In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.










  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com












Archive for April 2009

stelingi hauwawi...

'salamaleko....' askari wa trafiki 'akisalimiana' na dereva wa daladala


msaada tutani

Honda cr-v 2.0 

Wadau naombeni msaada wenu.
Nafahamu ya kwamba hapa ni jungu kuu. Gari aina ya  Honda cr-v 2.0 auto, kwa kiwango gani inafaa kutumika katika nchi zetu za kiafrika. 

Kwa mtu ambaye anatumia  gari ya aina hii au mtu anayeifahamu gari hii anaweza kutoa picha kamili,  kama gharama za uendeshaji na maintainance, uimara wa gari, upatikanaji wa spare, nk. Ushauri wenu utanisaidia sana katika kufanya maamuzi! 
Ahsante 
 
Mdau Dan, Belgium
 Thanks Mr Michuzi in Advance!


manji sues mengi for 1/- shilling

Reginald Mengi
Yusuf Manji

A City businessman, Yusuf Manji has sued his long-time protagonist, IPP Executive Chairman Reginald Mengi and his Independent Television (ITV) Limited, demanding one shilling (1/-) compensation and apology for libel for brandishing him a ‘shark of corruption’ along with four other local businessmen. 

Manji has filed his suit through Muganda, Kamugisha and Bwana Advocates’ law firm, ostensibly designed against the defendants at the Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam.

Read more


dk. hilderblad shayo aongea

video
mtafiti na mhadhiri katika chuo kikuu cha south bank university 
cha london dk. hilderblad shayo aongea na globu ya jamii
 juu ya maswala mbalimbali ya kimaendeleo
 alipokuwa bongo kwa vekesheni pamoja na kazi ya 
kuendesha warsha kwa wajasiriamali.


Kumbukumbu


In loving memory of

Eric Kazeni Mbwambo 
Died April 30, 2000

Your browser may not support display of this image. 
 

  • Nine years ago you suddenly left us.
  • For all of us the years have been most difficult without your ever smiling personality shining onto us
  • Without you the years have been a hard road to travel but then it was God’s wish and in God is our trust and belief
  • May your rest be peaceful
  • Remembered by dad, sisters, brothers, nephews and niece, all other family members and friends with lots of love

Psalms 23


swali la kizushi

Michuzi, 
Hivi  ni kwa nini watanzania wengi wanazichanganya hizi herufi mbili 'R' na 'L'? Ninajua kuwa watoto ndio wana tatizo la kubadilisha 'R' na kutamka 'L' kwa mfano 'langi' badala ya 'rangi'. Lakini kuna watu wengi wazima ambao wana tatizo hilo. 

In fact, hata waandishi wa habari wanazichanganya hizi herufi...kila siku nikisoma magazeti naona 'msululu' wa magari badala ya 'msururu' wa magari au 'kombola' badala ya 'kombora'.

Je kuna njia ya kuibadilisha lafudhi hiyo?
Mdau Murad


mdau edgar kaliboti ang'ara australia

Mdau Edgar Kaliboti  (juu kulia)  si jina geni hasa kwa waliowahi kupiga tizi katika dojo la Zanaki la Goju Ryu Karate miaka ya 80 na 90 chini ya Sensei nantambu Camara Bomani na Senpai Magoma Nyamuko.  

Hivi sasa  Kaliboti yuko Sydney, Australia, anakofanya kazi ya kufundisha sanaa mbali mbali za mapambano zikiwemo karate, boxing, kick boxing,  stick fighting n.k. 

Pia amekuwa anashiriki  kwa mafanikio makubwa katika mapambano mbali mbali ya mara kwa mara. akiwa anajihusisha mara kwa mara kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa. Hivi sasa ana mkanda wa blue katika Grace jiu jitsu. 

Katika hizi picha alikuwa  katika mechi ya fainali ya Brazillian Jiu Jitsu katika  New State Championship uzito wa juu (97kg +) hivi karibuni ambapo alikuwa wa pili. Kiu yake ni kurejea bongo na kufundisha wadau mbinu mpya ya sanaa za mapigano. 

