Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.



 

Saturday, May 31, 2008
wageni wawasili tayari kwa mkutano wa sullivan
mchungaji jesse jackson akiwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro leo akiongoza mamia ya wamarekani wenye asili ya kiafrika na wageni wengine toka sehemu mbalimbali tayari kwa mkutano wa sullivan unaofunguliwa jumanne na kumalizika alhamisi katika ukumbi wa aicc
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 25
taifa staa yatoka droo na mauritius
Mpira umekwisha na taifa staa imetoka sare ya 1-1 na mauritius kwenye kutafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia kwenye wanja jipya la neshno. michuano hii inaendeshwa kwa mtindo wa ligi na staaz imepangiwa pia na cape verde na cameroun.
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 32
staaz wasawazisha
dan mruanda ameisawazishia taifa staaz dhidi ya mauritius kwa bao safi la gonga za wan-twu na kigi makassy katika dakika ya 25 ya kipindi cha pili na ngoma kuwa 1-1. na uwanja sasa unacheka...
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
neshno kumenuna
timu ya taifa ya mauritius hadi sasa inaongoza goli 1-0 dhidi ya taifa staaz kwenye wanja jipya la neshno katika mpambano wa kuwania tiketi ya kucheza kombe la dunia katika mchezo wa mguu wa kwanza. hivi sasa ni kipindi cha pili na uwanja bado umenuna
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
TBC kutangaza Sullivan laivu!
prodyuza mwanga kirahi na mpiga picha anko gunze wakipiga tizi ya namna shirika la utangazaji la taifa (TBC) litavyonasa kwa umakini na kurusha matangazo ya mkutano wa sullivan laivu toka ukumbi wa aicc toka mwanzao juni 2 hadi mwisho juni 6

 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
msiba kijitonyama na dodoma
charles hilary wa bbc akiwa na wasaidizi wa mzee rashidi kawawa, mohamed kasuva, na Luanda (kulia) wakiwa london hivi karibuni.
habari ambazo zimeingia sasa hivi zinasema kaka mohamed kasuva amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo maeneo ya kijitonyama, makumbusho, dar.

kwa mujibu wa kaka luanda msafara wa kuelekea dodoma kwa mazishi unaaza wakati wowote kuanzia sasa kutokea kijitonama. mazishi yanatarajiwa kuwa kesho dodoma mjini
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
subira yavuta heri
wadau wenye mabaluni wakisubiri wakaguzi wa magari kabla ya kupata tenda kwenye mkutano wa sullivan aicc club, na magari kibao yamekodishwa kwa bei ya laki moja unusu kwa siku

 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
'copy' yatwaa tuzo ya kinara wa filamu bongo

Filamu ya Copy, juzi usiku ilifanikiwa kunyakua tuzo ya kuwa filamu bora ya mwaka 2007-2008, katika shindano la tuzo za vinara wa filamu Tanzania liliandaliwana Kampuni ya One Game Promotion ya Jijini Dar es Salaam.

Katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, filamu hiyo pia ilinyakua tuzo zingine tano kupitia kwa Khalfan Ahmed aliye nyakua tuzombili za Mtunzi bora na Muongozaji Bora, Rashid Mrutu aliyenyakuwa mbili pia za mpiga picha Bora na Mhariri Bora na Elizaberth Chijumba ambeye alinyakuwa tuzo ya kuwa Mwigizaji bora wa Kike.

Wengine walionyakuwa tuzo katika hafla hiyo iliyohudhuriwa pia na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Joel Bendera ni Jacob Steven kutoka filamu ya The Stranger (Muigizaji Bora wa Kiume), Irine Uwoya filamu ya Diversion of Love (Mwigizaji bora Mwandamizi wa kike), Grace Michael wa filamu ya Malipo ya usaliti (mwigizaji bora Chipukizi wa kike).

Wengine ni Cleophance Ng’atingwa wa Kolelo (mnasa Sauti bora), Sebastian Mwanangulo wa Misukosuko II(Adui bora), Kulwa Kikumba wa Diversion Of Love (mwandishi bora), Emmanuel Muyamba wa Fake Pastors (muigizaji bora mwanadamizi wa kiume), Yussuf Mlela wa Diversion Of Love (Muigizaji bora chipukizi wa kiume) ambapo pia Filamu ya Kolelo ilitwaa tuzo ya kuwa na maleba na mapambo bora.

Awali katikahafla hiyo Naibu Waziri Bendera aliwapongeza wasanii wafani ya filamu hapa nchini kwa juhudi zao katika kukuza sana ahiyo ambapo pia aliwata kutengenezafilamu zinazolenga kulinda na kuhifadhi mila na desturi za Utamaduni wa Mtanzania.

"Filamu zilenge uhalisia wa Mtanzania, zilenge katika kuelimisha maadili mema na ziwe chachu katika kutanga utamaduni wan chi yetu, tusikimbilie mambo ya kuiga ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangia katikammomonyokowa maadili," alisema Bendera.


Pia Waziri Bendera aliwataka wasanii kuongeza ubinifu katika utunzi na kwamba Tanzania ina utajiri mkubwa katika nyanja ya Utamaduni hivyo wasanii hawana sababu ya kuiba hadithi kutoka nje kwani hapa nchini katika makabila mbalimbali kuna hadithi nyingi na nzuri ambazo kama watazifanyia kazi vizuri zitachangia katika kuitangaza nchi yetu vyemakatika fani ya filamu.

Pichani: Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera akimkabidhi Tuzo ya Filamu bora Mwongozaji na Mtunzi wa filamu ya Copy, Khalfan Ahmed maarufu kwa jina la kisanii la Kelvin kwenye hafla ya utoaji wa tuzo za Virana iliyofanyika Ijumaa usiku kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
kizungumkuti
sisi wadau wa kudaboklik(computer) tunaiita Deadlock
Boss said to secretary: For a week we will go abroad, so make arrangements.
Secretary make call to Husband: For a week my boss and I will be going abroad, you look after yourself.
Husband make call to secret lover: My wife is going abroad for a week, so let's spend the week together.
Secret lover make call to small boy whom she is giving private tuition: I have work for a week, so you need not come for class.
Small boy make call to his grandfather: Grandpa, for a week I don't have classes 'coz my teacher is busy. Let's spend the week together.
Grandpa (the Boss ;)) make call to his secretary: This week I am spending my time with my grandson. We cannot attend that meeting.
Secretary make call to her husband: This week my boss has some work, we canceled our trip.
Husband make call to secret lover: We cannot spend this week together; my wife has canceled her trip.

Secret lover make call to small boy whom she is giving private tuition: This week we will have class as usual.
Small boy make call to his grandfather: Grandpa, my teacher said this week I have to attend class. Sorry I can't give you company.
Grandpa make call to his secretary: Don't worry this week we will attend that meeting, so make arrangement.
 
© Michuzi | Saturday, May 31, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
Friday, May 30, 2008
kp leo

 
© Michuzi | Friday, May 30, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
miss universe tz 2008
Miss Universe Tanzania, Amanda Sululu,katikati, akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi kwenye Ukumbi wa Movenpick Da es Salaam juzi,kushoto ni mshindi wa pili Jamila Nyanga na Eva Babuely
 
© Michuzi | Friday, May 30, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
amanda sululu amrithi flavian matata
Miss Universe TZ 2008 Amanda Sululu akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa kwenye Ukumbi wa Movenpick usiku kuamkia leo. Huyu ndiye mrithi wa Flavian Matata ambaye mwaka jana aliingia tano bora kwenye mchuano wa dunia. amanda si mgeni sana kwenye ulimbwende kwani mwaka jana alishiriki Miss TZ
 
© Michuzi | Friday, May 30, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
mfadhili wa mdau wa milioni 5 apatikana
HABARI NJEMA KWA WADAU WA GLOBU HII YA JAMII.
KATIKA KUELEKEA KUPATA MDAU WA MILIONI 5, ARISE BEAUTY SUPPLY WAMEJITOKEZA KUTOA ZAWADI YA DOLA 500 KWA ATAKAYEBAHATIKA KUWA MDAU WA MILIONI 5 MUDA WOWOTE KUNZIA SASA.
MASHARTI NI KWAMBA MDAU HUYO LAZIMA AKACHUKUE ZAWADI YAKE DUKANI SINZA AMA MIKOCHENI. NA KAMA ANAISHI NJE YA DAR ATUME MWAKILISHI HALALI KUMWAKILISHA.
ZOEZI NI LILE LILE. PINDI UKIFUNGUA GLOBU NA KUKUTA NAMBA YA CHINI KULIA INASOMEKA 5,000,000 BASI FANYA JUU CHINI UTUME HUO UKURASA NA ANUANI YAKO KAMILI KWA issamichuzi@gmai.com
KAMA KAWA UAMUZI WA MAJAJI NI WA MWISHO.
CHINI NI MAELEKEZO YA DUKA HILO LILILOTOA UFADHILI HUU. SOMA KWA MAKINI MAANA WEWE WAWEZA KUWA MSHINDI WA HIYO DOLA 500 KWA KUWA MDAU WA MILIONI 5 WA GLOBU HII YA JAMII...
--------------------------------------------------------------------------------------
ARISE BEAUTY SUPPLY

KWA UMARIDADI WA AKINA KAKA NA AKINA DADA
Jaribu Kabla Hujanunua
Kuna Hitilafu? Rudisha Dukani
Discount Card Kwa Kila Mteja
DUKA SASA LINA MATAWI MAWILI
1. ARISE SINZA
2. ARISE MIKOCHENI KWA MWALIMU
Wasiliana na Rose
Namba za simu
0784-521171
0753-335011,
Email: info@arise-tz.com
 
© Michuzi | Friday, May 30, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
dili kwa wakwe

Kama kuna mdau wa blog hii ya jamii ambaye anajua kutumia Java Programming Laanguage
Naomba awasilliane na mimi. Kuna Kazi na Kampuni kutoka England.
Sifa Anatikiwa awe Raia wa nchi za Africa Mashariki na asiwe na criminal record

Ahsante


Phillip Higenyi Kakuru
ICT Resource/WebdesignICT MOVEMENT
Tel: +256775669099
P.O Box 5772
Kampala
 
© Michuzi | Friday, May 30, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
Thursday, May 29, 2008
jk na al bashir
jk akiongea na rais wa sudan omar al bashir leo huko japan ambako wote wanahudhuria mkutano wa Tokyo International Conference on African Development (TICAD IV)
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
katikati
alama za umbali toka a-taun kwenda sehemu mbalimbali

 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
kuona bure, kugusa dola 1,000
bei yake ni dola milioni 4.8 (madafu ngapi sijui, wadau msaada) na ni gari la 34 la mwana mfalme khaleed wa uarabuni. hiyo inayong'ara ni vumbi la almasi
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 40
marais kibao wa afrika mkutano wa japan
jk (saba kulia) akiwa na viongozi kibao wa nchi za afrika wanaohudhuria mkutano wa yokohama, japan
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
majaji wapya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameteua majaji 11 wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

Taarifa iliyotolewa jana Ikulu, Dar es Salaam, na Katibu Mkuu Kiongozi, Bwana Philemon Luhanjo inasema kuwa uteuzi huo umeanza Jumamosi iliyopita, Mei 24, 2008.

Kati ya majaji hao wapya, saba ni wanawake na wanne ni wanaume.

Wanawake walioteuliwa kuwa majaji ni Bibi Sophia Wambura, Bibi Crecencia William Makuru, Bibi Zainabu Goronya Muruke na Bibi Upendo Hillary Msuya.

Wengine ni Bibi Atuganile Florida Ngwala, Bibi Rose Aggrey Teemba na Bibi Rehema Kiwanga Mkuye.

Majaji wengine wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania ni Bwana Kassim M. Nyangarika, Bwana Gabriel Kamugisa Rwakibarila, Bwana Ibrahim Sayida Mipawa na Bwana Lawrence Kisenge Nziajose Kaduri.

Aidha, Katibu Mkuu Kiongozi ametangaza pia kuwa Rais Kikwete amemteua Ferdinand Leons Katipwa Wambali kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani.

Bwana Wambali anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Bibi Sophia Wambura ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu ya Tanzania.

Kabla ya uteuzi wake, Bwana Wambali alikuwa Naibu Msajili Mwandamizi wa Mahakama ya Rufani.
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
kumbukumbu
mdau, mnara huu wa azimio la arusha unakukumbusha nini?
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 27
kp leo

 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 23
mzee wa bunju

BWANA MICHUZI,
NI MIMI MZEE WA BUNJU TENA NOMBA MSAADA WENU NYOTE BILA KUBAGUA. NIMEKUA NATATIZWA SANA NA HAKA KAMTINDO AMBAKO KAMEJIKITA SANA MJINI HASA KWA WATU WA CLASS FLANI, UNAKUTA MTU ANAITWA MAMA LUKAMBA, AU MAMA SWAI, NA HAPO SWAI AU LUKAMBA SIO MTOTO WA YULE MAMA LA! NI MMEWE NDO SWAI AU LUKAMBA!!!! AU UNAKUTA WANAWAKE WAKIAMBIZANA KWA MFANO NAKWENDA UBUNGO KUMPOKEA BABA!!! HAPO ANAMAANISHA MMEWE SIO BABA YAKE MZAZI TOKA ROMBO AU USSOKE!!!!!! HALIKADHALIKA WANAUME UTAKUTA ANASEMA , “ NGOJA NI CHECK NA MAMA TUONE TUTAKUSAIDIAJE!!!!” HAPO HAMAANISHI MAMA AKE TOKA HUKO MABONDE KWINAMA.

ILIWAHI NITOKEA MIAKA YA NYUMA KIDOGO MAMA ANGU ALIKUJA KUTUTEMBELEA TUKAWA NAE KWA MUDA FLANI HAPA KWANGU. SASA SIKU MOJA AKAJA MAMA MMOJA JIRANI YETU AKAULIZA NIMEMKUTA MAMA LUKAMBA?? MAMA ANGU AKATOKA KWA FAHARI AKASEMA “NIPO KARIBU “ YULE MGENI ALISHANGAA SANA NA AKASEMA “SI WEWE NA MTAFUTA MKEWE” KWA KWELI MAMA ANGU ALIFADHAIKA SANA NA ILITUGHARIMU SANA KUMWELEWESHA ,MAANA KWAKE YEYE MAMA NI YEYE NA SI MWINGINE NA YEYE KUITWA BI MKUBWA NI MATUSI MAANA KWETU BI MKUBWA NI MKE MKUBWA KATIKA NDOA MITALA NA YEYE HAWEZI KUA BI MKUBWA KWANGU!!!! SASA JE!

NISAHIHI KUWAITWA WANDANI WETU VYEO STAHILI VYA WAZAZAI WETU ( MAMA AU BABA??)
DINI ZINASEMAJE HUHUSU HILI
MILA ZETU ZINAELEKEZAJE???
NI SAHIHI KUMUITA MAMA AKO BI MKUBWA??
KWA WENYE MITALA WAKE ZAO WAKUBWA WAITWEJE???

SHUKRANI

MZEE WA BUJU
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 33
shaaban robert
wadau wengi wa shaban robert wameomba tena kupaona shuleni pao. nawasilisha
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 57
wanasarakasi waliporejea toka china
kundi la taifa la sarakasi liliporejea toka china kwa meli mwaka 1968. wengi wao walipewa kazi za mezani na kundi kusambaratika baada ya jaribio fupi la kufundisha fani hiyo mashuleni kupotelea kusikojulikana. juhudi hizo zingeendelezwa hadi leo tungekuwa mbali sana...we acha tu
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
oldonyo lengai
mdau glory katuletea picha hii aliyopiga karibuni kuonesha mlima oldonyo lengai unapofuka moshi. miezi kadhaa ilopita ulileta kasheshe ulipoanza kutema moto ila sasa umetulia
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
nyumbani kwa tenga
hapa ni marangu, kilema, alipozaliwa rais wa tff leodegar chilla tenga
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 30
chebo
aghalabu ukienda mbugani utakuta pundamilia wamekula pozi hili. nilipouliza nikaambiwa hiyo ni mbinu yao ya kula chebo, yaani kuangalia adui asiwavamia kirahisi endapo kama watakuwa wameangalia kumoja...
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
ali kiba kuwa london ijuma hii

CLUB AFRIQUE LONDON


PROUDLY PRESENTS


ALI KIBA



TANZANIA'S CHART BURSTING ARTISTE


WHEN : FRIDAY 30TH MAY 2008


WHERE:CLUB AFRIQUE


CANNING TOWN

LONDON

FEE: £10


ALL EAST AFRICANS ARE WELCOME
 
© Michuzi | Thursday, May 29, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
Wednesday, May 28, 2008
ali kiba azidi kutesa ulaya

 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
msaada tutani
Shikamoo kaka Michuzi,
Nawatafuta marafiki zangu wafuatao; Saidi Johari ,Mariam Mavura, Willbroad Karugaba ,Nancy S , hawa nilifanya nao kazi na World food Programme (WFP) Dodoma mwaka 2001, pia Gisella Ngoo, Gideon Ngoo, Jackson Daniel,Tisha Ndejembi,niliambiwa kuwa hawa ndugu zangu wako Uingereza. Caroline Kilembe(Msigala), huyu nasikia yuko wizara ya Kilimo Idara ya Extension .
hawa wote nilifanya nao pia kule Dodoma na shirika la Misaada la Norway la kugawa Uponi ( NPA ) , pia dada Mariam Mavura (mama Irene) alikuwa anafanya kazi NPA. Naomba nisaidie niwasiliane nao kupitia flymushi@yahoo.com

Naomba mdau yeyote wa glob hii ya jamii anaefahamu contact za yeyote hapo juu anisaidie

Nashukuru sana kaka

Flora Lucas Mushi
 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
kama kawa
sagula sagula ya viatu a-taun

 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
mdau wa ngurdoto na impala
Imma mamuya ni mmoja wa wadau wakubwa wa globu hii ya jamii wa a-taun na yeye ni mtaalamu wa mitandao kwenye hoteli za ngurdoto, impala na naura springs.

