





Archive for August 2009
Monday, August 31, 2009
feri ya kigamboni mambo mswano kwa ujio wa mv magogoni
Monday, August 31, 2009
libeneke la minuso
Hi bro ,Mimi ni wedding planner nimeanzisha blog itakayo husu mambo ya shughuli,minuso mbalimbali,napenda unitambulishie wa wadau .
Asante
Dada joan
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 9
Monday, August 31, 2009
mualiko futari UAE
JUMUIYA YA WATANZANIA WA UAE
inatangaza
TAARIFA YA KARAMU YA KUFUTURU RAMADHAN 2009
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa UAE unayofuraha ya kuwaarifu WATANZANIA WOTE wanaoishi UAE kuwa kutakuwepo na Karamu ya Kufuturu ya WATANZANIA wanaoishi UAE.
MAHALI: OFISI ZA UBALOZI MDOGO, DUBAI
TAREHE: 4 SEPTEMBA 2009 (RAMADHAN 14, 1430)
WAKATI: SAA 12.30 JIONI
WOTE MNAALIKWA
Michango toka kwenye Kampuni za Watanzania zinazofanya biashara UAE inakaribishwa kwa watakaopenda kushiriki kwenye udhamini wa karamu.
Kwa taarifa zaidi au uwasilishaji wa michango, wasiliana na mmoja wa waratibu wa maandalizi ya karamu:
Bw. MOHAMMED SHARIFF, 050 7751075
Bw. MBARAK AHMED, 050 5817770
Bw. SHABBIR DAMJI, 050 6447915
BW. ISSA MAGGIDI, 050 2270169
BW. MOHAMED MANJI 050 6455779
BW. HASSAN ABRI 050 7981478
Kwa hisani yako mpe taarifa hii Mtanzania mwingine unayemfahamu anaishi Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Um Al Quwain, Ras Al Khaimah na Fujairah
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 3
Monday, August 31, 2009
Mpambano Yanga/Simba Washington DC/wachezaji,mashabiki watambiana
Mpambano wa watani wa jadi washington Dc,homa yazidi kupanda,huku Simba wakitamba kwamba watakirudia kile walichokifanya april 26 mwaka huu,kwa kuirarua Yanga 3-2,katika mechi iliyochezwa Meadowbrook park kusheherekea siku ya Muungano.
wakiwa kambini na mfazili wa Simba,Said Nasoro wachezaji na viongozi wa timu hiyo mtaa wa masimbazi,wamesema ushindi ni mkubwa sasa hyo jumapili tunawapiga goli 5-0,Yanga wanajaribu kubadilisha uwanja kwa kisingizio kwamba uwanja ulikua mbaya. yaani hata waende wapi...waisha elekea kibra.
mpambano huu,ambao umepangwa kuchezwa jumapili sept 6 kwenye uwanja uliopo kwenye kona ya 16th st,na kalmia st,umeleta vitimbi vingi,uongozi wa Yanga umedai ulimkuta uwanjani Bamchawi(Mkakile) akifanya vitu nyake,hii mechi watu wanataka kuuwana alidai uongozi huo,sis tunacheza mpira wa sayansi na teknologia. Simba kawaida yao kutangaza ushindi kabla ya mechi.
katika kambi ya Yanga mambo ni swari,na timu inaendelea vizuri na mazoezi chini ya kocha mpya Yasin Manyoka,Uongozi na wachezaji walikua kimya hawakutaka kuzungumzia mpambano huu wa kukata na kisu,unaosubiriwa na mashabiki DMV na vitongoji vyake,labor day weekend,msema ukweli ni dakika 90.
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 2
Monday, August 31, 2009
tunajiandaaje na soko huria la ist afrika mashariki?
obote kwa mchakato wa ist afrika mashariki
Wadau tunajiandaaje na Soko Huria la Afrika Mashariki? Ifuatayo ni sehemu ya hotuba aliyoitoa JK kwenye HAFLAYA UTOAJI TUZO KWA WAZALISHAJI BORA WA VIWANDANIWA MWAKA 2009 TAREHE 06 AGOSTI, 2009 MÖVENPICK ROYAL PALM HOTEL, DAR.
