rais wa zanzibar mh. amani karume akiagwa na wazirir wa maliasili na mazingira mh. shamsa mwangunga baada ya kufunga rasmi mkutano wa 33 wa africal travel association katika kituo cha mikutano cha kimataifa aicc. nyuma ya waziri ni bosi wa kituo hicho mh. kaaya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...