Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya klabu hiyo Dar es Salaam, leo kuhusu nia yake ya kutaka kugombea ubunge katika jimbo la Tabora mjini.
(Picha na Francis Dande)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 24, 2010

    he! kwani ukishakuwa mfungwa waruhusiwa ?
    michuzi nimeuliza swali nahitaji majibu sio kubana ah ah

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 24, 2010

    Nadhani si sahihi kutumia makao makuu ya klbu ya Simba kutangaza dhamira ya kisiasa. Hayo ndio mapungufu ya kutokuwa na busara. Hebu tujiulize umechaguliwa kuiongoza Simba hata miezi mitatu bado unakuja na ajenda nyengine ya kugombe uongozi ambao ni dhamana kubwa kwa wananchi. Hebu tuamkeni watanzania watu wasichezee wananchi. Chagua moja siasa ama soka.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 24, 2010

    Ilikuwa ni muda tu, huyu jamaa Tabora wanamkubali sana tokea 2000 aliposhindana Prof Mgombelo. Rage alishinda kura za maoni ila NEC wakakata jina lake kuwa alizidisha takrima.

    Kutumia ofisi yako kuongea na waandishi si kosa provided dondoo muhimu ya mkutano ilikuwa ni masuala ya klabu na mwisho akadokeza tu kama AOB. Ila kama hakufanya hivyo atakuwa ametumia ofisi vibaya

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 24, 2010

    Logistics officers wea r u...give answrs.
    Mdau M,A

    ReplyDelete
  5. VOICE OF TABORAJune 24, 2010

    ADEN Nakutakia kika la kheri lakini Utamuweza KABOYONGA mchumi aliyebobea?

    ReplyDelete
  6. MZEE BAMCHAWI R.I.P.June 24, 2010

    KWA NINI USIITUMIE SAIGON CLUB KUTANGAZA NIA YAKO YA HUO UBUNGE?MIMI NAONA SI SAHIHI KUITUMIA CLUB YA SIMBA INAWEZA KUONEKANA SIMBA NDIO TUMEMTUMA WAKATI SI KWELI,HII COMMENT NAOMBA ITOKE KAMA ILIVYO

    ReplyDelete
  7. MASHUJAA WA UNYANYEMBEJune 24, 2010

    KABOYONGA NA RAGE!! .....KIFO NA USINGIZI,VITU VIWILI TOFAUTI,PIA TUSISAHAU YA WAHENGA,WAO WALISEMA MZIGO MZITO MPE MNYAMWEZI.

    ReplyDelete
  8. Je yale yooooote aliyowaahidi wanachama wa Simba wakati wa kampeni za kuwania uwenyekiti miezi michachee tu iliyopita atayatimiza vipi kama sasa anaelekeza nguvu ya kuwa mbunge ? Kweli bongo kalaghabao !!!! TIT This Is Tanzania.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 24, 2010

    He!Bado hajakata tamaa tu?Mtaniambia kama yale ya FAT hayatorudishwa tena mtu atupwe lupango.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 24, 2010

    Wadanganyika bwana!!! Tuko zaidi ya milioni 40 kwanini mtu mmoja akamate nyadhifa mbili??? Aendelee na uenyekiti Simba na ubunge aachie mtu mwingine. Ebo, asije peleka mambo ya simba bungeni badala ya kero za wanaTabora.
    Mgombelo uko wapi? au kwishinehi!!!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 24, 2010

    Rage tunakukubali sana tabora, big up tunakutegemea utuletee maendeleo, mungu akutangulie, wananchi wa tbr njini tunakupenda, wenye chuki wakae na chuki zao, husda na husda zao.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 24, 2010

    CCM HAINA TOFAUTI NA VIWANDA VYA MCHINA KWANI NAYO INAZALISHA WABUNGE WABOVU KAMA MALI ZA MCHINA.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 24, 2010

    Rage alishinda katika rufaa yake, na maana yake ni kuwa uamuzi wa mwanzo haukuwa sahihi kwa hiyo hajafungwa!!!

    ReplyDelete
  14. Hadj Drogba "mwana chelsea"June 24, 2010

    JAMANI EEEH MI NITAMTETEA ADEN KUHUSU KUTANGAZA NIA YA KUWANIA UBUNGE WAKATI NI HIVI MAJUZI TU ALICHAGULIWA KUWA M/KITI WA SIMBA,KWA MNAOFUATILIA NADHANI WENGI MMELISAHAU HILI,ADEN WAKATI AKIOMBA KURA PALE MKUTANONI ALISEMA ANAOMBA SIKU 90 TU,SASA KWA MNAOJUA HESABU SIKU 90 KUTOKA SIKU ILE ZITAMALIZIKA AMA KUTIMIA SIKU MAJINA YA WALIOPITISHWA NA CCM KUGOMBEA UBUNGE,HIVYO BASI RAGE KAMA ATAKUA MIONGONI MWA WATAKAOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE,ATAACHANA NA SIMBA NDANI YA MUDA WA ZILE SIKU 90 ALIZOOMBA,SO WENYE KUITAKA NAFASI YA UENYEKITI SIMBA,MUOMBEENI ADEN APITISHWE KWENYE KURA ZA MAONI KUGOMBEA UBUNGE,MAANAKE NAONA TATIZO NI "HUU WENYEKITI" ALIONAO,ATAWAPA MSIJALI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...