MWALIMU : 1922-1999

The Nyerere Health & Education Fund Presents:
A Celebration in Remembrance of
The Life and Work of
MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE

WHERE: Mosaic Church, a Non-Denominational Congregation,
4401 – 16th Street,
NW,
Washington,
DC 20011
WHEN: Saturday, October 18, 2008, 4:00 – 7:00 pm


YOU ARE ALL WELCOME!

FOR MORE INFORMATION CALL:

301.357.9050

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Thanks for the advertisement tungeweza kujua hii shughuli inaendeshwa na nani? An je ni free event? It helps to be detailed kwani I have seen advertisements like this and then you get at the door and you have to pay or you get at the door and it's free. If you can put some more information I will appreciate.

    Mdau Baltimore

    ReplyDelete
  2. Inawezekana imefungwa lakini hakuna ufuatiliaji wowote! huo ni uongo nani ana muda wa kufuatilia mablog??? na ni kwasababu ipi ya msingi???

    ReplyDelete
  3. We remember you Mwalimu.Kuna kitu kinanisiktisha sana,serikali ilipiga marufuku(nasikia) uuzwaji 'holela' wa kanda(cassettte) bila sababu za msingi.Huwezi kuzipata hizi kanda,mimi ninayo moja niliinunua kabla hazijazuiwa ni,nzuri sana kuisikiliza.Wananchi wanahitaji hizi kanda.Radio ya Taifa inakuwa inaweka vipande vya robo saa nasaha za baba wa Taifa tena saa 11 asubuhi sijui na saa 2 usiku.Kama kuna anaweza kunisaidia sehemu ya kununua hizi kanda anisaidie.Kama kuna mtu wa serikali humu kwenye blog atueleze ni kwanini zilizuiwa kuuzwa mitaani.Ni hayo tu.

    ReplyDelete
  4. Hapa wandugu wa DC wamalizie info kama kiingilio, mgeni rasmi, ajenda na kama kuna limit ya watu basi watu wajue. Kisha watuhakikishie suala la muda maana ni kawaida kusikia kuwa saa kumi mpaka moja jioni, halafu mkajikuta mnaanza saa moja. Kuna ratiba nyingi hivyo wakiwa punctual itasaidia hasa katika tukio hili muhimu la kumuenzi mtu muhimu kama Nyerere.
    Good Job and see you there.

    ReplyDelete
  5. Nakuunga mkono, really natafuta kanda za speech za mwalimu umoja wa mataifa, OAU na Ndani ya nchi. Nakumbuka nilikuwa mdogo but I still remember kusikiliza na kuelewa anasema nini. Kwa wale wasiobahatika kushuhudia uongozi wa Mwalimu Nyerere ni muhimu kusitafuta hizi kanda au kusoma kitabu kinaitwa "Julius Nyerere of Tanzania". Sijui nimwite mchungaji, maana alikuwa na power ya kuzungumza na TAIFA na dunia nzima na atakalolitamka litatokea. Tanzania ni nchi moja duniani ambayo madeni yake ya mabilioni ya pesa ya huku Marekani yalikuwa yakisamehewa wakati wote. Maana mzee wetu alikuwa anakuja IMF na world bank na kuwashushia nondo za hali ya nchi ilivyo mpaka wamarekani wenyewe wanaona haya kudai watu ambao bado wanahitaji msaada. God bless his soul na tunamwombea mema huko alipo. He really fought for all of us like his own kids! You are really missed MWALIMU!

    ReplyDelete
  6. MICHUZI TUNAOMBA UTUTAFUTIE DVD NA UTUUZIE KWENYE BLOG HII KUHUSU HUYU NYERERE. SIKU ZINAVYOKWENDA MBELE NDIO JINSI TUNAMKUMBUKA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...