WANAHABARI TUMEPATA PIGO KUBWA MNO KWA KUONDOKEWA NA MKONGWE WA HABARI NCHINI MZEE REGINALD MHANGO ALIYETUTOKA JANA MAJIRA YA SAA TISA ALASIRI KATIKA HOSPITALI YA HINDU MANDAL JIJINI DAR ALIKOKUWA AMELAZWA TOKA JUZI JUMATANO KWA KIHARUSI (STROKE) ALICHOKUWA AKISUMBULIWA NACHO KWA MUDA MREFU.
MACHOZI YANANIDONDOKA NINAPOANDIKA HABARI HII KWANI REGGIE, KAMA TULIVYOKUWA TUNAMWITA WATU WOTE, AMETUFUNDISHA KAZI NA KUTULEA WADAU WENGI WA FANI HII KWA KIPINDI CHOTE CHA MAISHA YAKE. HE MENTOR AND WAS A FATHER FIGURE TO SO MANY OF US...
REGGIE AMEFANYA KAZI TANZANIA, ZIMBABWE NA MALAWI KATIKA NYAKATI TOFAUTI, LAKINI ALIKAA KWA MUDA MREFU DAILY NEWS KABLA YA KUHAMIA GUARDIAN AMBAPO ALISTAAFU NA KUBAKI NYUMBANI KWAKE MAGOMENI MTAA WA MIKUMI AMBAKO NDIKO MSIBA ULIPO.
MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA JUMAMOSI.
HABARI ZAIDI ZITAFUATA BAADAE
NIKIWA NA REGGIE NYUMBANKI KWAKE SIKU FILAMU YA BONGOLAND II ILIPOKUWA INASHUTIWA AMBAPO KUNA KIPANDE KILICHEZEWA HAPO KWA REGGIE AMBAYE ALIPOOMBWA NA MWANDAJI BW. JOSHUA KIBIRA HAKUSITA KUKUBALI DA'CHEMI CHEMPONDA ALIYESHIRIKI KATIKA BONGOLAND II AKIWA NA REGGIE WAKATI WA KUSHUTI FILAMU HIYO
REGGIE AKIPEANA MIKONO NA KAIMU MHARIRI MTENDAJI WA DAILY NEWS NA HABARI LEO MKUMBWA ALI HUKU BOSI WA ZAMANI WA GAZETI HILO MZEE ULI MWAMBULUKUTU AKIWA KATI YAO, WAKATI WA MAZISHI YA MKONGWE MWINGINE WA HABARI, MAREHEMU HAMIDU BISANGA KWENYE MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR MWAKA JANA. ILIKUWA NADRA SANA KUMUONA MAREHEMU REGGIE AMENUNA NA WOTE TULIMPENDA ILA MOLA KAMPENDA ZAIDI
REGGIE AKIPEANA MIKONO NA KAIMU MHARIRI MTENDAJI WA DAILY NEWS NA HABARI LEO MKUMBWA ALI HUKU BOSI WA ZAMANI WA GAZETI HILO MZEE ULI MWAMBULUKUTU AKIWA KATI YAO, WAKATI WA MAZISHI YA MKONGWE MWINGINE WA HABARI, MAREHEMU HAMIDU BISANGA KWENYE MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR MWAKA JANA. ILIKUWA NADRA SANA KUMUONA MAREHEMU REGGIE AMENUNA NA WOTE TULIMPENDA ILA MOLA KAMPENDA ZAIDI
REGGIE AKIWA NA ALIYEWAHI KUWA MPIGA PICHA MKUU WA DAILY NEWS ADARSH NAYAR (SHOTO) MZEE MWAMBULUKUTU NA MCHORAJI WA KATUNI ZA KALIKENYE DAVID KYUNGU KATIKA MAZISHI YA HAMIDU BISANGA.
Poleni sana wafiwa, pole sana, may Love of God and His wisdom guide you through this hard time. I went to school with Milka,pale Mzizima secondary school
ReplyDeleteBosi wangu mpendwa Reggie jamani! Nalia. Namshukuru Mungu kuwa niliweza kumwona 2006/2007 na 2009 nilipokuwa Tanzania. Reggie alikuwa na utu roho ya upendo hakuna mfano.
ReplyDeleteREST IN ETERNAL PEACE REGGIE. WE WILL MISS YOU DEARLY BUT YOU IMPARTED GREAT KNOWLEDGE AND WISDOM IN US AND WE WILL PASS IT ON!
buriani mzee wetu,ama kwa hakika ulimwengu wa habari utakukosa daima kwa ushauri madhubuti.
ReplyDeletepoleni wafiwa na Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akawepeni subira ktk kipindi hiki kigumu.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Poleni kwa msiba wanahabari. Pole nyingi kwa familia, ndugu na jamaa.
ReplyDeleteApumzike pema Reggie.
Amin.
mungu amlaze mahala pema peponi alikuwa mtu mwema sana nasema hivi sio sababu amefariki nasema hivi kwa moyo mmoja kwa jinsi nilivyomfahamu poleni sana James,aika na Reggiejr
ReplyDeleteDah poleni sana familia ya Mhango mungu ailaze mahali pema peponi roho ya baba yenu ,,Pole Jems pole Reggie na Aika
ReplyDelete...Chulu frm The Netherland
RIP MZEE REGGIE WE PROMISE WE WILL FOLLOW YOUR STEPS
ReplyDeleteMay God rest mzee's soul in peace. The late Reggie Mhando taught me alot of things during his tenure as managing editor of The Daily Mail.
ReplyDeleteRIP Mzee Mhango, nimekuwa mwanafunzi wako pale Guardian na ulinielekeza kazi kama mtoto wako tofauti na wahariri wengine wewe ni baba, poleni familia na wanahabari wenzangu wote. RIP
ReplyDeleteJamani michuzi badilisha hiyo t shirt yako, jamani kila siku ni hiyo hiyo tu, pole najua utakwazika ila ukweli ndio huo.
ReplyDeleteJamani michuzi badilisha hiyo t shirt yako, jamani kila siku ni hiyo hiyo tu, pole najua utakwazika ila ukweli ndio huo.
ReplyDeletepole sana James(A GUY CALLED LONDON) pole sana Regi Jr, poleni sana vijana wote wa Mikumi, enzi izo BIG APPLE na AFTER 7, CHULU wa Holland mbona AIKA MHANGO ameshafariki kitambo
ReplyDeleteMungu amlaze pema peponi...alikuwa ni mwalim mzuri kwa wanahabari nilipokuwa THE GUARDIAN! Poleni wafiwa..yote ni kazi ya Mungu.
ReplyDeleteYES WE LOVED HIM BUT GOD LOVES HIM MUCH AND WE"LL ALWAYS TREASURE HIS WISDOM....Infact i wanna say Thanks to every one who participated on one way or another to make sure that MR.REGGIE goes in peace especially through prayers and condolences..MAY GOD BLESS YOU ALL......And in the case of AIKA MHANGO's death i can say it's a rumor because she is alive and she works at IMMIGRATION TANGA.....@Says James Mhango's Daughter,AIKA MHANGO's Niece,REGGIE MHANGO's First Grand Daught.er
ReplyDelete