RUSHWA waziwazi kweli bongo soo yaani askari hapo anapokea mshiko wake bila ya noma, swali langu ni kwako wewe Michuzi au mtu aliyepiga hii picha, je umefanya nini kuhakikisha huyu askari anafikishwa kwenye vyombo vya sheria?? au hata mkimpeleka kwenye vyombo vya sheria hatochukuliwa hatua zozote?
Yani anapokea rushwa hadharani tena mbele ya watoto, mungu ainusuru hii nchi, halafu unaweza kukuta huyo askari bado yupo huru akiendelea na mchezo huu huu!
Mkono mtupu hausalimiwi yakhe. Hawa ndiyo wanaendekeza uvunjaji wa sheria barabarani kwa njaa zao.
Hebu serikali sasa ifikirie kuwalipa na hawa jamaa wanaobeba dhamana ya kusimamia sheria angalau hata robo ya watunga sheria, huenda watapata moyo wa kuzisimamia vizuri badala ya kuzivunja
Huyo afande vp? hapo wala hawasalimiani bali anachukua pesa ya vocha kama 1000/= au 2000/=hv, ndo rushwa zao hawa jamaa. hawapendi dereva mwenye makosa kumwandikia faini ambayo ni 20,000/= kwa kila kosa, na pesa kwenda serikalini.
Ninayeandika ni mimi mwenyew traffic polisi ninayepokea anwani ya huyu dereva, jamaa yangu ambaye tunatoka kijiji kimoja, ananipatia namba yake ya simu. Ndugu yangu kwa nini uwe na mawazo ya kuwuawa katika nchi yetu ta Taznaia ya uwazi na ukweli. Kama nikiona unanione kwa uzushi nami si nakuvuruta mahakani ninadai fidia ya shilingi moja.. Jamani tupendane watanzania!
kwa taarifa yenu huyo jamaa alikuwa akipewa hongo.icho ni kitu cha kawaida huwa wanajifanya kusalimiana kumbe anafinyanga noti na kumpa,ilikuwa hongo ile mkae mkijua
Hivi wananchi wa kawaida tunatoa wapi ujasiri au haki ya kulalamika kama sisi wenyewe tutatoa au kupokea rushwa? Hakika dereva huyu akifanikiwa siku moja kuwa na mabasi yake ndiye atakaehonga kupindisha kesi ya basi lake litakaloua watu 30 na kujeruhi wengi wengine kwenye ajali Kitonga, na huyo traffic wa kawaida wa barabarani ndiye atakaekuwa Regional Traffic Officer (RTO)mkoa wa Iringa atakaemsaidia wakati huo na siku moja huyo RTO atapenda cheo taratibu hadi kuwa IGP- na atakayoweza kuyafanya huko kwa ukubwa wa madaraka atakayokuwa nayo yanatisha. Isitoshe huyo dereva atafanikiwa siku moja kuwa na mabasi mengi tu ambayo atayaingiza nchini kinyemela bila kuyalipia ushuru.Wakifika ngazi hizo tutaanza kulalamika 'Oh mafisadi'. Lakini ufisadi umeshaanza katika tabia zao sasa.Kila mmoja wetu ana wajibu kupigana na ufisadi kwa kujichunguza kwanza kabisa yeye mwenyewe.Hivi haiwezekani watanzanai tukafanya mgomo wa wiki moja tu ya kukataa kutoa rushwa popote pale (barabarani, mahakamani, polisi, TAKUKURU, ofisi ya ardhi n.k)kwa wiki moja alafu tuangalie mambo yanakuaje? Vinginevyo mnawalalamikia Manji, Rostam na wengine nini wakati wanchokifanya ni kile kile ambacho na sisi tunafanya kwa ngazi zetu za chini kwa kutumia udhaifu wetu? Michuzi itisha mgomo wa kutoa rushwa wa walau wiki moja kwa kutumia blog hii na vyombo vingine vya habari vitakavyokuunga mkono, tuone itakuwa vipi.
Michuzi ameweka alama za nukuu kwenye maneno "salimiana" akiwa ana maanisha kwamba sio kusalimiana. Wao ndio wanajifanya wanasalimiana.
Kwa hiyo wadau wote hapo juu mliong'ang'ania kutueleza kwamba jamaa anachukua rushwa, that is obvious, hakuna aliyesema wanasalimiana. Hebu eleweni Michuzi mwenyewe alivyoiandika hivyo "wanasalimiana." Duuuu kaazi kweli....
Wacha wachukue hongo MSHAHARA ni mdogo. Serikali imeshindwa kuwahudumia wafanyakazi wake. Sioni tatizo hii ni kama njia nyingine ya kujipatia kipato hana tofauti na mtu anayefanya biashara huku akiwa ni mtumishi wa serikali.
Tunaweza tukafikiri labda anapewa mchango wa harusi au kitu kama hicho. LAKINI body language za askari na dereva zinawasuta. Kijana aliye dirishani ni shahidi. Nimesikia hizi rushwa lazima upeleke mgawo kwa bosi, naye napeleka kwa wajuu yake mpaka JUU kabisa zinafika. Usipotoa ushirikiano unahamishwa kituo, au kunyang'anywa gari/pikipiki.
Hii sasa kali yaani mchana kweupe hata haogopi!!! huku Arusha bwana mihuzi trafic anakusimamisha anatafuta kosa kwenye gari lako akikosa utasikia "nipe basi hata ya chai tu sijaamka kabisa leo" sijui kama watu wengine walishakutana na hili ila ukweli jeshi la polisi tanzania linahitaji marekebisho makuba sana!!!
HONGERA SANA BWANA MICHUZI KWA PICHA HII NAAMINI UMEFIKISHA UJUMBE,LAITI KUNGEKUWA NA BLOG TATU ZIAMUE KUREKEBISHA SERIKALI NAAMINI INGESHTUKA
Nimemuomba Mkuu wa Wilaya ya nanhii aitishe mgomo wa'kusalimiana'lakini matokeo yake amegoma kuitisha mgomo! Eti anasema yeye akale wapi, maana mgomo ukiitikiwa vizuri atapata wapi picha tamu kama hii? Basi next time Mkuu wa wilaya tupatie na namba zao wanazovaa kwenye magwanda- zoom in kwenye kale kasilva badge kale alafu kachang!
Kwa uchunguzi wangu ndani ya jeshi la polisi kitengo cha usalama makao makuuu hii picha ilikuwa ktk gazeti la mwanachi kwa mara ya kwanza na huyu afande mhusika hapa alikuwa anatoa risiti ya faini alio mpa huyu dereva wa daladala kwa makosa alio tenda kinyume cha sheria za barabarani na askari huyu baada ya uchunguzi anaendelea na kazi yake kama kawaida mimi nipo nje ya nchi lakini kawaida yangu sitoi maelezo bila uchunguzi asante wananchi mdau stellenbosch western cape SA
Hakuna salam hapo, afande anapokea sumu hapo. kwa utaratibu huu atufiki, mshikaji anapokea mrungula hadharani
Kaka unaharibu kazi za watu hapo live..Watoto watakula nini kakaaa!
anachukuwa hongo huyo
Huyu anachukua kitu kidogo, hakuna cha kusalimiana hapo!
Wanasalimiana au wanapeana karanga kiasi cha huyo abiria kunusa harufu ya karanga zenyewe zilizokaangwa?
Hapo mbona kama askari anapokea kitu kidogo au macho yangu!!
RUSHWA waziwazi kweli bongo soo yaani askari hapo anapokea mshiko wake bila ya noma, swali langu ni kwako wewe Michuzi au mtu aliyepiga hii picha, je umefanya nini kuhakikisha huyu askari anafikishwa kwenye vyombo vya sheria?? au hata mkimpeleka kwenye vyombo vya sheria hatochukuliwa hatua zozote?
Yani anapokea rushwa hadharani tena mbele ya watoto, mungu ainusuru hii nchi, halafu unaweza kukuta huyo askari bado yupo huru akiendelea na mchezo huu huu!
