, and would be more than happy to get for for you a similar T-shirt. Let me know if you are interested

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 23, 2008

    BRO MICHU TAFUTA JOKE NYINGINE HIYO FULANA IS TOO MUCH,HYGENICALLY NOT SAFE, AND DISGUSTING TO SEE YOU WEARING SAME THING EVERY DAY, IM SORRY LAKINI NAHISI HATA CHUPI UNAIGEUZA NDANI NJE ILI UPATE SIKU NYINGINE....NASIKITIKA SANA NA UCHAFU WAKO!HUO NI UHUNI.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 23, 2008

    Hebu Tuambie Watanzania wangapi Wamekufa South au Waana hali Gani Acha Kuturingia Na Utalii wako

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 23, 2008

    bro michu kwani hizo fulanaz unazo dazeni au ndio kauka nkuvae mi najiuliza sipati jibu hebu nihabarishe basi

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 23, 2008

    Mtoto wa karikoo naona life umeipatia. Sijui kama daily news inalipa kwa photographer au una biashara na kazi nyingine ambayo sisi wana globu yako hatujui. Je wewe ni usalama wa taifa au you just a snitch.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 24, 2008

    TATIZO LETU WATANZANIA ATUIBI MTAJI,TUKIZIFUMA TUNATAKA MPAKA WAJUKUU WAZIKUTE,SASAKAMA WEWE MICHUZI SIJUI UMECHOTA NGAPI MANAKE MATUMIZI YAKO SIYAKITOTO NAKUMAINDI.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 24, 2008

    Kaka Michuzi kama vile ulikuwa umetoka kupata supu ya asubuhi pale mto wa mbu na nanilii moja ya kuzimua.Shekhe nasikia unatumia maji ya rangi ya mende(Just Kidding)

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 24, 2008

    watu msiwe narrow minded namna hiyo, huyu jamaa ni mwandishi wa habari sasa mlitaka akae sehemu moja?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...