In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.










  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com












Archive for April 2010

Ngorongoro Heroes yaitungua Malawi 3-1 na kufuzu kucheza kombe la mataifa ya afrika kwa vijana

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Ngorongoro Heroes , Thomas Ulimwengu (kulia) akimtoka beki wa timu ya vijana ya Malawi, Lucky Malata (5) katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ngorongoro ilishinda 3-1. Mshambuliaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Ngorongoro Heroes , Thomas Ulimwengu (kulia) akiwania mpira sambamba na beki wa timu ya vijana ya Malawi, Limbikani Mzava katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ngorongoro ilishinda 3-1. Golikipa wa timu ya taifa ya Malawi ya vijana chini ya miaka 20, Alex Makina akiuangalia mpira ukitinga wavuni na kuhesabu bao la pili kwa timu ya taifa ya Ngorongoro Heroes. kocha wa timu ya taifa ya vijana ya Malawi akiwa ameeduwaa baada ya mchezo kumalizika
Kocha wa timu ya vijana chini ya 20, Rodrigo Stockler akimpongeza mfungaji wa bao la pili la timu hiyo, Omega Seme wakati mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ngorongoro ilishinda 3-1. Kwa matokeo hayo timu ya ngorongoro itakutana na timu ya vijana ya Ivory Coast wiki ya tatu ya mwezi mei ambapo mchezo wa kwanza utafanyika katika nchini Ivory Coast na baada ya wiki mbili timu hizo zitarudiana katika dimba uwanja wa taifa, Dar es Salaam.
wachezaji wa timu za Tanzania na Malawi wakiomba dua kwa pamoja mara baada ya mchezo kumalizika.
Mashabiki walioingia bure kuipa sapoti NgorongoroHeroes


Intavyuu na Sporah

Kwa video hii na nyingine kibao

BOFYA HAPA


safari lager mdhamini mkuu mashindano ya pool kwa wanafunzi wa elimu ya juu

Meneja wa Bia ya Safari Lager,Fimbo Butallah akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) namna bia ya safari Lager itakavyoweza kufanikisha mashindano ya Pool kwa wanafunzi wa elimu ya juu katika mkutano uliofanyika leo.
Naibu Waziri wa Michezo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kayumba Torokoko akiongea na waandishi wa habari waliofika katika mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Safari Pub uliopo ndani ya TBL.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager,Fimbo Butallah.
Baadhi ya washiriki wa mchezo wa Pool kutoka katika vyuo mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja.

HIGHER LEARNING SARARI LAGER POOL COMPETITION 2010

Bia ya Safari Lager, inayozalishwa na Tanzania Breweries Limited (TBL) na ambayo ndio mdhamini mkuu wa mchezo wa pool hapa nchini imetangaza kuyadhamini mashindano ya kucheza poolkwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu yanayofahamika kwa jina la (Higher Learning Safari Lager pool Competition 2010).

Mashindano hayo yanatarajiwa kushirikisha vyuo vikuu kumi na vyuo vya kati kumi na vinatarajiwa kutoana jasho kwenye mashindano hayo yatakayofanyika katika ufukwe wa coco Beach kuanzia may 14 hadi may 16,2010 jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naimu Waziri wa Utamaduni na Michezo Mh. Joel Nkaya Bendera.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Meneja wa bia ya Safari Lager, Fimbo Butallah alisema “Azma ya Safari Lager ni kuleta mapinduzi ya kweli na mafanikio makubwa katika mchezo wa pool hapa nchini, hivyo udhamini huu wa mashindano vyuo vikuu na vya kati ni moja kati ya malengo ya bia ya Safari kuhakikisha inatambua na kuthamini mchango wa wanataaluma katika nyanja ya michezo nchini Tanzania.”

Bwana Fimbo aliendelea aliendelea kusema “Washindi wa mashindano hayo watajipatia zawadi zenye thamani ya Tsh. 3,000,000/= za kitanzania –ambapo ni Chuo Bingwa 1,000,000/= mshindi wa pili 600,000/= na Chuo cha tatu 400,000/=. Kwenye mchezo mmoja mmoja mshindi atajipatia Tsh. 200,000/= wa pili Tsh. 150,000/= na wa tatu Tsh. 100,000/= yote ni kwa wanawake na wanaume na pia Mchezaji bora wa kike na wa kiume kila mmoja atapata 50,000/= huku Chuo bingwa kikijipatia Kombe kubwa la Safari Lager2010.”

Wakielezea juu ya uthamini huo wawakilishi wa vyuo hivyo wakiongozwa na Naibu Waziri wa Michezo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bwana Kayumb Torokoko alisema “Udhamini huo umefika wakati muafaka kukokana na ukweli kwamba mchezo wa pool ni miongoni mwa michezo inayohitaji matumizi makubwa ya akili na kufikiri tofauti na michezo mingine ambayo hutumia nguvu zaidi.”

Aliendelea kusema “Ni nafasi nzuri kwa wanataaluma kote nchini kushiriki katika mashindano hayo ili kuweza kutoa nafasi kwa kila mmoja wetu kuonyesha uwezo wake kwenye kucheza pool.

Aidha waliipongeza TBL kwa mchango wake wa dhati kwa mchezo huu kwa kusema “Tungependa kutoa shukrani zetu kwa bia ya Safari Lager na TBL kwa ujumla kwa mchango wao katika kuhakikisha mchezo huu wa Pool unakuwa na kuomba waweze kutoa nafasi ya kuukuza zaidi kwenye vyuo vilivyopo nje ya jiji na Dar es Salaam.

Wamekuwa ni mfano mzuri kwa kuweza kuutambua mchango wetu katika ngazi ya vyuo vya elimu ya juu nchini na pia kutoa ushirikiano mkubwa katika mchezo huu, na hivi leo mchezo wa Pool umekuwa na taswira tofauti na yenye matumaini makubwa kwenye ngazi ya vyuo vya elimu ya juu nchini Tanzania.”

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ni watengenezaji na wauzaji wa bia, vinywaji vya matunda vyenye asili ya kilevi (AFB’s) na visivyo na kilevi ndani ya Tanzania. TBL inazo hisa pia katika Tanzania Distilleries Limited na kampuni shirika, Mountainside Farms Limited.
Bia maarufu za TBL ni pamoja na Safari, Kilimanjaro, Ndovu Special Malt na Castle.Vinywaji vingine vya TBL ni Konyagi Gin, Amarula Cream, Redds Premium Cold.

TBL imo pia katika Soko la Hisa la Dar es Salaam na imeajiri watu kiasi cha 1,300 huku ikiwa na wawakilishi katika sehemu kubwa na Tanzania na viwanda vitatu vya bia na depot nane kwa ajili ya kusambazia bia na vinywaji vingine vya kampuni hiyo.

Kwa mawasiliano zaidi
Fimbo Butallah,
Safari Lager Brand Manager,
Fimbo.Buttallah@tz.sabmiller.com

Dorris Malulu,
Corporate Affairs Administrator,
Doris.malulu@tz.sabmiller.com

Innocent Melleck,
Integrated Communication Ltd,
Project Manager,
+255 786 110 150
innocent@integrated.co.tz


kanali ali mahfoudh

Mwalimu akimvisha medali Kanali Ali mahfoudh mwaka 1969. Mwanajeshi huyu ni mmoja wa askari waliopata umaarufu sana katika JWTZ kwa utumishi wao. Wengi wamesikia jina lake, lakini wachache wamepata kumuona kwa sura. wenye data zaidi msaada tutani tafadhali....



Mambo yote London Kesho!





TBL yaipiga jeki timu ya mkoa wa Kilimanjaro ya Taifa Cup


Kaimu meneja mauzo wa TBL mikoa ya Kilimanjarona Tanga Edmund Rutaraka akimkabidhi kiasi cha shilingi milioni 1.5 katibu tawala msaidizi Hassani Bendeyeko kwa ajili ya maandalizi ya timu ya mkoa wa Kilimanjaro.huku zoezi hilo likishuhudiwa na makamu mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Darabu .m.Darabu na katibu wake Benedict Macha

Picha na Habari
Na Dixon Busagaga Moshi wa Globu ya Jamii, Moshi.
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekabidhi kiasi cha shilingi milioni 1.5 timu ya mkoa wa Kilimanjaro “Kilimanjaro Worrios kwa kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya taifa cup.
Fedha hizo zilikabidhiwa jana kwa katibu tawala msaidizi Huduma na miundombinu Hassani Bendeyeko kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia alikabidhi fedha hizo kwa viongozi wa chama cha soka mkoa KRFA.

Akizungumza mara baada ya kukabidhi fedha hizo kaimu meneja mauzo mikoa ya Kilimanjaro na Tanga Edmund Rutaraka alisema kampuni hiyo imetoa kiasi hicho cha fedha ikiwa ni sehemu ya udhamini pamoja na kuwapa motisha wachezaji.
“Mh katibu tawala msaidizi kwa niaba ya mkuu wa mkoa ,kama lilivyo jina la mashindano lenyewe Kilimanjaro Taifa cup na mkoa wetu ni Kilimanjaro ,tukasema ni vyema tulete pesa hizi ili ziweze kusaidia timu katika maandalizi na wachezaji waweze kupata motisha”alisema Rutaraka. Alisema kampuni hiyo itaendelea kusaidia maendeleo ya soka ikiwa ni pamoja na kuwapa ari wachezaji ili waweze kushiriki mashindano mbalimbali kwa kiwango cha juu.
Akizungumzia zawadi za mwaka huu Rutaraka alisema mshindi wa kwanza mwaka huu atapata shilingi milioni 30 ,wa pili miliono 20 wa tatu milioni 10 na wanne 5 huku akiwataka vijana wajitume ili waweze kupata zawadi moja kati ya hizo.
Naye Katibu tawala msaidizi Bendeyeko aliipongeza TBL kwa jitihada zao na kutoa mwito kwa makampuni mbalimbali, mashirika na watu binafsi kujitokeza kuisaidia timu ya soka ya mkoa wa Kilimanjaro ili iweze kufanya vizuri katika mashindano hayo.
Bendeyeko alisema kuandaa michezo kama ya mashindano ya Kombe la Taifa ni gharama kubwa na kutokana na hilo TBL inapaswa kupongezwa kwa hilo na kutoa mwito kwa kampuni nyingine kuiga mfano huo ili kuinua michezo mingine badala ya soka pekee Kwa upande wake makamu mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Darabu M Darabu alisema kiasi hicho cha fedha kitatumika kwa malengo yaliyokusudiwa huku akiwaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuisadia timu hiyo.


Barclays Bank yazindua huduma ya Premier Life

Mkurugenzi wa Biashara za wateja binafsi wa Benki ya Barclays, Manoj Anchan (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa huduma mpya ya Premier Life iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kempisk Dar es Salaam jana.Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa Benki hiyo,David Lubira.
Mkurugenzi wa Biashara za wateja binafsi wa Benki ya Barclays,Manoj Anchan wa akizindua huduma mpya ya Premier Life kwa wateja wa Benki hiyo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kempisk Dar es Salaam jana.Waliokaa mezani kutoka kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Premier Life,William Mungai na Mkurugenzi wa Masoko wa Benki hiyo,David Lubira




The 3rd EAC Conference on Investment in Kampala

President Jakaya mrisho Kikwete delivers his speech during the closing session of the 3rd EAC Conference on Investment held in Kamapal
The Chairman of the East African Community Heads of State Summit President Jakaya Mrisho Kikwete, the host President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda and Kenya's Prime Minister Raila Odinga hold an informal discussion shortly before the conclusion of the 3rd East African Conference on Investment held at Munyonyo Speke Resort in Kampala this afternoon.
The Secretary General for the East African Community ambassador Juma Mwapachu consults with the Chairman of the EAC Heads of State Summit President Jakaya Mrisho Kikwete during the closing sesssion for the 3rd EAC conference on investment held in Kampala this afternoon.Others from left President Museveni of Uganda,Kenya's Prime minister Raila Odinga and Rwanda's Prime Minister Bernard Makuza
a cross section some participants to the 3rd EAC Conference on investment held at the Munyonyo Resort in Kampala.
Some East African Heads of State and representatives of Heads of State who participated in the 3rd East African Community Conference on Investment held at Kampala Uganda pose for a group photograph with some members of their delegation.From left Rwanda's Prime Minister Bernard Makuza,Uganda's President Yoweri Kaguta Museveni,President Jakaya Mrisho Kikwete, Burundi's Vice President Dr.Yves Sahinguvu and Kenya's Prime Minister Raila Odinga.