 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
pinda azindua siku ya wajasiriamali wadogo
waziri mkuu mh. mizengo pinda akiwa na viongozi wa chama cha wenye viwanda na biashara na kilimo kwenye ukumbi wa diamond jubilee hall huko dar leo. shoto ni waziri wa viwanda na baishara dk. mary nagu
 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
kp leo

 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
mafuru aula vodacom
nampa hongera kaka ephraim mafuru kwa kuula leo hoteli ya impala hapa a-taun. yaani baada ya kusota kwa takriban miaka minane kaka mafuru jana katangazwa kuwa bosi mpya wa masoko, udhamini na mawasiliano wa kampuni ya voadcom nafasi ambayo imewafariji wadau wengi wa kampuni hiyo kutokana na uzoefu na uwezo wa mafuru katika 'fitna' za kibiashara.
 
© Michuzi | Wednesday, May 28, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 23
Tuesday, May 27, 2008
jk akiwa yokohama
KK akisalimiana na Waziri mkuu wa Japan Mhe. Yasuo Fukuda kwa mazungumzo kwenye Hoteli ya Yokohama Grand Intercontinental leo, ambako Mkutano wa nne wa TICAD unafanyika jijini Yokohama
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 20
pinda atembelea muhimbili

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda (katikati) akishuhudia upasuaji wa moyo ulioongozwa na Daktari, William Mahalu wakati alipotembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar leo
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 28
sheikh yahaya hussein azindua tovuti

Je unajua kuwa ukijua siri ya viganja unaweza kujua jambo lolote katika maisha yako litakutokea lini na nani atahusika au litakuathiri vipi?.


Pia utaweza kujua kama utaoa au kuolewa au la! na hayo yote yatatokea lini, Je ndoa utafunga ua la?, je, ndoa itadumu au haitadumu, je mtapata watoto au hamtapata, je mtapata watoto wangapi? na je wangapi wataishi maisha marefu na wangapi hawataishi maisha marefu.


Katika sehemu hii nitawaeleza Siri za ndani kabisa ambazo zipo katika viganja vya kila mtu. Je unajua kuwa mambo yatakayokutokea maishani mwako pamoja na maajaliwa yako yote yameandikwa katika viganja vyako?.


Je unajua kuwa ukijua siri ya viganja unaweza kujua jambo lolote katika maisha yako litakutokea lini na nani atahusika au litakuathiri vipi?. Pia utaweza kujua kama utaoa au kuolewa au la! na hayo yote yatatokea lini, Je ndoa utafunga ua la?, je, ndoa itadumu au haitadumu, je mtapata watoto au hamtapata, je mtapata watoto wangapi? na je wangapi wataishi maisha marefu na wangapi hawataishi maisha marefu.


Kwa muda wa miaka mingi sana nimekuwa nikiwasaidia watu kujua maisha yao ya mbele kwa kusoma viganja vyao na kuwapa ushauri wa nini kifanyike ili waweze kufanikiwa maishani kutokana na Majaliwa yao yalivyoandikwa kwenye viganja vyao.


Na sasa nimeamua kuwapa hii elimu watu wengi zaidi ili muweze kujua siri za dunia na ili muweze kuelewa ni nini cha kufanya katika maisha yenu ili muweze kufanikiwa zaidi.


Kwa kuwa Elimu yenyewe ya Viganja ni pana sana, itanibidi niwe ninawaeleza siri za mikono yenu hatua kwa hatua ili muweze kuelewa elimu hii ya ajabu.

Ahsante,
Sheikh Yahya Hussein.


 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 30
mpende mkeo...
uongo...uongo...mitumbazzz inasevu jamani

 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
mkapa ajibu mapigo
RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin Mkapa amevunja ukimya kuhusu tetesi na tuhuma kwamba alikiuka misingi na kujikita katika biashara wakati akiwa madarakani kwa kusema madai hayo si ya kweli na kwamba wanaomtuhumu wana chuki dhidi yake. Soma habari yote kwa kubofya hapa
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 35
burudan kibao siku ya tuzo za filamu
MASUPASTAA KIBAO KUSINDIKIZA TUZO ZA VINARA WA FILAMU

Wasanii nguli wa muziki nchini wamethibitisha kusindikiza utoaji wa Tuzo za Vinara wa filamu Tanzania (Vinara Film Awards 2007-2008) zitakazofanyika ijumaa hii tarehe 30 mei 2008 ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee Hall kuanzia saa mbili usiku.

Habari kutoka ndani ya One Game Promotions wanaoandaa Tuzo hizo, zinasema kuwa, tayari Mzee Yusuf, Profesa Jay, Nakaaya Sumary, Safu ya unenguaji ya Akudo, Matonya na THT Dancers wamethibitisha kutumbuiza siku ya shughuli hiyo kubwa nchini.

Wadadisi wa masuala ya burudani wamesema kwamba Tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania ni tukio kubwa la kihistoria hapa nchini na Afrika ya Mashariki. Inatarajiwa Kuwa siku hiyo itakuwa na burudani ya aina yake.

Wiki iliyopita, majaji wa tuzo hizo walitangaza majina matano kwa kila kipengele yaliongia katika hatua ya mwisho ya kuwania tuzo hizo. Washindi kwa kila kipengele wanatarajiwa kukabidhiwa Tuzo hizo siku ya Ijumaa Mei 30 ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee.

Kategori ambazo zinaangaliwa na mashabiki wengi wa sanaa ya maigizo ni zile za waigizaji bora wa kike na kiume wa mwaka 2007-2008 baada ya wasanii nguli wa sanaa hiyo kupigwa chini kwenye uteuzi.

Tuzo ya Muigizaji bora wa kike inawaniwa na Lucy Komba (Diversion of Love), Grace Michael (Malipo ya Usaliti), Halima Yahya (The Stranger), Elizabeth Chijumba (Copy) na Riyama Ally (Fungu la Kukosa).

Kwa upande wa muigizaji bora wa kiume, tuzo inawaniwa na Single Mtambalike (Agano la Urithi), Nurdin Mohammed (Utata), Jacob Steven (Copy), Hajji Adam (Miss Bongo) na Yusuf Mlela (Diversion of Love).


Fainali za Tuzo Vinara wa Filamu zinatarajiwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia saa mbili usiku. Kiingilio ni Tshs 20,000 kwa viti maalum na Tshs 10, 000 kwa viti vya kawaida.

Watakaofika kwenye ukumbi wategemee mapokezi ya kifahari, kuwekewa zulia jekundu (red carpet) na burudani tosha mithili ya Tuzo za filamu za Oscars za nchini Marekani.

Tuzo hizi zitakazokuwa zinatolewa kila mwaka zimedhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Tanzania (TBL) kupitia bia ya Ndovu Special Malt ikishirikiana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Digital Art, Global Publishers, Clouds FM, Regency Park Hotel, KIU Investment na Vayle Springs.

 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
msaada tutani
Shikamoo kaka Michuzi,

Nawatafuta marafiki zangu wafuatao: Chimwemwe Jumanne, Aisha Mohamed, Angela David na Joyce Kivugo. Naomba tuwasiliane kupitia email:
jjackline85@yahoo.co.uk

Nashukuru kwa msaada wako kaka Michuzi.

Jackie
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
jackline anyakua taji la miss bagamoyo 2008
mgeni rasmi mkuu wa wilaya bagamoyo Mh Serenge Mrengo akikabidhi zawadi za sofa kwa Miss Bagamoyo 2008, Jackline Chuwa. nyuma mwenye suti ya maruni ni mkurugenzi wa miss bagamoyo 2008 bwana Kim kimenya akiwa sambamba na mwenyekiti wa kamati ya miss bagamoyo ndugu Cosmas kadenge na event manager aliyevaa suti ya kijivu ni Charles Buriani

Miss bagamoyo 2008 Jackline Chuwa akiwa na mshindi wa pili zena Mohamed (shoto) na mshindi wa Tatu Ashura Msese baada ya shindan hilo lilofana sana huko bagamoyo wikiendi ilopita
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
machimbo ya kaolin yatelekezwa kisarawe

Michu,

Hapo ni pichani ni machimbo ya kaolin kisarawe ambako inachimbwakienyeji tu.
Yaani huwezi amini, halafu tunalai njaa na ufisadi, wakati uchumi tumeukalia.
nadhani serekali ingeweza kuwekeza hapa ili na sisi vitu kama masinki ya kunawia, vyoo, vigae (floor & wall tiles)vikombe nasahani za dongo tungeweza kutengeneza wenyewe hapa hapa nchini.


MdauRhxoqsa
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
hepi besdei ya martin


HELLO UNCLE MICHUZI,


MIMI NI MDAU WAKO JEREMIAH MARTIN WA CHANGOMBE MCHICHA...


LEO NI BIRTHDAY YANGU TAR 27.05.2008 NIMETIMIZA MIAKA 9...




NAMSALIMIA MAMA YANGU AKIWA SAFARINI..ANTI WANGU AKIWA NORWAY NA ANTI WANGU MWINGINE AKIWA MBEZI BEACH NA BIBI YANGU AKIWA MACHAME NKUU...


NAKUTAKIA KAZI NJEMA UNCLE MICHUZI..




MDAU JEREMIAH MARTIN




hongera sana martin - ngoja nikuimbie kidogo...


hepi besdei tu yuuuu
hepi besdeitu yuuuuuuuu
hepi besdei dia martiiiiiiiiinnnnn
hepi besdei tuuuuyuuuuuuuuuuuu
hau ol a yuuu nawwwww
hau ol a yuu naaawwwwww
hau ol a yu nawwwww
hepi besdei tu yyooooouuuuuu....
- anko michuzi

 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
TUJADILI: MAHALI ITOLEWE ISITOLEWE?
BWANA MICHUZI,
NAOMBA USINIBANIE YAKHE. UNAJUA KUNA MAMBO AMBAYO HUUNEKANA KAMA SIO ISSUE LAKINI NI MUHIMU SANA KWA JAMII NA YANA ATHARI KUBWA TU KAMA HAYA PATI WASAA WA KUJADILIWA NA JAMII HUSIKA.
ILI YAPATIWE UFUMBUZI KWA MATATIZO YANAYO SABABISHWA NA SINTOFAMU ILIYOPO NDANI YA ISSUE YENYEWE.
KWA MFANO LEO NAOMBA MSAADA WA WADAU WOTE WA BLOG HII YA JAMII WALIO NJE NA NDANI, VIONGOZI WA DINI ZETU KUU HATA KAMA SI VIONGOZI ILA WAJUVI WA MAMBO YA KIJAMII NA KIDINI, WANIJUZE MIMI NA WENGINE, YAFUATAYO

MAHALI NI NINI??
MAHALI IENDELEE KUTOLEWA PINDI MTU AOLEWAPO AU ISITOLEWE??
NANI ANASTAHILI MAHALI??? ( BABA, MAMA, NDUNGU WENGINE, MUOLEWAJI??)
NINI THAMANI HALISI YA MAHALI???

SHUKRANI SANA

MZEE WA BUNJU
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 45
kliniki ya mapenzi
Shikamoo Kaka Issa,

Niko Mwanza kwa muda,na juzi jioni nilipita mitaa ya jiji Mwanza na kukutana na tangazo la Kliniki ya Mapenzi Mtaa wa Bantu. Hii imakaaje?
Kazi njema na Afya njema
Ndimi njili mwakoba

 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
wadau wazuru ubatani
wadau ambao ni wafanyabiashara wakubwa na wajasiriamali wadogowadogo toka bara na visiwani pamoja na mbunge wa mtwara mjii (sio lindi kama ilivoandikwa awali kwa makosa) mh. muhamed sinani majuzi walitembelea uturuki katika ziara ambayo ilifana sana. mtasha mwenye tai wa tatu shoto picha ya juu ni mwenyeji wao meja wa jiji la istanbul
 
© Michuzi | Tuesday, May 27, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
Monday, May 26, 2008
njenje kuduarika a-taun mkutano wa sullivan
habari zilizoingia sasa hivi ni kwamba kilimanjaro band 'wana njenje' (pichani) watatua a-taun jumapili ijayo tayari kutumbuiza wakati wa mkutano wa siku nne wa sullivan jijini hapo.
kiongozi wa njenje waziri ally ameiambia globu hii usiku huu kwamba watatua a-taun jumapili na kufanya onesho lao la kwanza siku ya ufunguzi wa mkuatno huo juni 2, 2008 na pia wakati wa ufungaji june 6, 2008.
na mambo yakienda mswano huenda wakatia timu matongee pub & nightclub wikiendi itayofuata. waziri kasema usiku huu kwamna wakazi wa a-taun wakae mkao wa kuduarika na vibao vya vipya kibao.
 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
kicheni mwisho wa reli
hii ndio kicheni katika hoteli ambamo mdau john kitime alifikia huko kigoma

 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
fasheni
wakwe kwa fasheni tu hawajambo...

 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
msaada tutani
Habari za kazi kaka michuzi,
mimi nipo fine kabisa,
napenda kwanza kutoa pongezi zangu kwako kwa kazi nzuri unayoifanya katika hii blog yako.Mimi nipo huku ughaibuni, nilikua naomba msaada tutani,ninamtafuta rafiki yangu mpenzi ambae nimepotezana nae kwa muda mrefu kwa jina anaitwa SELEMANI H KISESA.
mara ya mwisho niliwasiliana nae mwaka 1999 akiwa Canada,na baada ya hapo tukapotezana ki mawasiliano mpaka leo hii,ila nilisikia yupo Tanzania,sasa nilikua naomba popote alipo au kama kuna mtu yeyote ambae ana contact zake awasiliane na mimi kupitia Mail yangu revovinny@yahoo.co.uk.
Asante.
 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
miss tz shengen yakaribia

Welcome to "Miss Tanzania Europe 2008"


The mission of the Miss Tanzania Europe Pageant is to promote Tanzania and its people in the rest of the World: Tourism, culture, the beauty of this East African Nation.


We aim to further raise awareness on issues pertinent to Tanzaniaa and most of all empower the Tanzania Queen to educate and enlighten communities as a goodwill ambassador for Tanzania.


The winner of Miss Tanzania Europe 2008, chosen on June 28th in Essen, Germany, and first runner up will represent Tanzania Europe* at the Miss Tanzania pageant to be held in Dar es Salaam in August 2008.


If you want to apply, please go on the Application-Page


If you wish to apply for running in the Miss Tanzania Europe Pageant, you must be at least 18 years of age, of Tanzanian origin and residing in any State of the European Union wich is a Member of the so called "Schengen-Agreement".



 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 18
habari ndiyo hiyo

Habari hiyo hapo chini inapatikana pia www.nukta77.com sehemu ya "Ukumbini"


Ad-Aware ambayo ni toleo la Lavasoft's la anti-spyware/anti-adware
linapatikana bure kwa sasa. Katika toleo hili, UI na anti-virus vimeboreshwa na kuwezesha kutambua nyendo mbovu za virusi, spyware na trojan wanaojipanga kuvamia kompyuta yako.
Orodha ya yaliyoboreshwa katika Ad-Aware 2008 ni pamoja na:
Improved Threat Detection
Enhanced Rootkit removal system
Faster Updates & Faster Scans
Less Resource Usage for optimal computer performance
Easy to Download, Install and Use
Lavasoft ThreatWork submission tool
Ipakue Ad-Aware 2008 Free hapa
Toleo jingine la bure la anti-virus lililotolewa miezi kadhaa iliyopita ni:
Spyware Doctor 5.5
Type: full commercial application
Platform: Windows 2000, Windows XP, Windows Vista
Manufacturer:
PC Tools
Size: 25.3MB
Price:Free full commercial download
Download

 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
libeneke jipya munich

Haya tena wadau wa Munich na Vitongoji vyake mnakaribishwa katika Sherehe ya Ufunguzi wa Club yetu mpya iitwayo Hakuna Matata


Ufunguzi utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 31.05.08 kuanzia saa 12 jioni.


Klabu hii sasa imehamia katika makao yake mapya

Bayer strasse

103 München.


Mdau Malumbo

Munich
 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
jumuiya yazinduliwa uswisi


Habari za leo kaka Michuzi,ninayo furaha kuwaletea habari kuwa hatimaye Umoja wa watanzania waishio nchini switzerland yaanzishwa rasmi leo siku ya jumapili tarehe 25 mwezi wa 5.


Mkutano huu uliohudhuriwa na watanzania wengi tu waishio Geneva pamoja na miji mengine ya karibu uliweza kujadili na kupitia katiba ambayo ilipitishwa na kukubalika kuwa muongozo wa jumuiya hiyo.


Umoja huo utajulikana kama Tanzanians Association in Switzerland kwa kifupi TAS.


Kwakweli mimi binafsi kaka michuzi nimefurahishwa sana kuanzishwa kwa umoja huu maana ni jambo lililokuwa wazi kuwa wengi wa watanzania waishio nchini humu walikuwa na hamu ya kuwa na jumuiya itakayoweza kuwakutanisha wakati wa raha na hata wakati wa shida.


Pamoja na mambo mengine mengi Umoja huu pia umelenga kuwawezesha watanzania waishio nchini humu kuweza kuunda mikakati itakayo wasaidia katika nyanja mbalimbali hasa ya elimu kwa vijana na watoto wao na hata maendeleo ya kiuchumi wakiwamo nchini hapa na kwingineko.


Mheshimiwa Balozi Marten Lumbanga ambaye ndiye Balozi wa Tanzania kwa Umoja wa Mataifa hapa Switzerland ameteuliwa kuwa Patron wa jumuiya hio.
Pamoja naye viongozi wa jumuiya hio ni kama ifuatavyo:

Mlezi-----------------------Balozi Mh. Marten Lumbanga
Mwenyekiti-----------Dr.B. Nyenzi
Makamu M/kiti---------------Mrs. Mpatwa,
Katibu----------------------Mr.S.M. Sillayo
Katibu Msaidizi------------Mr. B. Luvanda
Mhasibu-----------------Mr.I. Lupatu


Kwa niaba ya watanzania wote waishio hapa napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza sana na kuwatakia kila la heri katika nafasi zao ili waeze kuiongoza vema jumuiya hii.
mdau,

geneva.
 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
maandalizi miss universe tz 2008
Maandalizi ya fainali ya mashindano ya Miss Universe Tanzania 2008 yaanza rasmi ikiwa ni harakati za kutafuta mrithi wa mrembo wa kimataifa – Flaviana Matata (Miss Universe Tanzania 2007), ambaye mwaka jana aliipeperusha bendera ya taifa na kufanikiwa kuingia katika kumi bora ulimwenguni.
Mashindano ya Miss Universe Tanzania yanaandaliwa na Compass Communications chini ya mkurugenzi wao Maria Sarungi Tsehai.

