

Tarehe Tue Jul 21, 03:15:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Jul 21, 10:46:00 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Jul 21, 01:54:00 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe Tue Jul 21, 03:01:00 PM, Mtoa Maoni:
miili minene ipo sehemu zote duniani,lakini ukweli ni kwamba sio afya na ni matatizo makubwa kifya,ila kwa kuwa jamii ya kiafrika imezoea kuishi maisha ya dhiki,hivyo wengi hupima halinzuri ya maisha kwa kuangalia unene wa mwili wake. lakini kusema ukweli na bila kumbeza mtu,huu ni ushauri wa bure tu, jitahidini kupunguza mafuta ni hatari sana kwa afya!!! na kama unapata nafasi ya kwenda gym ni bora pia kuushep mwili wako upendeze na uvutie. mambo ya 50/50/100 yalikuwa ya zamani wakati elimu ya afya ilikuwa haijafahamika vizuri kuhusu madhara ya unene.
ni hayo tu,asanteni.
Tarehe Tue Jul 21, 08:17:00 PM, Mtoa Maoni:
Hongereni wa mama wa Shinyanga, kwani mnang'ara yaonekana mambo si mabaya.