Kama kuna utalii wa ndani, basi hata ushabiki wa ndani pia upo. Jina la Mchezaji wa Timu ya Taifa na Azam United, Mrisho Ngassa , ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Yanga , limekuwa gumzo hadi vijijini, ambapo Basi dogo la Abiria linalofanya shunghuli ya kusafirisha abiria kutoka Mjini Ifakara , Wilayani Kilombero kwenda Malinyi, Wilaya ya Ulanga likiwa limeandikwa jina la mshambuliaji huo mahiri. Picha na John Nditi.













































Post a Comment