twanga wakipepeta uwanja wao wa nyumbani, mango garden, kinondoni jijini dar.
Home
Unlabelled
twanga wakipepeta mango garden
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
twanga wakipepeta uwanja wao wa nyumbani, mango garden, kinondoni jijini dar.
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiyo kinyonga ndo kali zaidi ya maelezo,idumu twanga......
ReplyDeleteyeah! wapi Bokilo? Rudi nyumbani uchangamshe aquadi!
ReplyDeleteMabinti mnaweza kazi lakini punguzeni intake ya carbohydrates!
Jesus Christ!
ReplyDeletenakushukuru sana ndugu yangu michuzi kwa kutuwekea haya mambo adimu. twanga kwa kweli hivi sasa wako juu sana. unaambiwa huhitaji kuwa mpishi ndio ujue chakula kipi kizuri. hii rap ya kinyonga ni kali. nawafagilia sana ferguson, kalala junior, dogo rama na halidi chokoraa, wanazidi kumpa jeuri asha baraka. GOOD JOB TWANGA, KEEP IT UP. anko nanihii tunaomba uendelee kutuletea mambo haya, na sisi tuendelee kujisikia kama tuko mango uwanja wa nyumbani.
ReplyDeleteWakata nyonga wakiongozwa na Aisha Madinda bado mnaweza, ila punguzeni HAMIROJO.
ReplyDeletemichuzi hujaskia msiba wa charles massanja?
ReplyDeleteKwani vi-portable hamna huko mliko? Wengine tunapendelea mashape, ma-curves kama hayo bw. Loh! Msichanganye na minyama ya uvivu, si manaona wenyewe, kazi yao wala haihitaji Gym!!
ReplyDeleteHII! MKUU MICHUZI! SHUKURANI NYINGI SANA,kwa uazalendo wa kutuwekea mambo makubwa ya TWANGA PEPETA! Baabu kubwa,hivi ndio vitu vya wazawa!!!! Twanga oyeeeeee!!!!!!
ReplyDeleteSISI WAKAZI WA KINONDONI JIRANI NA HII CLUB YA MANGO GARDEN, YAANI USINGIZI KWETU NI KITU ADIMU. YAANI KWA MIAKA KADHAA SASA TUMEKUWA TUKISUMBULIWA NA HIZI KELELE ZA MUZIKI KUANZIA JNNE USIKU MPAKA JPILI. SIKU PEKEE NI JTATU TU, NDIPO HATUSIKII KELELE HIZI. TUMESHAPELEKA MALALAMIKO YETU SEHEMU ZOTE KUANZIA SERIKALI ZA MITAA MPAKA HUKO JUU LAKINI WAPI.HATUKATAZI KUPIGA MUZIKI ILA WAJENGE KAMA BILICANAS WAJIFUNGIE NDANI HUMO WAENDELEE NA SHUGHULI ZAO NA SISI TUWEZE KUPUMZIKA KUTOKANA NA UCHOVU WA KAZI KUTWA NZIMA.NAWASILISHA.
ReplyDeletelol
ReplyDeleteMichuzi mambo ndiyo haya
unatusuuza roho zetu, sisi tulio mbali.
Asante sana kaka
Mdau
Canada
huyu mdau wa herufi kubwa hapo juu naona anataka kutuharibia mandhari zetu za kibongo. hizo kelele kama zinakukera hama. uzuri wa nyumbani kwetu ni kufurahia muziki chini ya miti na kumbi zetu za wazi. yeye anataka ijengwe bilcanas kinondoni, wangapi wataweza kwenda? mango garden ni uwanja wa walalahoi. jamani huku ulaya tukae kwenye kumbi za kujifungia na woga wa kupigia kelele majirani, na nyumbani nako mseme hayohayo. kwa miaka mingi watu walikuwa wakistarehe kumbi kama ddc magomeni na kata 14 temeke, watu tulikuwa tunasikilizia nje tukipunga hewa wakati huo tukiwa bado wadogo. leo ndugu yangu anasema anapigiwa kelele! twanga endeleeni kuwapepeta, wakileta kelele wakumbuke jinsi mlivyorudi leaders club!
ReplyDelete