Waandishi wa Habari kutoka mikoa ya Singida, Dodoma na Morogoro walioshiriki katika Mafunzo ya Uandishi Bora wa Habari za Uchaguzi, yaliyofanyika Julai 22-24 , 2010 mjini Dodoma. Watatu kushoto ni Mwezeshaji wa Mafunzo hayo, Lilian R. Kallaghe. Mafunzo hayo ya siku 3 yamedhaminiwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).
(Picha na Mbaraka Kambona)
(Picha na Mbaraka Kambona)
Thadei Hafigwa mwisho kulia mstari wa nyuma-mwana St. Peters Seminary miaka ileeeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDeleteBig up kaka!
what a waste of money! kwani kabla ya kuwa waandishi wa habari hawa hawakusomea fani hii? kwani waliposomea fani hii hawakufunzwa juu ya uandishi bora? ina maana wakati wote mwengine wanakubalika kuwa na uandishi mbaya wa mambo tafauti?
ReplyDeletewhat a waste of money. Tanzania watu hutafuta kila sababu za kupata pesa za kushibisha matumbo yao. Sioni point ya mafunzo haya.
Wewe, Kaka hacha ujinga na ushamba! mafunzo katika sehemu za kazi ni muhimu ili kukabiliana na mabadiliko ya haina yoyote ile. Hata huku west ambako wameendelea na wahandishi wanalipwa pesa nzuri, bado watu wanapewa training licha ya kwamba walifuzu katika hizo kazi zao hapo awali. Seminars and mafunzo mengine kazini, nisehemu ya maendeleo ya ajira ya mfanyakazi yoyote yule hapa duniani ili kuhakikisha anabakia imara na kutenda kazi sawa sawa! Kwahiyo kama wewe unafanya kazi tu bila kupata mafunzo unapungukiwa ufanisi kazini kwako!
ReplyDelete