steve kanumba katika intavyuu exclusive na globu ya jamii leo. ukitaka kumuona na kumsikia Kanumba akiwa katika jumba la Big Brother Africa IV

BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 101 mpaka sasa

  1. Jamani "KIND SEPETU" wa bongo mwisho lol!

    ReplyDelete
  2. Kanumba hao ni wivu tu,hata hao redio presenters waliojifanya kukunanga wewe hawana lolote wakiongeaga kingereza ni mauzauza tu ila wanajiona wako perfect,hata hao waandishi wa Global publishers walioandika kuhusu kanumba wenyewe makosa matupu hata kiswahili huwa wanakosea,Eti Kanumba angeenda na mkalimani tutajifunza lini tanzania???kweli hili ni bara jeusi kuna mambo kibao ya kufanya tuendelee ila tunadiscuss ambayo tayari tumefanikiwa kupata mwanga jamani najua watu kibao mnatamani hii nafasi ya Kanumba ila ndo mmnaimezea mate,Kumbuka hata huku(mimi ni mpiga box) kuna watu kibao wanatoka nchi zisizotumia kingereza ila wanaoishi huku na kuchapia kwao kizungu hakuna mzungu wala mmarekani aanyekushangaa tena wala hakuonyeshi kwamba ameshtuka na lugha unayotumia na taratibu wanajua kuongea,Tanzania Tanzania Tanzania,kweli mimi hii imeniboa sana tu nimeandika mpaka bongo celebrity na mimi huwa sio mtoa maoni kabisa..Je tusipokubali challanges tutajifunzaje???tutapataje kujua???

    Mbona hutumcheki mganda na mkenya hawajui kiswahili?mbona hatumcheki mchina na mfaransa asiejua kingereza tukumbuke hata dunia inaelewa kila nchi au kabila lina lugha yake hivyo haiwashtui ukikosea kuongea lugha ya mwingine isipokuwa sisi watanzania TUSIO NA AKILI KAMA WAGALATIA ndo tunachekana.

    Kanumba kaza buti..hunijui ila imeniuma kama ndugu yako mtanzania mwenzako

    ReplyDelete
  3. POLE SANA KAKA, NDIYO BONGO HIYOOO.....USIWASIKILIZE WAOSHA VINYWA..SIKUJUA KUWA UNAJUA KUJIELEZA HIVYO, POLE MAN..LAKINI KUMBUKA KUWA KUWA CELEBRITY SIYO KAZI NDOGO, WATU WENGI (HASA HASA WATANZANIA) HAWATAPENDA MAENDELEO YAKO...LAKINI WEWE DO WHAT YOU HAVE GOT TO DO..WEWE NI MCHEZA SINEMA MZURI, USI-WORRY KUHUSU HATERS..NDIYO TULIVYO HIVYO WABONGO..INGEKUWA WAKENYA, MPAKA RAISI WAO ANGETUMA SALAMA ZA PONGEZI...I FEEL SO BAD FOR YOU MAN, NA ULICHOONGEA NINA UHAKIKA KITAWAGUSA HAO MA-HATER...KAMA ULIVYOSEMA, MUNGU NDIYO ANAJUA

    ReplyDelete
  4. Kanumba I love u so much. napenda maelezo yako yote. sikujui hunijui ila nilisoma comments watu walizoanedika nikatamani sana kusikuliza upande wako finally leo umeongea. kama ulivyosema mungu alisema mpendane ninyi kwa ninyi kwanza. Just telling you zote hizo ni chuki na wivu. uko juu ndugu yako na Jaribu kumunuomba Mungu akuzidishie talanka yako aliyokupa na uitumie ipasavyo . mana atakuja kukuuliza kama hujaitumia vizuri. umesikiitka sana na umeumia sana. ila Mungu atalipa yote. na omba Mungu awasamehe wote kwa sababu hawajui walitendalo. hiyo ni talanta uliyopewa na some people wish they could be them. watu wamefika mpaka chuoni hawajui english sembuse wewe uliyfika hai school . watasema tu hata kama ungefanya vyema vipi. keep up bro. nataka kuja Tz mwezi wa 12 nikutafuta nikupe just a hug for the good job ur doing. msalimie shemeji yangu Jb. God bless u. kumbuka kuomba usimuache Muumba wako hata siku moja . take care

    ReplyDelete
  5. Kanumba....that is challenge...take it in for future ironing ur skills and talent. Watanzania English ni second language, wote hapa hatujui...Practice makes perfects!!! carry on.

    ReplyDelete
  6. kanumba kaza moyo kaka, kuna watu watakupenda na wengine watakuchukia. You should know that by now, ukishakuwa kwenye public eye you should expect that!!!! hata big celebrities in holywood zinawatokea hizi. Usisikilize wachovu, be strong, be wiser, be tough. get yaself together dont loose it man!!!
    cheers, canada.

    ReplyDelete
  7. Sijui sauti ni tatizo la computer yangu au? ninajaribu kusikiliza intaviuu lakini sipatisauti sijui kulikoni!

    ReplyDelete
  8. wakati mwingine unatamani usiwe mtanzania, kwa mambo haya ni aibu.
    Yaani blog zote zinamzungumzia mtu mmoja eti hawezi kuongea kiingereza. Hivi nani katuloga? Kweli sasa hili ni tatizo, yaani wanaoelewa kiswahili na kutembelea blog zetu wanatuona hatuna AKILI wote. Yapo mambo ya msingi kuzungumzia tunaacha. Tunazungumzia mtu ambaye amefanikiwa katika shughuli aliyoamua kufanya. Sio siri Kanumba yupo Juu. na tatizo lililopo ni watanzania tumekuwa tunatiana moyo tukifa chini, lakini mmoja wetu akishapanda tuananza kuinua VIKWAZO. (Bahati Bukuku aliimba wimbo hatukuuelawa lakini ni Kweli)
    mtu akishakuwa juu huwa tunapenda kuwakatisha tamaa. KANUMBA ONGEZA SPIDI, WAACHIE VUMBI, WATAJIJU.

    ReplyDelete
  9. Kanumba usijali wasamehe mana ninauhakika watu wanaokubeza hawajifahamu bado infact they are Ignorant.
    hawajui kua English sio lugha yetu
    ungechapia kiswahili hapo hata mie ningeongea kidogo
    mbona mimi niko ulaya huku nchi hii watu hawajui English na wako so proud na Language yao
    Hivi kwanini watanzania tunakua hatuthamini vyakwetu???????
    ndiomana wakenya wanatuibia tunalalamika
    anyways ninauhakika kua sikumoja watu watakuja kujua kua walikua wanafanya makosa.
    watu wakubwa wangapi hawajui English
    Maraisi wa nchi nyingitu hawajui kingereza sasa chaajabu kipi
    Hebu watanzania tujifunze kupeana moyo na sio kukatishana tamaa
    Kanumba usijali kazana Mungu atakusaidi usiangalie nani anasema nini wala anafanya nini wewe angalia mbele usipoteze muda na watu wasio jijua watakupotezea muda wako niwashambatu hao sikumoja wataaamka bado wamelala
    kusemakweli imeniuma sana
    Mungu akubariki na akupe nguvu

    ReplyDelete
  10. Wewe Kanumba acha kutafuta huruma ya watu, Hapo ujaonewa, ulionesha uwezo mdogo katika kujieleza kwa Kiingereza na ndio maana watu wakatoa maoni yao, kwani wewe ulikuwa unawakilisha Tanzania,
    Kwani Mtu akifeli Mtihani na watu wakasema Amefeli, je wamekosea ?
    Kama Kweli unajiamini nenda EATV ukahojiwe kwa Kiingereza pale kwa dakika 30 , Halafu Watu watoe maoni yao

    ReplyDelete
  11. Maskini! anatia huruma! sio katukanwa! hakuna aliyemtukana, bali hataki kukubali ukweli kwamba lugha inamkongoli! wenzao wasio jua lugha huambatana na wakalimali wao! wasingekuchagu kwenda iwapo wengajua we ni bubu!! walijua since u r a celebrity, basi unakimanya kienglish! this should give you motivation to english course brother, usikasirike! nina uhakika unakubalika, but ukichemsha na kutokosa ni kama unatia aibu nchi nzima! jifunze kutokana na makosa! leo sauzi kesho holly wood, itakuwaje!
    nana

    ReplyDelete
  12. Dah...pole sana na masimango ya watanzania wenzio, mimi ni mkenya na nimeishi Tanzania, kiswahili ni lugha ambayo watanzania walikuwa wakinicheka nikiongea lakini baada ya muda hao hao watz ndio wakaja kunitafuta niwafundishe kiingereza, wanaleta watoto wao niwafunze kingereza ili waweze kwenda kusoma mambo flani flani yaliyo katika lugha ya english. Kwa mtazamo wangu mimi sioni kama Kanumba alikosea kitu chochote kile katika kuongea, kuna radio inamsimanga vibaya sana na yule mtu wao wanamuita ditective,ashindwe kabisa katika jina la Yesu! Umaarufu wa uditective wako hauji kupitia migongo ya watu, tafuta kitabu uandike maongezi yako unayoongeaga katika kiredio chenu. Nimesononeka sana na mimi naku-support kwa kuweza kuiwakilisha nchi yako katika jumba lile la BBA4 kwani Africa kuna wasanii lukuki ambao wangeweza kwenda kule lakini hawakupata nafasi, watanzania mnatakiwa kuwa proud na mtu wenu jamani...pole Kanumba Stivoo...Mungu akutangulie na akulinde...Amen.

    Ashkmatit.

    ReplyDelete
  13. Acheni kumtia ujinga huyu
    hiyo ndio tamu na chungu ya u super star na hiyo ni mitihani waliokupandisha ndio watakaokushusha unavimbaga kichwa mauwaz yakikuandika kwa issue za kijinga na kukusiafia leo hii umechallenjiwa kidogo umevimba!!

    ReplyDelete
  14. Mungu akutunze na kukulinda Kanumba pole sana, haya yote ni majaribu usiwafanye hawa vijiba vya roho wakashinda niya yao ni wewe kukata tamaa,basi kama unahitaji kufanikiwa usikate tamaaa endelea wachache tunautambua mchango wako.