Warembo wamechaguliwa kupitia mahojiano na msako wa kitaifa na warembo 20 wamepata nafasi ya kushiriki katika fainali itakayofanyika tarehe 29 Mei 2008, katika hoteli ya Moevenpick Royal Palm.
Mashindano ya Miss Universe Tanzania yatawapa nafasi warembo hawa kunolewa na wataalam mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupewa mafunzo ya urembo, mazoezi ya viungo, ngoma za asili na kadhalika.

“Tunaweza kuona ya kuwa viwango vya warembo wetu mwaka huu vimezidi kuwa juu na tunategemea kuona mchuano mkali kwa ajili ya taji hili kubwa,” alieleza Maria Sarungi Tsehai. “Warembo wetu wanawakilisha tamaduni na asili mbalimbali za nchi yetu pana. Fainali itakuwa ni ya kusisimua.”

Warembo wa Miss Universe Tanzania 2008 ni: Catherine Mungure, Joanfaith John, Jamillah Nyangasa, Lucy Tilaha, Lilian Michael, Alicia George, Namrata Mandania, Grace Mumburi, Happy Kimbe, Eline Maronga, Happiness Kisanga, Clara Wekwe, Adeline Kapinga, Fransisca Mushi, Asia Said, MaryStella Swai, Fatma Banka, Zakhia Sheamdoe, Eva Evance na Zubeda Sakuru.

Warembo watakaa kambini katika hoteli ya Belinda Ocean Resort na wamesindikizwa na matron wao Jamilla Munisi na Sarah Martin wa Compass Communications.

Mashindano ya Miss Universe yamedhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager, Coke Light, SeaCliff Casino, Clouds FM, TBC, Prime Times Promotions, Smoove, Chuo cha uandishi cha TIME, Shear Illusions na Golden Touch Saloon.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Compass Communications:
Tel: 2182405/2182596
au 0784 305122
 
© Michuzi | Monday, May 26, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
Sunday, May 25, 2008
tujadili mkataba wa maximo
zimebakia takriban siku 90 kabla mkataba wa kocha mbrazil marcio maximo wa kukochi taifa stars umalizike. mkataba huo wa miaka miwili ulibarikiwa na serikali ambayo ndio inamgharamia kila kitu. je, mkataba huu ukiisha aongezewe mwingine?
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 81
nyundo a-taun
mtaa wa goliondoi leo. sio dar pekee ambako nyundo zinatembea kila kona katika harakati za kubomoa majumba makuukuu na kujenga mapya. a-taun nako ni nyundo mtindo mmoja. ila, kama ilivyo dar, nyundo hizo haziendi sambamba na uboreshaji ama upanuaji wa miundombinu hasa ya maji safi na machafu pamoja na maegesho ya magari ambayo ni ile ile ya miaka ya 47

 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
ali kiba kutua norway pia

 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
taifa stars sare na malawi
pambano kati ya taifa stars na malawi 'the flames' limemalizika sasa hivi na matokeo ni 1-1
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
TENDA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA YATOKA
SERIKALI IMETANGAZA TENDA KWA AJILI YA UTENGENEZAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA NA DOLA 152 AMA SHILINGI BILIONI 180 ZA MADAFU ZIMETENGWA KWA SHUGHULI HIYO. HABARI KAMILI BOFYA HAPA
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 21
taifa stars yasawazisha
salum swedi anaisawazishia stars kwa kichwa baada ya fred mbuna kurusha kama kona dakika ya 35 na sasa ngoma ni 1-1 dhidi ya timu ya taifa ya malawi
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
malawi yaongoza 1-0
taifa stars imetumguliwa bao moja na malawa dakika 9 baada ya kipindi cha pili kuanza, goli lililofungwa na na mchezaji wa kulipwa anayecheza urusi, essau kayenga, kwa uzembe wa mabeki wa stars.
malawi wanashambulia sana na hadi sasa ni nusu uwanja, ambapo wamalawi wako kwenye 18 ya stars muda mwingi.
dakika ya 18 wamalawi wanakosa bao baada ya mpira kugonga besela, kipa ivo mapunda akiwa kapelekwa sokoni.
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
taifa stars vs malawi
hivi sasa ni mapumziko katika uwanja mpya wa neshno na si taifa stars wala malawi walioona lango la mwenziwe, yaani hadi sasa ngoma ni 0-0 na malawi wanashambulia ile mbaya
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
mama pinda
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (mwenye kitenge) akitazama vyakula vilivyosindikwa na Fablonia Kalongoti (kusoto) wa Chama cha Kitume cha Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) katika hafla fupi iliyotnguliwa na ibada ya shukurani ya WAWATA iliyofanyika kwenye kanisa hilo leo
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
tx akiwa nanihii-moto...
mdau TX (kulia) ambaye ni memba wa kijiwe cha empress kwa fundi mussa akiwa na wafadhili wake wa kampuni ya East Africa Automobile Services wakipozi katika mji wa nanihii-moto huko japan.
hii ndiyo kampuni inayokagua magari yanayokuja ist afrika mashariki na asia.
Mdau Prosper
Kanagawa,Japan
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
jk aenda japani leo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka nchini leo jioni (25 Mei, 08) kuelekea Japan kuhudhuria mkutano wa nne unaohusu maendeleo ya Afrika, ujulikanao kama Tokyo International Conference on African Development (TICAD) utakaofanyika katika jiji la Yokohama.

Kabla ya kuhudhuria mkutano huo, Rais Kikwete atafanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Japan Mhe. Yasuo Fukuda, tarehe 27 Mei, 08 kuzungumzia mahusiano na ushirikiano wa nchi mbili hizi katika maswala ya kiuchumi na kidiplomasia na pia kama Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Kikwete anatarajiwa kumweleza mwenyeji wake juu ya maendeleo na changamoto mbalimbali zinazolikabili bara la Afrika na kujadili utatuzi wake.

Japan ni mshirika mkubwa wa maendeleo ya Tanzania ambapo Japan ni moja ya nchi zinazoisaidia Tanzania katika maeneo mbalimbali ikiwemo kuchangia katika bajeti na pia imechangia katika misaada mbalimbali ikiwemo ya chakula, barabara na maji

Mkutano wa nne wa TICAD utaanza tarehe 28-30 Mei, ambapo viongozi wote wa bara la Afrika wamealikwa kuhudhuria pamoja na viongozi wa Japan, wakuu wa mashirika mbalimbali ya kimataifa duniani kama vile Umoja wa Mataifa, mashirika ya fedha duniani, taasisi sizizo za kiserikali kutoka bara la Asia na Afrika, nchi rafiki na wenza katika maendeleo duniani.

Mbali na mkutano wa TICAD Rais pia atashiriki mikutano na makongamano mbalimbali yanayohusu uchumi, miundo mbinu, maendeleo na maswala mbalimbali yanayohusu utunzaji wa mazingira barani Afrika na duniani kwa ujumla.

Aidha Rais Kikwete ataongoza mkutano utakaojadili tatizo la chakula duniani ambapo atazungumzia swala hili kwa kina hususan katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo barani Afrika na hatimaye atashiriki katika kupitisha azimio la Yokohama.

Rais pia anatarajia kutumia nafasi hiyo kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa Afrika watakaohudhuria mkutano huo.

Rais atafuatana na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mh. Benard Membe, Waziri wa Fedha - Mhe. Mustapha Mkulo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Zanzibar - Mhe. Haroun Suleiman, Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko - Mhe. Cyril Chami na Mbunge wa Muleba Kusini na Mwenyekiti wa Kamati Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama - Mhe. Wilson Masilingi.

Rais anatarajiwa kurejea Dar-es-Salaam tarehe 31 Mei, 2008.



Imetolewa na Ikulu-Dar-es-salaam
25.05.08
 
© Michuzi | Sunday, May 25, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
Saturday, May 24, 2008
nick pub yaungua
leo nimeshushuka. nimekwenda nick pub sehemu za njiro na kukuta kiota hicho maarufu kwa kilaji na nyama chima na samaki kimefungwa. kuuliza nikaambiwa kiliteketea kwa moto hivi karibuni. nusu nilie. yaani ukiwa a-taun bila kutembelea hapo unakuwa hujatembelea wadau na machalii kabisa. pole sana kaka nick kwa mkasa huo, Mola akujaalie katika kukifufua upya kiota

 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
misa ya marehemu balali washington dc
HAPA MWILI WA MAREHEMU DAUDI BALALI UKIWA KANISANI. SAMAHANI SIKUWEZA KUCHUKUA PICHA VIZURI NDANI YA KANISA. LAKINI KAMA UNAVYOONA KWA MBALI KUNA JENEZA .

PICHA NA MDAU WASHINGTON DC
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 43
jk apokea ripoti ya madini leo
JK na (kutoka shoto) Mhe. John Cheyo, Jaji Mark Bomani, Mhe Iddi Simba na Mhe. Zitto Kabwe wakiwa katika mazungumzo ya kukabidhi ripoti ya madini leo huko ikulu, dar. chini JK akiwa katika picha ya pamoja na kamati teuli ya madini ikulu



 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
ilala mabingwa taifa cup
timu ya mkoa maalumu wa kisoka ya ilala leo imeshinda mkoa wa kinondoni kwa mabao 5-0 katika fainali za safari lager taifa cup neshno na mpir umeisha dakika mbili zilizopita.
ilala, inayofundishwa na kocha machachari jamhuri kihwelo 'julio', itapewa kombe na kitita cha shilingi milioni 30 zilizotolewa na wadhamini ambao ni kampuni ya bia ama tbl.
mshindi wa tatu ni mbeya ambao wameifunga arusha 4-3 katika mchezo uliochezwa awali katika mtanange huu wa wiki tatu uliojumuisha timu kutoka mikoa yote 23 ya bara.
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
pemba kuzuri jamani....
mdau bernard rwebangira katuletea hii picha kuonesha sehmu ya kisiwa cha pemba ambacho kwa jinsi kilivyojaaliwa rutuba unaweza kusema uko tukuyu ama bukoba. bofya jina la bernard utembelee globu yake ambayo imesheheni picha za matukio mbalimbali
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
kwa wanaopenda ku-mingo

ukipenda kumingo nenda http://eastafricamingleclub.com/ kwenye klabu ya ku-mingo ya ist afrika mashariki.
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
jk atoa rambirambi kwa kifo cha balali
SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA FAMILIA YA MAREHEMU DAUDI BALALI

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Ndugu Daudi Balali kilichotokea tarehe 16 Mei, 2008 huko Boston, Marekani.
Wakati huu mkijiandaa kwa mazishi yake baadaye leo, napenda kutumia nafasi hii kutoa mkono wa rambirambi kwenu na kwa ndugu zenu wote.

Naungana nanyi katika wakati wenu huu mgumu na wa majonzi makubwa kutokana na msiba mkubwa uliowakuta. Tunaelewa machungu mliyonayo kutokana na kuondokewa na mpendwa wenu na kiongozi wa familia.
Ni kazi ya Mungu haina makosa.

Tunawatakia mazishi mema.
Tuzidi kumuombea marehemu apate mapumziko mema.
Amin.

IMETOLEWA NA OFISI YA MAWASILIANO, IKULU
TAREHE 23 MEI, 2008
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
libeneke miss tz eu 2008 lanukia
Cinderella"," Nakshi nakshi" na Miss Schengen 2008 ndani ya Germany kufanyika tarehe 28.06.08, Essen
Katika shindano la kumsaka mrembo wa Schengen 2008 , burudani itatolewa na msanii Ali Kiba ambaye ameahidi kurusha nyoyo za wapenzi wake usiku huo wa raha. Katika sakata hilo Mgeni rasmi atakua ni Balozi wa Tanzania nchini Germany Balozi A.R. Ngemera.
Wageni wengine maalum ni mratibu wa Kitengo cha kiswahili radio Deutsche Welle bi Andrea Schimdt, Mratibu wa Beautiful tanzania Agency bi Irene Kiwia na Miss World Africa Nancy Sumari.
Akifafanua zaidi Mratibu wa Shindano la Miss Tanzania Schengen bi Nashe Mvungi ameelezea kuwa kwa mara ya kwanza Miss Tanzania kushirikisha mrembo kutoka Schengen 2008, Ambapo mwaka jana UK ilikuwa ya kwanza kushirikisha mrembo kutoka nje ya bara la Afrika.
Nia ni kutaka kupanua utamaduni na mila ya mtanzania ulimwenguni, kushirikisha watanzania walio masomoni au wanaoishi ughaibuni katika kuchangia maendeleo ya tanzania kiutalii na elimu na kuweka uhusinao katika ya jamii iliyoko nyumbani na Ulaya.
Pia alipenda kufafanua kuwa shindano hili limepitishwa na kupewa baraka zote na Uncle Hashim Lundenga wa LINO International agency waandaaji wa miss Tanzania.
Mshindi wa shindano hili atajipatia zawadi ya ticket na nafasi ya kushiriki shindano la kitaifa mwezi August 2008 Dar es salaam.

info@misstanzania.eu
+49 1520 588 0863
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
jk atoa rambirambi kwa kifo cha balali
SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA FAMILIA YA MAREHEMU DAUDI BALALI

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Ndugu Daudi Balali kilichotokea tarehe 16 Mei, 2008 huko Boston, Marekani.
Wakati huu mkijiandaa kwa mazishi yake baadaye leo, napenda kutumia nafasi hii kutoa mkono wa rambirambi kwenu na kwa ndugu zenu wote.

Naungana nanyi katika wakati wenu huu mgumu na wa majonzi makubwa kutokana na msiba mkubwa uliowakuta. Tunaelewa machungu mliyonayo kutokana na kuondokewa na mpendwa wenu na kiongozi wa familia. Ni kazi ya Mungu haina makosa.

Tunawatakia mazishi mema. Tuzidi kumuombea marehemu apate mapumziko mema.
Amin.

IMETOLEWA NA OFISI YA MAWASILIANO, IKULU
TAREHE 23 MEI, 2008
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
old trafford ya kigoma
mdau john kitime a.k.a jfk katembelea mwisho wa reli na kutulete hii kitu.anasema hapo ndipo maarufu kwa kuonesha gemu zote za ughaibuni pamoja na sinema zingine na pia pana disko
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
karume afunga mkutano wa utalii

rais wa zanzibar mh. amani karume akiagwa na wazirir wa maliasili na mazingira mh. shamsa mwangunga baada ya kufunga rasmi mkutano wa 33 wa africal travel association katika kituo cha mikutano cha kimataifa aicc. nyuma ya waziri ni bosi wa kituo hicho mh. kaaya
 
© Michuzi | Saturday, May 24, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
Friday, May 23, 2008
wafanyakazi wa wizara ya utalii na mazingira
hawa ni baadhi ya wafanyakazi wa wizara ya utalii na mazingira waliofanikisha mkutano wa 33 wa africa travel association kwa kazi mbalimbali za sekretarieti ya waandaaji
 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
kubemenda
Shikamoo anko Michuzi!
Nimesikia hili neno 'Kubemenda mtoto' nikashindwa kujuha maana yake, naomba msaada tutani kwa wadau wanisaidie - ikiwezekana hata kwa kimombo naomba nifahamu ni nini...
Mdau wako mpenzi
Esta,
Lindi
 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 44
fulanazzz....
wadau poleni na kazi za ujenzi wa taifa. bado niko porini nawinda. na kuhusu libeneke msikonde wala nini. japo niko porini lakini mambo kama kawa....
 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
mambo ya ngorongoro
nala mkono nusu na wadau wa ngorongoro na chini ni mdau ambaye kahama mjini na sasa anaendeleza libeneke ngorongoro crater lodge. kabla ya hapo alikuwa sopa

 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 18
tangazo rasmi la msiba wa balali

 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 43
nondozzz uchina
WELCOME TO STUDY IN CHINA

Universities:
Weifang Medical University, Taishan Medical University, Shangdong University of Science & Technology

Fields of Study:
Clinical Medicine, Nursing, Medical Image, Biomedicine Engineering, Laboratory Medicine, Pharmaceutical Engineering, Pharmacy, Parmacy (Clinical Oriental), Chinese Traditional Medicine, Biotechnology, Kinesiology, Environment Engineer, Chemistry Technology, Statistics, Marketing Management, Public Health, Engineering, Science, Management, Humanities, Law, Education, Art, Chinese Language etc

Level:
Bachelor and Masters

Teaching Language:
English

Tuition Fee:
Bachelor: USD$ 2,000 per year
Masters: USD$ 3,000 per year

Financial Support:
Financial awards are available every year for registered students who exhibit excellent academic performance.

For further information contact:
Masozi Nyirenda
or 0754 304 181,
I will connect you to Mr. Song Tan,
the Chinese representative of these Universities, who is in Dar now.
 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
haya, msintoe macho bure
wachezaji wa mani yuu wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa nanihii juzi huko moscow

 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 27
pamba high school
junior katembelea mwanza hivi karibuni na kuvutiwa na neno lililoandikwa ukutani kulia. mandhari zingine pamoja na mapicha kibao kama hizi bofya hapa

 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
kiluvya pub yazindua globu



Killuvya Pub, baada ya kuwachengua Wapenzi wake kwa Burudani ya Nguvu ya mwaka Mpya 2008, mara hii inakuletea Burudani ya aina yake.

Huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) Miaka ya 1960 na 1980 kumekuwepo Wanamuziki Magwiji wawili waliotamba sana Ukanda wa Afrika ya Mashariki na Kati.
Hao ni Luambo Lwanzo Makiadi (Franco) na TPOK Jazz na Tabu Ley Rochereau na Afrisa International.

Katika kuwakumbuka na kuwaenzi Wanamuziki hawa, Kiluvya Pub inaandaa Tamasha kwa Wapenzi kumtafuta Nani zaidi kati yao. Historia za Wanamuziki hawa zimeandaliwa na Miziki yao iliyotamba pia imeshakusanywa.

Wapenzi wa Burudani Kaeni Mkao wa kula ili mtakapojulishwa tarehe ya kuanza Mpambano huo usikose kushiriki. Tembelea Globu hii kila wakati upate taarifa kamili.