Michuzi! Je unajua ni watu wangapi wamepoteza maisha?
yaani huyu Afande back yupo mwenye kazi yake? Hana aibu kabisa. Yaani happo ni kweupe mno
Tanzania rushwa aiishi yaani hata tufanyeke
Huo mkono lazima aulambe....Si unajua mkono mtupu haulambwI! Michuzi kulikoni?
Mkono mtupu hausalimiwi yakhe. Hawa ndiyo wanaendekeza uvunjaji wa sheria barabarani kwa njaa zao.
Hebu serikali sasa ifikirie kuwalipa na hawa jamaa wanaobeba dhamana ya kusimamia sheria angalau hata robo ya watunga sheria, huenda watapata moyo wa kuzisimamia vizuri badala ya kuzivunja
Huyo afande vp? hapo wala hawasalimiani bali anachukua pesa ya vocha kama 1000/= au 2000/=hv, ndo rushwa zao hawa jamaa. hawapendi dereva mwenye makosa kumwandikia faini ambayo ni 20,000/= kwa kila kosa, na pesa kwenda serikalini.
Kesho utamkuta barabarani kama kawa na aibu wala ethics hamna...
Ninayeandika ni mimi mwenyew traffic polisi ninayepokea anwani ya huyu dereva, jamaa yangu ambaye tunatoka kijiji kimoja, ananipatia namba yake ya simu. Ndugu yangu kwa nini uwe na mawazo ya kuwuawa katika nchi yetu ta Taznaia ya uwazi na ukweli. Kama nikiona unanione kwa uzushi nami si nakuvuruta mahakani ninadai fidia ya shilingi moja.. Jamani tupendane watanzania!
kwa taarifa yenu huyo jamaa alikuwa akipewa hongo.icho ni kitu cha kawaida huwa wanajifanya kusalimiana kumbe anafinyanga noti na kumpa,ilikuwa hongo ile mkae mkijua
Afu bado unabisha.Bongo we acha tuuuuuu
ni mimi naona vibaya au/ hiyo body language....mhhhhh ...naona kama anakatiwa kitu kidogo vile.
I hope I'm so wrong
Mh alikuwa anapewa leseni?
Hivi wananchi wa kawaida tunatoa wapi ujasiri au haki ya kulalamika kama sisi wenyewe tutatoa au kupokea rushwa? Hakika dereva huyu akifanikiwa siku moja kuwa na mabasi yake ndiye atakaehonga kupindisha kesi ya basi lake litakaloua watu 30 na kujeruhi wengi wengine kwenye ajali Kitonga, na huyo traffic wa kawaida wa barabarani ndiye atakaekuwa Regional Traffic Officer (RTO)mkoa wa Iringa atakaemsaidia wakati huo na siku moja huyo RTO atapenda cheo taratibu hadi kuwa IGP- na atakayoweza kuyafanya huko kwa ukubwa wa madaraka atakayokuwa nayo yanatisha. Isitoshe huyo dereva atafanikiwa siku moja kuwa na mabasi mengi tu ambayo atayaingiza nchini kinyemela bila kuyalipia ushuru.Wakifika ngazi hizo tutaanza kulalamika 'Oh mafisadi'. Lakini ufisadi umeshaanza katika tabia zao sasa.Kila mmoja wetu ana wajibu kupigana na ufisadi kwa kujichunguza kwanza kabisa yeye mwenyewe.Hivi haiwezekani watanzanai tukafanya mgomo wa wiki moja tu ya kukataa kutoa rushwa popote pale (barabarani, mahakamani, polisi, TAKUKURU, ofisi ya ardhi n.k)kwa wiki moja alafu tuangalie mambo yanakuaje? Vinginevyo mnawalalamikia Manji, Rostam na wengine nini wakati wanchokifanya ni kile kile ambacho na sisi tunafanya kwa ngazi zetu za chini kwa kutumia udhaifu wetu? Michuzi itisha mgomo wa kutoa rushwa wa walau wiki moja kwa kutumia blog hii na vyombo vingine vya habari vitakavyokuunga mkono, tuone itakuwa vipi.
Hivi wabongo mnajua kusoma na kuandika?
