Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Rais wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume baada ya kuhutubia mkutano wa ufungaji wa kampeni kwa Chama cha Mapinduzi zilizofanyika jana katika uwanja wa Gombani ya Kale Chakechake Pemba.
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia mkutano wa Ufungaji wa kampeni kwa Chama cha Mapinduzi CCM uliofanyika jana katika uwanja wa Gombani ya kale Chakechake Pemba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...