Mkurugenzi.
NACHUKUA NAFASI HII KUMPONGEZA MKURUGENZI WA KILUVYA PUB KWA HATUA HII YA KIMAENDELEO YA KUZINDUA GLOBU KWA AJILI YA WADAU WAKO. HII INAONESHA KWAMBA TARATIBU TEKNOHAMA INAINGIA NDANI YA DAMU ZA WABONGO NA ITAKUWA RAHA ZAIDI KILA FANI IKAFUNGUA YAKE. KWA HABARI ZAIDI ZA PUB HIYO BOFYA HAPO CHINI
 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
jk aelezea kuundwa serikali ya umoja wa afrika

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Rais Jakaya Mrisho Kikwete (Pichani akiwa na Rais Thabo Mbeki wa Afrika Kusini, Waziri Mkuu wa Ethiopia Meles Zinawi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda) leo amesema kuwa, kimsingi, nchi za Afrika zinakubaliana kuhusu umuhimu wa kuanzishwa kwa Serikali ya Umoja wa Afrika, isipokuwa zinatofautiana kuhusu namna ya kufikia Serikali hiyo.

Amesema kuwawapo wanaotaka Serikali hiyo kuundwa mara moja, na wapo wanaotaka Serikali hiyo kufikiwa hatua kwa hatua.

Akifungua Mkutano wa Siku Mbili wa Kamati Maalum ya Wakuu wa Nchi 12 za AU (Committee of 12) kuhusu uundwaji wa Serikali hiyo leo katika Hoteli ya Ngurdoto, Arusha, Rais Kikwete amesema kuwa mwenendo mzima wa mjadala kuhusu Serikali hiyo unaonyesha kuwa kuna makubaliano ya jumla.

“Tunakubaliana kuhusu lengo kuu la kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Afrika. Tofauti pekee ya msingi ni kati ya wale wanaotaka kuundwa mara moja kwa Serikali hiyo na wala wanaotaka uundwaji wa Serikali hiyo uje hatua kwa hatua,” amesema Rais Kikwete.

Kwa sababu hiyo, amesema Rais Kikwete, ndiyo maana Kamati hiyo inayokutana Arusha inayo kazi kubwa ya kupata mwafaka wa jinsi ya kuwashauri wakuu wengine wa Afrika kuhusu jinsi ya kufikiwa kwa Serikali hiyo.

Mkutano huo unajadili ripoti ya Baraza la Utendaji la Mawaziri wa AU kuhusu uundwaji wa Serikali ya Afrika na kuhusu ripoti ya tathmini iliyofanywa kuhusu shughuli za AU ukiwamo muundo wa umoja huo.

Baraza hilo lilifanya kikao chake hivi karibuni mjini Arusha chini ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuandaa kikao kilichoanza leo.

Amesema Rais Kikwete: “Kazi iliyofanywa na Baraza la Utendaji itatusaidia, kwa njia nyingi, katika kufikia mapendekezo ambayo, ni matumaini yangu, kuwa yataunganisha mawazo ya pande hizo mbili na hivyo kupatikana kwa njia zitazouvusha Umoja wa Afrika kuwa Serikali ya Umoja endelevu na imara.”

Mbali na Rais Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa mkutano huo, viongozi wengine wanaohudhuria ni Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Umaru Yarâ Adua wa Nigeria, Rais Thabo Mbeki wa Afrika Kusini na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi.

Nchi zinazowakilishwa na mawaziri wa nchi za nje ni Misri , Libya, Cameroun, Senegal, Botswana na Gabon. Ghana inawakilishwa na Mshauri Maalum wa Rais John Kuffour.

Mapema, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Afrika, Jean Ping amesema kuwa ni muhimu kwa baadhi ya mapendekezo Baraza la Utendaji na kamati nyingine kukubaliwa na kikao cha sasa, ili kuweza kuiimarisha AU na hatimaye kuweza kufikia Serikali ya Afrika.
 
© Michuzi | Friday, May 23, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
Thursday, May 22, 2008
ombaomba matonya afungwa kwa kuomba
Na John Nditi, Morogoro

MAHAKAMA ya Mwanzo ya Nunge ya Manispaa ya Morogoro, imemhukumu omba omba maarufu Matonya Mazengo, kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka amri iliyomzuia kuendelea kufanya kazi ya kuomba mitaani.

Ofisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa wa Morogoro, Oswin Ngungamtitu, amethibitisha kuhukumiwa kwa Matonya baada ya kufikishwa Mahakamani na Idara hiyo Mei 19, mwaka huu baada ya kukiuka masharti aliyopewa ya kumtaka asiendelee na shughuli za kuomba omba katika mitaani ya Manispaa ya Morogoro.

“ Ni kweli alikamatwa na askari wa Mgambo wa Manispaa ya Morogoro na kuletwa kwetu sisi wa Idara ya Ustawi wa Jamii ili kupata ushauri wetu kwa kusudio la kumfikisha Mahakamani” alisema Ofisa huyo wa Mkoa wa Ustawi wa Jamii

Kwa mujibu wa Ofisa huyo wa Ustawi wa Jamii wa Mkoa wa Morogoro, Matoya awali alikamatwa na Askari wa Mgambo wa Manispaa mwishino mwa mwaka jana katika zoezi la kuwaondoa ombaomba mitaani na kutakiwa kujaza fomu ya kula kiapo cha kuacha kuomba mitaani na kubalia Kambi ya Wazee wasiojiweza ya Fungafunga ya Mjini hapa.

“ Matoya alikula kiapo cha kuacha kuomba na kurudishwa Mkoani Dodoma pia aliahidi endapo akirudi Morogoro ataishi katika Kambi ya Wazee wasiojiweza na iwapo atajihusisha na kuomba basi apelekwe Mahakamani afungwe jela” aliongeza kusema Ofisa huyo.

Kwa mujibu wa Ofisa huyo , Matonya aliamua kurudi tena Mkoani Morogoro mwanzoni mwa Mei mwaka huu na kuendelea kukaa eneo la daraja la Shani Cinema na kufanya shughuli za kuomba omba kwa staili ya kulala chali chini katika eneo hilo la Daraja.

Alisema kufuatia kuwepo kwake katika eneo hilo na kuendelea na kazi hiyo , alikamatwa na Askari wa Mgambo na kufikishwa katika Ofisi za Ustawi wa Jamii na baadaye kufikishwa Mahakamani.

Kwa mujibu wa Ofisa huyo wa Idara ya Ustawi wa Jamii Mkoa wa Morogoro, baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo, Matoya amepelekwa katika Kambi ya Wazee wasiojiweza ya Funga Funga akisubili fedha za kumsafirisha kurudi makwao.

“ Hiki kifungo cha nje cha mwaka mmoja ni kuachakutembeea mitaani kwa kazi ya kuomba…tukizipata fedha kutoka Halmashauri ya Manispaa sisi Idara ya Ustawi wa Jamii kutamsafirisha kurudi nyumbani kwao Mkoani Dodoma” alisema Ngungamtitu

Kwa mujibu wa Ofisa huyo, ombaomba wengi waliorudishwa makwao wamerudi tena na kubadili mfumo wa uombaji wa kukaa barabarani ambapo kwa sasa wanapita katika maeneo ya Mahoteli, Baa na Migahawa wakiongozana kwa zamu kwa ajili ya kuwaomba wateja.

Hivyo kutokana na kushamiri kwa hali hiyo, Ofisa huyo ameushauri Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kuchukua hatua kwa kuwaelekeza Askari wa Mgambo kuendesha msako katika maeneo hayo.
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
ali kiba in da house!!

AFTER A SUCCESSFUL WINTER SPLASH TOUR '08 FEATURING T.I.D.


BONGO FAMILY UK PRESENTS......


SPRING BREAK TOUR '08 (A BIG BANK HOLIDAY WEEKEND) FEATURING ALI KIBA (PICTURED ARRIVING IN LONDON TODAY) PERFORMING HIS HIT SINGLES SUCH AS CINDERELLA, NAKSHI NAKSHI, MREMBO


AND MANY MORE.....


THIS TIME WE ARE KICKING OFF FROM


SCOTLAND ON FRIDAY 23RD @ TIGER TIGER CLUB, GLASGOW


MANCHESTER SATURDAY 24TH @ AQUA BAR


BIRMINGHAM SUNDAY 25TH,


AND FINISHING UP


IN LONDON ON FRIDAY 30TH @ CLUB AFRIQUE


MORE INFO
WWW.BONGOUK.COM
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
kero ya usafiri gogolamboto

Ndugu michuzi, mimi ni miongoni mwa wapenzi wa blog hii. Tunaipenda kwasababu ni moja ya chombo kinachosaidia wanyonge, kwa kupata habari , na kutoa habari zao pia. Nami nimeona nitumie uwanja huu kutoa dukuduku letu sisi wananchi wa Gongolamboto na vitongoji vyake kuhusiana na swala zima la Usafiri.

Kipindi cha nyuma tulikuwa tukiwacheka `Mbagala’ kwa jinsi walivyokuwa wakisota kwa usafiri. Lakini kwao sasa hivi mabasi yapo mengi ila tu foleni ndio kikwazo kwao. Adha hii sasa hivi imeelekea kwetu wakazi wa Gongolamboto na vitongoji vyake.
Adha hizi zimezidi kwasababu eneo hili la Gongolamboto na vitongoji vyake limekuwa haraka sana. Wakazi wengi wamejenga huko, hivyo idadi ya wananchi ambao wengi wao ni wafanyabiashara, wafanyakazi na wanafunzi imekuwa kubwa kuliko huduma kama za usafiri.

Tatizo letu kubwa ni usafiri. Tunaamuka saa kumi ili tuweze kufika makazini kwetu, lakini cha ajabu unaweza ukasota ukajikuta unafika ofisini saa tatu, na unarejea nyumbani saa tatu za usiku (unaacha watoto wamelala unawakuta wamelala).

Magari mengi yaliyopangiwa huko hayakamilishi `ruti’ zao, mengi yanakatisha njia. Mfano, wengi wetu ambao tunaishi Kipunguni, au vijiji vya karibu inabidi tupande magari matatu au manne hadi makazini kwa wale wanaofanyia kazi maeneo kama Msasani, Mikocheni, na nauli zake ni shilingi 350, kwa kichwa. Baya zaidi ili upate gari inabidi upande kwa mtindo uitwao `geuza nalo’ yaani ulipe nauli mara mbili, kwa kwenda nalo, angalao mwendo kiasi halafu ugeuze nalo, hapo unalipa mara mbili ya nauli hiyo.

Jaribu kufikiria mwenyewe mishahara ilivyo, halafu kwa siku kwa wale tunaofanyia kazi Mikocheni tunatumia shilingi zaidi ya shilingi elifu mbili kwa usafiri tu, je watoto watakula nini, utalipia nini ada zao, je utapata wapi hela yao ya matibabu ! Mwajiri hajui wala hajali kuhusu matatizo haya.

Tunaomba vyombo vinavyohusika waangaze eneo hili, watusaidie na sisi.
Barabara ziendazo vitongojini ni mbovu ajabu (Pitia Mombasa kwenda Kipunguni utaona mwenyewe, na kwingineko). Wale waliojisajili kusafirisha abiria maeneo haya kama hawawezi waseme, wapewe watu wengine. Yawepo magari ya moja kwa moja kutoka vitongojini hadi mijini, Kariakoo, Posta, Mwenge na kwingineko, kuliko kupanda magari mengi tofauti. Asubuhi na jioni matrafiki waangalie sana hawa madereva wanaokatisha njia.

Tunategemea mabadiliko ya haraka ili na sisi tufike ofisini tukiwa hatujachoka kwa sababu ya usafiri, kwani ni heri ya kwenda Morogoro unaweza ukafika mapema ukiwa na nguvu zako kuliko usafiri wa Gongolamboto.

Mimi Mdau wa Kipinguni.
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
Nyota wanaowania tuzo za filamu bongo

Msemaji wa One Game Promotion, Khadija Kalili, akionyesha moja ya tuzo zitakazokadhiwa kwa washindi wa 'Tuzo za Vinara wa Filamu' nchini, zinazotarajiwa kufanyika Mei 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Kulia ni moja wa majaji wa tuzo hizo, Beda Msimbe.
Na Anastazia Anyimike


WASANII nyota kwenye fani ya filamu wameshindwa kuchaguliwa kwenye kinyang'aniro cha tuzo za Vinara huku msanii Single Mtambalike akionekana kutajwa katika vipengele vitatu.

Mtambalike ambaye anajulikana kama Richie amependekezwa kuwania tuzo za mwigizaji bora wa kiume kutokana na filamu ya Agano la Urithi, mtunzi bora msaidizi na mwigizaji bora msaidizi kutokana na filamu ya The Stranger.

Akitangaza majina na filamu hizo, Makamu Mwenyekiti wa jopo la majaji, Cuthbert Kabunga alisema kuwa filamu 20 kati za 70 zilizoshiriki kwenye tuzo hizo zimechagukuliwa kuwa bora.

Alizitaja filamu hizo kuwa ni Agano la Urithi, Behind the Scene, Copy, Crying silently, Diversion of Love, Fake Pastors, Fungu la Kukosa, Karibu Paradiso, Mzimu wa Kolelo, Macho Mekundu, Malipo ya Usaliti, Miss Bongo2, Misukosuko 2, May Sister, Sengito, Silent Killer na Simu ya kifo.

Wanaowania tuzo ya Mwigizaji bora wa kike na filamu zao walizoigiza zikiwa kwenye mabano ni Lucy Komba (Diversion Of Love), Grace Michael (Malipo ya Usaliti), Halima Yahya (The Stranger), Elizabeth Chijumba (Copy), Riyama Ally 'Serena'(Fungu la Kukosa) wakati kwa wanaume ni Mtambalike (Agano la Urithi), Nurdin Mohamed "Chekibudi' (Utata), Jacob Steven (Copy), Haji Adam 'baba Haji' (Miss Bongo) na Yussuf Mlela (Diversion Of Love).

Muigizaji chipukizi wa kike ni Irene James (Miss Bongo II), Irene Uwoya (Diversion Of Love), Fatuma Makame (Karibu Paradiso), Jennifer Mwaipaja 'Shumileta' (Silent Killer), Grace Michael (Malipo ya Usaliti) wakati kwa upande wa wanaume ni Emmanuel Muyamba (Fake Pastors), Laurent Anthony (Karibu Paradiso), Hassan Nguleni (Body Guard), Yussuf Mlela (Diversion Of Love) na Uswege (Malipo ya Usaliti).

Muigizaji msaidizi wa kike ni Irene Uwoya (Diversion Of Love), Mama Frank (Yolanda), Irene James (Miss Bongo II), Susan Lewis 'Natasha' (Behind the Scene) na Tecla Mjata 'mama bishanga'(Macho Mekundu) wakati kwa wanaume ni Aliko Tshmwala (Segito), Mtambalike (The Stranger), Adam Kuambiana (Fake Pastors), Halfan Ahmed (Copy) na Emmanuel Muyamba (Fake Pastors)

Wanaowania tuzo ya mwongozaji bora ni Gervas Kasiga (Fake Pastors), Jimmy Mponda (Misukosuko II), Kulwa Kikumba 'Dude' (Macho Mekundu), Haji Adam (The Stranger), Halfan Ahmed (Copy) wakati Mtunza Sauti Bora ni Adam Waziri (Fungu la Kukosa), Cleophance Ng'atingwa (Kolelo), David Sagala (Copy), Camillius Kanuli (Fake Pastors), Swalehe Juma (Fungu la Kukosa).


Tuzo zingine zinazowaniwa ni Mpiga picha bora wa Filamu, Adui bora wa Filamu, Mhariri bora wa Filamu, Mwandishi bora wa Filamu, Mapambo na Maleba bora, Mtunzi bora wa Filamu wakati filamu zinazowania tuzo ya Filamu Bora ya Mwaka ni Behind the Scene, The Stranger, Diversion Of Love, Macho Mekundu, Misukosuko II, Simu ya Kifo, Copy, My Sister, Silent Killer, Miss Bongo I, Agano la Urithi, Malipo ya Usaliti, Utata, Kilio Moyoni (Crying Silently) na Fake Pastors.
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
layan ngorongoro crater leo
katika pitapita zetu ngorongoro crater leo tumekutana na jamaa huyu wa mtaa wa msimbazi...
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
ngorongoro
wadau msione kwikwi ya libeneke kuwa nyingi. niko nanihii nikinanihii. hawa wadau wanatoka nigeria, niko nao huku sehemu sehemu. wenyewe wamebrooo. wanasema bongo noma kwa vivutio!
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
KLH Exclusive: Safari ya Mwisho ya Balali
Mwili wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dr. Daud Timoth Said Ballali (65) aliyefariki Ijumaa iliyopita umehifadhiwa katika Nyumba ya Maziko ya De Vol iliyoko mjini Washington DC, nchini Marekani ambako inasubiri mazishi siku ya Ijumaa.

Taratibu za ibada na mazishi ambazo KLHN imepata nafasi ya kuziona inaonesha kuwa Gavana Balali alifariki tarehe 16 hapo Washington DC na atazikwa hapo hapo siku ya Ijumaa. Misa ya kumwombea Marehemu itafanyika katika Kanisa Katoliki la Mt. Stephen Shahidi mjini Washington DC anuani yake ni ST. STEPHEN MARTYR CHURCH 2436 Pennsylvania Ave, NW Washington, DC 20037.

Ibada hiyo ya mazishi itaenda sambamba na kuuona mwili wa Marehemu kuanzia saa nne asubuhi. Hata hivyo shughuli hiyo nzima ni kwa ndugu, jamaa, na marafiki wa karibu na si kwa hadhara ya kila mtu atakaye kushiriki. Marehemu atalazwa katika makaburi ya Wakatoliki ya Gate of Heaven eneo la Silver Spring, MD.

Hata hivyo haijajulikana kwa uhakika kama mwili wa marehemu utazikwa ardhini kama ilivyo desturi ya kiafrika au utateketezwa kwa moto kwani makaburi hayo yanatoa huduma hiyo pia. Kama ulikuwa ni usia wake kuteketezwa basi kwa kanuni za Kanisa Katoliki basi itafanyika mara tu baada ya ibada.
Kwa kanuni za Kanisa Katoliki mwili uliolazwa kwa njia ya kuteketezwa kwa moto mabaki yake (majivu) hawapewi familia, kusambazwa au kugawanywa katika mafungu madogomadogo na badala yake ni lazima viwekwe ardhini au kwenye sehemu maalumu inayotumika kwa maziko ya namna hiyo.

Dr. Ballali ambaye amefariki akiwa amezungukwa na wingu kubwa la kashfa dhidi yake na dhidi ya taasisi aliyoingoza inasemakana aliacha usia uliotaka atakapofariki basi azikwe Marekani. Hata hivyo pamoja na kashfa nyingi zilizoandikwa na vyombo mbalimbali vya magazeti na kutangazwa majukwaani Bw. Ballali hakuwa mtuhumiwa yeyote na hakukuwa na kesi yoyote ile ya kihalifu dhidi yake na hivyo amekufa kama raia na mtu huru.

Hata hivyo Dr. Balali ilidaiwa kuwa aliandika barua ya kutaka kujiuzulu kutokana na hali mbaya ya kiafya uamuzi ambao haukujibiwa hadi pale taarifa ya uchunguzi wa EPA ilipotoka na Rais Kikwete kutengua uteuzi wake kama Gavana wa Benki Kuu.
Hata hivyo, taarifa ya Rais iliyosomwa na Katibu Mkuu kiongozi haikusema kama Gov. Ballali ni mhalifu, anatafutwa, au kwa namna yoyote ile amefanya makosa ya kisheria. Hilo lilithibitishwa siku chache zilizopita ambapo Ikulu walitangaza kuwa walikuwa hawamtafuti Ballali na ya kuwa kokote alikokuweko alikuwa ni “mtu huru”.

Ni kwa sababu hiyo basi ibada ya mazishi inatarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiongozwa na Balozi wa Tanzani nchini Marekani Bw. Ombeni Sefue, watumishi wa idara mbalimbali alizowahi kuzitumikia ikiwemo IMF, ndugu zake ambao wamewasili siku chache zilizopita, na baadhi ya Watanzania kadhaa waishio maeneo ya Washington DC. Gavana Ballali ameacha mke na familia.

Raha ya milele umpe ee Bwana
Na mwanga wa milele umuangazie
Apumzike kwa amani.
Amina.
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 20
wabongo watamba mysore
Vijana wa Kitanzania wameonyesha uwezo wa juu kisoka hapa Mysore kiasi cha kwamba hawana mpinzani kabisa.

kukiwa na baadhi ambao wamesajiliwa kwenye timu chache za hapa,vijana hao wameweza kuwafunga Wasudan jumla ya mabao 5-2 katika mechi iliyochezwa tar 18/5/2008,wafungaji nia Abdilah Amour pia alikuwa nyota wa mchezo na alifunga magoli mawili,Wilbard Mkoba goli moja,Walter Joseph Mbwiliza alifunga goli moja na Hamad Changale.
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 22
wanyiramba kukutana dar jumamosi
Kutakuwa na kikao cha Wanyiramba wote waishio Dar Es Salaam siku ya Jumamosi tarehe 24.05.2008 saa 9.00 mchana Msimbazi Centre.
Aonaye tangazo hili amtaarifu na mwenzake.
Tafadhali tuwahi bila kukosa.
Adam
Katibu wa UKWAMI
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
nyama choma a-taun
ukisikia mdau kahamia a-taun kimoja usishangae...

 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
ndio gemu hiyo...
keki maalumu iliyotengenezwa na wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa africa travel association unaomalizika ijumaa hapa a-taun katika kudhimisha siku ya gemu. mliobenjuliwa poleni na mlioshinda hongera zenu. ila dah! nyie mlioshinda fundi wenu noma... besela mara tatu???? mani yuuu mnatisha!
 
© Michuzi | Thursday, May 22, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 33
Wednesday, May 21, 2008
kaburi la banda


Hellow Mr. Michuzi,


nadhani u mzima. Ingawa siyo mdau wa Blog yako ila ni mfuatiliaji , msomaji na mpenzi mzuri sana wa blog hii. Sielewi sifa za kuwa mdau lakini tuyaache hayo ila nakutumia picha alipozikwa Rais wa Malawi Kamuzu Banda. Sijui ni kiasi gani cha fedha kilitumika kujenga kaburi hilo ila kweli wamalawi wameamua kumuenzi kiongozi wao huyo. Pamoja na yote sehemu hiyo ya kaburi imekuwa ni kivutio kikubwa kwa watalii wengi wafikapo huko malawi. Nami nilibahatika kufika huko kama mtalii wa kibongo. Sijui Baba yetu wa taifa alizikwa vipi ila naomba kama itawezekana tuwekee picha ya sehemu alipozikwa na kama ilishawahi kuwekwa tafadhali nijuze ni tarehe gani uliweka. Maana wengine hatujawahi fika butihama.

Kazi njema.
 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
BALALI KUZIKWA IJUMAA MAREKANI

ALIYEKUWA GAVANA WA BENKI KUU DAUDI BALALI (PICHANI) AMBAYE ALIFARIKI DUNIA SIKU MBILI ZILIZOPITA HUKO BOSTON, MAREKANI, ANATARAJIWA KUZIKWA SIKU YA IJUMAA HUKO HUKO BOSTON.


HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA MAREKANI NA NDANI YA BENKI KUU AMBAKO TAYARI MSIBA HUU MZITO UMETANGAZWA RASMI SASA HIVI, ZINASEMA HAYATI BALALI ALIFARIKI BAADA YA KUUGUA KWA MUDA MREFU.

MUDA NA MAHALI ATAPOZIKWA TUTAJULISHANA BAADAYE KIDOGO....
 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 132
msaada tutani
Hello Kaka Michuzi,
Habari yako. Naomba msaada. Naomba unitangazie kwa blog yako huyu mtu anaitwa Aston Kabeta (Tonny Kabeta).
Nina ujumbe wake muhimu sana. Number ya simu aliyotoa ni +1 267- 230 - 3999. Tumejaribu kupiga hiyo simu na anayepokea simu katika number hii hamjui huyu Tonny au Aston Naomba tafadhali uniwekee jamani hii ili kama kuna mtu anamfahamu au yeye mwenyewe akiona basi awasiliane na mimi. Nina ujumbe wake muhimu sana.
Asante sana na Mungu akuengezee kwa kazi hii unayofanya
Sara
 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
balali
wadau kunradhi,

habari za aliyekuwa gavana wa benki kuu mh. balali nimezipata toka jana, ila bado sijazithibitisha, ingawa vyombo kadhaa vimerusha. tutapashana mara mambo yatapokuwa tayari.
 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
kinga
nimefurahi kukuta mambo haya kwenye vyoo vingi vya ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa aicc, kuonesha kuwa wanaafiki kwamba kinga ni bora kuliko tiba. na hii siyo kwa nanihii tu bali pia hata fegi. huu ni mfano wa kuigwa, mnasemaje wadau - hala hala waosha vinywa msianze... huo mkono si wangu.....

 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 26
rugimbana na mfugale
wadau rugimbana (shoto) na mfugale wakiwa a-taun kwenye mkutano wa utalii. rugimbana ni mmoja wa wadau wakubwa wa sekta ya utalii na pia alikuwa kiongozi wa mchezo wa lawn tennis kwa miaka kibao wakati mfugale ndiye bosi wa hoteli za peacock
 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
MKOMBOZI WA NAMBA ZA SIMU
NATUMAINI KILA MTU ANAFAHAMU ADHA ANAYOIPATA PALE ANAPO POTEZA SIMU UKWELI KIKUBWA KINACHOUMANI NAMBA ZAKO ZA SIMU ZINAKUWA NYINGI ZIMEPOTEA.
LEO HII KUNA VIFAA AMBAVYO UNAWEZA KUWEKA NAMBA ZAKO ZA SIMU 1000 NA KUKIHIFADHI NYUMBANI. CHOMBO HIKI KINA UWEZO WA KUCOPY NAMBA ZAKO ZILIZOKO KWENYE SIM CARD YAKO NAKUZIHIFADHI.
PIA KUKUONYESHA JINA NA NAMBA WAKATI UNAPOHITAJI KWA HARAKA.NIKITU AMBACHO KILA MMOJA WETU NAFIKIRI ANAKIHITAJI.
WASILIANA NASI KATIKA NO ZILIZOTAJWA HAPO JUU BEI NI NAFUU SANAAA PIA UNAWEZA KUPIGA NO 0712404044 KWA MAELEZO.
MDAU MKOMBOZI
 
© Michuzi | Wednesday, May 21, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
Tuesday, May 20, 2008
uso-kwa-uso na maprofesa
leo nimepata bahati ya kugongana uso-bin-uso na profesa pius z. yanda ambaye ni mmoja wa wasomi waliokuwa kwenye jopo la utafiti wa athari za mazingira duniani liliopelekea makamu wa rais wa marekani al gore kupokea tuzo ya nobel. profesa yanda, pamoja na kuwa pia mkurugenzi wa taasisi ya institute of resource assessment (www.ira.udsn.tz) ya udsm pia ni mkurugenzi wa afrika wa the pan african start secretariat (http://pass-africa.org)

niko na profesa wa uchumi, yaw nyarko, wa chuo kikuu cha new york university (http://www.nyarko.com/) cha marekani ambaye pia yupo a-taun kumwaga pepa katika mkutano wa kimataifa wa africa travel association juu ya hali ya uchumi katika sekta ya utalii na safari duniani



 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
jk alipotembelea afrika sana
jk akiangalia nguo za kitamaduni katika banda la maonyesho la afrika sana siku alipofungua mkutano wa kimataifa wa utalii na safari wa africa travel association (ata) a-taun jana. mkurugenzi wa afrika sana mwafrika merinyo yuko pembeni akifurahia ugeni huo

 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
kumbukumbu ya mv bukoba
mnara wa kumbukumbu ya ajali ya mv bukoba uliojengwa maeneo ya bwiru, mwanza
mdau miriam makalla wa chuo kikuu mtakatifu agostino huko nyegezai mwanza katutumia picha hizi kutukumbusha waliopoteza maisha katika ajali ya mv bukoba iliyotokea miaka takriban 12 iliyopita
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
vazi la taifa
hili ni vazi la kitaifa kwa kinamama
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 33
wapi hapa
kwa kukusaidia hii sehemu ipo dar, na sio a-taun...
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
simba

kwenye ukumbi wa simba katika aicc kuna bonge la simba mlangoni. halafu wala haumi...
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
mwili wa mama mary mackeja wawasili nyumbani
MAREHEMU MARY MACKEJA AKISALIWA MARA BAADA YA MWILI WAKE KUWASILI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA JK NYERERE JANA. KUTOKA KUSHOTO NI NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI ALHAJ KAGASHEKI, WAZIRI MEMBE, NA WAZIRI WA ZAMANI NA MWANA DIPLOMASIA MSTAAFU SIR GEORGE KAHAMA
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 17
nyumbani ni nyumbani
Wadau wenzangu ni imani yangu kuwa mtakubaliana nami kuwa asilimia kubwa ya wakazi wa mijini tulitokea vijijini tena kwenye makazi ya kawaida kabisa ila wengi tunajisahau hata hatukumbuki tulikotoka mimi nimeamua kuwafahamisha wadau wenzangu mahali nilipozaliwa hukoooo...Thuji milima ya upare ;Karibuni sana .Kuna umeme,mitandao yasimu,maji safi ya bomba bila kusahau makande hata mtandao wa google unatambua kijiji chetu andika neno SUJI KISHA SEARCH
Mdau baba Jordan
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
fulanazzzz
Mdada Susan Evans wa Bedfordshire university Luton akivunja guiness book of records for wearing the most T shirts in just under 4 hrs jana .Total T shirts 230! Looking on are Mayor of Luton, Norris Bullock, and Tanzania's Deputy High Commissioner to UK Chabaka Kilumanga
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
msiba dar
DEATH ANNOUNCEMENT
The family of Brigadier General (Rtd), William S. Kotta Sr. Sadly announces the untimely demise of their beloved Mom, Mrs Margaret Mdakie Kotta that occurred on Sunday 18th May 2008 at Lugalo Military Hospital.
Mrs Margaret Mdakie Kotta the wife of Brigadier General (Rtd) William s. Kotta Sr. Mother to Steve Kotta Jr, Capt. Yves Kotta, Genevieve Kotta Kasanga and Faraja Kotta Nyalandu, Mother in law to Isaack Kasanga, Hon. Lazaro Nyalandu, Rhoda Memba Kotta and Charlotte Rukia Kotta. Grandmother to Leroy Kotta III, Lorna Kotta and Clarrisa Kasanga.
She is Deeply Missed by her family.
Funeral will be held on Wednesday, 21st May 2008.
Funeral Arrangements are taking place at Brigadier General (Rtd), William S. Kotta's home at Kunduchi Kilongawima, Dar es Salaam.
Mama Kotta's funeral will be held on Wednesday at her Mbezi Luisi shamba in the outskirts of Dar es salaam
May the Lord, rest her soul in eternal peace
Amen
 
© Michuzi | Tuesday, May 20, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 22
Monday, May 19, 2008
mambo ya a-taun
niko na mdau deo mushi ambaye ni mwakilishi w daily news a-taun leo. niko huku kwa muda, napata mambo elekezi kwa jamu
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 27
nondozzzz uturuki

Pole sana na kazi bro!
Ningependa kukutumia picha zangu za graduation iliyofanyika hapa Turkey tarehe 17 may 2008.Naomba uwakilishe kwenye blog yetu ya jamii.Napenda kumshukuru Mungu kwa kunisaidia kujinyakulia degree yangu ya udaktari.Mungu ajaalie na watanzania wote wafanikiwe katika elimu.Sasa naitwa rasmi Dr.Lydenge nikiwa katika picha hapo ya pamoja na Mama yangu na aunt yangu ambapo hawakuweza kuacha kujumuika nami kwenye tafrija hii hapa ubatani.

Kazi njema.
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 26
david beckham kutia timu bongo?
Sema mjomba misupu..
ebwana leo wakati napitia nyuzi za duniani nimekutana na hii habari njema kwa sekta yetu ya utalii kuhusiana na mjomba bekham na babu bono kutaka kuja bongo.
Haki ya nani media yetu ikishindwa kutumia hii chance kuutangaza mlima wetu nitawacheka.
Hebu gonga hapo usome mwenyewe kama vipi wajuze na wadau.
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
sauzi yawa jehanamu kwa wahamiaji

Habari za kazi Kaka!

Naomba nikupatie hii taarifa lakini mimi siyo mtaalamu wa haya mambo hivyo naomba usiweke jina langu.
Pamoja na kuwa mnatupatia taarifa nyingi nono tu, nimekuletea taarifa hii ili wasomaji wako wengi wawezi elewa kuwa sasa hivi Afrika Kusini kuna moto. Wenzetu hawa wametengeneza chuki ya ajabu kwa wageni wanaotoka nchi zaafrika (weusi), wanawauwa na kuwachoma moto na polisi wana kazi nzito ambayoinaonekana inawashinda.


picha nimeambatanisha inatoka hapa http://photos.mg.co.za/view_photo.php?pid=3446&gid=225 na kuna taarifa nyingi mtandaoni.
watu wengi (wageni wa kiafrika - weusi)sasa wanalala vituo vya polisi kuogopa kuuliwa na hawa ndugu zetu.

pia taarifa zaidi zipo hapa:
breaking_news__national
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 47
profesa kamuzo atema cheche juu ya teknohama
profesa faustin kamuzora, ambaye ni makamu mkuu wa chuo cha mzumbe, leo ametema cheche kwenye mkutano wa kimataifa wa utalii na safari jijini a-taun kwa kusema bongo inabidi wafunge mikanda katika teknohama ama sivyo wataachwa solemba na wengine duniani. ametoa mifano kadhaa lakini kubwa na la ukweli ni kushindwa kwa taaisi kuwa na website na kama wanazo hawazi up-date kila siku na kdhalika. kasema bongo inapitwa na wengine kwa kuwa kila mtu nimbumbu kwenye mtandao.wadau mnaizungumziaje mada hii?

 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 18
ukumbi wa simba, aicc
baada ya ukarabati wa kufa mtu, ukumbi wa mikutano wa simba wa arusha international conference centre (aicc) waonekana hivi sasa. hii ni leo wakati jk alipokuwa anafungua mkutano wa siku tatu wa kimataifa wa africa travel association (ata). mkutano wa sullivan utafanyika hapa pia kuanzia juni 2 hadi juni 6, 2008.

 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
miss tz EU 2008
Vituo kwa washiriki
Miss Tanzania EU 2008 Germany



Form na maelezo kwa wale watakaoshiriki Miss Tanzania EU 08 zinaendelea kupatikana kwa:-

HOLLAND & BELGIUM - Charles Gadi Promotions
+31634236408
Charlesmwagadi@yahoo.com
au
DJ Gtown (turntable)
Georgesimba60@hotmail.com

NORWAY – Hassan Nganzo
+4747262181
Nganzo88@yahoo.no

DENMARK – Msimbazi
+4540958552
jumuiatz@hotmail.com

FINLAND – Bantu
Salnee@hotmail.com

FRANCE - Bruno
bruno_bcbg@hotmail.com

Others –
info@misstanzania.eu
+49 1520 5880 863

Mshindi wa kinyangányiro hichi hapo 28.06.08 nchini Germany atajiunga na warembo wengine katika shindano la kitaifa mjini Dar es saalam mwezi August.
www.misstanzania.eu
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
Miriam Chemmoss aendeleza lieneke

Endapo kuchanganya utaifa,damu na tamaduni mbalimbali ni mojawapo ya chachu za mafanikio fulani hapa duniani, basi ushahidi wa dhana hiyo unaweza kuupata kwa kuangalia maisha ya mrembo Miriam Chemmoss(pichani).


