In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.









  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com








abdallah mitawi na mwanaharusi shein wameremeta

Bi. harusi Mwanaharusi Shein na bwana harusi Abdalla Mitawi kwenye sherehe yao iliyofanyika tarehe 26/07/2009 zenji ndani ya bwawani hotel . Shoto ni mdogo wa mbwana harusi Aliy Mitawi na kulia ni kaka wa bwana harusi Eddy Mitawi.


Kuna Maoni 11 mpaka sasa.

  1. Anonymous Anasema:

    why why too much poda jamani
    ila hongereni
    all the best

  2. Anonymous Anasema:

    Jamani sio kwamba nataka ku-critisise, lakini such a beautiful woman, what did she do to her face? amepaka nini?au ni poda? look at people around her they all look natural with human colour,lakini huyu mama does not have a human colour,hiyo rangi ya uso wake ni kama rangi nyeupe ya karatasi. Why did they do such a thing to her? especially on a special day like a wedding?

    Watu wengine wana roho mbaya jamani!

  3. Anonymous Anasema:

    jamani naona aliyempamba bi arusi alimwambia asijiangalie kwenye kioo, she is cute but the poda!s i think was too much. lakini usijali dada mme unaye hongereni

  4. Anonymous Anasema:

    Hii ni kawaida ya ki na mama wengi wa kizanzibar sijui walifundishwa na nani upakaji wa ponda,. asilimia kubwa ukienda kwenye harusi zao utatamani uchukue kitambaa umfute, ponda inazidi uso bwana kha

  5. Anonymous Anasema:

    Hii ni kawaida ya ki na mama wengi wa kizanzibar sijui walifundishwa na nani upakaji wa ponda,. asilimia kubwa ukienda kwenye harusi zao utatamani uchukue kitambaa umfute, ponda inazidi uso bwana kha

  6. Anonymous Anasema:

    Nyie kaeni tu mnachambua poda mwenzenu huyooo kapata mume anakula bata honeymoon nyie mpo tu poda poda

  7. Anonymous Anasema:

    anony hapo juu wa 03:34 umesema kweli dada keshapata mume basi asijipake hata poda akajipake kinyesi kabisa,kupata mume kuta-justify anything.

  8. Anonymous Anasema:

    Mnyonge mnyogeni lakini haki yake mpeni huyo dada afadhali hakujichuna kama kina dada zetu hapa bongo ni kweli ponda nyingi lakini kutokea miaka hiyo karnr wazenji wamekuwa nautamaduni wa kupaka poda hata katika kwapa tafauti hapa kwetu bongo mamo ya manukato ni hivi baada ya kuingia mzee Riksa

  9. Anonymous Anasema:

    we anony wa 10:15 PM naomba usitudanganye kwamba bara manukato yalikuja wakati wa mzee ruksa,ongelea nafsi yako wewe,sema mimi niliacha kunuka kikwapa wakati wa mzee ruksa.It's illiterate Tanzanians like you who misrepresent
    society,so speak for yourself [MORON]

  10. Anonymous Anasema:

    MTOTO WA DIRECTOR WA RADIO ZBAR KAMUOA MTOTOWA MAKAMU WA RAIS....HONGERENI

  11. Anonymous Anasema:

    HONGERENI SANA SANA, Mwanaharusi na Dullah. I wish ningekuwepo ktk ndoa yenu. My message to you "make sure your dreams come true".

    Kwa niaba ya wanacossovo wa IJMC hizi ni salamu kutoka kwa Papa Vinywaji. Tupo Pamoja.

Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker