KUMBUKUMBU KWA MAREHEMU MARAFIKI DESEMBA 11, 2010

Kwa heshima na taadhima tunapenda kuwafahamisha na kuwakaribisha katika hafla ya kuwaombea dua marafiki zetu waliofariki dunia katika kipindi cha miaka ishirini (20) hadi sasa.

Marafiki waliobaki wa iliyokuwa TAZARA Club, Kinondoni pamoja na wengine wa Leaders Club, Bamboo Club (John Fedha), Hunters, Check Point, Break Point, Rose Garden, Octa’s Pub (Ubalozi wa Ufaransa), Bakulutu, British Legeon, Railway Club Gerezani (Singa Singa) na wengineo wengi wamejumuika kufanya tendo hili la kuwakumbuka marafiki zetu Tarehe 11 Disemba 2010 katika viwanja vya LEADERS CLUB ( KINONDONI).

Ratiba:

Saa 7:00 Mchana – Marafiki na Waalikwa Kujumuika

Saa 7:30 Mchana – Dua kusomwa na Sheikh na Padre

Saa 8:00 Mchana – Chakula

Saa 9:00 Mchana – Mwisho wa Shughuli

Yafuatayo ni majina ya marehemu tunao wakumbuka: -

1

Ada Sykes

2

Angela Madondola

3

Balozi Mbapila

4

Ben Branco

5

Bisanga Mshamu

6

Bupe

7

Chacha Marwa Boghas

8

Charles Lyimo

9

Charles Mbandwa

10

Choggy Sly

11

Costa Teffe

12

Eddy (Inn By The Sea)

13

Eddy Sally

14

Emmanuel Rweikiza

15

Eugine Kagolo

16

Farida Masoli

17

Frank Mutani

18

Four Cash

19

Gasper Akili

20

Geofrey Dahal

21

George Mazulla

22

Haji (Tanga)

23

Hamphrey Akena

24

Hilda (Naomba 100)

25

Ippy Malecela

26

Jimmy Mahimbo

27

Joshua International

28

Juma Ngida

29

Kalio

30

Karuhinda

31

Ndalla Kasheba

32

Kimambi

33

Kimambo NCCR

34

Levis (G8)

35

Majuto Tazara

36

Manfred Kapinga

37

DJ Mangappy

38

Mariam Donna Summer

39

Mavalla

40

Mbiku

41

Mfanga

42

Mike Maro

43

Mine

44

Mr. Emanuel Mbando

45

Mr. Labarny

46

Mussa Ngoda

47

Mzee Assey

48

Mzee Bashwan

49

Mzee Joseph

50

Mzee Khatib Siraji

51

Mzee Mujaya

52

Mzee Mushi

53

Mzee Samuel

54

Mzee Shetta

55

Mzee Soud

56

Mzee Tegissa

57

Mzee Yusuf Mandevu

58

Nassor Malocho

59

Ndealle Makere

60

Ng'itu

61

Nusura

62

Omary Sykes

63

Omary Urembo

64

Othman Maraha

65

Othman Matusi

66

Othman Rungu (Matai)

67

Pettie

68

PJ (Paul Mdachi)

69

Rajab Mwajasho

70

Ramadhan Majungu

71

Ray Abdu Adedeji.

72

Rhoda Mbandwa

73

Rose Hosea (Mwajasho)

74

Royal (Dotto)

75

Royal (Kulwa)

76

Rukia Mwajasho

77

Saad Suleiman (Tazara)

78

Saidi Machupi

79

Sanga

80

Shaaban Satto 'Shebby B'

81

Shaan Aspro

82

Super Mafuru

83

Tecla (TAZARA CLUB Staff)

84

Temu Tuffe

85

Tina Mzena

86

Tomito

87

Winston

88

Zaki Aman

89

Zumu

MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI WOTE WALIOTANGULIA

“AMEN”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 38 mpaka sasa

  1. MUNGU AKUBALIKI ulotoa mawazo haya ya kuwakumbuka marehemu ni mara chache sana kutokea tunasahau haraka sana.MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU PEMA PEPONI.AMEN

    ReplyDelete
  2. What a noble cause..RIP 89

    God bless you all for organising this!

    ReplyDelete
  3. e bwana eeeh mimi ni mtoto wa kinondoni,nimekulia huko ,hii list inanikumbusha mbali sana isitoshe wengine nimeishi nao mitaani kina ray abdu,mzee bashwan,donner summer..nimeshtuka kuona mariam donner summer nae ni marehemu daa Mungu awalaze mahali pema peponi,kuna mzee mmoja amesahaulika nahisi alikuwa maarufu sana pale kinondoni enzi hizo ni mzee beka(baba yake baharia kipaso nae maarufu) na mwanae nae ni marehemu pia anaitwa goldenman....mdau ukerewe

    ReplyDelete
  4. Very good idea ya kuwakumbuka waliotutangulia. Na pia kuna Mzee mmoja sijaona jina lake Mzee Rajab Hasara.

