Ankal!
Habari za Leo kaka?

Naomba uwafahamishe wadau wenzangu juu ya kazi Jumuiya ya Afrika Mashariki, TUSILAZE DAMU. Kuna positions kadhaa ambazo vigezo vyake ni vya kawaida sana.

Positions zenyewe ni hizi:
EAC Accounts Assistant,
EAC Health Programme Assistant,
EAC Health Advocacy Officer,
Senior Reproductive Health Officer,
Health Officer,
Senior Health Officer,
Office Driver/ Messenger,
Administrative/ Office Management assistant.

Kwa maelezo zaidi ya hizo kazi waweza
tembelea www.kazi999.blogspot.com

Nakutakia Libeneke jema misupu!

Mdau, Kazi999.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Big up man. be blessed!!

    ReplyDelete
  2. trying hard, the second time i see it here - good stuff!

    ReplyDelete
  3. kazi nzuri sana,keep it up.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...