mabingwa wa kombe la Tusker 2008 mtibwa fc katika picha rasmi
,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Picha nzuri Mtibwa, na hongereni kwa kuchukua ubingwa wa Tusker hiyo imedhihirisha kuwa penye nia pana njia kwani ingekuwa vingenevyo kama mngekata tamaa baada ya kufungwa na URA mechi ya kwanza

    ReplyDelete
  2. Nawapa pongezi wana- Mtibwa kwa kutwaa kombe na pia kutetea na kulinda heshima ya nchi yetu ki-soka. Hongereni Wana Tam-tam!!!

    ReplyDelete
  3. Duh watu wa Yanga na Simba mbona hamtoi hongera? mie mshabiki wa Pan African nawatakia kila la kheri mtibwa muendelee hivyo hivyo jamani wafadhili irudisheni pan african katika sehemu yakek ubwa.

    ReplyDelete
  4. Hongera nyingi kwa wacheza toka Turiani,Morogoro kwa kulitwaa kombe la Tusker na kulibakiza Bongo,pia hongera kwa timu ya Simba kuambulia nafasi ya tatu.

    ReplyDelete
  5. Hongera sana Mtibwa Fc, ushindi wenu ni muhimu sana katika maendelea ya soka Tanzania, si kweli kila timu inayotoka Mji mkuu wa nchi husika ndio lazima iwe na mafanikio tuliyoyazoea, imekuwa ni safari ndefu kwa mtibwa kufikia hapa ilipo na hili linatufundisha unapokuwa na mipango ya muda mrefu daima utafanikiwa ...Hongera sana Mtibwa na wanachama , viongozi na wadau wote wa Turiani!

    ReplyDelete
  6. Ndugu yangu wa Pan African pole sana mbona hiyo timu haina tena washabiki?
    Kama ambavyo raizoni zimepotea na timu yako hivyo hivyo pamoja na kuinunua Twiga mambo bado yakawa magumu KANDAMBILI bado zinadunda tu
    Kama si lile jengo pale basi mngekuwa kama Nyota Nyekundu
    Mshawishini Tenga akimaliza muda wake aje kuwa rais wa Pan

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...