    Kingereza kingereza wenyewe hamkijui, kwa taarifa yenu hawa wazungu ndiyo maana wanatudharau kwa kutokujiamini kwetu. Acheni FITNA

    ReplyDelete
  15. Mdogo wangu Kanumba usisikitike sana maana tulishalogwa na mganga mwenyewe kafa. Kitu kikubwa ni kuyachukua yale mazuri yaliyosemwa na watu na mabaya kuyaacha. Mungu ana namna yake ya kukupitisha mahali na kushtua kidogo ili usibweteke. Wamezomewa kina Mkapa, Lowassa na wale wanaowazomea wako palepale na wao wanasonga mbele. Kinachotakiwa unatakiwa ututhibitishie kuwa wewe ni real the great soma jifunze matamshi slang is not a big deal hata sie huku kwa watu wanasema kuwa tuna accent tena mablack americans kwa hiyo visikuvunje moyo sana, ila wale waliokutengenezea hadi jingle kwa kweli wamevuka mpaka. Siku zote aim kuwa the best mpaka hapo ulipofika you are the best ndio maana hata ukachaguliwa. Watasema mwisho watalala na kubakia hapohapo kama wanaweza wakaigize basi na wao

    ReplyDelete
  16. Michuzi naomba kama inawezekana tuwekee hiyo interview ya kanumba na big brother then we gonna judge by ourselves maana hapa sisi wengine hatukuiona is a story of hear say or she say,he say so tunaomba kukata mzizi wa fitna hapa hapa cause kanumba anageuzwa rashid kawawa maaan i'm like shit, do not make him a laughing stock if he doesn't deserve it.

    ReplyDelete
  17. Weeee! celebrity wa KTZ usijilinganishe na Koffi Olomide International Language zinazojulikana mpaka UN ni English na French so mwenzio Koffi Olomide anayo moja na hata English anongea tena si kama wewe ya kunga unga kubali kushindwa ningekuwa mimi nigesema asanteni kwa maoni yenu taenda british council ku brush Kiinglish changu tungekuelewa acha kulia kumbe siku zote ukweli unauma eeee???pole weee!

    ReplyDelete
  18. Kanumba usijali maneno ya wakosaji!WaTanzania kiingereza ni lugha yetu ya pili,kukiongea fluent ni majaliwa! mie nimeona clip yako wakati unatoka ulitoa zawadi kwa baadhi ya housemates,ulinigusa sana na huo ndio Utanzania halisi.umeonyesha ukarimu wetu wa kutoa ulicho nacho kwa wengine. Hongera sana kwa kuwa guest celebrity sio kitu kidogo, Umetuwakilisha vizuri, keep it up!!Umesema ukweli kabisa Watanzania tupendane,maana upendo huvumilia,hauna mwisho na hauoni mabaya!! Hongera sana na Mungu aendelee kukubariki na kukufungulia milango mingine mingi.

    ReplyDelete
  19. according to kanumba anadai yeye hakuongea a broken english, basi tunaomba hiyo clip tuone yalijiri

    ReplyDelete
  20. Weee weee Dunia ya Leo lazima ujue English usimdanganye kanumba eti wazungu wanatudharau basi mwambie hata JK abadili mfumo University of DSM wafundishe kiswahili kama English haina umuhimu!si Fitna tunampa Ukweli kachemsha kachemsha akubali kushindwa tu!Hata Mavazi pia kashindwa duuuu!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  21. Kina Fabio Capello, Carlo Ancelotti na Sarkozy wote kiingereza tabu, binafsi mimi nina watoto hapa america, mama yao na wao hawajui kiswahili sasa swali ni kwamba niogope kuwaleta bongo kwa sababu hawajui lugha ya kiswazi?? Bullshitttt!!

    ReplyDelete
  22. Pole sana Kanumba. Siku zote UMAARUFU LAZIMA UULIPIE. Na malipo ya umaarufu ndio hayo ya kuchafuliwa.
    Umejieleza vizuri mnooooo! Nina hakika hata waliokuchafua wakisikia jinsi ulivyojieleza nafsi zao zitawasuta.
    Kaza buti na anza kujipanga upya na kuendelea na shughuli zako za kila siku. Waosha vinywa wapo na watakuwepo! Kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo!

    ReplyDelete
  23. Bwana Kanumba, kuwa maimuna siyo kosa na wala siyo udhaifu. Ingawa waliokubeza kwamba wewe ni maimuna hawajatulia, na wewe mwenyewe swala la kusumbuliwa na u-maimuna wako pia inaonyesha kwamba hujatulia. Na swala lako la kusema "siwezi kuwa na slang kama ya wamarekani" nani kakwambia kuwa slang ni ya wamarekani? Hivi hujui kwamba kila lugha ina "slang" yake? Au unadhania "slang" maana yake ni "american accent"

    Usisumbuliwe na kiingereza kwa sababu
    1) wewe siyo muingereza
    2)huishi uingereza

    Kama unaweza kuwasiliana kwa kiingereza, basi hiyo inatosha kabisa.

    Tena kuwa makini swala hili lisikuletee msukosuko wa kujiamini na kuanza kuyakimbia maeneo ambayo kiingereza kinahitajika, kwa kuogopa kuuonyesha u-maimuna wako.

    ReplyDelete
  24. what a waste of my precious 8:11 minutes!!
    This guy is a dummy, cant make any point...
    hajui english, talk swahili until you're good enough to talk english on public
    wewe ndo umeidhalilisha tanzania, tunaonekana tunafagilia watu wasio na elimu na kuwapa title ya u-superstar eti Koffi na Antonio... we unaweza kujiringanisha na Antonio?
    read dude read!! soma histroria za watu kabla ya kuropoka hadharani... shame shame!

    ReplyDelete
  25. Listen Kanumba,
    No doubt you are a star.You have come a long way,Overcoming so many challenges and broke so many barriers to be who you are today.You should realize that being a star means putting yourself in a spotlight.People will talk trash just to tear you down.Criticism will make you better and the only way to fight back is to do extraordinary perfomance to satisfy your fans.You cannot silence the pundits or your critics by engaging in back and forth conversation.Stay focus in defining yourself and never let the wingnuts define you.
    Toto tundu-Upper Marlboro

    ReplyDelete
  26. Je ikiwa mtu ana kipaji ila hajui sawia(anajaribu kama Kanumba) inamaana asituwakilishe kwenye majukwaa ya kimataifa?Kumbuka ameongea na waliokuwa nae kwenye jengo na hata watazamaji wamemwelewa sasa nini tatizo ikiwa tunajua hiyo si lugha yetu ni kufanikiwa kuwasiliana au unataka aongee kingereza kama mkenya au m-british.

    Je umasikini utatuisha na matongotongo yatatutoka kama tutaogopa kukanyaga majukwaa ya kimataifa eti sababu hatuongei kingereza perfect kama "detective"huyo mtangazaji aliyekuwa mstari wa mbele kunanga yeye anajua hicho kizungu au anakisikia????

    Mimi naomba huyo anayejiita detective awe anaendesha vipindi kingereza au siku moja na yeye apate mwaliko radio za ulaya au marekani tukamsikie mzungu-mtanzania,usitake kukuza kipaji chako kwa kuua cha mwenzako!!!!!

    ReplyDelete
  27. Kanumba pale penye ukweli lazima uukubali na uufanyie kazi ukitaka kwenda juu. kuna watu ambao hawakujua kungereza lakini wamejiendeleza na sasa sio tatizo. kwa hiyo pale ambapo ulifanya vibaya upafanyie kazi. mimi niliangalia show na niliona ukishindwa kuelewa swali la mwisho la big brother na kwamba alijaribu kubadili ili uelewe lakini bado mambo yalikuwa magumu. lazima kitu kama hicho ukikubali kuwa ni weakness ya kui address.

    ReplyDelete
  28. Namie nimeona umefanya vyema kugawa ile neti maana huku mbu mpaka wa jirani wangekuuma tu na neti ya Pink!wink!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  29. Mie ningekuwa wewe bebeshi hata hao waandishi wa habari nisinge ongea nao maana hao hao ndo wanafiki acha kujikosha kwao ndio wanazidi kukumaliza kakangu wa kisukuma!

    ReplyDelete
  30. Pole Bro!!! Ila mimi nahisi yote hayo yametokana na wewe mwenyewe kujitweza. Kama usingejifanya wewe ni BaB KUBWa, dharau nyingi, sim wanapokea walinz nk Yasinge kukuta hayo. Siku zote katika maishi usikubali kujiweka juu, acha jamii yenyewe ukupe nafasi, huo ndio ushauri wangu kwa siku zijazo!! La 2, kubali yaishe, tafuta shule ukaweke mambo sawa!! Tatizo la lugha Tanzania si lako, ni tatizo la jamii nzima, si wanasiasa, viongozi, wala wana taaluma sote tuna tatizo la lugha!!!

    ReplyDelete
  31. MIMI SIKO TANZANIA,NINGEPENDA SANA HAYO MAHOJIANO KATI YA KANUMBA NA BIG BROTHER MUYAWEKE HATA MIMI NIONE KAMA ALIONEWA.KWANI KIINGEREZA MUHIMU NIKUELEWEKA AFRIKA NZIMA KIINGEREZA NI TOFAUTI SANA.NAOMBA TUPEWE NAFASI YA KUMWONA MSANII WETU KWANI IMENIUMASANA ILA SIWEZI KUSEMA KUWA ALIONGEA VP,BADO NABII HAKUBALIKI NYUMBANI KWAO MSEMO UNAENDELEA KUPATA NGUVU.

    ReplyDelete
  32. Mdau mimi nipo US 20yrs now, nashangaa sana hili swala la kudhani usipojua english nzuri hujaendelea,mataifa yaliyoendelea duniani na yenye nguvu za kijeshi ni kama mawili au matatu yanayoongea english na yanaheshimika sana na hawana haja ya kujua english kuheshimika mfano ni kama China,Urusi, India, uholanzi,israel,Brazil,German. Kiswahili ni Lugha kubwa sana duniani na inahitaji kuwa na heshima na watu wake waheshimike popote duniani, watanzania bado hatuna confidency na lugha yetu na tunadhani kujua english ni maendeleo makubwa. Bwana kanumba amejieleza vizuri kuwa english ni lugha ya tatu na mataifa yote duniani ya heshimu kuwa anajua lugha tatu na wamefurahi mahojiano yake kasoro wabongo bado wanajipendekeza na lugha za watu wengine hata kumsema msanii wao, natamani siku moja waafrica wote wangeongea kiswahili na tungeendelea sana. wapeni moyo wasanii wetu hata wakija huku marekani hawana haja ya kujua english tutawatafsiria kama nchi nyingine wanavyo fanyiwa.

