Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Baiashara ya Nje (TANTRADE), Bw. Ramadhan Khalfan akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu Nyerere jijini Dar leo kuhusu maandalizi ya ufunguzi rasmi wa Maonesho hayo utakaofanywa kesho Alhamisi Julai 1, 2010 na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu.












































Post a Comment