Ndugu Wanashirikisho;Kuanzia Januari 1, 2010, Umoja wa Forodha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utatekelezwa kwa ukamilifu. Kuanzia siku hiyo, bidhaa za Kenya ambazo, kwa miaka 5 mfululizo, zilikuwa zinauzwa katika nchi yetu na Uganda kwa kulipiwa ushuru, zitakuwa nazo hazilipiwi ushuru. Aidha, kama mazungumzo yatakamilika kama tunavyotarajia, wakati huo Soko la Pamoja la Afrika Mashariki litakuwa linaanza.
Ni wakati wa mabadiliko makubwa kwa mfumo wa biashara hapa kwetu hivyo ni vyema tujiandae vizuri kuyapokea na kuyatumia kwa manufaa yetu. Hivyo nawaomba mkae chini, muitafakari na mpange mikakati na mbinu za kuishi na kunufaika katika mazingira, hayo mapya.
Kubwa zaidi ninalowaomba mimi ni ninyi kujipanga vizuri kuzalisha bidhaa kwa gharama ndogo lakini zenye ubora wa hali ya juu. Yapo ya Serikali katika kuwasaidia kufanya hivyo ambayo napenda kuwaahidi kuwa tutafanya kila tuwezalo kutoa mchango wetu stahiki. Lakini, kwa yale mengi mbayo ni yenu, na ni mambo ambayo yapo kwenye uwezo wenu kufanya nawaomba mfanye bila ajizi.
Napenda kuwatahadharisha kuwa, epukeni tabia ya kutojiamini, woga na kujidharau wenyewe kuwa hamuwezi. Tabia hii ndiyo adui yetu mkubwa kuliko wote hapa Tanzania. Pale mwanzoni tulipoanza mchakato wa kuunda Jumuiya ya Afrika Mashariki hofu kubwa ilikuwa Tanzania kugeuka kuwa soko. Baadhi ya watu waliiamini dhana hiyo kiasi cha kutufanya baadhi yetu tuliokuwa tunaongoza harakati za kuunda Jumuiya tuonekane wasaliti. Lakini ukweli sasa unawasuta.
Leo hii biashara kati ya Tanzania na Kenya imekua sana, tena sasa sisi tunauza zaidi Kenya kuliko Kenya inavyouza Tanzania. Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania, mwaka 2008 Tanzania iliuza Kenya bidhaa zenye thamani ya shilingi milioni 277,820, wakati Kenya iliuza Tanzania bidhaa zenye thamani ya shilingi milioni 233,967. Zamani hali haikuwa hivi. Biashara ilikuwa ndogo na Tanzania tulikuwa tunanunua zaidi kutoka Kenya kuliko tunavyouza.
Haya yote yametokana na kufunguliwa kwa milango kulikotokana na Umoja wa Forodha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Naamini hata Soko la Pamoja likija tutaendelea kunufaika, bora tu tupange mikakati yetu vizuri na tuhakikishe kuwa tunaitekeleza. Naamini tutaweza. Kama tumefikia hapa bila ya shaka tunaweza kufanya vizuri zaidi.
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 21
Monday, August 31, 2009
introducing elite model look tanzania

Compass Communications Company Limited introduces the largest and most prestigious modeling international competition in the world - Elite Model Look.
Compass Communications Company Ltd is an independent TV production company that produces various TV programs and also is the organizer of Miss Universe Tanzania and other beauty pageant titles like Miss Earth, Miss International and Miss Tourism Queen International in Tanzania.
The company has now branched out into a more specialized part of the industry namely professional modeling. Elite Model Look contest was created in 1983 under the name Look of the Year. Elite Model Look competition is the largest model contest of its kind. This contest has become one of the most prestigious springboards for talents into the modeling industry.
