Bwawa la Maini linaelekea kujaa matope, bado dakika 5 na jamaa zako wasipokomaa hizi dakika za majeruhi Liver mtakuwa mmejitoa rasmi kwenye kinyang'anyiro cha Ligi Kuu ya Uingereza!
fungua hiyo link ya http://www.myafricanfootball.com then SIGN UP, wanakutumia e-mail yenye password unayotumia kufungua na kucheki LIVE.
Unachagua mechi ktk ya TZ Vs Zambia au Ivory Coast vs Senegal.Kitu kipi LIVE, mi naangalia hapa...na nimefungua two windows, hivyo naona zote mbili kwa wakati mmoja, ya Tanzania, na pia ya Ivory Coast...kote bado ngoma draw, na ni half-time
Bwana MICHUZI asante sana! Leo kwa mara ya kwanza maishani nimeweza kuiona TAIFA STARS ikicheza live! KWA SASA SITATOA MAONI YANGU JUU YA WACHEZAJI LAKINI NAKUSHUKURU KWA KUNIWEZESHA KUONA!
Baba Ubaya(Chifu Ofu Difensi,Michuzi Blog)
Anasema:
mwana wa mbuzi ..............,kisicho riziki...........,sikio la kufa........and many more phrases might be said lkn vijana wamejitahidi kadri ya uwezo wao "kibongo bongo".
sijaangalia kandanda ya Africa for some years lkn kama game zingine ndo zinachezwa kama hii basi Africa kazi tunayo.si kwamba ni Staz pekee bali hata Zambia wako hovyo.ktk dkk 90,nadhani jumla ya dkk takriban 30 zinapotea kwa mipira kuwa nje(goli kiki,kona,kurushwa) na hapo bado fouls. yani game ilikuwa inachezwa "kimchangani" mno.
Aaaaaah poleni vijana wa JK. Habari ndio hiyo. Inabidi tuwe wapole tu maana Mungu wa Wazambia ndio Mungu wetu sote. Leo zamu yao kuingia 1/4 fainali, sisi zamu yetu michuano mingine.Bado tuna safari ndefu ya kujifunza.
Lack of experience in tactics..Maximo alistahili kutomaliza substitutions zote ili kipindi kama cha dakika zile 5 za nyongeza angepata muda wa angalau kupoza mchezo kwa kufanya mabadiliko. Tumemsindikiza njiwa hadi karibu na banda,bahati mbaya tukajaribu kama anaruka au haruki!kilichotokea.... But all in all,congratulation Maximo and squad yako,wadhamini,na wadau wote,hakika bahati haikuwa yetu.Tusikate tamaa huo ni mwanzo tu, progress is a slow process, next time we will do, no trial anymore! NB Hakuna kizuri kisicho na kasoro,kila mtu ana haki ya kupongeza na kutoa kasoro,so wale watakaomtoa kasoro Maximo ruksa, wale watakao msifu ruksa pia. Cha muhimu watanzania ni kuelewa kwamba wanaosifia na wanaotoa kasoro wote wanamapenzi mema, na leongo lao ni kuboresha! You can work alone! unless there is no Middlesbrough along the way with Tuncay weapon! bang!
wadau habari zenu well stars wamejitahidi sannna... na ninaamini kwamba from the performances that we showed during our short stay in Ivory Coast, wachezaji wataenda nje....
Mdau bwawa la maini
Baba Ubaya(Chifu Ofu Difensi,Michuzi Blog)
Anasema:
TUNASHUKURU SANA KWA LINK HII, HII HAINA ZENGWE HATA KIDOGO.
LEO WIMBO WA TAIFA WA TANZANIA NA ZAMBIA UNAFANANA KWA ASILIMIA KUBWA, HIVYO TUTAIMBA NYIMBO ZOTE KIUJIRANI MWEMA KWABLA HATUJAWAFUNGA.
USHINDI DAIMA.
MDAU
MAKULILO Jr,
Hawa sidhani kama wanaonyesha live,labda kama kuna link nyingine
Mithupu,
Bwawa la Maini linaelekea kujaa matope, bado dakika 5 na jamaa zako wasipokomaa hizi dakika za majeruhi Liver mtakuwa mmejitoa rasmi kwenye kinyang'anyiro cha Ligi Kuu ya Uingereza!
I'm ron in us -- mdau nashukuru sana kwa link hii -- naangalia game
thanks a lot
MICHUZI --- thanks as well
fungua hiyo link ya http://www.myafricanfootball.com then SIGN UP, wanakutumia e-mail yenye password unayotumia kufungua na kucheki LIVE.
Unachagua mechi ktk ya TZ Vs Zambia au Ivory Coast vs Senegal.Kitu kipi LIVE, mi naangalia hapa...na nimefungua two windows, hivyo naona zote mbili kwa wakati mmoja, ya Tanzania, na pia ya Ivory Coast...kote bado ngoma draw, na ni half-time
MAKULILO Jr
Michuzi naomba matokeo ya mechi ya Liverpool na Boro maana mie sina TV!
wajameni hiyo link mbona haina dezo?wengine ha2na vijisenti sasa hapo itabidi tusikilize redioni tu.teh teh!!!!!
Bwana MICHUZI asante sana!