Akiongea na globu ya jamii kwa njia ya simu anasema sanaa hii sasa imepanuka sana na kwamba wengi sasa wanafanya mazoezi ya sanaa mchanganyiko inayochanganya aina kadhaa ya sanaa kwa mpigo kama vile karate, Jiu Jitsu, kickboxing, judo na stick fighting. 


JK na Dk. shein watembelea mbgala na majeruhi wa mabomu leo

 JK akiangali baadhi ya vipande na mabaki ya mabomu vilivyookotwa katika makazi ya watu wanaoishi karibu na kambi ya Jeshi la wananchi Mbagala jijini Dar ambapo nyumba kadhaa ziliharibiwa vibaya na kwa mujibu wa taarifa ya polisi  watu sita kupoteza maisha na 236 kujeruhiwa wakati ajali ilipotokea katika ghala la kuhifadhia silala za kivita katika kambi hiyo.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa usalama na utambuzi Jeshini Brigedia Jenerali Paul Meela,Naibu Waziri wa Ulinzi na jeshi la kijenga Taifa Emanuel Nchimbi,Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange na Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Said Mwema.
JK akimpa pole mtoto Mariam Isihaka(8) aliyelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Temeke baada ya kuathirika kwa mshtuko kutokana na ajali iliyotokea katika ghala la kuhifadhi silaha katika kambi ya jeshi huko Mbagala jijini Dar jana mchana.Pembeni aliyeketi na Mtoto Miriam ni mama yake Husna Selemani mkazi wa Mtoni Mtongani, jijini Dar
Madaktari Bingwa katika Taasisi ya Mifupa ya Moi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbil(kulia) wakimpa  JK (shoto aliyevaa mavazi maalum) maelezo ya mgonjwa aliyejeruhiwa vibaya na moja ya mabomu yaliyolipuka katika ajali iliyotokea katika ghala la kuhifadhia dhana za kivita katika kambi ya jeshi la Wananchi wa Tanzania huko Mbagala, jijinji Dar es Salaam.Mgonjwa huyo amepoteza mguu wa kulia na amepoteza damu nyingi na napumua kwa kutumia mashine maalum (Life Supporting machine ). JK  alirejea jijini Dar es Salaam leo akitokea mjini Arusha ambapo alihudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ulimalizika jana jioni na kwenda huko moja kwa moja
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein  akipata Maelezo toka kwa Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania Brigedia  Jenerali  F N Ulomi  Wakati alipotembelea Kambi ya Jeshi hilo eneo la Mbagala ambapo milipuko ya mabomu ilitokea jana na kusababisha madhara makubwa ya mali na watu.
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akimfariji mtoto Thabit Abdallah aliyelazwa katika Hospitali ya Temeke, mmoja wa majeruhi wa ajali ya mabomu yaliyolipuka katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania eneo la Mbagala.


madenti kukongamana mei mosi na mei pili dar

JUMLA ya vyuo 17 vinatarajia kushiriki katika kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini. 
  
Kongamano hilo litakalofanyika Mei Mosi hadi  2  mwaka huu katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, linatarajia kuwakutanisha wanafunzi hao na waajiri mbalimbali wakubwa. 
  
Kongamano hilo lililoandaliwa na kampuni ya Trinity Media Limited limelenga katika kuboresha myenendo ya vijana hususani katika kukuza vipaji,elimu na ujasiriamali. 
  
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa  Idara ya Habari (MAELEZO) jana mratibu wa kongamano hilo Austin Makani  alisema  wanavyuo watapata fursa ya  kubadilishana mawazo kati yao na waajiri ili kuweza kuwasaidia  wanaohitimu katika soko la ajira. 
  
“Wanavyuo wengi hupata shida ya kutafuta ajira, wengi wao wanatafuta kazi kwa muda mrefu hii ni kutokana na ukweli kwamba  wanauelewa mdogo wa soko la ajira nchini. Kuwakutanisha na waajiri itawasaidia katika kufikiri kwao na pia kujua wapi pa  kuanzia katika kutafuta ajira.” alisema Makani. 
  
Pia mratibu huyo alieleza kuwakutanisha wanavyuo hao si tu kusaidia  kusikiliza mada ila pia watapata fursa ya kujichanganya na kuwauliza maswali waajiri yaani networking. 
  
Baadhi ya mada zinazotarajiwa kujadiliwa katika siku hiyo ni pamoja na mada ya ujasiliamali itakayotolewa na kitengo cha ujasiliamali cha Chuo Kikuu cha Dar es salaam,jinsi ya kujiajiri kwa njia ya mikopo mada itakayotolewa na Tanzania Gatsby Trust inayoshughulika na masuala ya mikopo.Pamoja na masuala mbalimbali yausuyo ajira kwa vijana. 
    
Waziri wa Kazi,Ajira  na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma anatarajiwa kutuma muwakilishi atakayefungua kongamano hilo. 
  
Kongamano hilo linalofanyika kwa mara ya kwanza hapa nchini litakuwa linafanyika kila mwaka kwa lengo la kuwasaidia wanavyuo kote nchini. 


watumishi wa Mungu christopher na diana mwakasege kuhubiri birmingham mei 22-24


Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Tunapenda kuwakaribisha kwenye conference ya neno la Mungu itakayohudumiwa na watumishi wa Mungu CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE toka Tanzania.
Conference hii ya namna ya kipekee kabisa na yenye ujumbe maalum kwa wakati huu na majira haya tunayoishi kwa kila mtu itafanyika Birmingham, AL USA Mei 22 - 24, 2009.
Mungu amekuwa akiwatumia hawa watumishi ndani na nje ya nchi kwa Upako na wengi wamefunguliwa,kuponywa na kutiwa moyo kupitia huduma hii.


official bongo after party in houston may 2, 2009


TETEMESHA ENTERTAINMENT IKISHIRIKIANA NA SHWARI DOT COM, WANAKULETEA 'THE HOUSTON OFFICIAL BONGO AFTER PARTY'. USIKU WA KUJIDAI NA KUCHEZA NGOMA ZA UKWELI KUTOKA KWA MA DJ WA UKWELI, WALE WAPENZI WENYE KIU YA KUCHEZA NA KUSIKIA BONGO FLAVA, OLD SKUL ZA KUANZIA 80's, 90's, 2000's, BOLINGO NA BAKULUTU ZA KUFA MTU BILA KUSAHAU 'NYU SKUL, SASA NDO WAKATI UMEWADIA, NI NDANI YA CLUB ADDIS ABABA (restaurant) ILIOPO NDANI YA HOUSTON
 
                               MAHALI   :  CLUB ADDIS ABABA
 
                           ADDRESS:  7668 DE MOSS DR, HUSTON TX  77036
 
                                           DATE :     2nd MAY
                        
                              COVER:  $ 10 GUYS & LADIES FREE TILL 1:00 PM
 
                                    TIME:      DOORS OPEN FROM 11 PM
 
                       DJ KAYCEE a.k.a THA POST & DJ ISSAR (PEOPLES CHOICE)


msafiri diouf aelezea starehe yake kuu

Msafiri Diouf akiwa kazini

Mwanamuziki Mashuhuri wa Twanga Pepeta Msafiri Diof amesema kwamba starehe yake kubwa sio mademu kama walivyo wasanii wengi maarufu na ametonya kwamba mademu wanaomtafuta kingono watasubiri sana kwani yeye starehe yake kubwa ni kulanduka ndumu (kuvuta bangi) ambazo zimesababisha watu wafikirie kuwa anatumia madawa ya Kulevya

Mahojiano kamili link ni hii
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=1870162&&Cat=8


misa ya kumbukumbu washington DC

DIGNA NA FAMILIA YA EMMANUEL SHAYO INAWAKARIBISHA NDUGU,
 
JAMAA NA MARAFIKI KWENYE MISA YA KUADHIMISHA MWAKA MMOJA 
 
WA KUTANGULIA MBELE YA HAKI KWA MAREHEMU BABA YAO
 
ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI MAY 2 SAA TISA KAMILI(3:00PM)

ADDRESS NI 
                 1725 MICHIGAN AVENUE,NE
                 WASHINGTON DC 20017
 
WOTE TUJUMUIKE BILA KUKOSA,
ASANTENI NA KARIBUNI

             


mbeleko kwa manchester united!

Referee Howard Webb has admitted he should not have awarded the penalty that reinforced Manchester United's stranglehold on the Premier League. Leo Man Yu wameifunga Arsenal 1-0 kwa taabu. Soma link hiyo hapo chini uone mbeleko ya refa ilivyowasaidia vikongwe vya Old Trafford kushinda juzi
 
http://news.bbc.co.uk/sport2/
hi/football/eng_prem/8022476.stm


vodacom foundation yatoa msaada wa kompyuta zenji

WAZIRI WA EKIMU NA MAFUNZO YA AMALI,  MH. HAROUN ALI SULEIMAN AKIKABIDHI KOMPYUTA KWA MKUU WA KITENGO CHA SAYANSI  WA ZANZIBAR COMMERCIAL COLLEGE, SALEH MOHAMED JUMA. MSAADA HUO UMETOLEWA NA VODACOM FOUNDATION.
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI,  MH. HAROUN ALI SULEIMAN AKIKABIDHI KOMPYUTA KWA MKUU WA KITENGO CHA SAYANSI  WA ZANZIBAR COMMERCIAL COLLEGE, SALEH MOHAMED JUMA. MSAADA HUO UMETOLEWA NA VODACOM FOUNDATION.
WAZIRI HAROUN ALI SULEIMAN AKIKABIDHI KOMPYUTA KWA MWALIMU MKUU WA SHULE YA SEKONDARI YA HAMAMNI YA MJINI ZANZIBAR, MSHENGA HAJI ABBASI. MSAADA KUTOKA VODACOM FOUNDATION.
MKUU WA VODACOM FOUNDATION, MWAMVITA MAKAMBA AKIKABIDHI MOJA YA KOMPYUTA KWA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI,  MH. HAROUN ALI SULEIMAN 
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA HAMAMNI YA MJINI ZANZIBAR WAKIMSIKILIZA WAZIRI  WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI, HAROUN ALI SULEIMAN KWENYE SHEREHE YA KUPOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA VODACOM FOUNDATION SHULENI HAPO.  HII NI SEHEMU YA KAMPENI YA VODACOM TANZANIA KATIKA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU NCHINI AMBAPO IMETENGA JUMLA YA SH.MILIONI 58 KWA LENGO HILO. 


marais wa jumuiya ya east africa mashariki wakutana

marais wa nchi za jumuiya ya afrika mashariki wakikutana kwa faragha ngurdoto, arusha
JK akiwa na marais wenzie wa nchi za jumuiya ya afrika mashariki baada ya kikao chao cha faragha hoteli ya ngurdoto arusha. toka shoto ni marais Yoweri Kaguta Museveni wa uganda, Mwai Kibaki wa Kenya, Paul Kagame wa Rwanda, JK na Pierre Nkurunzinza wa Burundi. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu


libeneke la mabomu mbagala leo

moshi ukionekana toka katikati ya jiji kama alivyoshuhudia mdau arden kitomari
moshi ukifuka toka kambi ya jeshi ya mbagala wakati mabomu yakilipuka na kuzua kizaazaa. hadi inaondoka eneo la tukio dakika kumi zilizopita globu ya jamii imehakikishiwa kwamba moto uliolipuka kwenye ghala ya silaha umeshathibitiwa na kwamba hali ni shwari. taarifa rasmi ya wangapi wamejeruhiwa na hasara gani imepatikana ilikuwa bado kutolewa. maafa pia yalikuwa bado hayajaripotiwa rasmi. askari shupavu wa jeshi la wananchi pamoja na polisi na kikosi cha zimamoto walikuwa wameshaingia kambini ambako masaa matatu yaliyopita ilikuwa ngumu kwani mabomu yalikuwa yakiruka kama hayana akili nzuri. mkuu wa mkoa wa dar mh. william  lukuvi amethibitisha kwamba hali kwa sasa ni shwari na wadau wanaweza kurejea majumbani mwao. majeruhi wengi wamepelekwa hospitali ya temeke wengine muhimbili. idadi kamili haijatolewa wakati globu ya jamii ikiingia hewani, ila habari zinasema  wadau watatu wamepoteza maisha na  takriban 100 wamejeruhiwa. shule ya st. anthony ni mojawapo ya majengo yaliyoathirika kwani vioo vya madirisha karibu yote yamevunjika, na nyumba kibao zimeharibika.
katikati ya jiji wadau maofisini wameambiwa waondoke maghorofani na kuelekea majumbani
penye zali kama hili vibaka hawakosekani. hawa wamedakwa wakisaidia kuanua nguo zilizoachwa nyuma wakati wenye nazo wametoka nduki
wadau wakiangalia mabaki ya mojawapo ya mabomu yaliyoruka umbali wa kilomita nne na kutua sehemu za mbagala kizuiani. ni moja ya takriban ya mabomu 12 yaliyolipuka na kutua uraiani. 
penye soo kama hili inabidi wadau watolewe mkuku. kweli amani mbaya. yaani penye soo watu wanakimbilia kuangalia kulikoni
afande akiomba watu watawanyike kwani sehemu hii si salama
askari wa faya ilibidi watulize boli maana kule kambini kulikuwa hakufikiki 
mtangazaji mzururaji wa clouds 88.4fm bonge akiwasili eneo la tukio huku akirusha mambo laivu
usafiri wa mbagala leo ulikuwa wa TZ 11 tu
wadau wakiwa juu ya daraja la mtoni wakiangalia mambo yanavyoendelea
askari wakilinda lango la kuingilia kambini

wengi ilibidi waunge mkono azimio la arusha kwani hakukuwa na usafiri leo kwenda ama kutoka mbagala

kinabibi wakipiga teke kujisalimisha
kama kawa, badala ya kukimbia wadau wamebaki kung'aa macho. 

kuona video ya mbagala leo


afande aongelea milipuko mbagala

video

kamishna wa operesheni wa jeshi la polisi paul chagonja akitoa maelezo muda mfupi uliopita kutoka eneo la tukio mbagala kizuiani a.k.a mbagala zakhem


BREKING NYUZZZZZZ:GHALA LA SILAHA LALIPUKA MBAGALA, DAR

GHALA LA SILAHA LA JESHI LIMELIPUKA NA KUSHIKA MOTO KWENYE KAMBI YA JESHI ILIYOKO MBAGALA KIZUIANI NA KUSABABISHA MILIPUKO MIKUBWA YA MABOMU NA KULETA KIZAAZAA JIJI ZIMA.
GLOBU YA JAMII ILIYO KATIKA ENEO LA TUKIO IMESHUHUDIA ASKARI WA JESHI LA ULINZIM POLISI NA ZIMAMOTO WAKIWA WAMEJAZANA NJIA PANDA KUELEKEA KAMBINI HUKO AMBAKO MOSHI MZITO NA MILIPUKO IMEKUWA IKISIKIKA TOKA ASUBUHI.
KUNA HABARI KWAMBA BAADHI YA MABOMU YANARUKA MAZIMA MAZIMA NA KUTUA KILOMETA KADHAA TOKA MBAGALA NA KULIPUKA. KATIKATI YA JIJI TAYARI WATU WAMETANGAZIWA WASHUKE MAGHOROFANI.
HABARI ZINASEMA KWAMBA MOTO HUO WA AINA YAKE UNAWEZA KUZIMIKA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU ILA USALAMA DHIDI YA MLIPUKO WA MABOMU NI MDOGO. WAKAZI WENGI WA MBAGALA WAMESHAONOLEWA SEHEMU HIYO WAKATI JUHUDI ZA KUTHIBITI MOTO NA MILIPUKO IKENDELEA.
GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUWA ENEO LA TUKIO NA INAAHIDI PICHA NA HABARI KEDEKEDE BAADAYE KIDOOOOO....


nondozzz kibao india

Wadau wako kibao tukila nondozzz zetu India tarehe 18 mwezi wa Nne tunawakilisha. Kaka hali ndio hiyo, tumemaliza hatua muhimu ila bado tupo tupo huku tunaangalia ustarabu mwingine. tuombeane uzima.




kip-lefti yetu: wiki ya nne

ripota wa globu ya jamii leo katembelea ilipo kip-lefti iliyo karibu na twin tawazzz ya benki kuu na kukuta bado utepe haujakatwa na siku ya kufanya hivyo bado haijajulikana. akamsaka mhusika na mazungumzo yalikuwa hivi:

ripota: sh'kamoo mzee...

mhusika: marahaba kijana.  je, tukusaidie nini?

ripota: natoka globu ya jamii. ningependa kujua hii kip-lefti itafunguliwa lini?

mhusika: kwani vipi?

ripota: ah, nilitaka kujua tu ili nikaripoti maendeleo yake. maana redio mbao zimeshaanza kutoa ripoti za ajabu ajabu. zingine zinadai eti hili ni dili la kutaka kuingia nanihii kwa chini chini....

mhusika:  dah! mmeshaanza. sikiliza kijana. nyie msitake kuingilia kazi za watu. unajua hii sehemu si rahisi kuifanyia kazi kama unavyodhania. chini kuna mkondo wa maji, na inahitaaji utaalamu wa hali ya juu. hapa kwa saa moja tunatoa ndoo 56 za maji. hivi sasa inasubiriwa tume maalumu iliyoundwa itoe mwongozo kabla kazi haijakamilika. tumekonsalti mainjinia wa kijapani, kichina na wa kimatumbi, wote wametoa mapendekezo ambayo tume inayafanyia kazi. pendekezo litalofaa ndio litatekelezwa.

ripota: kwa hiyo tutegemee lini kazi hii itaisha?

mhusika: eeeeh, yu noo, hii kitu kinahitaji umakini wa hali ya juu maana sehemu hii ni nyeti sana sana kwa mstakabali wa maendeleo ya nchi. hivyo haraka haraka haina baraka. njoo mwezi ujao tarehe kama ya leo utapata jibu.

ripota: yaani mkuu una maana nitapata jibu ya nini kitafanyika ama kazi itakuwa imemalizika?

mhusika: huna masikio nini wewe???? nimekwambia utapata jibu!!

ripota: sawa mkuu. nimekusikia. nitafika hapa mwezi ujao tarehe kama hii kupata jibu.....samahani kwa usumbufu.

mhusika: wasalimie. waambie libeneke linaendelea bado....



kili stars ya minnesota kuingia kambini

Kilimanjaro Stars
Wichita

Timu ya KILIMANJARO STARS imepanga kupiga kambi ya takribani mwezi mmoja kwa ajili ya kujiandaa kikamilifu na michuanao ya AFRICAN CUP MINNESOTA na yale ya timu ziishio U.S.A.

Habari zinasema  kwamba vijana wote wapo tayari kwa lolote. Na timu ambayo ipo tayari kukipiga na KILIMANJARO STARS wametakiwa kuwasiliana na uongozi wa timu MINNESOTA.


viongozi wa afrika mashariki wazindua ujenzi wa barabara

JK na Marais Paul Kagame wa Rwanda na Mh.  Mwai Kibaki wa  Kenya wakizindua rasmi ujenzi wa barabara ya Arusha-Namanga-Athi river Road  huko Lengijabe nje ya  Arusha jioni jana


Toka shoto ni Balozi wa Japan nchini  Makoto Ito, Rais  Pirre Nkurunzinza wa  Burundi, JK, Rais  Paul Kagame wa Rwanda, Rais  Mwai Kibaki  wa  Kenya, Rais Yoweri Kaguta Museveni  wa  Uganda,  Rais wa African Development Bank Donald Kaberuka na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi  Juma Mwapachu katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa barabara hiyo ambayo ni mwanzo wa juhudi wa kuunganisha miundombinu ya  nchi za jumuiya hiyo.


mtaka cha uvunguni....inua tanda


bash la mei mosi norway


houston tambarare

wadau wakisota baada ya mvua kubwa kuleta mafuriko huko houston, texas, marekani kama taswirazzz hizi alizotuletea mdau wa houston zinavyoonesha
inabidi ukatishe hivyo hivyo tu
kumbe mambo haya si bongo peke yake
mafuriko ya bongo kumbe ni cha-mtoto


Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker