Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.



 

Friday, July 11, 2008
h-taun kuna mambo julai 25
"East Africa Summer nite!"
Ile 'party' inayosubiriwa kwa hamu na
East Africans waishio Houston Tx is around
Tha corner, bila kusahau Mr. East African
In H-town(handsome) atatafutwa siku hiyo,
na pia 'couple'ambayo itapendeza zaidi
watajipatia zawadi nono (surprise)
Date: 25th July
Venue: Brenda hall
3720 Westpark n' Gesner
(Behind Valero gas station)
Time: 9pm til dawn
Cover: $ 10 Gents, $5 Ladies
($ 3 u call it a drink!)
tha hottest dj in town dj kaycee gon make it happen!
Pia kwa wale ma'handsome' ambao wangependa Kushiriki katika 'Mr E.A Houston' wanaombwa Ku'register' through 281 236 5204 ( dj kaycee)
 
© Michuzi | Friday, July 11, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako |


Maoni: 0




Idadi ya watu
eXTReMe Tracker