Home
Unlabelled
mufindi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ankal, hayo sio mashamba ya kiwanda cha Mugololo, ni mashamba ya Sao Hill, taasisi ya serikali chini ya wizara ya mali asili. Kiwanda cha Karatasi Mugololo, Viwanda vya mbao na watu wengine wenye matumizi ya mbao huweza kununua miti hiyo kwa utaratibu maalum.
ReplyDeleteUkikaa nje ( abroad ) mbeya ni sehemu nzuri kukaa. Milima na mabonde . The weather is awesome . Sijatokea mbeya .
ReplyDeleteHa ha ha!!! Mithupu unanikumbusha mbali sana.
ReplyDeleteSiku hizi hapo ulipo kwa nyuma kidogo kuna kamji kadogo kalikokuwa na vibaka balaa.
Karibu miaka 12 iliyopita, usiku wa saa saba vibaka waliniwekea mawe barabarani.Bahati nzuri nilikuwa na cha moto na nilikiwasha mfululizo.
Nikaona nyasi zikichanganyikiwa vibaka wakiulaza.
Nakupa changamoto nyingine ukipita hapo kwenye kipori, ukikikatiza kwa muda wa dakika 10 utakuwa unakanyaga wese kwa mwendo gani?
Hilo ndo changamoto ninalojipa kuwahi aidha Mbeya au DSM
Angalizo:usifuatane na mabasi