Up to now Elite Model Management is present in 5 continents and it represents more than 2,000 (Two Thousand) models internationally. Each year, the Elite Model Look competition sees over 350,000 contestants attend regional and national castings that take place in more than 55 different countries, with at least one contestant of each country participating in the main event - the World Final..
The competition is made of several steps. Thus, through an intensive and rigorous selection process, which drives them from regional castings to national finals, at least one local contestant of each country gets a chance to participate in the World Final.
Here in Tanzania Compass Communications will hold local auditions in Dar-Es-Salaam : where all applying contestants will be narrowed down to 10 to 15 semifinalists. No final event will be held this year in Tanzania and the 10 - 15 semifinalists will then be judged by a panel of judges including a representative from Elite Model Look headquarters in Paris, France, in order to find the Tanzanian model who will represent Tanzania in the World Finals in October in Sanya, China.
All girls are invited to make their dreams come true by participating in auditions of Elite Model Look Tanzania. The auditions are open to strictly girls aged 14 to 20 years, with the minimum height of 172 cm.
The winner will be selected to meet the fast changing trends and needs of the fashion industry. She will be chosen based on photogenic quality, personality and natural beauty. From the approximately 70 finalists at the World Finals, 15 are chosen by an international panel of judges and they all sign an exclusive contract with Elite Model management.
And out of the 15 luck ones, 3 are voted as winners. The top 3 winners will share a guaranteed remuneration of 325,000 USD in total as modeling contract.
This is the first time for Tanzania to hold the license and to select a finalist for Elite Model Look although in 1999 Miriam Odemba was selected and participated successfully in the Elite Model Look World Final in Nice, Paris through MNet Face of Africa.
For more information kindly contact
Maria Sarungi Tsehai
OR
Mwanakombo Salim,
Compass Communications,
Tel: (022) 2182405, 2182596
Mob: 0784 305122
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 4
Monday, August 31, 2009
number 10 toleo jipya mitaani

napenda kutumia nafasi hii kuwashukuruni wote kwa maoni yenu yaliyosababisha kuliboresha hili jarida number 10.
tunajitahidi kuwapatia burudani wapenzi wote wa soka ndani na nje ya nchi,
safari hii jarida la number 10 limefanya mahojiano na beki wa zamani wa ufaransa marcel desailly, pia tumeenda mpaka south africa na kuangalia maendeleo ya maandalizi ya fainali za kombe la dunia.
safari hii jarida la number 10 limefanya mahojiano na beki wa zamani wa ufaransa marcel desailly, pia tumeenda mpaka south africa na kuangalia maendeleo ya maandalizi ya fainali za kombe la dunia.
mambo yapo mengi kwakweli, chukua tu copy yako uone...
please please tuwasiliane kupitia
please please tuwasiliane kupitia
au
+ 255 713 350833
cheers!
shaffih dauda
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 2
Monday, August 31, 2009
mpigiko wa boxi ukerewe
Ahsante
wako mdau wa UK
MACOMPUTER
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 44
Monday, August 31, 2009
of sitting allowances and poshozzzz...
Senior employees of most institutions in Tanzania (particularly state or semi-state owned) are paid the so-called "sitting allowances" when they sit on committee or managerial meetings.
The payments tend to be hefty sums of money and in most cases a single "sitting allowance" is more than an average monthly income within the same institution! For years I have struggled to understand the rationale behind this practice. My feeling is that these people are paid (allowances) for doing what they are arleady paid (salaries) for doing!
The same applies to employees on official trips. It is not uncommon for people to be paid a daily alowance even when they have all subsistence costs paid for - accommodation, meals and local travel.
As i noted above, I have had a problem with this habit for many years and unless I miss something, I believe this is a clear manifestation of fraud. I would appreciate any explanation behind this multi-decade habit.
Many thanks.
Mdau Al Musoma.
