In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.








  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com










Ngorongoro Heroes yaitungua Malawi 3-1 na kufuzu kucheza kombe la mataifa ya afrika kwa vijana

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Ngorongoro Heroes , Thomas Ulimwengu (kulia) akimtoka beki wa timu ya vijana ya Malawi, Lucky Malata (5) katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ngorongoro ilishinda 3-1. Mshambuliaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Ngorongoro Heroes , Thomas Ulimwengu (kulia) akiwania mpira sambamba na beki wa timu ya vijana ya Malawi, Limbikani Mzava katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ngorongoro ilishinda 3-1. Golikipa wa timu ya taifa ya Malawi ya vijana chini ya miaka 20, Alex Makina akiuangalia mpira ukitinga wavuni na kuhesabu bao la pili kwa timu ya taifa ya Ngorongoro Heroes. kocha wa timu ya taifa ya vijana ya Malawi akiwa ameeduwaa baada ya mchezo kumalizika
Kocha wa timu ya vijana chini ya 20, Rodrigo Stockler akimpongeza mfungaji wa bao la pili la timu hiyo, Omega Seme wakati mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ngorongoro ilishinda 3-1. Kwa matokeo hayo timu ya ngorongoro itakutana na timu ya vijana ya Ivory Coast wiki ya tatu ya mwezi mei ambapo mchezo wa kwanza utafanyika katika nchini Ivory Coast na baada ya wiki mbili timu hizo zitarudiana katika dimba uwanja wa taifa, Dar es Salaam.
wachezaji wa timu za Tanzania na Malawi wakiomba dua kwa pamoja mara baada ya mchezo kumalizika.
Mashabiki walioingia bure kuipa sapoti NgorongoroHeroes


Kuna Maoni 7 mpaka sasa.

  1. Anonymous Anasema:

    Is Ngorongoro Heroes any different from Serengeti Boys? Kindly Explain!

    It's a good thing that they did, beating Malawi that is. Facilitations!

  2. Anonymous Anasema:

    Kama sijakosea Serengeti ni U-17 na Ngorongoro ni U-20.
    HEKO!

  3. Anonymous Anasema:

    Ngorongoro Heroes is the Youth national team whose players are aging under-20
    WHILE
    the Serengeti Boys is the youth national team whose players are aging under-17.

  4. Anonymous Anasema:

    NDUGU WAHUSIKA MIMI NAPENDA KUTOA ONYO KUHUSU UZIO (fence) HAPO JUU ZIMEKA KINOMA SANA.HII NI HATARI SANA IKITOKEA FUJO ISIJE IKATOKEA KAMA HILLSBOROGH soma hapa .

  5. Anonymous Anasema:

    Hongera vijana wetu, kazeni buti kwa safari bado ni ndefu sana.

    Ankal tunashukuru kwa hizi habari za picha ambazo kwa kawaida huleta kutoka katika viwanja vyetu. Ni more reliable kuliko kurasa na michezo za magazeti yetu.

  6. Anonymous Anasema:

    picha ya kwanza hilo bango la biashara or whatever lilitakiwa liwe nje ya uwanja. Wabongo akili zipo wapi?

  7. Anonymous Anasema:

    mbona uwanjani mashabiki ni wachache?
    watanzania lazima tujifunze kusupport wachezaji. sioni haja ya watu kuingia bure uwanjani, kwa nini hata kama hamna pesa ya kutosha walipe kiasi fulani nafuu japo kuchangia gharama za kuutunza uwanja? hiyo tabia ya BURE...bure inanikela. pay something. and anything makes a difference. fikra za kutaka vya bure haziishii hapo kesho mkiwa viongozi mnaishia kuomba hata vitu ambavyo mnaweza kufanya wenyewe.

Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker