la Wilaya hiyo huku Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. James Msekella akimsikiliza kwa makini.






Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Pius Msekwa akiwahutubia vijana jana mjini Dodoma leo juu ya umuhimu wa kushikamana na kujenga umoja wakati wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu, mara baada ya kuwasimika Makamanda wa UVCCM wa wilaya zote za Dodoma na Mkoa katika Sherehe zilizofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Taifa mjini Dodoma.
Makamanda wa CCM wa wilaya na Mkoa wa Dodoma. Toka kulia kwenda shoto ni Mh. Hezekiah Chibunje,huyo ni Kamanda wa UVCCM Mkoa wa Dodoma, anyefuata ni Mh. Zabein Mhita yeye ni Kamanda wa UVCCM Kondoa Kaskazini, Mh. Job Ndugai, Kamanda wa UVCCM Kongwa na Mh. Laurent Hoya yeye anakuwa Kamanda wa UVCCM Chamwino.
Ushindi huo umeipa Simba pointi 42 dhidi ya 30 za watani wao wa jadi Yanga inayokamata nafasi ya pili. Toto Africa wamezidi kwenda chini kuelekea mstari wa hatari wakiwa na pointi 7 kutoka michezo 14.
wamisri wakishangilia ushindi
hata ngamia anatabasamu..
MTANGAZAJI WA TBC JERRY MURO (PICHANI) ANASHIKILIWA NA POLISI KATIKA KITUO CHA KATI JIJINI DAR KWA KILE KINACHODAIWA KUNASWA KATIKA MTEGO WA KUPOKEA RUSHWA TOKA KWA MWANANCHI MMOJA WA JIJINI.
Maafisa wa NMB wakitembezwa shule ya Msingi ya Nyanza kabla ya kutoa misaada ya ujenzi wa madarasa matatu katika shule hiyo.
wanafunzi wa shule hiyo wakijumuika kwenye hafla
Mkuu wa kitengo cha Mahusiano benki ya NMB Shy-Rose Bhanji, akikabidhi sehemu ya msaada wa saruji na mabati kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyanza Bibi Happiness Kimambo, ikiwa ni msaada wa NMB kusaidia sehem ya ujenzi wa madarasa matatu katika shule hiyo.
Rais wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN); Mzalendo Sanctus Mtsimbe; akitoa maelezo ya misaada iliyokusanywa katika awamu ya pili ya Kampeni kwa ajili ya kuwasaidia Wahanga wa Mafuriko inayoendeshwa na TPN, Globu ya Jamii na JamiiForums.
Rais wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN); Mzalendo Sanctus Mtsimbe; akitoa maelezo ya misaada iliyokusanywa katika awamu ya pili ya Kampeni kwa ajili ya kuwasaidia Wahanga wa Mafuriko
Mlezi wa TPN Mzalendo Dr. Maua Dfatari (kati) akitoa maelezo kuhusiana na kampeni kwa; Mkurugenzi wa Maafa wa Chama Cha Msalaba Mwekundu Bw. Joseph Kimaryo (Kulia) katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Chama Chama Msalaba Mwekundu, Masaki jijini Dar.
Mlezi wa TPN Mzalendo Dr. Maua Dfatari (kati) akitoa maelezo kuhusiana na kampeni kwa; Mkurugenzi wa Maafa wa Chama Cha Msalaba Mwekundu Bw. Joseph Kimaryo (Kulia) katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Chama Chama Msalaba Mwekundu. Mzalendo Daftari aliweka wazi kuwa Kampeni yetu ni ya Kukisaidia na Kukiwezesha Chama cha Msalaba Mwekundu Red Cross na haina uhusiano wowote na kampeni ya Red Alert inayoendeshwa na Vodacom.
Kaimu Mhariri Mtendaji wa Tanzania Standard Media Newspapers Ltd, Bw. Mkumbwa Ally, akiongea na wafanyakazi wa kampuni hiyo ambayo huchapisha magazeti ya serikali ya Daily News na HabariLeo wakati wa mnuso wa kusherehekea mwaka mpya ulioandaliwa Ijumaa usiku katika hoteli ya New Africa jijini Dar
wadau wa TSN wakisikiliza hotuba kwa makini
wadau wa TSN wakijichana
Shafii Mpenda (kati) na makamanda wenzie
wawakilishi wa TSN toka kanda zote nchini wakitambulishwa
gwiji la habari aa mahakamani Faustine Kapama (pili kulia) akiwa na mhariri wa michezo Nas Kiliyinga (pili shoto) na wapiganaji wenzao
wataalamu wa teknohama wa TSN wakila raha
masembe tambwe anajinyoosha baada ya msosi wa nguvu na wenzie