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 13
Monday, August 31, 2009
DAR ES SALAAM ZOO: TANZANIA'S BEST KEPT SECRET
Main entrance
rates
secretary birdsDAR ES SALAAM ZOO is located 37 km from Dar es Salaam city centre. Going there one should take the kilwa road, then kongowe-mjimwema road at kongowe and then taking kibada/mwasonga road at kibada through the 9 kms moram road. Alternatively one can take kigamboni – mjimwema road and then Mjimwema- kongowe road up to kibada then turn left 9kms moram road to Dar es salaam zoo, this is the shortest route which is 23 km from the Kigamboni ferry Dar es Salaam zoo is preserved with natural flora and fauna making it unique from the surrounding areas which are almost depleted of their natural forest beauty. To add to its attraction a river with crystal clear and cool water flows through it all year round providing a sanctuary for the other forms of wild life and the environment.
anko nanihii was there sunday
birds
anko nanihii was there sunday
birds
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 17
Monday, August 31, 2009
kutana na baraka aliye mrefu kuliko hasheem thabeet
Baraka alipokutana na Hasheem milimani city conference center jijini Dar.
Baraka akiwa na mtangazaji wa kipindi cah tv 5 connect Bhoke, Hasheem coach bahati na mdau Gwamaka pale milimani city, Dar.
Baraka akiwa na vijana wacheza kikapu pale milimani city.Mkuu kwanza pole na kazi pia hongera kwa kuendelea kuielimisha jamii kupitia blog yetu hii ya jamii ambayo imekuwa kama gazeti letu la dunia.
Napenda kumtambulisha kijana huyu Baraka Elias Mashauri ambaye ni mrefu kumpita Hasheem Thabeet kidogo na ni mcheza baskteball mzuri tu.
Kutoka na shughuli zangu za u-kocha wa mpira wa kikapu nilitambulishwa na kukutana Baraka miaka miwili iliyopita. Tangia hapo tumekuwa na mahusiano kimchezo yaani kocha mchezaji na kimaisha pia.
Katika kipindi hicho chote tumekuwa tukijitahidi kwa hali mali ili kijana huyu aweze kucheza mpira wa kikapu kama sio hapa Tanzania basi kwingineko Duniani. Kama unavyojua katika kila jambo lazima kuna milima na mabonde na leo nimeona ni bora kuujulisha umma wa Tanzania na wadau kuwa huyu kijana anaweza kufanikiwa iwapo jitihada za kweli zitafanywa.
Baraka amekuwa katika presha kubwa toka kwa jamii au wale tunaomfahamu na wakati mwingine kusahau kuwa Baraka pamoja na urefu alionao (na bado anarefuka !!!! ) anayo mahitaji yake kama binadamu (mentally and physically) ambayo kwa urefu wake ft 7. 4. (Hasheem ni ft 7.3) na kiatu chake ni size 19.!! inamuwia vigumu sana kuishi kama sie akina 5…. ft tunavooishi hapa mjini.
Baraka ana nia na ndoto ya kumfikia Hasheem na ilikuwa ni furaha sana kwake alipofanikiwa kukutana na Hasheem wiki iliyopita. Kwa utaalamu nilionao kama kocha ( nina diploma katika fani ya ‘exercise and physiology’ ) naamini Baraka anahitaji uchunguzi wa kina wa afya ukizingatia kuwa jamaa bado anaendelea kurefuka.
Wito wangu kwa wadau ni kujitokeza kumsaidia
jamaa ili tuwe na mbongo mwingine matawi ya juu.
Mdau Bahati Mgunda
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 51
Monday, August 31, 2009
kuku wa kienyeji kumbe dili
Monday, August 31, 2009
mzee nkya, shujaa wa KAR
Kaka nanihii huwezi amini. Hiki chuma kimepigana vita miaka ya 1939/1945 kikiwa na KAR. Kinaitwa Mzee H.Ndasikio Nkya. Bado kiko fiti kinoma, enzi zake kimekata na kufunua sana maadui. Pembeni ni kitukuu wake Papa Nkya. Naomba umrushe hewani watu wajionee.Mzee anapikana na maeneo ya Machame.
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 7
Monday, August 31, 2009
toto tundu ahamia K-Mondo band
BENDI ya muziki wa dansi ya K-Mondo imenyakua mwimbaji nyota nchini Mhina Panduka (akiwajibika pichani) maarufu kama Toto Tundu.