    ReplyDelete
  5. Bila kumsahau kaka yangu Simbo Ntiro. RIP brother.

    ReplyDelete
  6. Ni jambo la heri kuwakumbuka marehemu, mwenyezi mungu awaondolee adhabu ya kaburi. Amen,
    kwenye hii list nimeona jamaa wengine ambao sikujua wameshaiaga dunia. MAREHEMU WOTE RIP, mmetangulia tutafuata.

    ReplyDelete
  7. michuzi siamini kama unaweza kusahau kim mgomelo wa kim and the boyz

    ReplyDelete
  8. MUNGU AJALIE FIKRA NZURI HIZI ZA KUWAKUMBUKA JAMAA NA MARAFIKI WAKUBWA KWA WADOGO,WALIOTUTANGULIA KWENYE HAKI .AMEN

    ReplyDelete
  9. Ni wazo zuri kama wenzangu waliotangulia walivyosema, ila ni vmuhimu mnapokuwa na kampani ni vema kujuana majina yote hasa mawili, la mhusika na la baba yake, ni muhimu sana kuna leo na kesho.

    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  10. Mola awarehemu. Kweli mmefanya jambo zuri.Mme msahau Fauzi Isaka.Na alikuwa mchezaji mzuri wa timu ya Tazara club.

    ReplyDelete
  11. tusimsahau Hamis Thobias Gagarino(singasinga) na boss wa akina Four cash John Ngogo but RIP

    ReplyDelete
  12. Mungu awalaze wote waliotangulia mbele ya haki mahali pema peponi. Amin. Nikiwa kijana wa zamani wa Dar, nilifahamiana na wengi katika orodha hiyo. Nimestushwa kuona kuwa Ray Abdul na mhandisi Saad wa Tazara hatunao tena kwani nilikuwa sijapata habari za msiba wao. Kuwakumbuka waliotangulia na kuwaombea ni wajibu wetu sote, kwani inatukumbusha hapa duniani kuwa tuko katika ya mpito na hatuna budi tupendane, tuwe wakweli na tusaidiane. Ex-Bitozi (ex-Beatles).

    ReplyDelete
  13. Kwa wote walio katika orodha hiyo na wasiokuwako humo RIP. Amin.

    ReplyDelete
  14. Bila ya kuwasahau Yusuf Zialor, Teddy Kiwia, Raphael Sabuni na Ahmed Max. RIP.

    ReplyDelete
  15. M/Mungu Awarehem waliotutangulia... Na M/Mungu awape kheri waliotoa mawazo haya no 12. Eddy (Inn By The Sea)ni Mohammed Mbarak Salim (Eddy)RIP

    ReplyDelete
  16. Mungu awabarki kwa kuwakumbuka wapendwa wetu...amesahaulika dada yetu Hope na Daines Banyikwa...mi Yanina

    ReplyDelete
  17. The MagangasDecember 08, 2010

    We did not know that our dearest friend and brother Saad Suleiman passed away. The Maganga family extend their heartfelt condolonces to Saad's family. Saad was a loved friend/brother to Ferdi and his family, his presence will be sadly missed. Richard Mbwana or Yusufu please contact us via email - Ferdi.Maganga@bigpond.com

    ReplyDelete
  18. Jamani....Mzee Iddi Manyanya na Baziano Bwetti (Musician - Wazee Sugu) RIP

    ReplyDelete
  19. Mr Michuzi, Nitakuwa mchoyo wa fadhala nisipokusifia kwa hili jambo muhimu ulilotukumbusha la kuwafanyia dua waliokuwa Marafiki zetu na Ndugu zetu wapendwa waliotutangulia mbele za haki. Mola awajalie rehema zake na awaweke mahili pema peponi.

    ReplyDelete
  20. Pia na Willy Mwaijibe, aliichezea Simba. Bila kuwasahau Abdul Kiobya na Aliamin Kiobya[My Nephews] RIP!!
    Amri Kamala - Canada

    ReplyDelete
  21. Kubwa ni kusema "Innalillah Waina ilahi Raajjiun" lakini wapo ndugu zetu wengine tumewasahau kama;
    1. Hassan Saadun, (PIAZZA)
    2. Mohamed Mahendo,(Mnazini k'ndoni)
    3. Amina Saigon, BIMA.
    4. Anania Sangura, TBL.
    5. Mussa Khiwelu, Ssc.

