Home
Unlabelled
mafuriko makubwa yaziba barabara hedaru leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HIYO LAMI IKIBANDUKA BASI ITAACHWA HIVYO HIVYO KAMA ILIVYOTOKEA BARABARA YA MTWARA MASASI MAENEO YA NDANDA MIAKA ZAIDI YA ISHIRINI ILIYOPITA MAENEO YA NDANDA MILIMA ILIBOMOKA NA KUMWAGA MAJI ENZI ZILE ZA UTAWALA WA MWINYI HIYO BARABARA HADI LEO HII ILE LAMI HAJAZIBWA KATIKA ENEO LILE JUST FIKIRIA TWENTY YEARS NO REPLACEMENT YA LAMI, NA LAMI ILE ILIKUWA MPYA WAKATI MAFURIKO YALIPOTOKEA.
ReplyDeleteHaya wasema hovyo na hayo mafuriko mnamlaumu JK kwa kushindwa kuchukua maamuzi magumu ya kuyazuaia mafuriko? Semeni sasa.
ReplyDeleteLawama zinakuja though ni natural calamity, tunatarajia serikali ya JK irekebishe uharibifu huo
ReplyDeletenyumba ya gavana wa benki kuu inaweza kumaliza matatizo hayo
ReplyDeleteBongo tambarare.
ReplyDeleteHATUTAKI SIASA TUNACHOTAKA NI BARABARA ITENGENEZWE.HATUJALI ITAJENGWAJE INACHOTAKIWA NI KUJENGWA BILA LONGO LONGO.
ReplyDeletesidhani kama Gavana atakubali iuzwenyumba ilikurekebisha kero hiyo labda tusubiri kesi yetu ya RICHMOND kamatutashinda huendamambo yatakaasawa barabarani na mitaani.Wadau kwani imeishiaje ile kesi au ndio tumeliwa kamakifo cha Gavana.
ReplyDelete