Miriam ni muigizaji,mwimbaji,mtunzi wa nyimbo na pia mwanamitindo (model) ambaye mpaka hivi leo ana haki ya kusimama na kujivunia rekodi yake katika ulimwengu changamani wa sanaa na maonyesho.Mwenyewe anasema safari yake ndio kwanza inaanza kwani bado ana ndoto na malengo chungu mbovu ya kutimiza.Hivi leo kazi zake nyingi anazifanyia kutokea jijini New York nchini Marekani anapoishi. habari kamili nenda http://bongocelebrity.com/
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
ndege za ATC
leo wakati napaa kwenda nanihii kwa semina elekezi nimebahatika kukuta madege yote ya atc yakiwa yamepaki uwanja wa julius nyerere. kunradhi kioo cha dirisha nililoketi hakikuwa safi
 
© Michuzi | Monday, May 19, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
Sunday, May 18, 2008
lister elia alipokuwa orchestra sambulumaa
ORCHESTRA SAMBULUMAA...chini ya uongozi wa Nguza Viking (gitaa begani),ni moja ya bendi zilizotingisha anga la muziki Tanzania miaka ya 90. Hapa wana Sambulumaa wakiwa kwenye mazoezi ya mwisho kabla ya kujimwaga kwenye shoo yao ya kwanza Diamond Jubilee. lister elia ni huyo aliyesimama wa tatu toka kulia. wa mwanzo kulia ni king kikii

Lister Elia(kati) ni miongoni mwa waanzilishi wa bendi ya Sambulumaa,alishiriki katika ukung'utaji wa keyboards nyimbo zote za wana Sambulumaa kama "Kadiri Kasimba" utunzi wa Kianga Songa,"CCM imekua" utunzi wake Skassy Kasambula na "Mama Happy" utunzi wake mwenyewe Lister Elia.


Kwa sasa Lister anaendeleza libeneke katika jiji la Tokyo ambako anaishi na kufanya kazi kama mpiga kinanda wa kulipwa na pia Lister ndiye mtunzia wa vitabu viwili vinavyohusu upigaji wa vyombo vya muziki kama Piano na Gitaa.


Kitabu chake cha tatu ambacho ni cha riwaya(novel) kinachoitwa "The mystery of Tamko's death,ambacho ni cha kiingereza na kimetafsiriwa pia kwa kiswahili kipo mitamboni kuchapwa na kinatarajiwa kutoka baada ya muda si mrefu.


Tembelea tovuti ya kijana huyu ugundue mengi. http://www.listerelia.com/



 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
mama kikwete shambani
Mama Salma Kikwete akikagua shamba la mpunga lililolimwa kwa kutumia mbinu bora na kanuni za kilimo muda mfupi kabla ya kufunga Mafunzo ya shamba Darasa kwa wakulima wa Msoga wilayani Bagamoyo leo
 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
pinda akiwa misri
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dr Abuu Zeid (kushoto) na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Cyril Chami (kulia) nje ya ukumbi wa mikutano wa kituo cha Sharm El Shikh nchini Misri leo. Watatu kushoto ni balozi Mohamed Mzale, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
athumani iddi 'chuji'
huyu ndiye athumani iddi 'chuji' aliyefunga bao muhimu jana taifa staaz ilipotoka 1-1 dhidi ya uganda huko kampala na kuisongesha mbele timu yetu kwenye michuano ya kwanza ya afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani. staaz imepita ngwe hiyo kwa mabao 3-1 baada ya kushinda katika mchezo wa kwanza uliofanyika uwanja wa ccm kirumba kwa magoli 2-0, mabao yaliyofungwa na emmanuel gabriel na shabani nditi.
staaz imeweza kuweka rekodi ya kihistoria katika soka kwani hayo ni mafanikio ya kwanza katika ardhi ya waganda tangu mwaka 1984, ikiwa ni miaka 24 baada ya Stars kushinda kwenye uwanja wa Nakivubo.
katika mchezo huo staaz iliyoundwa na juma pondamali, mohamed bakari 'tall', jellah mtagwa, juma mkambi 'jenerali', makumbi juma 'homa ya jiji', charles boniface mkwasa 'master', zamoyoni mogella 'golden boy' iliibuka na ushindi wa mabao 3-0, ikiwa ni baada ya kufungwa nyumbani bao 1-
 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 18
vichwa vya habari
msaada kwenye tuta wadau. nna hamu ya kujua maana ya hivyo vichwa vya habari maana kama mjuavyo mie kiinglishi ndio hivyo tena..
 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 22
msiba ujerumani na moshi

Familia ya Mzee Wilfred Shangali wa Moshi Kilimanjaro, ina majonzi makubwa na inatangaza kifo cha mpendwa wao Pius Wilfred Shangali, kilichotokea tarehe 30/04/2008 huko Dresden, Ujerumani.

Marehemu aliugua maradhi ya mapafu.

Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kutoka Ujerumani inafanywa na inatarajiwa kuwa mwili utawasili siku ya jumatano tarehe 21/05/2008 katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA).

Mipango ya mazishi inaendelea kupangwa na taarifa kamili itatolewa, mara tu mwili utakapowasili nchini.

Marehemu Pius alizaliwa tarehe 18/09/1976 huko Mwanza.

Alisoma secondary (O-Level) katika shule za sekondari za Mawenzi-moshi na Magamba-Lushoto, kati ya miaka ya 1991 - 1994.

Baada ya kumaliza masomo ya O-Level alijiunga na sekondari ya Tanga (Tanga School) kati ya miaka ya 1995 – 1997.

Alijiunga na chuo kikuu Dar es salaam katika kitivo cha uhandisi mwaka 1998 na kuhitimu shahada ya uhandisi mwaka 2002.

Alikwenda Ujerumani kusomea shahada ya pili ya uhandisi wa maji mnamo mwaka 2005.

Kwa salamu za rambirambi wasiliana kwa namba za simu zifuatazo
Wilfred Shangali (0784535030), Dr. Theophil W. Shangali (0767101012),
Christa W. Shangali (0714125000)

Tulimpenda Pius Lakini Mungu Amempenda Zaidi
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE
 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
msaada tutani
Mr. Supu!!
Sometimes, at the small hours, we get so down that we need to fume it out.I am down and low. At the same time, have to serve the Satan to get my daily bread (night boxes).This is where you come in.
Will be so happy to hear from people I have not seen for many, many years.Those are people who the name “Sly Robbins” rings a bell. Since we gate crashed together a lot, these following old hits should bring many good gone feelings:
2.
Will appreciate if you post this massage in your blog kama msaada tutani And they can get hold of me on:
Thanx in advance
Blackmpingo
aka Sly Robbins
 
© Michuzi | Sunday, May 18, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
Saturday, May 17, 2008
BREKING NYUUUUUZZZZZZZZZ
TAIFA STAAAZ IMEFANIKIWA KUVUKA KIGINNGI CHA KUSAKA TIKETI YA KUSHIRIKI FAINALI ZA KWANZA ZA MATAIFA YA AFRIKA KWA WACHEZAJI WANAOCHEZA LIGI ZA NYUMBANI MAARUFU KAMA CHAN BAADA YA KUILAZIMISHA SARE YA 1-1 TIMU YA UGANDA CRANES UWANJA WA NAKIVUBO HUKO UKWENI.
GOLI LA STAA LIMEPATIKANA DAKIKA YA 44 MFUNGAJI AKIWA ATHUMANI IDDI 'CHUJI'
HII NDO KUSEMA STAAZ INAPETA KWA MABAO 3-1 BAADA YA USHINDI WA 1-0 ILIYOPATA IKIWA NYUMBANI WIKI MBILI ZILIZOPITA. SASA TUNAMNGOJA MSHINDI KATI YA SUDAN NA RWANDA AMBAPO TUKIMSHINDA TUNAINGIA FAINALI YA KOMBE HILO ZITAZOFANYIKA IVORY COAST MAPEMA MWAKANI.
 
© Michuzi | Saturday, May 17, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 28
pafyumu medini morogoro

Michuzi eeeh...
Ebana JUZI NIMEENDA mOROGORO nimeuziwa hizi brut fake. Kama unavyoona moja imeandikwa BURT,zote hazina brut lakini maji yenye harufu, bei 7500 kila moja
Mdau John Kitime
 
© Michuzi | Saturday, May 17, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
balozi anapotembelea ofisini kwako
jana nilibahatika kutembelewa ofisini kwangu na balozi wa kenya nchini mh. boaz mbaya, wakati alipofanya ziara ya kutembelea kampuni ya tanzania standard newspapers ltd, wachapishaji wa daily news, sunday news na habarileo. hapo namueleza jinsi mtandao www.dailynews-tsn.com unavyokula mzigo pamoja na libeneke zima ta teknohama la kampuni hii

 
© Michuzi | Saturday, May 17, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
kilele cha siku ya mawasiliano
waziri wa mawasialiano, sayansi na teknolijia profesa peter msolla, akiongea kwenye kilele cha siku ya mawasiliano duniani leo hapa dar. walioketi shoto ni waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto, mh. margareth sitta akiwa na mkurugenzi wa mawasiliano wizara ya mawasiliano, injinia august kowero.

 
© Michuzi | Saturday, May 17, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
hitma ya kadhi mkuu znz
Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, Waziri Kiongizi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mh. Shamsi Vuai Nahodha, Naibu Kadhi Mkuu Sheikh Khamis Abdulrahman na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Harith Bin Helef , wakiongoza wananchi wa Zanzibar katika Hitima ya kumuombea dua Kadhi Mkuu wa Zanzibar Marehemu Sheikh Ali Hatib Mranzi aliyefariki Dunia hafla juzi huko Nyumbani kwake Jang'ombe Zanzibar. Hitima hiyo ilifanyika jana jioni katika Msikiti Mkuu wa Muembeshauri mjini Zanzibar
 
© Michuzi | Saturday, May 17, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
Friday, May 16, 2008
chrisant mhenga
niko na mmoja wa maprodyuza wakubwa wa filamu nchini chrisant mhenga (shoto) na msaidizi wake kwenye mnuso fulani hivi majuzi. asilimia kubwa ya masupa staa wa filamu bongo wamepita mikononi mwa mhenga ambake alianzia libeneke akiwa na itv na sasa anapiga solo
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
dar city centre 2008 hiyo!
Dennis Ssebo, mwakilishi wa Inter Safari Logistics, Latifa Warioba Miss Dar City Center wa sasa pamoja na Shubby Rugemera ambaye ni mwalimu wa washiriki wa Miss Dar City Center contesters na Furaha Pallangyo afisa masoko wa Tanzania Standard Newspapers wakiongea na waandishi kuhusu mtanange wa Miss Dar City Center utaofabyika Junie 14, 2008
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
tuzo za cnn
CNN MULTICHOICE AFRICAN JOURNALIST 2008
FINALISTS ANNOUNCED

Finalists in the prestigious CNN MultiChoice African Journalist 2008 Competition were announced today by Azubuike Ishiekwene, Chair of the independent judging panel. The competition, now in its 13th year, received a record number of entries from across Africa.

This year the competition received 1912 entries from 44 countries throughout the continent, including French and Portuguese speaking Africa.

There are 23 finalists from 14 countries:

Lucas Ajanaku, TELL Magazine, Nigeria
Barbara Angopa, NTV, Uganda
Deji Badmus, Channels Television, Nigeria
Marjorie Copeland, Freelance for Marie Claire, South Africa
Kennedy Gondwe, Freelance for Hone FM, Zambia
John Grobler, Freelance for The Namibian, Namibia
Israel Laryea, Joy FM, Ghana
Fernando Lima, Jornal Savana, Mozambique
Emmanuel Mayah, Sun Newspaper, Nigeria
Mwondoshah Mfanga, The Guardian, Tanzania
Richard Mgamba, Sunday Citizen Newspaper, Tanzania
Peter Moyo, e.tv, South Africa
Bamuturaki Musinguzi, The EastAfrican Newspaper, Uganda
Mutwiri Mutuota, Kenya Times, Kenya
Boniface Mwangi, The Standard , Kenya
Koumouréoua Issa Napon, Radio Télévision du Burkina, Burkina Faso
Evaline Ngono, Cameroun Radio Télévision, Cameroun
Daniel Nkrumah, Daily Graphic, Ghana
Godwin Nnanna, BusinessDay, Nigeria
Nassima Oulebsir, Le Jeune Indépendant, Algeria
Hopewell Rugoho-Chin’ono, Television International, for Zimbabwe Broadcasting Corporation, Zimbabwe
Seyoum Tsehaye, Eritrea
Sasha Wales-Smith, Special Assignment, SABC, South Africa

The winners of the competition will be announced at a gala awards ceremony in The State Banquet Hall, Osu, Accra, Ghana on Saturday 19th July.

The hosts for the evening will be CNN correspondent Zain Verjee, joined on stage by popular Nigerian TV personality and talk show host, Soni Irabor.

Announcing the finalists, Azubuike Ishiekwene said: “I have followed the CNN MultiChoice Awards for the past four years and watched them grow steadily to become the gold standard of excellence in journalism awards on the African continent, especially for young professionals who want to make a difference. Increasingly, the entries are speaking to the continent's needs, and the echoes are far-reaching."

The independent judging panel, chaired by Azubuike Ishiekwene, Executive Director, Punch Nigeria Limited, includes: Ferial Haffajee, Editor-in- Chief, Mail & Guardian, South Africa; Joel Kibazo, Journalist and Media Consultant; Arlindo Lopes, Secretary General of SABA – Southern African Broadcasting Association; Sophie Ly Sow, Regional Communications Officer for Oxfam / West Africa; Kim Norgaard, CNN’s Johannesburg Bureau Chief; Brahima Ouedraogo, Senior Radio Reporter/Producer, Radio Nationale du Burkina and Anna Umbima, journalist and broadcaster. Filipe Correia de Sá, Senior Producer at BBC World Service was brought in to help judge the Portuguese speaking category.

The competition is held in partnership with MultiChoice, and in collaboration with The Henry J. Kaiser Family Foundation. The prestigious sponsors include: Celtel; Coca-Cola Africa; Ecobank; Ghana Tourist Board; Holiday Inn Accra; IPP Media, Tanzania; MIH Print Africa; Merck Sharp & Dohme (MSD); Safebond Africa Ltd; Global Media Alliance and Camerapix.

Tony Maddox, executive vice president and managing director of CNN International said: “Each year we see a healthy increase in entries for the CNN MultiChoice African Journalist Awards from a diverse array of countries across the continent. The quality and excellence of the work submitted continues to rise year on year, ensuring that the 2008 competition maintains its place as the most prestigious Pan African Awards for journalists”.

Eben Greyling, CEO of MultiChoice Africa said: “The awards have become the standard for excellence for pan-African media. Our investment underlines MultiChoice Africa's active commitment to the development of an effective and valuable media in the continent. We are proud to be associated with the oldest and most diverse journalism awards on the continent”.

About the award:
The CNN African Journalist of the Year Award was founded in 1995 by Edward Boateng (formerly African Regional Director for Turner Broadcasting System Inc., CNN’s parent company) and the late Mohamed Amin, to recognise and encourage excellence in journalism throughout Africa.
Note to Editors: Competition Criteria
The CNN MultiChoice African Journalist 2008 competition is open to African professional journalists (including, but not limited to, African freelancers), working on the continent for African owned media organisations that are headquartered on the continent of Africa that produce a printed publication or broadcast through an electronic medium (television broadcaster; radio station or website) primarily targeted at and received by an African audience.

Entries were published or broadcast in 2007 for the following awards:

Tourism Award; Arts & Culture, Economics and Business, Environment, Free Press Africa Award; MSD Health & Medical Award; The Henry J. Kaiser Family Foundation Award for Excellence in HIV/AIDS Reporting in Africa; MIH Africa Print Africa Award – Best Feature in a Consumer Magazine; Mohamed Amin Photographic Award; Print Journalist Award; Radio – General News; Sport; Television – General News - Feature/Current Affairs; Television – General News – News Bulletin; Francophone General News – Print and Television and/or Radio and Portuguese Language General News - Print/ Photographic/Radio and TV

www.cnn.com/africanawards
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
wasira aapiswha
JK akimwapisha Mh. Stephen Wasira kuwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, ikulu, leo.
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
mahindi uhindini
mdau adam mzee ametuletea hii ya mchuuza mahindi ya kuchoma akikatiza katika mitaa ya Residance na Brigade katika mji wa Bangalore,India. anasema huko mahindi ya kuchomwa yanauzwa kwa kutembezwa kwenye mkokoteni kama hivyo.
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
shukrani za msaada tutani
Kaka Michu asante sana kwa msaada wako kwenye tuta,

Lakini nadhani sikueleweka kwa baadhi ya wadau na ninawaomba radhi kwa hilo.Nilichokuwa nahitaji ni nyimbo za utaifa zikiwa katika mfumo wa sauti (audio) sio mashairi.Lakini napenda kuwashukuru wadau wote waliojitolea kuniandikia mashairi na wale walionikosoa pia.
Ningependa kuwaambia kuwa sio kwamba sifahamu kuimba, najua vizuri ila ningependa kuwafundisha wapwa zangu kwa kufuatisha sauti halisi ya wimbo.Ni matumaini yangu kwamba wadau wenye audio watanitumia.
Email yangu ni ile ile (queensalie@yahoo.com.au)
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
UPDATE: msiba wa Mama yetu mpendwa Mama Mary Louise Mackeja.
Dear family and friends,
Please note that Ambassador Dr. Augustine Mahiga has issued an invitation for a viewing to be held at his place in New York.
This event starts at 3:00 pm and ends at 6:00 pm on May 16th, 2008 at the Ambassador's residence.
The Address is
30 Overhill Road
Mt. Vernon,
NY 10552
Then the next event on the same day ( Friday May 16th) will be a viewing at the Ballard Durand Funeral Home
2 Maple Avenue,
White Plains
New York,
10601.
Tel:914-949-0566.
This starts from 7:00 pm to 9:00 pm.

The third viewing event will be held at Ballard Durand Funeral Home on Saturday May 17th from 3:00 pm to 6:00 pm.
Incase of questions or additional information please contact any of the following people:-

Madiha Tubman at (914) 328-4866 or (914) 484-8866.
Simona Makwaia at (732) 438-1360
David Makwaia Kidaha
or Lilian Sykes at (914) 686-3032
 
© Michuzi | Friday, May 16, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
Thursday, May 15, 2008
masupa staa walipotua bongo
Machi 29, 1972: waziri wa mambo ya nje mh. john malecela akiwapokea wacheza sinema maarufu wamarekani weusi walipokuja kutembea bongo. shoto ni sydney poitier na kulia ni harry belafonte ambaye pia ni mwanamuziki.
kumbukumbu kama hizi zitapatikana baadaye online karibuni kupitia http://www.dailynews-tsn.com/ na kwa wale watakaokuwa a-taun daily news wataonesha baadhi ya mapicha ya wamarekani weusi maarufu waliotembelea bongo kwenye banda lao wakati wa mkutano wa sullivan
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
wajumbe wa mkutano wa muungano
Wajumbe wa kamati inayoshuhulikia mambo ya Muungano kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani wakimsikiliza kwa makini Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein ambae pia ni Mwenyekiti wa Mkutano huo unaojadili mambo mbalimbali ya Masuala ya Muungano wakati alipokuwa akifungua huko katika Ukumbi wa Hoteli ya Ubungo Plaza leo.
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
jk na mabalozi wa ukerewe
JK akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Kenya Bw. Adam Woods ambaye alifuatana na Balozi wa Uingereza nchini Bw. Philip Parham aliyesimama katikati leo ikulu, dar
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
wama yatoa milioni 200 kwa mewata



Mama Salma Kikwete akimkabidhi makamu Mwenyekiti MEWATA Dr.Florence Temu hundi ya jumla ya shilingi milioni mia mbili(200,000,000/-) kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya kwa ajili ya kuhudumia wanawake walioathirika kwa saratani ya matiti.


Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika leo katika ofisi za Taasisi ya Wanawake na Maendeleo(WAMA).
Katika haflya hiyo mama Kikwete alikabidhi pia sidiria maalumu kwa wanawake walioondolewa titi kwa ajili ya saratani.Sidiria hizo zenye thamani ya jumla ya Shilingi Milioni Mia moja zilikabidhiwa kwa MEWATA, Tanzania Breast Cancer foundation na Ocean Roads Cancer Institute.
Wengine pichani toka kushoto ni Mama Mwanamema Shein, Mh. Zakhia Meghji na Mama Regina Lowassa,
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
B-Connected 2008 kufanyika Jumamosi hii

Tukio: Tamasha la kimataifa la B-CONNECTED
Tarehe : 17 /05/ 2008
Wapi: Tanzania, Hungaria, Afrika ya Kusini, Ethiopia, Uholanzi na Uganda
Aina: Muziki, vijana, utamaduni, ushirikiano wa kimataifa


Kwa mara nyingine Music Mayday inakuletea tamasha kubwa la kimataifa litakalofanyika katikati ya jiji la Dar katika viwanja vya Mnazi mmoja kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 4 usiku siku ya Jumamosi ya tarehe 17/05/2008.

Zaidi ya wasani 100 kutoka Tanzania, Uholanzi na Afrika ya Kusini watakuwepo jukwaani kutoa burudani safi bila kusahau maonyesho ya makampuni mbalimbali.

Jukwa litatawaliwa na wasanii maarufu kama Fid Q, Nakaaya, Ray C na Nako2Nako.Msanii chipukizi wa miendoko ya rege anayejulikana kama Thomas Pius ambaye atapanda jukwaani kwa mara ya kwanza. Wasanii wengine chipukizi ni Wakulu unit, Kkando, Nyamipuli, Rommy and Diamond, G2R. Na katika miondoko ya danci tutakuwa na vikundi vya Bombeso, shake team, K-active, Becker Mundi gado na Love Shake

Tamasha la B-Connected la mwaka huu tuna maada ya unganika kiafya ‘B-Healthy connected’ ambayo ni mada inayowaleta vijana kuendelea kuwa wazi kuongelea maambukizi ya Ukimwi na VVU pamoja na afya ya uzazi. Elimu ya Ukimwi na VVU inatolewa na Family health International, AMREF na Marie Stopes.

Pia kutakwa na uziduzi wa ziara ya hip hop inayoandaliwa na TAYOPA ambalo ni shirika lisilo la kiserikali linaloendeshwa na watu wanaoishiriki na virusi vya Ukimwi. Dhumuni lao ni kuendelea kuihamisisha jamii kuacha tabia ya kuwanyanyapa watu wanaishi na virusi vya Ukimwi na kuifanya jamii kuwa na upendo na kushirikana nao katika kazi mbalimbali. Ziara hiyo inatarajiwa kuendelea katika mikoa ya Morogoro, Dodoma, Mwanza na Singida.

Bendi maarufu ya Tribute2bobmarley kutoka Uholanzi inayofanya muziki wa regge itakuwepo kutumbuiza. Wasanii wa kundi hilo ni Philip’ Junior’ Tecla, Giovanca Ostiana, Jurley ‘Jay’ Colin, Darin ‘Darin’ Guermonprez, Tjerk ‘ youngblood’ Schoolnheim and Cyril Van Schooten ambaye ni manager wa kundi hilo. Kundi hilo watafanya warsha ya muziki wakishirikiana na wasanii wa Tanzania kunzia tarehe
15-16 /05/ 2008 katika ukumbi wa Russian Culture.

Kundi hilo litafundisha vijana chipukizi jinsi ya kutumia vyombo mbalimbali vya muziki ikiwa ni moja ya dhuluni lao kubwa la ziara yao kwa mwaka huu. Baada ya kumaliza warsha hiyo kundi hilo la muziki litatoa msaada wa vifaa vya muziki kwa baadhi ya wasanii ambao wataonyesha bidii ya ufahamu wa kujua kutumia vyombo vya muziki kama gitaa, drums vinginevyo.

Siku ya tarehe 16/05/2008 jioni kundi hilo la muziki likishirikiana na wasanii wa hapa nchini litafanya onyesho moja katika ukumbi wa Russian Culture kuanzia saa moja usiku kwa madhumuni ya kuchangia fedha katika miradi mbalimbali inayoendeshwa na Music Mayday Tanzania.

Kundi lingine linatoka Uholanzi linajulikana kwa jina la reggaestration ambalo pia linafanya muziki wa reggae litakuwepo uwanjani kutumbuiza. Kundi hilo lina wanamuziki 9. Davin Leader Dam, Shawn Alexander, Rafi Mohamed, Quincy Delano,Marranne Machteld, Sarah-Jane Loise na Shivan Yasin.

Afrika ya Kusini watawakilishwa na vijana 8 katika kucheza, mashairi na muziki wa kufokafoka. Vijan watakao dance ni Moulusi Moinwe, Partic Mbenege na Kabelo Mojela. Na watakaofanya muziki wa kufokafoka ni Thembelihle Mlambo, Thabang Bly na Tsepo Shabangu na kijana Matodzi Ramashia yeye anaimba ushairi wa muziki “poetry’

Lengo la tamasha hili ni kuunganisha vijana duniani kote kupitia muziki na program nyingine ambazo zitakuwepo siku ya tamasha..Wasanii wengi wa hapa nchini wanatazamiwa kushiriki na kupata nafasi ya kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na wasanii wengine wa kimataifa ambao nao pia wanashiriki katika tamasha hilo kupitia nchi nyingine ambazo tamasha hili hufanyika.

Na tunatarajia Mwenyekiti mtendaji wa Makampuni ya IPP ndugu Reginald Mengi kuwa mgeni rasmi katika tamasha la B-Connected na pia anatarajiwa kufungua rasmi tamasha hilo.

Unganishwa na B-Connected. Kiingilio ni bure!!!!! Tamasha la B- Connected linaletwa kwenu na Music Mayday Tanzania.

Music Mayday inawahamasisha vijana wote duniani kuunganika kupitia muziki, filamu, ngoma, utamaduni na njia mpya za kueneza habari kwa kubadilishana mawazo na vitendo.

B-Connected imefadhiliwa na Ubalozi wa Uholanzi, KLM, True Vision Production, Clouds FM na Family Health International.

Kwa habari zaidi wasiliana na Music Mayday Tanzania

at 022 277 1156

au Victoria Kimario,

Afisa Uhusiano 0754-494543,

v.kimario@musicmayday.org

www.b-connected.to
www.musicmayday.org
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
msaada kwenye tuta
Mambo vipi kaka Michuzi,
Aise naomba unisaidie kuniulizia kama kuna mdau yeyote anaweza kunipa wimbo wa taifa wa tanzania na ule wa 'Tanzania nakupenda kwa moyo wote'.
Unajua haya malezi ya watoto wetu ughaibuni usipowafundisha utamaduni na nyimbo zao za taifa ndio matokeo yake wanausahau utaifa wao.
Sitaki kuona watoto wa uncle wangu wanaingia kwenye huo mkumbo wa kuimba nyimbo za australia wakati hata za nyumbani zipo hivyo naomba mwenye nazo anitumie katika email yangu ambayo ni (queensalie@yahoo.com.au).
Ubarikiwe.
Salma.
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 34
msiba new york
We are saddened to announce the death of our beloved MARY LOUISE MACKEJA in New York on Tuesday, May 13, 2008.

She was one of the first pioneering females in our country's history, serving as the secretary general of the Tanganyika red cross (1961-85) amongst her many achievements. This is our mother whom we loved very much.

Currently we are making plans to transport the body of the deceased and some family members to Tanzania, East Africa as soon as possible.

There will be two viewings at Ballard-Durand Funeral Home: Friday, May 16, 2008 from 7-9 pm, and Saturday, May 17 from 3-6 pm.

A Memorial Mass will take place on Saturday, May 17 2008 at 11 am at St. Matthew’s Lutheran Church, followed by a luncheon at Congregation Kol Ami.

Addresses and Directions:

Ballard-Durand Funeral Home
2 Maple Avenue
White Plains, NY 10601
(914) 949-0566

http://www.ballarddurand.com/html/directions_pop.html


St. Matthew’s Lutheran Church
3 Carhart Avenue (corner of Mamaroneck Avenue)White Plains, New York 10605-1495914.949.3577

http://www.st-matthews-lutheran.org/

Congregation Kol Ami
252 Soundview Avenue
White Plains, NY 10606
(914) 949-4717

http://www.nykolami.org/aboutus/directions/


As a community we have set up an account for any one willing to donate anything for this tragic event. Below is the account information:

Name of the account: David Makwaia Kidaha
BANK OF AMERICA

Routing #. 082000073
Account #: 004166018220

In need of additional information, please feel free to contact:

Madiha Tubman at (914) 328-4866 or (914) 484-8866.
Simona Makwaia at (732) 438-1360
David Makwaia Kidaha or Lilian Sykes at (914) 686-3032
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
SALAMU NA PICHA RUKSA!
WADAU WATUKUFU,
KUANZIA LEO NAFUNGULIA UPYA ZOEZI LA WADAU AMA MDAU KUTUMA SALAMU KWANI KAMA NILIVYOSEMA WENGI WAPE NA PIA KIZURI KWA KUKU SI KIZURI KWA BATA MZINGA, HIVYO SI RAHISI KURIDHISHA KILA MDAU.
HAKUNA MASHARTI YATAYOTUMIKA ZAIDI YA KWAMBA MCHAFUZI WA HALI YA HEWA AJUE KALA WA CHUYA KWANI MAONI YAKE HAYATOONA MWANGA WA JUA
HIVYO WADAU KARIBUNI TENA KWENYE GLOBU YENU HII YA JAMII BILA WOGA WALA KUSITA KWANI WACHAFUZI WA HALI YA HEWA WATADHIBITIWA BILE SIMILE
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
msaada tutani
Habari Mr. Misupu?
Naomba unipeperushie ujumbe huu kwenye globu yetu tukufu.
Namtafuta rafiki yangu ambaye hatujawasiliana siku nyingi anayeitwa MICHAEL MWAKILASA.
Alikuwa akiishi Canada miaka ya mwanzo ya 1990s na baadaye akahamia Atlanta , USA. Alipokuwa USA alikuwa anatumia jina la MICHAEL MWAKITUNGILA. Alipokuwa anaishi Canada, kulikuwa na rafiki yake mmoja anayeitwa TONI.
Mwaka 2005 nilikuwa Tanzania, nikamtafuta rafiki yangu huyo kupitia kwenye magazeti bila ya mafanikio. Kwa kuwa najua globu yetu hii ya jamii ina wasomaji wengi kutoka kila pande ya dunia, natumaini mmoja wa wasomaji wake anaweza kuwa anamfahamu huyo rafiki yangu.

Kwa mwenye taarifa zozote naomba aniandikie kwa kutumia email ifuatayo :
mdau.uk@gmail.com

Natanguliza Shukran Mr. Misupu.
---------------------------------------------------------------------------------------------
Kwako Michuzi.
Kwa jina ninaitwa Novatus Magoma Mwilili niko Marekani ninasoma katika chuo cha North Dakota State Universiy.Ninawatafuta rafiki zangu tuliachana nao toka mwaka 1996 tulipo maliza mafunzo ya uongozi na uhifadhi wa wanyamapori(Wanyama wasiofugika) hapo Kibosho Mweka Kilimanjaro, ambao ni Said Abudala na Khamisi A. Khamis.Khamis niliwasiliana naye kwa mara ya mwisho mwaka 1997 akiwa hapa Marekani akinijulisha kuwa anatafuta maisha tangu muda huo sijui kama bado yuko Marekani au alisha rud Tanzania. Ndugu Saidi yeye sina mawasiliano naye kabisa.
Hivyo basi kwa kutumia blog yetu hii ya jamii naomba unitafutie hawa wapendwa wangu ili tuweze kuwasiliana nao email yangu ni NOVATUSMWILILI@yahoo.co.uk
Pia nitashukuru sana kama hata wao ni wapenzi wa huu mtandao lazima watakuwa wamepata hizi salamu.
Ndimi,
Novatus Magoma
---------------------------------------------------------------------------------------------
Habari Mh. Mkuu wa nanihiii ya Tegeta.
Ahsante sana kwa kutuunganisha watanzania across the globe.
Tafadhali naomba msaada tutani, kwani najaribu kuwatafuta washkaji zangu tuliokuwa nao Mkwawa High School (Trench town) bila kumsahau Mr Katua,V.
Wanaweza kuwasiliana nami kwa ombemsangi@yahoo.com ili tuone tunawezaje kukutana na kujadiliana hili na lile. Natanguliza shukrani zangu kwako Mh!
 
© Michuzi | Thursday, May 15, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
Wednesday, May 14, 2008
aliyobonga mh. zitto ughaibuni

Yapata wiki moja iliyopita Mhe. Zitto Kabwe alizungumza na jumuiya ya Watanzania waishio Jimbo la Michigan nchini Marekani.


Mazungumzo hayo yaliyofanyika wakati wa hafla ya chakula cha jioni aliyoandaliwa Mh. Zitto yaligusia mambo mbalimbali na hasa kuwataarifu wanajumuiya hiyo mambo mbalimbali yanayoendelea nyumbani na pia kusikiliza maoni na maswali yao.


Matangazo ya leo basi ni hotuba ya Mhe. Zitto kwa jumuiya hiyo na sehemu ya maswali na majibu, yote ni uncut and an edited. Makosa mengine yoyote ya kurekodi hasa mwanzoni kidogo ni ya KLHN.


Pichani Mhe. ZItto akijiandaa kuzungumza na wanajumuiya ya TAMI - Tanzanians Association of Michigan. Huko Detroit eneo la Maili Nane.


Title: KLH News


Episode:Alichozungumza

Mhe Zitto Detroit!


 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7
kp leo

 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
ICTR gives calenders to St. Constantine

The Chief of Communications for the UN International Criminal Tribunal forRwanda Mr. Bocar Sy (standing second left) hands over some ICTR deskcalendars with pictures of paintings from students of St. Constantine International School in Arusha to the School’s Head, Mr.Henry Gericke(centre).


Looking on (on his right) is Mrs. J. A. Aitken, Head of PrimarySchool, Mr. C. Nderitu, Head of Secondary School and, on Mr. Sy’s left, Mr.Danford Mpumilwa, ICTR’S Associate Information Officer.


The event took place today at the St Constantine premises in front of

primary and secondary students of the school.


Speaking during the occasionMr. Sy paid special thanks to the students and the school administrationfor responding positively to schools competition in paintings on themespromoting international human rights and the rule of law.


Mr. Mpumilwa then announced that the Tribunal was going to organise an Essays and Paintings competition for students and pupils of primary and secondary schools in Tanzania later this year. He invited the students to participate in the event.


Also handed over to the school during the occasion were ICTR brochures and documentary films on the work of the Tribunal. Presently there is an exhibition of 26 paintings from the school going on at the AICC office complex where the ICTR is located.
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
kijakazi bosi wa TaSuba
Serikali imemteua Hajaat Kijakazi R. Mtengwa kuwa Mwenyekiti mpya ya bodi ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa), zamani Chuo Cha Sanaa Bagamoyo.

Taarifa toka wizara ya habari, utamaduni na michezo iliyosainiwa na msemaji wa wizara hiyo mzee Jacob Tesha, kwa mujibu wa sheria za wakala wa serikali namba 9 ya mwaka 1997, waziri Mh. Kapt. Goeroge Mkuchika pia amewateua wajumbe wanane wa bodi hio.

Taarifa imewataja wajumbe hao kuwa ni pamoja na Bi. Rose Sayore, Katibu Mtendaji wa Mfuko wa Utamaduni, Mkurugenzi wa Utamaduni Mstaafu, Dk Daniel Kyaruzi Ndagala, Dk Herbert Francis Makoye ambaye ni mhadhiri Chuo Kikuu Dar na Profesa Hermes J. Mwansoko, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni.

Waajumbe wengine wa bodi hiyo ni Bi Judica Haikase Kida Omari, ambaye ni mchumi mwandamizi, Mh. Ramadhani A. Maneno, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Profesa Elias Elieza Jengo, Mhadhiri UDSM na gwiji la sanaa.
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
msiba wichita

Watanzania,

Kama ambavyo pengine mmesha sikia, Mtanzania mwenzetu Ulimboka Mwaifuna amefariki dunia hapa Wichita.


Marehemu amefariki kwa ajali ya moto nyumbani kwake Jumapili alfajiri May 11, 2008. Kwa bahati, mke na watoto hawakuwepo nyumbani moto ulipotokea.


Marehemu alizaliwa 1978, na ameacha mke na watoto wawili, miaka 4 na miaka 2.


Zoezi linalofanyika sasa ni kuchanga na kukusanya pesa za kutoha ili tuweze kumsafirisha marehemu kurudi nyumbani Tanzania. Tunataka pia kumsafirisha mke na watoto ili waweze kuhudhuria mazishi.


Kwa kuwa nyumba ya marehemu imeungua, nguo za familia na vifaa ndani ya nyumba vimeteketea. Tunaomba watanzania ambao tunaishi hapa Wichita tuweze kukusanya na kuwasaiadia watoto kwa nguo na vifaa mbalimbali ili angalau tuwapunguzie mzigo huo katika kipindi hiki kigumu.