    ReplyDelete
  33. hao waliomnanga Kanumba ni maskini wa fikra, second language si lazima uongee kama first language.
    sisi huku UK lugha ilipoanzia hawawezi kukushangaa km unaongea broken english sembuse nyie waswahili mnaanza kujaju accent ya mtu. kwani alikuwa haeleweki au accent haikuwa nzuri. mnatakiwa mtofautishe siyo kubwabwaja.
    mbona wahindi wamezaliwa huku na bado wanaongea english na accent ya kwao tena wamesoma sana hasa malecturer vyuoni?

    tusiwe na chuku zisizo na mpango, watz tunasifika kwa roho mbaya, chuki, usengenyaji, umalaya, uroho wa madaraka, ufisani, wizi, kuombeana mabaya, kuchongeana nk.

    nasikitika sana kuwa mtz kwani tuna tabia zote za kurudishana nyuma kimaendeleo. ni hayo tu waosha vinywa msiokuwa na maendeleo.

    kaka Kanumba usiwajali hao kabisa ni wale wa sizitaki mbichi hz, waongelea english wakati hichi kiswahili chenyewe wa2 wanachapia.

    ReplyDelete
  34. Kanumba mdogo wangu, Mwandila. Mie natoka Sikonge na ntakuambia kama mdogo wangu kabisa na yanatoka moyoni. Kuna video marehemu Brenda Fassie anawaambia waandishi wa habari "thanks PRESS for Making me and Destroying me". Kumbuka milele waandishi wanatengeneza Star na kumbomoa. Na waandishi wa habari nao wanaishi kwa hilo, kujenga na kuchafua mtu wanapata mlo.
    Kumbuka English ni lugha ya 2 ya Tz. Hivyo kwa mtu kama wewe, ni lazima uifahamu. Usiwasikilize hawa wanaokupozapoza ni WAONGO wakubwa. Dunia ni brutal na wale NGOSHA wenye tikiti maji mbili kati ya Miguu wanaweza kufika juu. Kama umeweza kufika juu kuna shida gani mdogo wangu kujifunza Kiingereza? Kwa nini utangaze jina la Tanzania Africa tu? Kwa nini usianze kufikiria kuivaa Hollyhood au Bollywood? Nchi kibao zina stars wao wa kimataifa, labda wewe ndiyo utafuata nyayo za nduguyo Hasheem Thabeet?
    Ngosha, kaza kamba ndugu yangu. Usichukue hayo maneno Personal. Kubali tu yaishe na uwaambie watu LIVE kuwa, naingia msituni, nikitoka nawavamieni kwenye redio kuanzia kipindi kinaanza hadi kinaisha tunakwenda kwa Kisukuma au English. Ukiweza usiishie hapo, nenda hadi Kifaransa na Spanish.
    Mdogo wako, nikisikia unalialia tena, basi wee kweli hukuchunga ng'ombe na kula Matobolwa. Haya "nzagamba" wetu, wamekufungulia milango, kila kitu sasa ni wewe tu. Kulialia tutakuita "Mwana nkima". Nduguyo Ng'wana Itimba.

    ReplyDelete
  35. IT IS FAR EASIER TO BE YOURSELF THAN TRYING TO BE SOMEONE ELSE.

    Hatuna sababu ya kujichukia simply hatujui kiingereza, Ukamilifu wa mtu hauletwi na Mtu kujua Kiingereza.

    Ni upungufu wa akili kwa kudhani kuwa kiingereza ndicho kitakachotufanya Tanzania tuheshimike, Imetosha kwamba Tanzania tulipata heshima ya msanii wetu kuwa mgeni katika jumba la BBA.

    Wote wanaomzodoa Kanumba ni wagonjwa wa akili kwa sababu mafanikio yao hatujawahi kuyaona. Halafu wanapomlalamikia Kanumba kuhusu Kiingereza chake wao wenyewe wanaandika kwa Kiswahili, Nyie wajinga na watumwa wa Kiingereza LALAMIKENI KWA KIINGEREZA ILI TUSAHIHISHE GRAMMAR ZENU kwanza ndipo tujue kuwa mnajua KIINGEREZA VIZURI.

    "Learning is a process", Kiingereza cha Kanumba kwa sisi tunaofuatilia sanaa ya Tanzania tunaona kuna maendeleo makubwa na baada ya muda Kanumba atakuwa na kiingereza kizuri tena sio kwa kukaa darasani bali "exposure" anayoendelea kuwa nayo mara kwa mara.

    Nasisitiza tena Watanzania tusiwe watumwa kwa mafikirio yasiyo na msingi, tusiwe walalamikaji tu bila sababu, Kujua lugha za kimataifa ni kitu cha muhimu lakini sio cha msingi. Kanumba anajua kiingereza, itoshe, hayo mengine ni ziada, MTU huwezi kujua kiingereza na "grama" yake kikamilifu kwa muda wa kidato cha kwanza mpaka cha sita haiwezekani.

    Mwisho ningefurahishwa kuona tunazungumza kitu alichokifanya kuliko kujadili English proficiency ya Kanumba, mbona kuna maprofesa wengi sana wa Kiingereza hapa UK tunaona wanachemka grama mara nyingine kama sisi tunavyochemka mara nyingi, sembuse Tanzania ambako sio lugha yetu. WALALAMIKAJI ACHENI UJINGA TAFUTENI BLOG NYINGINE YA KUANDIKA MALALAMISHI YASIYO NA MSINGI WALA UTASHI WA MTANZANIA ALIYETIMAMU. mdau, H.NGINJA, UK & NETHERLANDS

    ReplyDelete
  36. Haya jamani duh! Mwenyewe anaona anamwaga ngeli kinoma....maskini we unataka watu wawe "proud" na wewe kwa kwenda big brother?? Labda sielewi kwani hiyo inasaidia ni ni nchi yako?? Umombo wengi unatupiga chenga lakini solution ni soma vitabu vya kimombo sana tu na pia mazoezi ya kuongea pia!! Usione aibu hako kaugonjwa kana dawa. Naona wengi wanasema kuwa EATV wanaongea kimombo mmmh!!
    Usiwe na wasiwasi jifunze kidogo kidogo halafu wewe usiwafatishe Nigerians wanavyoogea hiyo sio deal.....kwa nje ya nje wanaoneka hawajui kabisa...
    be yourself..

    ReplyDelete
  37. sasas unalalamika nini..shirt si lilikuwabaya kwelii.....na hata english ilikuwa sio nzuri..so whats all about..

    ReplyDelete
  38. yote tisa kumi ni kwamba wanaosema ulichemsha mbona wao hawakwenda na hawakuchaguliwa.
    wabongo bwana tukiona watu wemepata tunatoa kasoro. wengi tu kiingereza mgogoro bongo ila cha msingi ni kuwasiliana au vipi!!yule mkenya pale juu amewakilisha vyema maana ukweli ndo huo lugha bwana ni mazingira na utamaduni so isikupe shida siku moja watasikia tu umefika mbali.
    ukitaka kujua ukweli hao walioandika hayo na wanaotangaza radio wao wenyewe huenda hata hizo kazi hawana vyeti na lugha ndo basi kabisa wengine unawazidi,
    kula good time tu achana nao hawana mpango.

    ReplyDelete
  39. kusema ukweli umechemka....kama jamaa wa juu alivosema usijilinganishe na koffi olomide he is speaking the language which people know...sasa kiswahili kinajulikana duniani????iliyobakia ukajifunze tuu kiingereza...Me nimesikia kwa masikio yangu ukisema "this guy is natural" so ndo what where you trying to say...anayways practice makes perfect go practice english man for the better future of your career....

    ReplyDelete
  40. maimuna wakimaanisha waslamu wa bongo hawajui kiinglishi, jamani!!! hapo hamjamkshifu kanumba pekee na 50% ya watanzania.

    ReplyDelete
  41. Swala mbona dogo Kanumba.Sijui kuhusu radio presenters kukusema labda walikuwa na lao binafsi wamepatia chance maana nao ni walewale.Ila kwanza Congrats.Pili wewe ni Bongo celebrity so ukikubali title si kila siku title ina mazuri kuna mabaya yako so enjoy.Tatu watu wakisema ukweli ama hata uongo u can just ignore and improve where u can.Sasa take that as a challenge go learn ENGLISH hamna mtu anakuambia uongee kama mmarekani(accent)but hey know the basics and be able to talk fluent.Goodluck and we still Love u

    ReplyDelete
  42. HIVI KANUMBA MPAKA UMEKUWA NA UMRI HUU ULIKUWA HUJAJUA KUWA WATANZANIA NI HASI? KOROSHO? WIVU?

    TENA KUNA WATU WANA MAFANIKIO KIDOGO SAANA WANAZONGWA UTAFIKIRI NI OBAMA JE IKIWA KWENDA MBINGUNI SI NDO BALAA?

    USIKONDE, UKIJUA WANAVYOSEMWA WENGINE WADOGO UTAHISI NI HAKI YAKO.


    TUIELIMISHE JAMII.

    KUWA KANUMBA KUWA.

    ReplyDelete
  43. Pole ndugu yangu Kanumba kumbe iliku touch sana , mie nilikuwa naomba ukubali matokea sababu umaarufu sio kusifiwa tu kuna kukosolewa pia .kwa hiyo ukubali kukosolewa pia ,leo wamekuambia Kidhungu (Kiingilish ) kimekwenda holiday wambie sawa ipo siku kitarudi. wakikuambia kuwa unazidisha kupaka mapoda waambie sawa kesho nitapunguza. pia napingana na kauli yako kuwa watu walikuambia kuwa shati ulilolivyaa lilikuwa limefanana kama kitop . kwahilo nakataa lile lilikuwa kama kijishumizi au kiji nightdress (nightshirt) mmmmhh kwa mwanaume wa shughuli ilikuwa lazima ujiulize mara 2x2 kukivaa kijisidiria kile . ushauri wa bure kubali kukosolewa .

    ReplyDelete
  44. pole kanumba, haya mamo hutokea tanzania, tatizo sisi watanzania hatupendi maendeleo ya wenzetu, no one was born knowing everything, its better for something rather than nothing, kiingereza kwa sisi watanzania tunajifunza sio kwamba ni lugha yetu ya mawasiliano..
    Alichoongea kanumba ni kweli, kuna maceleb wengi ambao hawajui kiingereza lakin wanakubalika kwenye nchi zao,isiwe yeye jaman..
    Hizo radio na all that need to apologize to him what they said.
    Kama kwel tunataka maendeleo, we need first to appreciate with what we have.

