Wazee wa Ngwasuma FM Academia FC katika picha ya pamoja kabla ya kupepetana na Twanga Pepata Leaders Club Jumapili. Prezidaa Nyoshi el Sadat ndiye kepteni na kipa wa timu. anazifuata ile mbaya utadhani Isega Isindani kwa masarakasi. ngoma ilimalizika droo 0-0
Twanga Pepeta United wakiwa tayari kuwava FM Academia


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...