Kipa wa JKT RUVU, Shabani Dihile akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Mohamed Banka kuandika moja ya mabao 3 ya simba dhidi ya 1 la maafande hao kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uwanja wa Uhuru jijinik Dar
Wachezaji wa simba wakifutahia ushindi wao wa bao 3-1 dhidi ya JKT Ruvu
Wachezaji wa simba wakifutahia ushindi wao wa bao 3-1 dhidi ya JKT Ruvu
Mshambuliaji wa Simba, Mussa Hassan Mgosi (kushoto) akimtoka mchezaji wa JKT Ruvu, Haruna Adolf katika mchezo wa Ligi ya Vodacom uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, leo. Simba ilishinda 3-1
ubingwa lini maana nilisikia zimebaki point 4 kumbeba mwali, naomba mniwekee msimamo wa ligi inakuwa ngumu sana kwa sisi wa nje kujua msimamo wa ligi za nyumbani, huwa tunaona matokeo tu ya nani kashinda
ReplyDelete