
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Banda lao katika Maonesho ya
Biashara ya Kimataifa jijini Dar leo. Aliongelea pia juu ya ajali ya ndege yao iliyotokea jana, eneo la Kabuku, Kijiji cha Manga mpakani mwa mikoa ya Pwani na Tanga.Marubani waiwili wa ndege hiyo walifariki.

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo akiangalia maonesho kwenye Banda la JWTZ katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa, Dar

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi, Andrew Nyumayo akipigiwa saluti na vijana wa
chipukizi alipokuwa akiingia kwenye banda la Jeshi la Wananchi Tanzania, kuangalia maonesho
katika viwanja vya Mwalimu Nyerere leo.
Post a Comment