Account maalum imefunguliwa Bank Of America:
Account Number 518002076799.
Name of Acct ni Lunda Asmani.

Kutokana muda mfupi, hatujaweza bado kusajili Memorial Fund ya marehemu. Kwa wale tuliopo Wichita msiba upo nyumbani kwa

Abel Chamriho, 801 S. Christine.


Tunaomba kila Mtanzania atoe $100.00 (minimum), kabla ya Jumatano May 14, 9pm. Kule Tanzania wameshaanza msiba na macho yote yako kwetu sisi marafiki na ndugu tuliopo Marekani ili tuweza kumfikisha mwenzetu nyumbani Tanzania.


Kila siku kutakuwa na kikao saa tatu usiku ( 9pm) hapo msibani.


Tafadhali tunaomba kila Mtanzania ajiandikishe kwenye daftari la michango.


Nashukuru kwa ushirikiano wako.


Map and Directions


801 S Christine St

Wichita,

KS 67218-2635

Kwa taarifa zaidi fungua

www.tawichita.net
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
EK FOOTWEAR COLLECTION

EK FOOTWEAR COLLECTION for Ladies & Gents ni duka linalotingisha jiji kwa sasa kwa viatu bomba vya kike na vya kiume kutoka Spain, USA na UK.
Duka hili lipo ndani ya Benjamin William Mkapa Towers (Zamani Mafuta House) ghorofa ya chini.
kwa habari zaidi picha simu namba:
+255 22 5509 048
ama
+255 773 264 243
kazi kwenu...
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
ze fulanazzz + ze mikonozzz
niko na anko zangu hivi karibuni kwenye mnuso fulani hivi...najua nitashambuliwa lakini mie kumeng'enyua kiinglishi kwa kimatumbi sijui. sasa wajomba niwaiteje? na baba ama mama mdogo nao niwaiteje- smoo faza ama smoo maza? msaada tutani wadau....
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 24
carl masters wa sullivan atua bongo

mwenyekiti wa mikutano ya sullivan balozi carl masters akiongea na waandishi asubuhi hii hoteli ya kempinski kilimanjaro juu ya mkutano wa nane wa sullivan utaofanyika a-taun wiki ya kwanza ya mwezi ujao. kulia ni mkurugenzi wa habari wa taasisi ya sullivan nichet smith.
balozi masters amesema amefurahishwa sana na maendeleo ya maandalizi ya mkutano huo ambapo sasa yamefikia asilimia 90, na akasema kila mtu anakaribishwa kushiriki kwani madhumuni yake ni ya kuwakutanisha wamarekani weusi wapatao 3,000 watakaokuja na wabongo katika nyanja mbali mbali.
amesema ana uhakika mkutano huo sio tu utakuwa wa kukumbukwa bali pia utakuwa ni 'mama wa mikutano yote iliyotangulia' ambapo leo zimesalia siku 19 tu kabla ya huo mkutano.
kwa wanaotaka kujisajili kwenye tovuti fungua www.thesullivansummit.org au www.thesullivansumit.org/summit na fuata maelekezo
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
saa ya furaha ya mabenka

 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
TPN SEMINAR
SEMINAR: FINANCIAL EMPOWERMENT FOR PROFESSIONALS
Date and Time: Thursday, 22nd May 2008 from 5.00 PM to 8.00 PM.
Starts 5.00 PM Sharp

Venue: British Council, Junction of Ohio/ Sokoine Drive (Opposite Steers)

Target Group: All professionals, Graduates and Entrepreneurs

Fees: TZS 15,000 for Registered Members and
TZS 20,000 for Non-Registered Members

Main Speaker: Mr. Deus Manyenye, Financial and Banking Analyst and Expert in SME Sector for more than 10 Years.

Panelist: Mr. Sekou Toure Mndeme; Felix Mlaki, Joseph Kihulla, Gabriel Kitua
- The Experts in Financial and Banking Sectors for more than 10 Years

Other Activities: Registration of New TPN Members. Certificates of attendance of the last Seminar on “Practical Entrepreneurship for Professionals” will be issued.

Extras: Soft copies of Presentations will be given on CD-ROM. Also writing pads and pens will be given.
Tea/Coffee and bitings will be served.

This is the best opportunity for meeting other professional and for business networking. To obtain your receipt participation contact:
0754 277 335,
0713 201 204,
0762 299 012 or
For more information visit our site: www.tpn.co.tz
or tune to a Radio Programme “IJUE TPN”
every Monday from 8.15 PM
at Mlimani FM Radio 106.5
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
jamboforums yabadili jina
Habari zimetina sasa hivi kwamba JamboForums.com kwa sasa inajulikana kama JamiiForums.
Yaani anayehitaji kwenda huko aende www.JamiiForums.com
na mnaambiwa kwamba wote mnakaribishwa.

 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
libeneke ubelgiji
baadhi ya wadau walioko ubelgiji wakiselebuka na segele.
Hii ni siku ambayo Jumuiya Watanzania Wanasoma na Waishio Leuven, Belgium, walipofanya shughuli ya Kiutamaduni Katika Ukumbi wa "Zaal Pacem, Halelandstraat 14, 3012 Wilsele Dorp.

Shughuli hiyo ilijulikana kama: USIKU WA MTANZANIA NA KUTUNISHA MFUKO WA MIKUMI [MIKUMI-BENEFIT DINNER & PARTY] NA KUFANYIKA TAREHE 03 MAY 2008. Mgeni rasmi alikuwa balozi wetu Mh. Mlay

Ilihusisha shughuli za kiutamaduni na mila za Mtanzania katika kuandaa vyakula vya kitanzania mbalimbali, Mavazi, ngoma zetu, muziki wetu na Utumiaji wa Lugha yetu ya Kiswahili. Hili lilikuwa tukio la aina yake katika kujaribu nasi kutumia nafasi hii kuitangaza nchi yetu katika mwaka 2008.
 
© Michuzi | Wednesday, May 14, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
Tuesday, May 13, 2008
libeneke la salamu lirejeshwe?
wadau kunradhi,

nimepata email nyingi zikinitaka nirejeshe tena zoezi la wadau kutuma salamu na picha kwenye globu yetu ya jamii. zoezi lilisitishwa baada ya baadhi ya wadau kuanza kamtindo ka kutuma picha ambazo sio zao na wengine kutuma picha bila idhini ya wenye nazo na kusababisha hali ya hewa kuchafuka.

mie ni mtumishi wenu na nasikiliza nini mnanituma. kwa hiyo naomba kuuliza kama turejeshe tena hilo zoezi ambalo kwa namna fulani huwa gumu kujua endapo picha na salamu zilizotumwa ni za mleta ujumbe.

hii imekaaje nami hupenda sera ya wengi wape. nasubiri amri yenu wadau na maelekezo ya nini kifanyike kuendeleza libeneke hilo ambalo hata mie nakiri lina raha yake kama maadili yatafuatwa.

naomba kuwasilisha...
-Michuzi
 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 73
crdb yaupiga jeki mkutano wa sullivan
waziri wa mambo ya nje na ushirikiani wa kimataifa mh. bernard membe akimshukuru bosi wa benki ya crdb dk. charles kimei kwa mchango wa dola 100,000 ambazo benki hiyo imetoa katika kusaidia maandalizi ya mkutano wa sullivan unaofanyika wiki ya mwanzo ya mwezi ujao huko a-taun. kulia ni mratibu wa kiten go cha sullivan wizarani humo, mama shamim nyanduga. mengi kuhusu mkutano huo nenda http://www.thesullivansummit.go.tz/

samahani wadau, ulimi hauna mfupa. awali niliandika peter kwa makosa. kunradhi kwa usumbufu.
 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 16
mazishi ya kaka'ake mzee ruksa
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwasalimia waombolezaji katika msikiti wa Yombo Makangarawe wilayani Temeke kabla ya mazishi ya Mzee Chande Ali Hassan Mwinyi , kaka yake Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi (kushoto)yaliyofanyika Yombo Makangarawe
 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
jk azindua mv misungwi

JK akikata utepe kuzindua kivuko cha MV Misungwi cha Kigongo-Busisi ambacho kitakuwa kikiwaunganisha wakazi wa Mwanza, Sengerema na Geita katika kurahisisha kazi zao za kuchumi za kila siku. Kivuko hicho kipya, kina uwezo wa kubeba abiria 1000, magari 36 na kina tani 400.

 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
pop idols

Idols: Group Two Sets The Stage Alight!


The second Idols Top 24 group performed on M-Net (DStv Channel 101 / 102) on Sunday May 11 – and showed that the world better watch out, because the next international singing sensation is definitely coming from Africa.


The judges – having handed the power of contestant choice over to the viewers – were again joined by contestant mentor Kawesa Richard. Powerhouse performances by Penjani Ng’uni, Katungulu Mwendwa, Trinah Chisanga, Alice Chinyimba, Faycal Birikunzila and Irenne Njuguna showed the continent that this is going to be a seriously hot season of Idols!


24 year-old Tanzanian Penjani jump-started the night with an enormous song – Celine Dion’s It’s All Coming Back to Me. The judges seem to believe she has talent, but all three commented on the lack of clarity in her voice with Angela warning that although she had seamless high and low register, she needed to watch out for letting her warbling ‘runs’ ruin her performance.


Kenyan local Irenne tackled another Celine Dion hit, Declaration Of Love. TK thought she did pretty well, but both he and Scar expected more from her, with Scar proclaiming that he was waiting for the “WOW!” feeling, but didn’t get it. Angela was also a little disappointed, not doubting Irenne’s talent, but wishing she had done more with the song.


Zambian Trinah was up next with the Leo Sayer classic When I Need You – and the judges were united in their praise - TK liked the way she maintained her pitch and Angela called her “amazing!” Scar even seems to be a fan, sharing the fact that she gave him goose pimples!


Katungulu, the second Kenyan lady to take the stage, energetically belted out Gloria Estefan’s Rhythm of the Night. TK liked her dancing, but thought that her vocals weren’t particularly smooth. Angela thought she chose a fun song, but that it didn’t showcase her voice properly. Scar was lukewarm, though, as he felt he couldn’t hear a lot of what she was singing.


Alice, who originally auditioned in her hometown of Lusaka, Zambia, tackled The Corrs’ Dreams. TK thought it was an interesting song choice, while Angela praised her energy despite feeling that she was “thinking too much”.


Scar again felt that he couldn’t hear her particularly clearly – and that she didn’t convey the song’s main themes. One of the few remaining boys in a competition which the girls are rapidly taking over – 25 year-old Ugandan Faycal – closed out the night with Queen’s Crazy Little Thing Called Love.
The judges all thought he would manage to charm ladies across the continent – particularly because he looked like he was enjoying the song. Angela felt it wasn’t his best performance, but that his charisma would help convince the voters.
Mentor Kawesa Richard offered his thoughts on the evening as the contestants were assembled on stage for the final time, proclaiming Trinah as his favourite on the night. Penjani and Katungulu were the performers with the most potential, but he didn’t feel any connection with Irenne.
With audience voting deciding who will make it through to the TOP TEN from Group Two, all eyes are now focussed on Group 3 whose performances will be screened on M-Net and/or AfricaMagic on Sunday May 18.
So make a date and tune in!
 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
ushiriki kwenye mkutano wa sullivan arusha

MKUTANO WA NANE WA LEON H. SULLIVAN
ARUSHA, JUNI 2-6, 2008

Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano uliotajwa hapa juu.

Mkutano huo utawakutanisha Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka bara la Afrika, Wafanyabiashara mbalimbali, Vikundi vya Kijamii na Mashirika yasiyo ya Kiserikali, kwa lengo la kujadili changamoto za bara la Afrika na kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi yetu na bara la Afrika kwa ujumla.

Mkutano huu utajadili maendeleo ya miundombinu na utalii, kuweka mikakati endelevu ya hifadhi ya mazingira na kutoa fursa kwa wajasiriamali wa bara la Afrika and wenzao duniani kote kuwekeza katika sekta mbalimbali za uchumi.


Kila mmoja wetu kwa nafasi yake awe tayari kuwakaribisha wageni wetu kwa ukarimu tuliouzoea na kushiriki kikamilifu katika Mkutano huo.


AINA ZA USAJILI
Kuna aina mbili za usajili ambazo ni

MSHIRIKI KAMILI (Full delegate) ambaye atapaswa kulipa $500 au Tshs 575,000 na atakuwa na nafasi ya kushiriki mikutano yote, chakula na hafla/shughuli mbalimbali za mkutano .

MSHIRIKI WA MIKUTANO TU ambaye atapaswa kulipa $20 au Tshs 23,000 (kwa Watanzania) na $50 au Tshs 57,5000 (kwa wajumbe wengine toka Bara la Afrika) kuingia kwenye mikutano yote bila ushiriki wa shughuli nyingine na chakula.

Mtu atakaetaka kujiandikisha anatakiwa awe na kitambulisho halali (cha uraia, pasipoti, kitambulisho cha kupigia kura, kitambulisho cha kazi, au benki, n.k.

NJIA ZA MALIPO
Malipo yanaweza kufanyika kwa fedha taslimu za Tanzania au Dola za Kimarekani, hundi ya benki au ‘credit card’ hadi tarehe 20 Mei, 2008 au kwa kufika Ofisi za Sekreteriet ya Mkutano wa Nane wa Leon H. Sullivan, jengo la AICC, Ngorongoro Wing, Ghorofa ya 7.

Kwa watakaojisajili kwenye tovuti,
tafadhali fanya malipo kwenye benki yoyote ya CRDB akaunti ya TAASISI YA LEON H. SULLIVAN

AKAUNTI NAMBARI:
01J1036024600
kwa malipo kwa fedha ya Tanzania

02J1036024600
kwa malipo ya fedha za kigeni

TAFADHALI TUNZA RISITI YAKO ILI IWEZE KUTUMIKA KUTHIBITISHA MALIPO YAKO NA KUKUWEZESHA KUPATA KITAMBULISHO CHA KUINGIA KWENYE MKUTANO

Kwa maelezo zaidi, tafadhali piga simu namba

+255 22-2110185
+255 27-2050118
------------------------------------------------------------------------------------------------

THE 8TH EDITION OF THE LEON H. SULLIVAN SUMMIT
ARUSHA, 2ND-6TH JUNE, 2008

Tanzania is honoured to host the 8th Edition of the Leon H. Sullivan Summit, in Arusha from the 2nd to the 6th of June, 2008.

Scheduled to take place at the Arusha International Conference Centre, the 8th Leon H. Sullivan Summit promises to become, The Summit of a Lifetime.

The Summit is expected to involve various Heads of State and Government, Civil Society Organisations, Non Governmental Organisations, members of the world business community, the academia and individuals from all walks of life in discussing the challenges of the continent, untapped opportunities and how to use them prudently for holistic and sustainable development of the Continent.

The Summit will focus on Tourism and Infrastructure Development, enhancing Africa’s investment environment by strengthening the bridge between the continent and the Diaspora and Environmental conservation.

With customary hospitality, Tanzanians will participate in the 8th Edition of the Leon H. Sullivan Summit.

Two registration options are open to would be delegates

Full Delegate Registration @ USD 500 or Tshs 575, 000
This fee will entitle the delegate full access to all official Summit events (plenary and forums), all official summit meals as well as summit registration material

Delegate Registration @ USD 20 or Tshs 23,000 for Tanzanians and USD 50 for 57, 500 for delegates from the rest of the African continent
This fee will entitle the delegates access to all Summit plenary and forum sessions ONLY.

A valid identification (National Identity card, Voter Registration card, International Passport or Drivers License) must be provided to verify residency, register or receive materials.

METHOD OF PAYMENT
Payment of the registration fee can be effected by cash either in US Dollar, Tanzanian Shillings, Credit Card, Money Order or Bank Draft up to May 20, 2008 or by visiting the 8th Leon H. Sullivan Summit Secretariat Offices, AICC building, Ngorongoro Wing, 7th Floor

Registration on line at
must be accompanied by payment at any CRDB Bank branch into the account of the LEON H. SULLIVAN FOUNDATION

ACCOUNT NUMBERS:
01J1036024600 for payment in Tanzanian shillings.
02J1036024600 for payment in Foreign Currency

KINDLY, KEEP YOUR PAYMENT SLIP SAFE AS IT WILL BE USED TO VERIFY PAYMENT & ISSUE DELEGATES IDENTITY CARDS FOR THE SUMMIT.

For further assistance, kindly call:
+255 22-2110185
+255 27-2050118
 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
wiki ya teknohama yaanza dar
waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa mh. dk. hussein mwinyi (shoto) akisikiliza maelezo toka kwa mmoja wa wafanyakazi wa vibanda vya maonesho baada ya kuzindua wiki ya teknolojia ya habari na mawasiliano (teknohama) leo katika ukumbi wa diamond jubilee hall. makampuni ya umma na binfasi kibao yanashiriki katika maonesho hayo

 
© Michuzi | Tuesday, May 13, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
Monday, May 12, 2008
pinda akutana na viongozi wa maalbino
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Viongozi wa Chama cha Maalbino Tanzania, ofisini kwake jijini Dar es salaam leo. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Chama hicho, Ernest Kimeya.
 
© Michuzi | Monday, May 12, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
dk. maua daftari afiwa na mumewe
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akiongoza sala ya Maiti ya kumsalia Marehemu Mzee Juma Omar Juma Mume wa Naibu waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Mh. Mauwa Daftari aliyefariki dunuia usiku kuamkia leo nyumbani kwake Mtaa wa Bongoyo Oysterbay jijini Dar. wa kwanza shoto ni Makamu mwa Rais Dk. Ali Mohamed Shein.
Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akimfariji Naibu Waziri wa Mawasiliani Sayansi na Teknoloji Mh. Mauwa Daftari aliyefiliwa na Mumewe huko Nyumbani kwake Oysterbay Dar
 
© Michuzi | Monday, May 12, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 15
joseph aondoka

Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akimshindikiza Rais wa Jamhuri ya watu wa Kongo Mh. Joseph Kabila aliekuwepo Nchini kwa ziara ya kikazi
 
© Michuzi | Monday, May 12, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
injini kiuno mitumba
mitumba ya injini kiuno nayo inakuja kibao hapa bongo. sasa sijui wataalamu wanasemaje linapokuja swala la bongo kuwa dampo la kila kitu chakavu toka ughaibuni

 
© Michuzi | Monday, May 12, 2008 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7