Mhina ambaye alianza kutamba na bendi ya Mwenge Jazz ‘Paselepa’ wakati alipoimba kibao Pole Mama James tayari amekwishaanza kazi na kundi hilo.
Kiongozi wa K-Mondo, Richard Mangustino ‘Teacher’ alisema mjini Dar es Salaam kwamba wamemchukua mwanamuziki huyo katika kuimarisha safu yao ya uimbaji.
“Tayari Mhina ameshaingiza sauti katika nyimbo mbili mpya ambazo kwa mara ya kwanza zimesikika Rainbow Jumapili na zinatarajiwa kuwemo kwenye albamu yetu ambayo bado tunairekodii,” alisema.
Kuingia kwa Mhina ambaye mara ya mwisho alikuwa katika bendi ya mkongwe Abdul Salvador, kunafanya K-Mondo kuwa na waimbaji watano kwa sasa wakiwepo kina dada wawili Vumilia Mwaipopo na Kire Kire.
Tayari K-Mondo imeachia nyimbo mbili redioni ambazo ni Magambo na Tatizo Umasikini.
Mhina amewahi kuziimbia bendi ya Washirika Tanzania Stars ‘Watunjatanjata’, Orchestra Safari Sound ‘Ndekule’, Mviko Sound, TOT Plus na DDC Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’.
Monday, August 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 7
Sunday, August 30, 2009
JK afuturisha Ikulu
Sunday, August 30, 2009
twiga auwawa dar
Twiga aliyekuwa amewekwa katika jengo la LAP wengi wanalijua kama Millenium Tower la Kijitonyama Makumbusho ameuawa. Globu ya Jamaii imekuta 'mzoga' wa twiga huyo akiwa amelala chini na kuonekana ni uchafu badala ya mapambo. Redio mbao zinasema kuwa kafa toka wiki jana na hakuna anayeonesha kujali. Bongo tambarareeeeee.
Sunday, August 30, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 14
Sunday, August 30, 2009
JK aenda Libya leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (Pichani akisindikizwa na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda) ameondoka nchini mchana wa leo, Jumapili, Agosti 30, 2009, kwenda Tripoli, kuhudhuria Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU).
Mkutano huo maalum wa AU wa siku mbili umeitishwa kujadili migogoro mbali mbali inayoendelea kulikumba Bara la Afrika ikiwamo ile ya Somalia na Darfur katika Sudan.
Mkutano huo utakuwa chini ya Mwenyekiti wa AU, Kanali Muammar Gadaffi, kiongozi wa Libya.
Katika mkutano wao uliopita wa Juni, mwaka huu, viongozi hao wa AU walikubaliana kuitisha kikao hicho maalum kujadili kwa kina migogoro ya Bara la Afrika na kuitafutia majawabu.
Mbali ya kuhudhuria mkutano huo maalum, viongozi hao wa Afrika watashiriki katika sherehe kubwa za kuadhimisha miaka 40 ya Mapinduzi ya Libya.
Sherehe hizo za kuadhimisha Mapinduzi ya Al Fateh Revolution ama First September Revolution, ni kumbukumbu za siku ambayo Gaddafi alikamata madaraka ya kuitawala Libya kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi usiku wa kuamkia Septemba Mosi, mwaka 1969.
Katika mapinduzi hayo, Gaddafi ambaye wakati huo alikuwa bado kepteni wa jeshi la nchi hiyo, alimwondoa madarakani Mfalme Idriss Al-Senussi, kwa mapinduzi ambayo hayakumwaga damu. Mfalme Idriss alikuwa nchini Uturuki kwa matibabu wakati huo.
Rais Kikwete na ujumbe wake unatarajiwa kurejea nyumbani Jumatano, Septemba 2, 2009 na atatoa hotuba yake ya mwisho wa mwezi baada ya kuwa amerejea nyumbani.
Mkutano huo maalum wa AU wa siku mbili umeitishwa kujadili migogoro mbali mbali inayoendelea kulikumba Bara la Afrika ikiwamo ile ya Somalia na Darfur katika Sudan.
Mkutano huo utakuwa chini ya Mwenyekiti wa AU, Kanali Muammar Gadaffi, kiongozi wa Libya.
Katika mkutano wao uliopita wa Juni, mwaka huu, viongozi hao wa AU walikubaliana kuitisha kikao hicho maalum kujadili kwa kina migogoro ya Bara la Afrika na kuitafutia majawabu.
Mbali ya kuhudhuria mkutano huo maalum, viongozi hao wa Afrika watashiriki katika sherehe kubwa za kuadhimisha miaka 40 ya Mapinduzi ya Libya.
Sherehe hizo za kuadhimisha Mapinduzi ya Al Fateh Revolution ama First September Revolution, ni kumbukumbu za siku ambayo Gaddafi alikamata madaraka ya kuitawala Libya kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi usiku wa kuamkia Septemba Mosi, mwaka 1969.
Katika mapinduzi hayo, Gaddafi ambaye wakati huo alikuwa bado kepteni wa jeshi la nchi hiyo, alimwondoa madarakani Mfalme Idriss Al-Senussi, kwa mapinduzi ambayo hayakumwaga damu. Mfalme Idriss alikuwa nchini Uturuki kwa matibabu wakati huo.
Rais Kikwete na ujumbe wake unatarajiwa kurejea nyumbani Jumatano, Septemba 2, 2009 na atatoa hotuba yake ya mwisho wa mwezi baada ya kuwa amerejea nyumbani.
Sunday, August 30, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 18
Sunday, August 30, 2009
dk. Sheimn atua geneva kwa mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa
Sunday, August 30, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 7
Sunday, August 30, 2009
new mti pesa yazidi kuchanja mbuga kombe la mahanga cup
Sunday, August 30, 2009
professional male model
Currently he resides in the USA is a Tanzanian by birth. His experience in this field includes the following:
(1)Tuxedo Show
(2) Informercial (HEALTH BOOK)
(3) Commercial (AIDS)
He took his training in acting from Star Maker Models.
Contact:
Jimmy Nganyange
Sunday, August 30, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 22
Sunday, August 30, 2009
labor day weekend bashes in washington DC
ONE LOVE,ONE NATION,PEOPLE GET READY
LABOR DAY WEEKEND WASHINGTON DC CALLING !!!!!
FRIDAY SEPT 4TH "SOUL NIGHT" from 9:00 pm to 3:00
AT SAFARI CLUB,
4306 GEORGIA AV,
WASHINGTON DC,
20011
DJ BONI LUV FROM TZA feat OLDSKUL MIX MASTER DJ LUKE and DJ KAY
saturday sept 5th time 4:00pm nyama choma by Special Chef shaban at Meadowbrook park plus East Africa soccer tournament Tanzania,Uganda,Kenya,Burundi and Rwanda
SATURDAY SEPTEMBER 5TH 2009 EAST AFRICAN "IN THE MIX"
@ZANZIBAR CLUB BY THE WATERFRONT
DJ BONI LUV FROM TANZANIA,DJ JOE THE CATT DADDY,b DJ LUKE feat DJ BANTITIME 9PM TO 3AM
sunday sept 6 4:00pm Yanga v/s Simba
at 16th street and kalmia street
SUNDAY SEPT 6TH "NIGHT OF ELEGANCE" -
A GROWN FOLKS DINNER & DANCE PARTY @ THE VIKING CENTER,
15212 DINO DRIVE,
BURTONVILLE
MD20866
TIME 8PM TO 3AM
KARIBUNI
KWA MAELEZO ZAIDI
KWA MAELEZO ZAIDI
or
SIMU
240 595 9874
571 233 4906
240 354 8093
Sunday, August 30, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 2





























































