Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo akimtunuku Mary Mussa nondo ya kuhitimu kidato cha Nne katika Mahafali ya Kwanza ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Ghomme, ambayo ni ya bweni iliyoko Kunduchi Ununio nje kidogo ya jijin la Dar Es Salaam. Kushoto kwa mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shule Hiyo, Martin Mgongolwa na Mjumbe, Daudi Kisigo. Kulia kwa Luhanjo ni Meneja wa Shule hiyo Dr. Emanuel Malangalila na mjumbe wa Bodi ya Shule hiyo, Prof. Leticia Rutashobya wa UDSM. Picha na PPR.
Meneja wa Shule ya Sekondari ya Ghomme, Dr. Emanuel Malangalila akimpongeza mwanafunzi bora kitaaluma, Hope Myovela
Mjumbe wa Bodi ya Shule ya Ghome, Prof. Leticia Rutashobya akimpongeza Mwalimu Melody



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. watu wana usongo na vijoho!! sijui ni kuwahisha wahisha maana wengine wana wasiwasi kuwa huenda wasiifikie degree na kulivaa joho lenye heshima ya elimu ya ngazi ya dunia(university level).
    haya hongereni kwa tujinondozz twenu twa kidato cha nne. safari bado ndefu,kama mtavaa majoho nadhani mnaipata PhD mtakuwa na majoho lukuki, au mnakodisha nini?
    maana ya kindergaten,primary shool,sec.school,A-level,then wengine chuo cha kati(certificate,diploma),bachelor,master(specialization),PhD, Uh!

    ReplyDelete
  2. vazi linadhalilishwa

    ReplyDelete
  3. Huyo mzee Malangalila anachoma Ankara nini..maana yake angalia rangi za kirastafarae alizonazo kwenye T-Sheti ndani ya Koti,msinihukumu..i was just Curious!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...