BREKING NYUUUUUZZZZZ: Kapuya atangaza kima cha chini cha mishahara sekta Binafsi.

Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana Prof. Juma Kapuya (shoto) akitangaza viwango vipya vya mishahara kwa kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta binafsi leo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.

Viwango hivyo vya kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi vinazigusa sekta za Afya,Huduma za Kilimo, Viwanda na Biashara, Mawasiliano, Sekta ya Madini, Bandari na sekta ya Uvuvi, Wafanyakazi wa majumbani,sekta ya ulinzi Binafsi na Hoteli. Habari na Picha na Aron Msigwa - MAELEZO.


Ufafanuzi wa viwango hivyo.
1. Huduma za Afya - Tshs 80,000/=
2.Sekta ya Kilimo - Tshs 70,000/=
3.Viwanda na Biashara - Tsh. 80,000/=
4. Usafirishaji na Mawasiliano
-Huduma za anga 350,000/=
- Clearing and Fowarding 230,000/=
- Mawasiliano ya Simu 300,000/=
- Usafiri wa nchi kavu 150,000/=

5.Madini - Migodini 350,000/=
- Wachimbaji wadogo -150,000/=
- Wauzaji wadogo na watoa leseni 250,000/=
- Brokers Licenses 150,000/=

6. Maji (Bahari na Uvuvi) - Tsh. 165,000/=

7.Majumbani:
- Majumbani (mabalozi na wafanyabiashara wakubwa)- isiwe chini ya Tsh 90,000/=
- Maafisa wenye sitahili ya kulipiwa huduma hii -isiwe chini ya Tsh.80,000/=
- Wengineo - Tshs 65,000/=

Mahotelini:
- Hoteli kubwa za kitalii - 150,000/=
- Hoteli za kati - 100,000/=
- Hoteli ndogondogo,mabaa, nyumba za wageni na migahawa- 80,000/=

8. Ulinzi Binafsi.
-Makampuni makubwa na makampuni ya kigeni - 105,000/= - Makampuni mengineyo- 80,000/=

9. Sekta nyingine ambazo hazikutajwa - 80,000/=


katiba ya jamhuri ya muungano katika libeneke la wizara ya sheria

Habari bro Michuzi na wadau,
Katiba ya nchi tayari inapatikana katika
tovuti ya Wizara ya Katiba na Sheria
Samahani kwa usumbufu wowote uliotokea, kwa vile ndiyo kwanza na Wizara imeingia katika Libeneke hili.
Tunaendelea kujiweka sawa kadri siku zinavyoendelea.
Mambo mengi tu mazuri yataendelea kuongezwa katika Tovuti hiyo.
Ahsanteni kwa maoni,
Mdau Geofrey Chami


haya tena nondozzzzzz ifakara!


DOCTORAL AND POST DOCTORAL STUDY OPPORTUNITIES AT IHI
INTRODUCTION
Ifakara Health Institute (IHI) is a not-for profit research and training Institute whose mission is to develop and sustain a district-based health research and resource centre capable of generating new knowledge and relevant information for public health policy and actions. IHI is among the leading health research institutes in Africa and was awarded the prestigious 2008 Prince of Asturias Award for International Cooperation.

Due to expansion in its operations, IHI wishes to invite qualified young graduates from higher learning institutions in Tanzania or any other qualified Tanzanians working in foreign countries who intend to pursue their future career as Research Scientists. Candidates can be hired to work with IHI as part of post-doctorate or establish their own doctoral programme of studies within the institute. The Institute shall facilitate acquisition of funding for doctoral and post doctoral research studies in the following areas:-

1. Medical Statistics (1 post)
2. Clinical epidemiology and Public Health (1post)
3. Demography (1post)
4. Pediatrics (1post)


An attractive salary and other fringe benefits shall be offered based on right qualifications and experience

MODE OF APPLICATION

Interested candidates are invited to send their expression of interest attaching curriculum vitae (CVs) and photocopies of academic and professional certificates to the undersigned address. Potential and qualified candidates shall be invited for a first round of interviews in mid May, 2010 and the final round of interviews will be held in mid June, 2010. We will only communicate with successful candidates.