    ReplyDelete
  22. Jamani Dafne Omary

    ReplyDelete
  23. Huyo Joshua International ni yule mwenye maduka ya nguo au yupi? nikembusheni wadau

    ReplyDelete
  24. God Bless You Brother,
    Naomba mumuombee na baba yangu THOBIAS ALBERT NKOMA alikuwa anachezea Simba sports club ,alikuwa akiishi MagomenI Kizingo N0 13 much Love Dad
    (R.I.P)

    ReplyDelete
  25. Msisahau kujumuisha wazazi wetu wote, na kale kabinti na mume wake au? Amina Chifupa na MPAKANJIA.

    I wanted to send this to my friends in jamii forum who have responded to my e mail as a new entrants known as mjanjamimi, but I noted that most of them do visit here so no need of doublicating issues:

    Nimeshidwa kuingia na niko busy kuanza kusoma totoria za pale, kwa hiyo mjue mimi ni mjanja kweli.
    Life Is a Gift:

    Today before you say an unkind word -
    Think of someone who can't speak.

    Before you complain about the taste of your food - Think of someone who has nothing to eat.

    Before you complain about your husband or wife - Think of someone who's crying out to GOD for a companion.

    Today before you complain about life -
    Think of someone who went too early to heaven.

    Before you complain about your children -
    Think of someone who desires children but they're barren.

    Before you argue about your dirty house someone didn't clean or sweep -
    Think of the people who are living in the streets.

    Before whining about the distance you drive
    Think of someone who walks the same distance with their feet.

    And when you are tired and complain about your job -
    Think of the unemployed, the disabled, and those who wish they had your job.

    But before you think of pointing the finger or condemning another -
    Remember that not one of us is without sin and we all answer to one MAKER.

    And when depressing thoughts seem to get you down -
    Put a smile on your face and thank GOD you're alive and still around.

    And before you think of signing out, Please think of sending this to atleast ten people including the one who sent it to you.

    SAY THANKS GOD FOR WHO I AM.

    ReplyDelete
  26. Bila kumsahau mamangu mpendwa Dinna Kabuhaya. Mwanga wa milele umwangazie Mungu, apumzike kwa amani.

    ReplyDelete
  27. Mikausho MikaliDecember 08, 2010

    WAZO LA KUOMBEA MAREHEMU RAFIKI ZETU NI ZURI NA MAJINA MENGI YAMETAJWA LKN NAONA MICHUZI ALISAHAU KITU HAPA.HII DUA IMEANDALIWA MAHSUSI KWA WALE WADAU WA TAZARA CLUB ENZI HIZO ..SASA KUNA WATU WANATAJWA HUMU LAKINI HAWAKUWA WADAU WA TAZARA

    ReplyDelete
  28. May you REST IN PEACE KAKA H. AKENA, I MISS YOU EACH AND EVERYDAY!!!!!!!!

    ReplyDelete
  29. Nakuunga mkono Mikausho Mikali, Hii ni hususan kwa wale waliokuwa wadau wa TAZARA CLUB...hakuna ubaya kuwataja humu ndugu na jamaa waliotangulia lakini zingatia paragrafu ya kwanza ya ujumbe wenyewe kabla ya majina. Ukisema tutaje kila mtu humu basi itabidi tufungue blogu nyingine kabisaaa maana hawatatosha. Napongeza wale wote waliochangia mawazo na majina, mungu awazidishie imani na upendo.

    ReplyDelete
  30. rip baba mkwe s kimambo

    ReplyDelete
  31. Rest in Peace FATUMA JUALIA ULEDI
    mwanao anazidi kuwa a big boy
    we miss you

    ReplyDelete
  32. Wewe unayejiita Mikausho mikali Dua itakayo somwa sio kwa waliokuwa member wa Tazara Club tu hebu soma vizuri hapo juu. ni kwa waliokuwa Member wa Tazara na Club nyingine zilizokuwa zikishirikiana na Tazara (kwenye Sunday Bonanza) kama Railway Club, Sigara,Masai,Check Point,
    Hunter,Bamboo, Break Point na nyingine kwa hiyo kabla ya kuandika utumbo wako soma vizuri kichwa cha habari.

    ReplyDelete
  33. Mdau kamili joshua international aliyekuwa na maduka ya nguo dar na arusha alikufa miaka mingi tu kwa ajali ya gari.

    ReplyDelete
  34. RIP MY DAD MZEE KIMAMBO,NAWENGINE WOTE WALIOTAJWA MWENYEZI MUNGU AENDELEE KUWATUNZA MPAKA TUTAKAPOKUTANA,WE ALWAYS MIC U.

    ReplyDelete
  35. Tumkumbuke pia Nangade na marafiki zake ambao walipenda sana kwenda kupata supu pale Tazara Club

    ReplyDelete
  36. RIP Nangade

    ReplyDelete
  37. mungu ailaza mahali pemapeponi, roho ya namba 44.Mr Emmanuel Mbando na wote mlio tangulia.

    ReplyDelete
  38. mungu ailaze roho ya baba angu Anania Sangura mahali pema pepono amin birrabil alamin

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...