In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.









  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com








watoto wawili wapoteza maisha katika ajali ya moto wilayani ulanga

Bi Sabina Nambalamoka (kulia) akimuuguma mama yake,Bi Kilala Magala alielazwa katika hospitali ya wilaya ya Ulanga baada ya kujeruhiwa kwenye ajari ya moto.


Na Sekela Mwasubila - Ulanga

Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia na bibi yao kuungua vibaya kutokana na moto ulioteketeza nyumba yao majira ya saa nne usiku katika kijiji cha Isyaga wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro.

Akiongea na mwandishi Bi Sabina Nambamoka (35) ambaye ni mtoto wa majeruhi amewataja waliofariki kuwa ni John Makamo (9) na Edwini Kologero (5) na Bi Kilala Mgala (60) ambaye ni mama yake mzazi.

Amesema yeye anaishi kijiji cha jirani na eneo la tukio hivyo alikuja kuitwa usiku kuwa na nyumba ya mama yake inateketea kwa moto na alifika eneo la tukio alikuta moto umetanda na juhudi za kumuokoa zikiendelea, baba yake alikuwa amekwisha okolewa na alijeruhiwa kichwani na mkononi.

Aliongeza kuwa baada ya mama yake kuokolewa moto ulizidi na kupelekea watoto kupoteza maisha yao kwa kuungua vibaya na kumfikisha mama yake hospitali ya Wilaya mnamo saa tisa za usiku.

Akiongea Dkt. Malekano toka hospitali ya Wilaya ambaye ndiye anayemhudumia mgonjwa aliyejuruhiwa kwa moto huo amesema kuwa baada ya kupata matibabu hali ya mgonjwa inaendelea vizuri japokuwa ameungua asilimia sabini na tano ya mwili wake.

Mkuu wa upelelezi wa Wilaya L.N Buya amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa chanzo cha moto ni moto uliokuwa umeachwa nje kutokana na upepo ukashika nyasi zilizoezekewa nyumba na kupelekea kuungua kwa nyumba hiyo.


Hoja moja imeshachangiwa mpaka sasa.

  1. Anonymous Anasema:

    pole mama.Mungu akupe nguvu

Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker