Ojjiki aliyezaliwa Juni 02, 1932 alifariki Novemba 08, 2009 baada ya kuugua ghafla.
Mbali na kuichezea timu ya Sunderland pia alikuwa akiichezea timu ya Taifa ya Tanganyika katika michuano ya Gossage siku hizi Challenge Cup katika mika ya 1950's.
Mbali na kulisakata gozi la Ng'ombe pia Ojjiki ni mmoja wa waanzilishi wa kundi la muziki la Mary Black Birds akiwa na Mzee Ally Sykes.
Marehemu Ojjiki ameacha watoto 3 wajukuu 12 na vitukuu 8.
Blogu hii ya jamii inawapa pole wanafamilia wote, ndugu jamaa na marafiki waliokubwa na Msiba huo mzito.
Kipekee tunaipa pole familia ya Jaji Joseph Sinde Warioba, Familia ya Michael Maluwe na Familia ya Mwombela-Marekani.





Oh God..is this Mr Ojikki who worked for the World Bank back in the days? May The Almighty God Rest Your Soul In Eternal Peace. Good hearted man. You will always be remembered. To his family and friends- May God give you strength.
RIP - Mr Ojikki. AMEN.