    ReplyDelete
  45. Acheni kuumpa kichwa kanumba amechemsha sana tena sana,yeye ni super star ndio maana alichaguliwa kwenda kuiwakilisha bongo sasa alitakiwa kuwa makini asituletee aibu kama alikuwa anajua kienglish kinampiga chenga angeenda na mkalimani,shida amezoe sana kupewa sifa za kijinga kwenye magazeti ya udaku sasa leo kapewa ukweli analia na kusema anamwachia Mungu,Mungu na English wapi na wapi nenda English couse kaka uepukane na wanochonga na acha ujinga wa kujilinganisha na mainternationa kama Koffie hiyo ndio shida yako sasa,be who you are n what you can brother,swala lingine unalonikera sana wewe na jamaa yako ray ni kujipodoa kupita kiasi mpaka mnatisha nani kawaambia umaarufu unapatikana kihivyo,be careful na kuwa supers star si mchezo someni sana vitabu na magazeti kuhusu masuper star ndugu zangu.

    ReplyDelete
  46. Kwa ukweli mimi kama mtanzania nimeumia saana,kutokana na maneno ndugu yetu kanumba aliyo ongerea. Kweli inaumiza sana watu kutoka inchi moja kutopendana!! Yani mimi huwa naangalia wazungu huku kwao, hata kama kuna anayeweza kutenda kitu kibovu au akipatwa na tatizo hawawezi kucheka! hamna wanakimbilia kumfariji na kumpa nguvu.Yani nimeumia saana kwa jinsi mwenzetu alivyoongea .kweli bwana kanumba tangu sasa jua tanzania imejaa wivu tuu, lakini usife moyo kwamaana bahati uliyojaliwa na mungu hakuna mwanadamu wakuja kuzuia.Enderea na usanii wako na tunakupenda sana, kaza buti tuko nyuma yako.

    ReplyDelete
  47. Tatizo ni kwamba hatukubali ukweli. Kama lugha haipandi hiyo sio shida sio sababu ya huyu jamaa kujitetea kitu ambacho ni wazi na ukweli kabisa. Halafu tuwe tunatumia lugha moja kwenye maongezi. Kuchanganya lugha ni tabia mbovu na matokeo yake kama yaliyomkuta huyu msanii. Na inaonekana kwamba hajajifunza bado kwa sababu anaendelea kuchanganya lugha mbili.
    Kama kweli unataka kujiendeleza katika fani yako nje ya nchi inglishi itakusaidia. Hakuna ubaya kujifunza kwani itakusaidia mwenyewe.

    ReplyDelete
  48. OMG huyu kaka anatia huruma, unakua sensitive kama mwanamke!!? sorry to tell you this my Tanzanian brother
    hajui kwamba ukijali sana yanayosemwa na jamii ndio wanapopata nafasi yakukusema zaidi, wameshakujua unyonge wako ulipo kwahio watakuja kukutonesa kila wakati.

    You speak broken english, so what!?

    Just tell them, yes I speak broken kimombo coz I,m a SUKUMA guy and NOT a prince of Walles

    Ushauri wa mwinsho sikiliza ile track ya mwanamuziki wa marekani anayeitwa PINK inayoitwa (so what).

    Mdau Netherlands

    ReplyDelete
  49. KANUMBA POLE KWA YALIYOKUKUTA. MIMI USHAURI WANGU KWAKO NI KUWA, HAYO YALIYOTOKEA UYACHUKULIE KAMA NI CHANGAMOTO ZA KIMAISHA. HAKUNA MTU YEYOTE MAARUFU HUKU DUNIANI AMBAYE WATU HAWAJAMTOA KASORO. ANZIA TANZANIA MPAKA MAREKANI. LAKINI WOTE WANAKAZA MOYO NA KUENDELEA NA SAFARI YA MAISHA. HATA WAHESHIMIWA MARAIS WETU WANASEMWA HIVYOHIVYO, VIONGOZI WA DINI WANASEMA HIVYO HIVYO. ILI MRADI UKISHAKUWA KIOO KATIKA JAMII WATU LAZIMA WAKUCHAMBUE. NA UKUMBUKE KUWA KILA BINADAMU ANA NAMNA YAKE YA KUANGALIA AU KUPIMA MAMBO. WENGINE HUWA WANAANGALIA KWA LENGO LA KUMSAIDIA MTU ASONGE MBELE, WENGINE WANAANGALIA WAKIWA NA LENGO LA KUMRUDISHA NYUMA N.K. KWA HIYO LA MSINGI WEWE SONGA MBELE. DADA YAKO JD a.k.a MANKA, MACHOZI ETC. ALISHA IMBA KUWA SIKU HAZIGANDI WEWE SONGA MBELE. HUO NI MWANZO TU WA MAISHA YA KUJULIKANA. HATA MH. BEN ALISEMWA SANA, ALICHORWA VIKATUNI SANA, LAKINI HAKUKATA TAMAA ALISONGA MBELE MPAKA AKAMALIZA KAZI YAKE YA URAIS, NA SASA ANAENDELEA KUKAMATA BIA YAKE KAMA KAWAIDA. JK NDIO USISEMA, MIAKA MINNE TU AMESHATUPIWA KILA AINA YA KASORO. HAO NI WACHIMBA MASHIMO TU, IPO SIKU WATAJISAHAU WATATUMBUKIA WENYEWE. WEWE ISHI KAMA WEWE USIMUIGE MTU (DON'T LIVE ARTIFICIAL LIFE), WALA USIKATISHWE TAMAA. ILA KUWA MAKINI NA KILA UFANYALO, NI MUHIMU SANA HILO MAANA WEWE NI KIOO CHA JAMII.TUNAKUANGALIA WEWE ILI TUJIFUNZE KWAKO KAMA KIOO CHA JAMII.HUNA HAJA YA KUJIBIZANA NA WATU, WATAFUNGA MIDOMO WENYEWE SIKU UTAKAPOWATOLEA MUVI KALI AMBAYO KILA MTU ATAITAMANI KUINUNUA. AFTER ALL,HUO NI MOSHI WA KIFUU TU, KESHO WOTE WATAKUWA WAMESAHAU YA KANUMBA WANAHAMIA KWA MTU MWINGINE. LIFE GOES ON. POLE SANA MDAU KANUMBA.

    Mdau
    Cardiff

    ReplyDelete
  50. hovyo wote mnaoijidai kumsimanga kanumba na engilsh..nyie hamjaona mawasiliano ya kibubu na watu wanaelewana? kama nyie mabingwa wa lugha mbona haziwaasaidii kutoka....kanumba siku nyingine usiongee toa ishara tu tuone sasa kama wataelewa ..SISI WABONGO NI HOVYO HATUJUI MSHIKAMANO WA KITAIFA FANI YA SANAA. KWANINI HATUSHUKURU KISHA TUTOE CONSTRUCTIVE CRITICS? TUNACHOJUA NI KUSIMANGA TU KILA SIKU BASI TOKENI NYIE TUONE....NJIA PEKEE YA KUMUONYESHA KUWA KANUMBA HAWEZI NI NYIE KUTOKA ..VINGINEVYO MTABAKIA MKISEMA TU HIVYO HIVYO. KAJENGENI FAMILIA ZENU HUKO ZIMEWASHINDA MANYUMBA NDOGO BWELELE HADI KOONI....

    ReplyDelete
  51. Umeongea vizuri sana, yaani watanzania hatupendani kabisa, tuna upendo wa unafiki tu. Yaani tunamponda mwenzetu kabisa, eti kingeleza si ujinga tu, kwani lugha yetu hiyo? Tudumishe lugha yetu, na za makabira zaidi, kuliko kutukuza lugha za wenzetu. Big up sanaaaa Kanumba, achana kabisa na waosha vinywa. Chibi.

    ReplyDelete
  52. we anon wa sep 10, 05:23:00 unaonekana umesoma lakini quality of your comments is below standard. you should be able to criticise, inspire and support ..otherwise I can just see a thin line between you and them ..hovyo wewe

    ReplyDelete
  53. KANUMBA KAMA UNASOMA HIZI MSG HUMU NAOMBA UKUBALI KUKOSOANA NI SAWA BALI TUHESHIMIANE WAKATI TUNAPOKOSOANA.SASA KAMA KUNA WATU WAMEKUKOSOA LAKINI HAWAKUKUVUNJIA HESHIMA NAOMBA USIKILIZE MANENO YAO NA KAMA UNAUWEZO WA KUREKEBISHA HILO SWALA UREKEBISHE KWA MANUFAA YAKO BINAFSI SIO YAO.KOZI ZA ENGLISH HAZICHUKUI MDA MREFU NA NI VIZURI KWAKO WEWE BINAFSI KWANI LEO HII AJE MMOJA KATI YA WACHEZA FILAMU WAKUBWA DUNIANI NA WEWE NDIO UCHAGULIWE KWENDA KUONANA NAE JE UTAFANYAJE? NDIO UTACHUKUA MKALIMANI LAKINI HUONI KWAMBA ITAKUWA NAFUU ZAIDI KWAKO WEWE KUWASILIANI NAE MOJA KWA MOJA BINAFSI? MANAKE WEWE NDIO SUPER STAR KAMA UNAVYOSEMA SASA AKILETWA MCHEZA FILAMU KUTOKA NJE WEWE SI UTAITWA KUTUWAKILISHA?VITU KAMA HIVYO NDIO VYA KUFIKIRIA KAMA UNATAKA KUJIENDELEZA ZAIDI KWENYE KITENGO HIKI.KILA KITU KINAWEZEKANA NI JUHUDI ZAKO WEWE BINAFSI ZITAKAZO KUFIKISHA JUU YA HAPO ULIPO SASA.
    USIKATISHWE TAMAA NA MANENO YOTE HAYO KWANI UNAVYOKUWA"CELEBRITY" KAMA UNAVYOSEMA NI JAMII NZIMA INAKUANGALIA WEWE NA HUWE TAYARI YA KUMWAGIWA SIFA NA PIA KUKOSOLEWA WAKATI WOWOTE HULE.
    NAKUPA MFANO MDOGO WA MWANAMUZIKI "RICK ROSS" ,MWENZAKO ALIAMBIWA NA KAMPUNI YA GUCCI KWAMBA MAWANI ALIOVAA KWENYE NBYIMBO YAKE NI FEKI KWANI WAO GUCCI HAWAJAWAHI KUTENGENEZA MAWANI KAMA YALE.NA HII IMETOKA KWENYE KAMPUNI YENYEWE SIO WATU BINAFSI NA BAADA HAPO ALISHAMBULIWA KILA KONA NA WAANDISHI WA HABARI.KWAHIO VITU KAMA HIVYO NI KAWAIDA UNACHOTAKIWA KUFANYA "JUST MOVE ON WITH YOUR LIFE" N ALWAYS CHALLENGE YOURSELF FOR MORE THAN WHAT U HAVE AT THE MOMENT.
    MDAU msema kweli.

    ReplyDelete
  54. hakuna lolote kanumba aliongea standard..nyie mnaobisha pitieni humu michuzi muone watu wanavyobofoa kiswahili..hovyo hovyo tu kiswahili eti majuzi WAALIMU AMA WALIMU..watu hawajui and it didnt reach even a single conclusion leo mnasema english hamna kitu kanumba songa mbele tena tunataka picha lako jipya jipya... hawa watu hata ukifanikiwa bado watazua jipya maroho meusiiii tu...ila usijali hawa ni wachache sana tena wadogo kama sisimizi ila midomo tu ndiyo mirefu kama tembo...

    ReplyDelete
  55. Kanumba na wengine wote nataka niwafahamishe kuwa ukiongelea watanzania kwa kutaka kutafuta maendeleo au maoni au chochote you should expect criticism maana yake wanatanzania ni wa zuri sana kwa kuponda kusaga ku critisize. Sasa cha msingi wewe ni kufanya unachujua unafanya vizuri na kusikiliza yale mawazo amabayo unaona yana busara na yanaweza kukusaidia sisi kwa sisi hatupendani kabisaaaaa. Kiinglishi sio lugha yetu na hii yetu wenyewe pia watu inatushinda.

    Mdau Toronto, ON

    ReplyDelete
  56. hapa naona kidoogo watu tunashindwa kuelewana. Issue ilyokuwepo kuwa bwana Kanumba kiingereza kinampiga chenga, na mtu ukiambiwa ukweli unatakiwa kuufanyia kazi na sio kulalamika na kutia huruma kama vile umeonewa. Na ukweli siku zote unauma. Issue ilikuwa Kanumba kashindwa kuelewa swali aliloulizwa, mpaka kafanya kuuilzwa mara tatu lakini bado kashindwa kuelewa, hilo ndo tatizo. Accent sio tatizo, muhiindi au mnigeria wana accent za kikwao lakini wako fluent na pia wana uelewa wa lugha, kitu ambacho mwenzetu hana. Kubali ukweli Kanumba kuwa pale una udhaifu na uufanyie kazi

    ReplyDelete
  57. Ebwana wabongo ni nuksi! Huu upuuzi hautaisha! Nimecheka nusu nijikojolee, ndo maana wabongo tunang'ang'ania kukaa mtoni, kwasababu huu upumbavu hautaisha! KWA TAARIFA YENU HAMNIJUI, SIWAJUI, NTAKAA MAREKANI MPAKA NIFE, BONGO SIRUDI NG'O, NG'O, NG'OOOOOO!

    ReplyDelete
  58. Kanumba i watched your interview clip. (Exlusive with Michuzi).As a matter of fact i was certainly stunned .Unbelievavble! You went from whining,playing victim, seeking public sympathy ,emotional to being Kanumba the prophet .Kanumba it's the tone of your voice too. You are almost breaking down if not melting down.Atleast that is what i have noticed in this exclusive thing.
    Kanumba,one thing i would advice you, DONT TAKE ISSUES PERSONAL.It's so obvious to me that you never recognised that being a celebrity is not always caviar and champagne as usual.It would take lots of courage,persiverence and skills in dealing with issues .Stuff like,but not limited to stress, media,criticism,PR ,Tabloids .Some times it can get really into your skin.This experience , personally and relatively speaking i think is nothing! Fame would bring all sorts of issues with it.Most of it would always tickle your ears,Makes you feel good and ontop of the world. On the flip side it could bring you a tornado of shame if mishandled .Personally i believe that you have taken it so personal and have gone too far with it ,Simply because of folk's and media comments.I dont beleive as you are suggesting in your interview that ppl hate you.That is being paranoid! Certaily not!.I think there is a thick line between HATE and JELOUS,on one side and a DIFFERENT OPINION on the other! I thing you are nothing but used to showers of one sided positive complements from your folks This time around the same folks are voicing genuine critical opinions,you are freaking out and almost getting a heart attack.To suggest that ppl hate you especially now that this drama is unfolding ,personally i think you are being naive .Its unfortunate so to speak!Ppl have the right to express positive or negative opinions especially in domains like michuzi.They are not obligated to stay mum for fear of offendng Kanumba.Criticism is inevitable as much as there is praises.Certaily you cant stop it .That is the nature of public fame .Get used to it Kanumba,cause the higher you go the wort firestorms you are likely to face.This is just the beginning
    Stop wining and crying Kanumba,you should know better by now.There is always the flip side to the goodside of fame.Get yourself together and move ahead
    Who said that its easy being a celebrity? Kanumba, if you think this experience was nasty and extremely hurting,i think you better think twice about your career, b4 you get it in six feet under altogether
    Personally i think you are extremely gifted .You have got plenty of potentials in your field.
    Am not suggesting that you are the best.Kanumba,with a gift/talent like yours it would be great to polish it first as opposed to allowing fame and false coplements ruin your God given talent.Dont be naive in other words
    You are amazingly talented and you would make a very successful actor if you took time to learn more technical skills
    Kanumba it's not the end of the world,yes your English skills are not that good ,yes you stained the image of yourself and that of Tanzania with it.Whatever happened in the big brother house would not take away your natural acting gift,period!.On the other side there is no issues in sucking it up. You messed up with your English language performance in the house.The circulating clips are showing it all(including youtube) .Everybody learns from somewhere.Most important we all learn from our mistakes.Kanumba, you would not be exceptional for that matter.I have so much confidence with you that you would stop whining and seeking public sympathy to learn from the mistakes you made,like any other individual on earth.YES YOU MESSED UP! SUCK IT UP! MOVE ON! KNOW THAT NOBODY IS PERFECT EITHER!
    Kweliman

    ReplyDelete
  59. Kanumba! Kama Kiingereza hujui ni jambo la kawaida tu. Kama unaona watu wanakuchallenge, ACHA KUKITUMIA. Kama kiingereza lugha yako ya 3 basi usichanganye lugha yako ya kwanza na ya 3. Changanya ya kwanza na ya pili, YAANI kiingereza na kisukumuma. Muulize kaka yako RAY KITAMBI, amekubali hajui kiingereza kabonyea. Mara ajiite the the most greatest, mara the greatest. NYIE WASANII MNACHEMKA WENYEWE, ongeeni lugha moja mueleweke, mkichalenjiwa mnaruka wakati mnayataka wenyewe. Kama unajua watakaosikiliza au kuangalia hii clip michuzi aliyoiweka ni watanzania na wengine hawajui kiingereza kwanini unachanganya kiingereza na kiswahili. ONGEA LUGHA MOJA BANAAAA! AU VIPI WAJAMENI??

    ReplyDelete
  60. MIMI NAKUSHAURI KUNYWA SUMU UJIUE,MAMBO YAISHE

    ReplyDelete
  61. Hafu wewe unayesema kuwa eti ni Mkenya ulikuwa hujui kiswahili na sasa Watanzania wanakuletea watoto wao ili uwafundishe Kingereza, KWANI WAKENYA MNAONGEA KINGEREZA TOKA LINI? NAE TUNAWAONA HAPA USA MNAHANGAIKA NA KINGEREZA CHENU KIBOVU, HAMNA LOLOTE HAKUNA LUGHA YOYOTE MNAYOIONGEA VIZURI MAZUMBUKUKU WAKUBWA NINYI TENA UNATAFUTA NINI KWENYE BLOG YA WABONGO?

    ReplyDelete
  62. Nendeni www.bongocelebrity.com ipo clip yake ndogo. Kingereza chake sio kibaya ya hivyo,at least anaongea lugha 3.Na kingereza alichoongea ni accent ya kitanzania,ukisoma shule za pata sote wengi wetu tuna mungunya tu. Hawezi kuwa na accent ya kimarekani au kingereza,mfano ukimsikiliza mportugese au mfaransa wakiongea kingereza,vingereza vyao ni vibovu kwa sababu sio lugha yao.

    ReplyDelete
  63. Kanumba hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee waKILISHA MWANAWANE achana na mazaga uzembe ya wabongo wabaya,umeshawaacha hao wamebaki wanalia lia tu ntoke vipi ntoke vipi watimulie vumbi hayoooooooooooo timua timua moja mbili tatu aliyechoka anywe thumuuuuuu

    ReplyDelete
  64. kwa anon wa Thu sept 10, 10:24:00 pm, hivi wewe una digest mada ama unachapia tu? hivi wewe ulivyoona kwani Kanumba kabisha kwamba hajui inglish? yeye anelewa eti kuwa inglish ni lugha ngeni...alichosema yeye ni kuwa hakutegemea style ya kuwakilisha ujumbe kama ingekuwa ya namna hiyo kwamba ingekuwa na taste ya chuki na masimango. Tena tushukuru kuwa kwa kijana wa kitanzania ambaye amesoma shule za akina sisi watanganyika bado ametoka tungemwambia tu kuwa Hongera hadi hapo ila ukiboresha zaidi itakuwa swaaafi..sasa sisi tunajaribu ku pull down. Madame Rita na akina Masta J walikuja kihivyo tukalalamika HIVI SISI TUKO WAPI? TUNAKWENDA WAPI? TUMETOKA WAPI? TUNATAKA NINI? TUTAFIKAJE? NA TUTAFIKA LINI? HIVI TUNA AKILI SISI?????? hovyo hovyo sana

    ReplyDelete
  65. KANUMBA KAKA KAZA MWENDO SAFARI NI NDEFU ACHANA NA WASUUZA VINYWA

    BONGO MAISHA YETU TUNA ROHO YA KWANINI NA SIJUI ITAISHA LINI NA NILIWAHI KUSIKIA KUWA TUMELONGWA NA ALIETULOGA KESHAKUFA

    MNATAKA KUMZODOA KANUMBA KWA LUGHA AMBAYO SIO YETU WAUNGWANA AMKENI ANGALIENI NCHI ZA WENZETU WANAJALI LUGHA ZAO UKIWAINGIZA HICHO KINGILISHI HAWAMO KABISAAA

    KANUMBA ENDELEZA LIBENEKE NA KWA UPANDE WA MAENDELEO BONGO TUJISAHAULISHE KIDOGO TUJIFANYE KAMA TUPO USINGIZINI KWA MAANA HAKUNA MAENDELEO ZIRO

    MDAU UHOLANZI ......MICHUZI KAKA NAKUALIKA FUTARI IJUMAA

    ReplyDelete
  66. haha hata kiweb site chake kakitoa hewani, alikuwa ameburuza kiinglish hukoo mpaka ukimaliza kusoma Bio lazima kichwa kiume!
    bora kakifunga

    ReplyDelete
  67. kama mlipata bahati ya kusomeshwa kiinglish bado hamlisaidii taifa maana IQ zenu ni ziro. Kama elimu ya kiinglish ingekuwa imewatoa mngejua kuwasilisha maoni yanayojenga. Sasa kanumba kama amesoma kwa taabu na inglish inamsumbua kama mnavyodai ingawa ni UONGO bado anawakilisha taifa ndiyo maana hata mataifa yanatambua mchango wake katika sanaa..jiulizeni nyinyi mliofumua excellent katika kiinglish mnatusaidiaje zaidi ya I love you so much kunako vijumba vidogo vidogo! mgekuwa mnalisaidia taifa mngejua kuheshimu kazi za watu wanaotuwakilisha ama sivyo tokeni nyie basi.lakini Mwenyezi Mungu si Athumani ndiyo maana hakupi vyote maana angewapa na vipaji kama vya kanumba kwa maroho yenu meusi mnge nyonga kila mtu ili muishi peke yenu..ehee hapo ndiyo mnanywea..kiinglish kina darasa lakini sanaaa unazaliwa nayo...kufeni sasa....kanumba songa mbele

    ReplyDelete
  68. pita pita humu nimegundua kanumba ana wapenzi wengi asilimia 95% ya watoa maoni wako positive kwa jamaa...kanumba kaka jinyamazie kweli aliyesema adui zako wadogo na wachache kama piritoni anakujua aminia

    ReplyDelete
  69. Stop whining Kanumba .Maji ya kimwagika hayazoleki kaka sasa ndo yashamwagika ivyo.We all know that u messed up just accept it and move on..

    ReplyDelete
  70. Kanumba kutoongea english nzuri ni kitu ambacho watu wengi wenye ufahamu au wenye kuifahamu biography ya kanumba walikitegemea..Ikiwa Raisi wenu aliyekuwa vice president wa student association pale UDSM enzi hizo... waziri wa mambo ya nje....mpaka kuwa president bado english yake sio nzuri why not kanumbaa... Nafikiri kwa manufaa yake pamoja na ya nchi pia kama star kujua english kuna umuhimu maana anaweza kuitangaza nchi vizuri pale inapobidi... Michuzi mwenyewe english utata mtupuuuu... SOMENI JAMANI ACHACHE KUTOMBOKA TOMBOKA .. USIBANE KAKA COMMENT

    ReplyDelete
  71. kanumba usijali wala nini mwanangumwenyewe!! hao wote ni wivu tu hawakupunguzii chochote sisi watanzania tunakufagilia sana.
    wana wivu sababu unawazidi kwa mengi. kwanza una access na mademu wakali wakali na una mawe vilevile. wao watangazaji wanaokuponda wanakuonea gere mara leo jokate kesho irene uwoya keshokutwa wema sepetu keshokutwa nargis mohamedi na kama unawagongea totozzz zao hapo ndo tabu kabisa ndo mana wameona wamepata pa kukumalizia kumbe wanajimaliza wao. usijali mwana kata mawimbi, mwaga wese kama ndege aliyopanda michuzi ilivyomwaga wese pale schipol.
    halafu michuzi nae kwa ushabiki mhh simuwezi. huu wote ushabiki tu.
    sasa michuzi tuwekee clip ya alivyokuwa anaongea kule big brother basi wataalam wa ughaibuni tumsaidie kuichambua kisha tuwaponde wanaomponda!!

    ReplyDelete
  72. Mtoto wa CoastSeptember 11, 2009

    Pole sana kaka Kanumba maana naona umeumia sana!
    Watu hawana haja ya kukutusi wala kukutungia yale ambayo hukusema. Kujua au kutojua kiingereza ni mitazamo ya kila mtu na husasani kwa wale walioangalia hicho kipindi.

    Hata hivyo, Wachambuzi wengine wa harakati za maendeleo ya jamii wanaona kuwa hata mapokezi uliyoyapata kwa kutoka kupasha joto BBA hayakuwa ya lazima!

    Rai ilishatolewa kuwa watu wanaorudi nyumbani wakiwa na shahada za uzamivu za vyuo vikuu au nishani za kutukuka kwao katika tafiti za kisayansi na au ujasiriamali ndio wanafaa wapokelewe kwa nderemo hapo JKN Airport na pia wakaribishwe Wizara yenye dhamana na hata Ikulu ikiwezekana kuwasilisha Tasnifu na au mafanikio yao kwa KISWAHILI kwa jamii ya Watanzania.

    Ni watu kama hao wanatakiwa kupewa 'exclusive inteviews' ili tusaidiane nao ama kupunguza umaskini au kuboresha maisha ya Mtanzania kwa kutumia dhana, mbinu mpya na mashauri wanayoyawasilisha kupitia maandiko na au kazi zao zilizokubalika kimataifa.

    BBA kamwe haituboreshei maisha Waafrika! Hata kana ni kwa ajili ya kufurahisha basi akina joti na hata Makamaredi wa Redikulasi wa Kenya na wenzao mbona wako juu kinoma kuliko yatokayo mjengoni mwa BBA?
    Tupendane na tupende KWELI na KWELI itatuweka huru maishani.

    ReplyDelete
  73. usitafute sympathy umelikoroga kulimeza chungu eeh??? bla bla namuachia mungu kwani yeye ndo alikutuma kule ukauze sura? ona ulivyoumbuka ulitaka upongezwe kwa kipi haswa? utuaibishe kwa ununda wako halafu unataka tukupongeze eboh?? kwani we richard umeleta mafweza au fedheha nenda kachukue kozi haraka usidhani ati kwa vile una kajina flani hapo bongo ndo hupaswi kwenda school nenda haraka na ukome kujilinganisha na kina antonio bandera koffii wale wanaongea lugha za kueleweka spanish na french sasa wewe unatuletea ushuzz wako hapa ati kisukuma sijui nini we ndo mbu mbu kweli basi kina celine dion wasingejifunza kiinglish kwa vile ni macelebrity wangeuchuna tu kina shakira woote hao wameenda darasa la kiinglish na wako juu kuliko wewe acha ufala ukitaka lia ukitaka nyamaza habari ndo hiyo
    miss michuzi

    ReplyDelete
  74. TUPE CLIP YA KANUMBA BBBIV. SIWEZI CHANGIA SIJUI ALIONGEA NINI.

    ReplyDelete
  75. jamani kinachoniachaga hoi ni watu kupenda kuji-justify na kumuingiza Mungu hata pasipohitajika!msilitaje jina la Munguhovyo jamani heee..hee! oh YESU alivokuwa anakufa..wewee kijana umekuja kutangaza injili?sio vizuri hivo!usitafute sympathy kwa watu..binadamu ndo tulivo mtu ukiburunda wanakuponda, ndio tulivo hakuna cha utz au taifa gani hii ina apply dunia nzima..Obama mwenyewe anasemwa who r u kanumba usisemwe???..ila kaka umenichekesha ..eti wanakujudge mpk mavazi...wewe si celeb??ndio dawa yake hio! huoni mpk wakina Britney SPears wanachanganyikiwa?unafanya mchezo eh?sasa basi pia improve kwenye mavazi..ile picha ya juu na john mashaka uliyotuvalia kiatu grey kofia yellow na shawl ambayo hata haijaendana na mavazi..neway tuachie hapa kwa leo ila ndo dunia ilivo baba..all the best and im still your fan!

    ReplyDelete
  76. USITUZUGEE WEWE NENDA ENGLISH COURSE KUBALI YAISHE,,,NOMA BABA DUU UNALIA WAKATI KWELI HUJUI

    ReplyDelete
  77. KANUMBA UNAZIDI KUJICHORA ACHA STATISTICS ZAKO ZISIZO NA KICHWA WALA MIGUU, ANTONIO BANDERAS ANA ACCECENT COACH, SALMA HAYEK NAYE ANA COACH WA KUWATENGENEZEA ACCENTS WAKATI WANAACT KWA SABABU WANA ACCENTS NZITO ZA KILATINO, ACHA UJINGA WA KUSEMA ETI ANTONIO BANDERAS HAJUI ENGLISH, WANAKUWA COACHED NA KAMA HUJUI TAFUTA INTERVIEW YA SALMA HAYEK ALIKUWA ANAZUNGUMZIA UBAGUZI WA HOLLYWOOD KWA ACTORS WALIO NA ACCENTS ZA KWAO UNAONGEA NINI BWANA, SALMA ALISEMA KABISA KAMA ISINGEKUWA UZURI WAKE LEO HII ASINGEKUWA HOLLYWOOD, WALATINO WOTE MAREKANI WANAKOSA KAZI HOLLYWOOD KWASABABU YA LUGHA, NENDA SHULE BWANA USIANZE KUJICOMPARE NA AKINA BANDERAS, ETI HAJASEMWA WE UNAJUAJE, CARREER ZAO ZILIANZA HATA KABLA HUJAWA STAR UNASEMA HAWAJASEMWA! USIONE WATU HOLLYWOOD WANA ACT UKADHANIA ILIKUWA RAHISI, THEY HAVE BEEN THRU SHIT KULIKO WEWE, ETI LEO UNAAMBIWA UKWELI UNAANZA KULIA HIVI UTAFIKA UNAKOTAKA KWELI WEWE, HAUKO SERIOUS KABISA,UNALIA UNALIA NINI SASA HUKUJUA CELEBRITY IS BOUND TO BOTH NEGATIVE AND POSITIVE CRITICISM, UMEZOEA KUSIFIWA KILA SIKU HUJAZOEA UTAMADUNI WA KUKOSOLEWA, KWELI UNA SAFARI NDEFU SANA.
    -Mdau Mage.

    ReplyDelete
  78. Kanumba kama huwezi kuhandle critism kama hizi toka kwa watu usitegemee utafika mbali na hiyo fani yako ya uigizji, majina makubwa ya ucelebrity mnayataka, mkikosolewa mnasema eti watu wanakuonea wivu, leo umetoa hii exclusive interview yako kutafuta sympathy, unalia eti unachukiwa, we uende ukafanye madudu yako huko watu wakae tu kimya halafu unatuachia jina baya watanzania, ndio nakulaumu wewe na wasanii wengine wote ambao mnataka mafanikio ya haraka kwa kulipualipua mambo, hivi leo karne hii celebrity kama wewe unadiriki kusema eti siwezi kuongea slang, kwani umeambiwa uongee slang hapa, slang sio kiingereza hata bongo kipo, umeambiwa kiingereza hakipandi period, we mtu mzima unaulizwa "whay aren't you eating" unasema eti "I'm closing because I'm islamic", halafu unataka tukae tu kimya mtuburuze kama wajinga, no no no, hao wanaojidai eti kanumba achana nao wana wivu ndio wanaochangia kuabika kwenu. Na nyie Multichoice kwani celebrity ni Kanumba peke yake hapo bongo, mmeshindwa kutafuta mtu mwenye exposure ambae anajua kujielezea vizuri jamani, Kanumba tumeona conversations zako zote kwenye big broter, literaly hukujibu swali hata moja likaeleweka, ilikuwa aibu, we lia, nuna mpaka upasuke you were an embarassment, kuwa na accent na kujua lugha ni vitu viwili tofauti, hukuchapia accent umechapia lugha, huijui period. Kwa kujibu swali la hao wapambe wenzio NDIO tunahitaji lugha ya kiingereza kupiga hatua.

    ReplyDelete
  79. Miss michuzi naungana na wewe kabisa, shida ya hawa mastaa wa bongo wanadhania kila mtu hajaenda shule kama wao, kina celine dion wote kwenye interview zao wanasema kabisa they had to learn English, jamani si watu muwe hata mnaresearch hata mastaa wa kimataifa wamefanyaje sio mtu mzima unakuja kulia lia kwenye interview eti lugha yangu ya kwanza kiswahili, ya pili kisukuma na ya tatu ni English, hivi we kanumba huoni hata aibu kutoa huo utumbo wako mdomoni, wewe ndio unataka kuwa celebrity wa kimataifa siku moja unasema eti lugha yangu ya pili kisukuma, ya tatu English so what, kama inahitajika kwenye fani yako si ukubali tu ujifunze bwana, ujue unapotoka ukienda kwenye reality show za kimataifa kama za big brother unatuwakilisha sisi kama watanzania, sasa wewe ukatoe utumbo wako huko eti tuje kukupokea airport na mataji shingoni haiwezekani, na hao hao waandishi wa habari wanaojitia kukutangazishia wema na kukupigia debe eti umeonewa ndio wanakumaliza, we endelea kuwasikiliza tu, mnajiita eti the great wewe na huyo mweupe mwenzio Ray kumbe hamna lolote, punguzeni majidai, jishusheni, fanyeni reasearches, someni mjikwamue na aibu kama hizi.
    -mdau Mnoko.

    ReplyDelete
  80. KANUMBA TAFAKARI KABLA HUJAFANYA MAHOJIANO NA WAANDISHI WA HABARI.
    USIKUCHULIE JAMBO HILI KATIKA PERSONAL BALI ANGALIA KATIKA ANGLE NYINGINE NI WAPI UNAHITAJI KUREKEBISHA MAMBO.
    KWA MSANII MAHIRI HUWA HAWALALAMIKI WANAPOKOSOLEWA, BALI WANATUMIA NAFASI HIYO KAMA KIOO CHA KUJITAZAMA NA KUREKEBISHA MAMBO.
    WATANZANIA WAMEONA NA SASA WANAKUAMBIA KUWA KUNA TATIZO KATIKA 'UFAHAMU' WA LUGHA YA KIINGEREZA (SI KUONGEA). UNAWEZA KUONGEA HATA KIINGILISHI KILICHOVUNJIKAVUNJIKA, LAKINI UNATAKIWA UWE UNAUFAHAMU MZURI (REASONABLE) WA KUELEWA LUGHA HIYO.

    USHAURI 1:
    POKEA MAWAZO NA KUYAFANYIA KAZI HATA KAMA UTAONA KWA SASA NI 'CHUKI BINAFSI' LAKINI UNAJAMBO LA KUJIFUNZA KUTOKA KATIKA JAMII HII AMBAYO UNADAI IMEKU-DISAPPOINT.

    USHAURI WA 2:
    JARIBU KUTAFUTA MSHAURI/WASHAURI (HASA PSYCHOLOGISTS - AMBAO WAMEJAA TELE BONGO) AWE ANAKUSAIDIA KUTAFAKARI MAMBO KABLA HUJAYATEMA KWENYE PUBLIC, HIYO CLIP ILIYOPO HAPO JUU IMEKUANGUSHA SANA UMESHINDWA KUTUSHAWISHI KWANINI HATUNA HAKI YA KUKUSAHIHISHA KAMA MWAKILISHI WETU?

    ReplyDelete
  81. 01:34 Recorded Hata Misoup Amemsahihisha 02:13

    02:27 Nimezungumza Broken English

    03:20 We Have To Be Proud Of our Self/ves

    05:50 Lugha Ya Kiinge-Leza

    06:00 Kiinge-reza kwangu ni Lugha ya 3

    06:50 Michuzi Anamcheka

    07:10 Yesu

    07:55 Nabii Hakubariki Nyumbani Kwako Ila Ugenini


    Kitu Nilichoona mimi, ni tabia ya yeye Kanumba kushindwa kukubaliana na fact kuwa yeye ni celebrity. Macelebrity huwa wana-andamwa na kila aina ya kashfa na sio mambo mema, na siku zote Duniani Jambo Jema utendalo hujificha yale mabaya yote huwa yanaonekana.

    Pole Kanumba wamekuvamia leo Hii, Lakini mi sidhani kama yamekuumiza sana kutokana na muonekano wako hapa kwenye VIDEO na Picha zako. Kwa Kuwa Umeshamaliza na Ukweli unaujua basi kwa wahasama wako wote waonyeshe kuwa you can be better, Do something to amaze them, English sio Lugha ya jamii lakini ni international language which i believe we should learn how to speak't and even writing it, It is very possible that leo ukaitwa kutoa speech mbele ya kadamnasi ya maceleb wenzako nchi za watu, sasa utaongea kiswahili!? bado hujafikia level ya kuongea kiswahili ambacho utawafanya wenzako watafute wakalimani. Songa taratibu tutafika tuu.

    Mimi nimeona makosa machache ambayo hapo kwenye interview yametokea, lakini hayo tuyaache angalia timeline utaona ni nini namaanisha.

    Hongera kwa kuwa celeb, na kufikahapo ulipofika Kumbuke even Fergie "Black Eyed Peas" alisema "WHEN I GROW UP" and "BE CAREFUL ON WHAT YOU WISH FOR".

    B.

    ReplyDelete
  82. WANANCHI,
    NIMESOMA MAONI MENGI HAPA NA LABDA NITATOKA NJE YA SUALA LINALOJADILIWA, MIMI NI MTANZANIA AMBAYE NINAISHI AMERIKA KASKAZINI KITU NILICHONA HAPA NI ILE KAULI YA WABONGO HIVI WABONGO VILE AU WATANZANIA HIVI AU WATANZANIA VILE, HIZI NI TABIA ZA KI UBINADAMU POPOTE PALE ULIPO KWA HIYO MPAKA HAPO SI SAWA KUSEMA HIVYO HUKU UNAPOKUWA MSANII NDIO UMEKUBALI KUWA NI KIOO CHA JAMII KUNA MAZURI MENGI NA MABAYA MENGI AMBAYO PUNDE UTAKAPOYATENDA UJUE UTAANIKWA TU HADHARANI,TOM CRUISE ALIPORUKA JUU YA MAKOCHI YA OPRAH HADI MATANGAZO YA DHIHAKA NA KASHFA YALITENGENEZWA, JOHNNY DEPP ALIPOTOA TIP YA DOLA ELFU KADHAA KWENYE MGAHAWA ALIOHUDUMIWA KWA WAFANYAKAZI WOTE ILITOLEWA KWENYE VYOMBO VYOTE VYA HABARI PIA, KWA HIYO NI MAMBO YANAYOENDANA NA UMAARUFU KWA HIYO PUNDE WEWE AJIRA YAKO IKIWA INATOKANA NA WATU KUINGIA MIFUKONI MWAO NA KUNUNUA HUDUMA UNAYOUZA PIA UWE TAYARI KWA SIFA, KASHFA, MATUSI, PONGEZI KILA KITU, HII SIYO TABIA YA WASWAHILI, WATANZANIA, AU WENYE WIVU NI TABIA YA KIBINAADAMU POPOTE PALE DUNIANI, TENA KINA KANUMBA WANA BAHATI SANA HUKU PAPARRAZI PUNDE WAKIPATA PICHA YAKO UKO MSALANI WATAITOA KESHO YAKE, HIYO NDIO AJIRA MLIYOCHAGUA KIFUNZENI KUISHI NAYO, MDAU CANADA,

    ReplyDelete
  83. village paster sasa umeshasikia warusi au wachina au wafaransa wanawasema viongozi wao hawajui kiingereza????
    mambo ya kujivunia vyao na kuzarau vyetu.

    kaza buti na mausomi yao wanatuzidishia njaa

    ReplyDelete
  84. Kanumba kaka pole sana kwa misukosuko hiyo ndio sehemu kubwa ya ajira yako inabidi ujue utamu na uchungu wake, ni jambo ambalo huwezi kuepuka na litakuwapo daima, umetoa mfano hapa, ANTONIO BANDERAS, Sio yeye tu wapo wengi, PENELOPE CRUZ, JACKIE CHAN, JET LI, RUTGER HAUER, ANORLD SCHWARZENEGGER, kwa mifano ya karibu wote hao kiingereza sio lugha yao ya kwanza na mpaka kesho bado wana lafudhi ya lugha zao za kwanza lakini ENGLISH yao imenyooka bila kuiga lafudhi ya kimarekani, huo ni mfano mzuri sana wengi wao walienda hollywood bila ya kujua KIINGEREZA pengine kabisa au kubabaisha lakini kutokana na fani yao ilibidi waweke juhudi binafsi kujiboresha ili waweze kukabiliana na ajira zao ki PROFESSIONAL, kwa hiyo kaka wazungu wanasema kisichokuua kinakupa nguvu zaidi kaza kiatu fanya mambo kutokana na wakati unavyo demand, kozi ya kupiga msasa mawasiliano siyo wazo baya kabisaa uwezo unao.

    ReplyDelete
  85. Jamani Kanumba, katia huruma, yaani mimi sijaona hiyo clip nipo Texas, lakini hata kama ameongea broken english, tungetakiwa kumweleze kwa vizuri kuwa atafute course yakubrush lugha yake ya pili na wala sio kumkashifu, wala sijui hiyo Big brother ni kitu gani but whatever that it is yeye ndio kaenda kuwakilisha nchi yetu kama celebrity, na hatuna celebrity mwingine ambaye is better than him ndio maana akawa amechaguliwa, kwa hiyo jamii inatakiwa kum-support ili afanye better next time, but whatever he did we should proud of him period. Watu acheni wivu. Kanumba keep it up, napenda ku-watch movie zako especially uki-act na Kigosi.

    ReplyDelete
  86. mi nina ushauri ni kwamba Mr. Kanumba sijui kayumba we endelea tu na maigizo ya kiswahili achana na project za kingereza mpaka utapoamua kusoma lugha hiyo na kuwa tayari kuitumia la sivyo utapoteza ulichotengeneza kwa muda mrefu. Pia, jitahidi kuweka uzito kwenye maneno au ujumbe wako, You sound very shallow avoid kukurupuka, kama hii clip umeitoa kwa kukurupuka I dont think you tried to seek advise before going on air, bcoz you just didn't make no sense rather than whining and blaming wabongo instead of accepting the fact..your personality is a little off you might wanna work on it, why would the public lie on you!
    You know yourself your English proficiency i believe that is why you took your personal website down so people can't access your Biography that was also poorly written
    Get it together my friend, stick to what you do best(maigizo ya kiswahili) and weigh the consequences before hoping on any new ship!

    ReplyDelete
  87. KANUMBA NG'WANA WA MAYU, U R A CELEBRITY THEREFORE MAMBO YA KUTUPIWA VIJEMBE NI YA KAWAIDA SAAANA. U NEED TO BUILD A THICK SKIN OTHERWISE UTAPATA PRESSURE YA BURE. BUT IF U THINK KUNA UPUNGUFU FULANI, UFANYIE KAZI THATS ALL. I KEEP UP WITH UR MOVIES EVEN THOUGHT AM THOUSANDS MILES AWAY...I LOVE UR MOVIES CAUSE THEY ARE PROFESSIONAL COMPARE TO OTHER TANZANIAN MOVIES.

    ReplyDelete
  88. Kanumba mdogo wangu pole sana take it easy, unajua ukishakuwa super star mambo kama hayo yapo inabidi ukabiliane nayo lazima kuna watu watakaokufagilia na wengine watakuponda you just smile for everything ila tu ushauri wangu yale ambayo hayana ukweli ndani yake achana nayo ila ambayo yana ukweli yafanyie kazi.Hilo swala la mastar wenzio wabongo wanaotaka kupeleka malalamiko yao kwa Rais they are just wasting their time waachane na hilo.Binadamu wapewa midomo kuzungumza hata ufanye jema lipi wapo watakaoponda tu.So take it easy my Bro usiwaruhusu wakuletee pressure bure kijana mdogo you still have a long way to go KAZA BUTI.

    ReplyDelete
  89. kanumba waswahili kule tanga tuna msemo tunasemaga yalioyomfika peku, ungo pia humfika, sasa ni zamu yako kaka maliponi hapa hapa duniani ulimdahlilisha wema sepetu ukadhani Mungu emlala usingizi, haya kaka now it is your turn.

    mdau Mexico.

    ReplyDelete
  90. KANUMBA KUNA WATU WAKO TOXIC KULIKO COBRA NA 8 TOXIC PERSONALITIES HIZI HAPA UKISHAZIJUA TU BASI WEWE HUBISHI, HUKATAI, WALA HU COMMENT ILA MAMBO YAKO YASONA MBELE..MBELE...MBELE ZAIDI: http://shine.yahoo.com/channel/life/8-toxic-personalities-to-avoid-461078/

    ReplyDelete
  91. We Kanumba mbona unasound kama mtu asiye na confidence! Lazima ujue kama umekuwa public figure watu watasema tu.....je utakuwa ukilialia kila siku?..Basi wewe mwenyewe ndo unawapa watu fursa ya kukudisapoint. Peace of advice-wabaya wako wanapokuona weak ndipo wanapopata nguvu ya kukusakama. AMKA GANGAMARA KAMA MWANAUME JIFUNZE KUONGEA MANENO MAFUPI NA YENYE COMAND KWA MFANO "I DID WHAT I HAD TO DO-SO WHAT!","AND YES I DONT SPEAK ENGLISH VERY WELL, BUT I AM PROUD OF MYSELF." AND "I REPRESENTED MY PEOPLE, BUT I DONT CARE WHAT THEY SAY" "I AM HAPPY"
    Stop being so Weak and do something about it.....
    Bawa

    ReplyDelete
  92. we mexico wema alijidhalilisha mwenyewe, yeye aliji down grade aka vunja kioo cha gari...akili hiyo unavyoona wewe? uvunje gari la watu uchekewe kisa wewe malkia ...no..unapelekwa tu lupango.kama angekuwa star kweli asingejirahisi kwa mahasira hasira..hiyo ilikuwa saizi yake..

    ReplyDelete
  93. hayo ni machozi ya wema sepetu na badooo labda uende kozi ndo utasalimika vinginevyo utabaki hivyohivyo maimuna na ulimbukeni wako ulimdhalilisha wema ukajiona uko juu leo africa nzima wamekuona ulivyo nunda hiyo ni fimbo ya mungu inakuadhibu ndiyo utie akili

    ReplyDelete
  94. Steven Kanumba usichukulie misemo ya watu kukuumiza chukulia hii kama ni challenge kwako kufanya vizuri zaidi. Kama ulivyosema kiingereza ni lugha ya 3 kwako unaigiza filamu na watu wa Nigeria na kwingine jitahidi si vibaya ukajiendeleza katika lugha hii ukawa unaifahamu kwa ufasaha zaidi. Kama ulivyosema Antonio Banderas hakuwa anajua Kiingereza lakini alijifunza pia ukitazama ma star wa nchi za nje wengi wamepata darasala lauigizaji na huchukua muda mrefu kujifunza mambo mbali mbali. Nikikupa mfano Denzel Washington the first time anapewa role ya kuigiza kama Mpelelezi alichokifanya alitumia muda wa zaidi ya mwezi mmoja kujifunza kutoka kwa wapelelezi mbalimbali waliopo kazini na waliostaafu kujua zaidi kuhusu kazi yao. Sasa nini faida ya hii?! Faida yake ni uhalisia unaouona kwenye movie husika muigizaji anakua kama ni mpelelezi kweli sababu anajua mazingira yote ya kazi husika, kingine jitahidini kujifunza m'boreshe fani yenu haiwezekani wewe mtu mmoja ndani ya mwaka mmoja utoe filamu zaidi ya sita halafu useme ziko katika kiwango bora angalia wenzetu walio na maendeleo makubwa katika filamu kama Will Smith kwa mwaka mzima anaigiza filamu moja mpaka tatu au hata Denzel lakini hapa nyumbani kila kukicha filamu mpya. Kingine mjitahidi kuachana na huu mtindo wa filamu kuwa na part zaidi ya moja bila kuwa na mwendelezo mzuri wa hadithi wataalamu wa fani wapo Bagamoyo, wapo Mlimani kitengo cha sanaa za maonyesho washirikisheni chukueni ushauri jifunzeni nendeni nje ya nchi mjifunze usijiangalie wewe ulipofika kwa kujifananisha na Ray jipime kwa waliokuzidi uwezo utafika. Maisha ni safari ndefu kuna miba, mawe na matatizo lukuki lakini hivi vyote vinakufanya ukomae zaidi chukua ushauri wenye kujenga yasiyo na maana achana nayo kingine nakusisitiza kubali kujifundisha hakuna anaejua kilakitu.

    ReplyDelete
  95. Da pole sana.Watanzania ndo maana hatuendelei, watu wanaogopa kuongea kiingeraza kwa kuogopwa kuchekwa, sasa mtu atajifunzaje?.Unapoongea hata broken ndo unajijengea lugha yenyewe na unajifunza kutokana na makosa.Mbona hata wenye lugha wanapokutana na anaeongea broken hawamcheki na kumdharau iweje sisi watanzania tunachekana wenyewe, acheni hayo ndugu zangu na wote mnaomcheka Kanumba ni maimuna na washamba.
    Mdau UK

    ReplyDelete
  96. Kanumba hakuna kulia hapo,sasa unavyoendaga huko ulaya unakuwa unauza sura tu badala ya kufanya mabo ya maana?poleeeee.
    cha maana acha kulialia nenda british council kanyooshe kizungu acha maringo yasiyokuwa na mpango wakati level za ucelebrity wa ukweli hujafikia.
    Yaani ungekuwa ulishtuka muda mrefu na kukomaza english yaan ungekuwa umetoka balaaa kupitia lile jumba sasa nani atakuchukua hata hujui kujibu express yoself in 5 words, Lol

    ReplyDelete
  97. Siku utakua celebrity wa Afrika ndio utajua maana yake. Camera zitakufuata masaa 24 watakesha nje nyumbani kwako, wataokota hata takataka unazotupa. Bado hujafikia ingawa umerudia neno hilo zaidi ya mara 3 kwenye intavyuu yako.
    Sasa yule jamaa alocheza Blood diamond tumuite nani?
    Na Mzee Small mbona mnamuacha kando?

    ReplyDelete
  98. kwa kweli, first of all most, nataka kusema pole kwa huyo kanumba, lol, but kusema kweli his english was broken! lakini not everyone is perfect in this world. but i think next time they should learn from there mistakes and bring someone who is good enough to represent us well,
    P.S we do not hate you ! :-)

    ReplyDelete
  99. kwa kweli, first of all most, nataka kusema pole kwa huyo kanumba, lol, but kusema kweli his english was broken! lakini not everyone is perfect in this world. but i think next time they should learn from there mistakes and bring someone who is good enough to represent us well,
    P.S we do not hate you ! :-)

    ReplyDelete
  100. i totally agree with ANONYMOUS 12:38 ,,, u have said it all, ubisho umezidi kaka yangu, being a celebrity is not about showing off what u have all the time, its also about expressing urself in a manner that people will understand you! duuh!!! i am very disappointed , in ur english grammar,"i am closed because i am islamic" as in what was that!! but u can also learn from ur mistakes... n do better next time! BY GOING FOR AN ENGLISH COURSE. Poleeeeeee :-)

    ReplyDelete
  101. Dear Kanumba,
    Please do not worry.I live ni Canada, and we love and very proud of you! Kweli sikujua some Tanzanians are so stupid! Lugha yetu is swahili, therefore if you make mistake in English- who cares! Mbona wazungu wanaharibu lugha yetu all the time.
    Brother Kanumba, do not worry because those fools do not know what they are saying! the do not understand the world that each everyone of us should be proud of their language, and mistake using another language is OKAY!
    Go on because we love you, your movies and you make us proud!- Us who real count!!

    love lady D

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...