Saturday, October 31, 2009
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 3






Goooooooooooooooooo.......Mussa Hassan Mgosi amliza kipa wa Yanga dakika ya 26

THE LOOK ni duka jipya la mavazi, hasa "hasa ya kinamama na watoto, ambalo limejizolea sifa kedekede kwa ubora na upekee wa mavazi yake ambayo ukivaa hamna mambo ya sare sare maua. Lipo Mwananyamala jijini Dar usoni pa jengo la Biashara Complex na jirani ya kituo cha Komakoma kwa Bitebo mdogo na Sofia Productions. Habari zaidi:
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Lucy Hope Centre Bi.Lucy Mwandosya na Mumwewe Profesa Mark Mwandosya wakimkabidhi JK picha iliyochorwa na Bi.Lucy mwandosya inayoonesha ngoma ya utamaduni ya Rungwe ijulikanayo kama " Ndingala" wakati wa hafla ya kuweka jiwe la msingi katika jengo la taasisi hiyo huko Lufilyo Rungwe jana jioni.
Flashaback June 20, 2008: Kelly Rowland (shoto) mmoja kati ya wanamuziki waanzilishi wa kundi maarufu la muziki lililojulikana kama Destiny’s Child akimkabidhi Eliza tuzo maalumu ya MTV Staying-Alive kutokana na mchango wake katika kuelimisha vijana kuhusu janga la ukimwi na jinsi ya kujikinga na maradhi hayo nk.
maiti ya mwanamama anayesemekana kauwawa kwa kukatwakatwa na mapanga na mume wake mapema wiki hii ambaye ni mtanzania huko denmark ikipelekwa hospitali kwa uchunguzi na hifadhi. marehemu inasemekana ni mwenyeji wa denmark na wanandoa hawa walizaa watoto wawili.


Baada ya kuangalia bomoa bomoa, usikose libeneke la You tube na fiesta one love katika link hii chini:
Thank you very much and karibu sana!!
Leonie Schollmeyer
Public Relations
Dhow Countries Music Academy
Old Customs House
P.O. Box 4055
Zanzibar / Tanzania
Landline +255 24 223 40 50
Mobile +255 777 416 529
Efax + 1 309 417 2841


