Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.





 

Thursday, November 12, 2009
Mzee Ojjiki wa Sunderland na Mary Black Bird hatunaye tena
Joseph Lawrence Ojjiki

Mchezaji wa zamani wa Timu ya Sunderland hivi sasa Simba, Joseph Laurence Ojjiki (77) a.k.a Msalaba, (pichani) amefariki dunia juzi jijini Dar es salaam na kuzikwa Novemba 11, 2009 katika makaburi ya Kinondoni jijini.

Ojjiki aliyezaliwa Juni 02, 1932 alifariki Novemba 08, 2009 baada ya kuugua ghafla.

Mbali na kuichezea timu ya Sunderland pia alikuwa akiichezea timu ya Taifa ya Tanganyika katika michuano ya Gossage siku hizi Challenge Cup katika mika ya 1950's.

Mbali na kulisakata gozi la Ng'ombe pia Ojjiki ni mmoja wa waanzilishi wa kundi la muziki la Mary Black Birds akiwa na Mzee Ally Sykes.

Marehemu Ojjiki ameacha watoto 3 wajukuu 12 na vitukuu 8.
Blogu hii ya jamii inawapa pole wanafamilia wote, ndugu jamaa na marafiki waliokubwa na Msiba huo mzito.

Kipekee tunaipa pole familia ya Jaji Joseph Sinde Warioba, Familia ya Michael Maluwe na Familia ya Mwombela-Marekani.
 
© Michuzi | Thursday, November 12, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako |


Maoni: 7


  • Tarehe Fri Nov 13, 03:19:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Oh God..is this Mr Ojikki who worked for the World Bank back in the days? May The Almighty God Rest Your Soul In Eternal Peace. Good hearted man. You will always be remembered. To his family and friends- May God give you strength.
    RIP - Mr Ojikki. AMEN.

     
  • Tarehe Fri Nov 13, 03:17:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Al Musoma

    RIP mzee Ojjiki.

     
  • Tarehe Fri Nov 13, 04:02:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    RIP Big Man we will miss you at St Immaculate Church Upanga... dedicated Man, Down to Earth....You have been received by the Lord for sure..... Bite Makani

     
  • Tarehe Fri Nov 13, 06:52:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    May you Rest in Peace Mzee Ojiki. Poleni familia ya Mzee Ojiki.

     
  • Tarehe Sat Nov 14, 03:27:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Nasikitika babu yangu,jirani yangu kuondoka....pole nyingi kwa familia yake na hasa rafiki yangu,mjukuu wake Sarah na Neema.
    mtoto wa (Dokta)
    N.

     
  • Tarehe Sat Nov 14, 05:21:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    POLENI SANA FAMILIA YA MZEE OJIKI MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI UKUTANE NA MKE WAKO MPENDWA NAKUMBUKA ENZI YAK YA MORRIS GREEN COLOR
    MS 6000 OLD IS GOLD rn uk

     
  • Tarehe Mon Nov 16, 12:14:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    ooh masikini, mungu amlaze mahali pema peponi mr ojjiki,napenda kutoa pole sana kwa familia ya mr ojjiki wote, waliopo hapo dar na hata nje ya nchi,na pia tumuombee kwa mungu marehemu mzee wetu,apokelewe na bwana mungu wetu, BWANA MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI, AMEN!!!!!!!!!!!!!!!!!!

     


Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker