Habari za kazi kaka michuzi,
mimi nipo fine kabisa,
napenda kwanza kutoa pongezi zangu kwako kwa kazi nzuri unayoifanya katika hii blog yako.Mimi nipo huku ughaibuni, nilikua naomba msaada tutani,ninamtafuta rafiki yangu mpenzi ambae nimepotezana nae kwa muda mrefu kwa jina anaitwa SELEMANI H KISESA.
mara ya mwisho niliwasiliana nae mwaka 1999 akiwa Canada,na baada ya hapo tukapotezana ki mawasiliano mpaka leo hii,ila nilisikia yupo Tanzania,sasa nilikua naomba popote alipo au kama kuna mtu yeyote ambae ana contact zake awasiliane na mimi kupitia Mail yangu revovinny@yahoo.co.uk.
Asante.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...