Michuzi ameweka alama za nukuu kwenye maneno "salimiana" akiwa ana maanisha kwamba sio kusalimiana. Wao ndio wanajifanya wanasalimiana.
Kwa hiyo wadau wote hapo juu mliong'ang'ania kutueleza kwamba jamaa anachukua rushwa, that is obvious, hakuna aliyesema wanasalimiana. Hebu eleweni Michuzi mwenyewe alivyoiandika hivyo "wanasalimiana." Duuuu kaazi kweli....
Ndo ile wagosi walisema 'MKE WANGU BANDIKA UGALI, MBOGA NALETA SASAIVI'
SamChom InTheMixx
Wacha wachukue hongo MSHAHARA ni mdogo. Serikali imeshindwa kuwahudumia wafanyakazi wake. Sioni tatizo hii ni kama njia nyingine ya kujipatia kipato hana tofauti na mtu anayefanya biashara huku akiwa ni mtumishi wa serikali.
Tunaweza tukafikiri labda anapewa mchango wa harusi au kitu kama hicho. LAKINI body language za askari na dereva zinawasuta. Kijana aliye dirishani ni shahidi. Nimesikia hizi rushwa lazima upeleke mgawo kwa bosi, naye napeleka kwa wajuu yake mpaka JUU kabisa zinafika. Usipotoa ushirikiano unahamishwa kituo, au kunyang'anywa gari/pikipiki.
Hii sasa kali yaani mchana kweupe hata haogopi!!! huku Arusha bwana mihuzi trafic anakusimamisha anatafuta kosa kwenye gari lako akikosa utasikia "nipe basi hata ya chai tu sijaamka kabisa leo" sijui kama watu wengine walishakutana na hili ila ukweli jeshi la polisi tanzania linahitaji marekebisho makuba sana!!!
HONGERA SANA BWANA MICHUZI KWA PICHA HII NAAMINI UMEFIKISHA UJUMBE,LAITI KUNGEKUWA NA BLOG TATU ZIAMUE KUREKEBISHA SERIKALI NAAMINI INGESHTUKA
mdau nkya
a-town
Kama maoni ni haya na watu wanamfikiria vibaya,itafika mahali maaskari waogope kusalimiana na raia hata kama ni kwa nia nzuri.
Kwani trafiki haruhusiwi kusalimiana kwa mkono na dreva?
Dah michuzi kiboko,umeitaimu vipi hyo,duu noma
Sisi tulivyofunzwa udogoni unapomsalimia mwezio lazima umpe mkono hata kama wewe ni askari.Acheni roho mbaya.
Nimemuomba Mkuu wa Wilaya ya nanhii aitishe mgomo wa'kusalimiana'lakini matokeo yake amegoma kuitisha mgomo! Eti anasema yeye akale wapi, maana mgomo ukiitikiwa vizuri atapata wapi picha tamu kama hii? Basi next time Mkuu wa wilaya tupatie na namba zao wanazovaa kwenye magwanda- zoom in kwenye kale kasilva badge kale alafu kachang!
ivi nyie watu askari na driver hawaruhusiwi kusalimiana??????
au km ni mshkaji wake,majirani,ndugu uko mtaani??na anampa ujumbe au simu??
acheni kufikiria watu vibaya,yaangalieni ya MAPAPA MAFISADI NCHI HII
mwenyezi atusaidie
Kwa uchunguzi wangu ndani ya jeshi la polisi kitengo cha usalama makao makuuu hii picha ilikuwa ktk gazeti la mwanachi kwa mara ya kwanza na huyu afande mhusika hapa alikuwa anatoa risiti ya faini alio mpa huyu dereva wa daladala kwa makosa alio tenda kinyume cha sheria za barabarani na askari huyu baada ya uchunguzi anaendelea na kazi yake kama kawaida mimi nipo nje ya nchi lakini kawaida yangu sitoi maelezo bila uchunguzi asante wananchi mdau stellenbosch western cape SA
Sofia Simba upo hapo , sio mpaka Mengi aseme!
Ths is too much, what is the IGP doing? Yikes