Kutakuwa na kikao cha Wanyiramba wote waishio Dar Es Salaam siku ya Jumamosi tarehe 24.05.2008 saa 9.00 mchana Msimbazi Centre.
Aonaye tangazo hili amtaarifu na mwenzake.
Tafadhali tuwahi bila kukosa.
Adam
Katibu wa UKWAMI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2008

    Naomba wajadili suala la kuacha kutairi watoto wadogo wa kike ....

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2008

    Naomba wajadili suala la kuacha kutairi watoto wadogo wa kike ....

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 22, 2008

    jamani kamwene umnogage!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 22, 2008

    Tunaomba Ajenda tafadhali

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 22, 2008

    Nimegundua baadhi ya wachangiaji hawalijui kabisa kabila la Wanyiramba ndiyo maana wanaandika mambo ya kutahiri watoto wa kike mara kamwene umnogage???...Msua

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 22, 2008

    sasa wewe Anonymous 3, wa May 22, 2008 1:38 PM, kamwene umnogage!! hicho ni kinyiramba? au we Msomali? bahati yako, tutakutumia Uhamiaji faster!wacheck urai wako.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 22, 2008

    Agenda
    1. Kukomesha ukeketaji
    2. Kutokutumia 'wanyiramba' na
    badala yake kutumiwa 'watu
    watokao Singida
    3. Kupingana na rushwa
    4. BNY (NOB)

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 22, 2008

    huo ukabila mtaacha lini jamani?juzi kulikua na kikao cha wahaya leo tena wanyiramba,mnajua mazara ya ukabila au mnafanya vikao tu.kwa nini msianzishe jumuia tu ya kawaida hadi iwe ya ukabila?ni hayo kwa leo

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 23, 2008

    Afadhali mkutane kuendeleza mikakati mizuri ya kusadia Singida. Mmekamata nchi mmeshikilia muda mrefu toka enzi za Nyerere ila kwenu mambo sio swafii hebu rekebisheni acheni utani.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 23, 2008

    mimi ndiye nil;iyesalimia kamwene kwasababu niridhani ni kinyirampa,nisameheni...!..ila je mnasalimiaje?

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 24, 2008

    anon 8:16 acha wivu...na wewe si ufanye la kabila lako bwana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...