Leo kwa mara ya kwanza maishani nimeweza kuiona TAIFA STARS ikicheza live!
KWA SASA SITATOA MAONI YANGU JUU YA WACHEZAJI LAKINI NAKUSHUKURU KWA KUNIWEZESHA KUONA!
sorry wadau,kumbe uki-ignore mambo ya vijisenti still unaweza kuona game live.thanks Midikodiko kwa link hii.
http://www.africanhive.com/home/tz_zam.html
mdau Makulilo naomba utupatie matokeo.
1/8th final round
GROUP A
02-22-2009 Cote d'Ivoire 0 - 3 Zambia
02-22-2009 Senegal 1 - 0 Tanzania
02-25-2009 Zambia 0 - 0 Senegal
02-25-2009 Tanzania 1 - 0 Cote d'Ivoire
02-28-2009 Cote d'Ivoire 0 - 0 Senegal
02-28-2009 Zambia 0 - 0 Tanzania
Group A
Team MP W D L GF GA GD Pts
Zambia 3 1 2 0 3 0 3 5
Senegal 3 1 2 0 1 0 1 5
Tanzania 3 1 1 1 1 1 0 4
Cote d'Ivoire 3 0 1 2 0 4 -4 1
bila bila mechi zote tunarudi nyumbani, hata hivyo vijana wamejitahidi sana
Tanzannia 1 zambia 0
N'gombe wa masikini hazai kwa kweli
dakika ya 88 shadrak nsajigwa kapiga bao kwa penati...le's hope stay the same...
Tembelea www.lsport/ly or www.goalzz.com
leo najua hatupati habari yoyote.... usijali kaka michuzi bado game zipo nyingi... BWAWA LA MAINI OYEEEE...hahahaha
shukrani sana kwa link hii ilikuwa imetulia hasa...
Mdau
Thessaloniki
mwana wa mbuzi ..............,kisicho riziki...........,sikio la kufa........and many more phrases might be said lkn vijana wamejitahidi kadri ya uwezo wao "kibongo bongo".
sijaangalia kandanda ya Africa for some years lkn kama game zingine ndo zinachezwa kama hii basi Africa kazi tunayo.si kwamba ni Staz pekee bali hata Zambia wako hovyo.ktk dkk 90,nadhani jumla ya dkk takriban 30 zinapotea kwa mipira kuwa nje(goli kiki,kona,kurushwa) na hapo bado fouls.
yani game ilikuwa inachezwa "kimchangani" mno.
Wadau, mbona huku Dublin tumejisajili lakini hakuna game wanasema video haipo available tucheck time?Makulilo Jr umeipataje mwanawane?
Zambia 1 Tanzania 1
Senegal 0 Cote De Voire 0
Senegal na Zambia wasonga kwa pointi 5 kila mmoja na Tanzania kupata jumla ya pointi 4.
Source: CAFonline.
Aaaaaah poleni vijana wa JK. Habari ndio hiyo. Inabidi tuwe wapole tu maana Mungu wa Wazambia ndio Mungu wetu sote. Leo zamu yao kuingia 1/4 fainali, sisi zamu yetu michuano mingine.Bado tuna safari ndefu ya kujifunza.
Mdau
Cardiff
Lack of experience in tactics..Maximo alistahili kutomaliza substitutions zote ili kipindi kama cha dakika zile 5 za nyongeza angepata muda wa angalau kupoza mchezo kwa kufanya mabadiliko.
Tumemsindikiza njiwa hadi karibu na banda,bahati mbaya tukajaribu kama anaruka au haruki!kilichotokea....
But all in all,congratulation Maximo and squad yako,wadhamini,na wadau wote,hakika bahati haikuwa yetu.Tusikate tamaa huo ni mwanzo tu, progress is a slow process, next time we will do, no trial anymore!
NB
Hakuna kizuri kisicho na kasoro,kila mtu ana haki ya kupongeza na kutoa kasoro,so wale watakaomtoa kasoro Maximo ruksa, wale watakao msifu ruksa pia. Cha muhimu watanzania ni kuelewa kwamba wanaosifia na wanaotoa kasoro wote wanamapenzi mema, na leongo lao ni kuboresha!
You can work alone! unless there is no Middlesbrough along the way with Tuncay weapon! bang!
dah! kweli mpira ni hadi umalizike yaani draw imetutoa , mpira umekwisha na TANZANIA 1 na ZAMBIA 1,imeniuma sanaaa
Michuzi leo anauguza kotekote, ila ndiyo mpira huo. Liverpool katungwa na starz tumeaga mashindano kiulaini kama tunanawa vile
wadau habari zenu
well stars wamejitahidi sannna... na ninaamini kwamba from the performances that we showed during our short stay in Ivory Coast, wachezaji wataenda nje....
Mdau
bwawa la maini
Staz leo wamecheza kama Livarpool na ndo maana wameshindwa kutoka na ushindi.Zambia deserved it,ingawa nao bado wapo wapo 2.
Bwawa la Maini, Hovyooooo!!!!!!!Atleast Rick Parry will leave hivyo msimu ujao tutasajiri wale wenye akili timamu na kuwauza kina Kuyt Mdebwedo.
"LFC 4 LIFE"