All expression of interest should be sent to:-
Human Resources Manager
Ifakara Research Institute
Kiko Street, Mikocheni
P.O.Box 78373
Dar es Salaam

Fax No. 022 2771714 or send your application through
email: rkabegi@ihi.or.tz

The deadline for receiving expression of interests is 10th May 2010.

IHI is an equal opportunity Employer. Women are highly encouraged to apply.


msaada kwenye tuta

Ndugu Wadau wa Globu ya Jamii,
Mimi ni mwanamke mwenye familia ya watoto 3 naipenda familia yangu na ninaipenda jamii pia. Imefika kipindi sasa nataka kusaidia wanaohitaji msaada hapa namaanisha wale ambao imeshindikana kabisa kujimudu kimatibabu kimalazi na kwa lishe pia.
Najua wengi watanishangaa sina maana sijui pa kwenda hapana huwa napita vituo vya kulea watoto yatima na hata wazee na kutoa baadhi ya mahitaji ila hizo sehemu haswa kwa hapa mjini zinatembelewa na wengi, shida yangu nataka kwenda sehemu zilizojificha na hazijulikani sana au hazitambuliki yani msaada kwao kuupata ni neema.
Wadau naomba maoni yenu, mwenye kujua sehemu ambayo kweli imesahaulika kabisa au kijiji fulani hapa dar kinachotaabika sana na mambo muhimu kwa binadamu tafadhali naomba maoni yako.Watanzania kutoa na moyo na kila mtu ana uhuru wa kutoa kadri awezavyo tujitoe kwa moyo ili tusaidiane kuwa na maisha bora sote kwa pamoja.Mungu ni mwema tuzidi kumtegemea na kumtanguliza katika yote tuyafanyayo.
Mimi Mdau Emy


Final TV debate: Key moments in text and video

Dordon Brown, David Cameron and Nick Clegg have clashed in the third and final prime ministerial debate hosted by BBC News.
Navigate the video by the questions and key moments selected by the BBC's politics team.Hapa utapata kila kitu, maswali yote manane yaliyoulizwa, majibu kwa maandishi na sauti, you just navigate, underneath the video kuna maelezo/majibu kutoka kwa kila mgombea.
Hapa pia angalia manukuu (transcript) kwa maswali na majibu.

Enjoy the ride
Benedict Kimbache
Skype Name: Kimbache1


dogo wa USWAZI leo



bongo tambarare, hasa wakati wa mvua...

ngoma imedata katikati ya barabara sehemu za mikocheni TMJ jijini dar
kila juhudi za kuiwasha inashindikana
ah... isiwe taabu.
haya ndo mambo mvua inaponyesha jijini dar ambako sio tu mitaro ya maji haitoshi, bali pia aidha imeziba kwa kutosafishwa mara kwa mara ama kuzibwa na ujenzi holela. hapo hatujazungumzia haja ya kuboresha miundombinu kwa kadri ya jiji linavyopanuka...





glamourous event management contacts

Glamorous caters for any Organizational,
Personal, Leisure and Culture Events.
For more info please visit:
www.glamorous.co.tz
Email: info@glamorous.co.tz
Tel: +255 22 2772230/0784 410254


msaada tutani

Ndugu wana Blogu ya Jamii,
Namtafuta Bwana mmoja anaitwa kwa jina la Ukoo Mshauri. Huyu bwana alikuwa University of Dar es Salaam miaka ya 1999. Alikuwa anachukua BCom. Nadhani alikuwa anaishi Magomeni. Na kama sikosei aliacha chuo na kwenda USA, ama alienda USA baada ya kumaliza chuo.
Yeyote anayemjua naomba contacts zake kwa kupitia


stanbic introduces islamic banking

Stanbic Bank Managing Director Bashir Awale (C ) addressing a press conference about the launching of Stanbic Islamic Banking in Dar es Salaam yesterday. Looking on are banks Director Personal Business Banking, Douglas Kamwando (L ) and Stanbic Head of Marketing and Corporate Affairs, Abdallah Singano.
Stanbic Bank Managing Director Bashir Awale (C ) after addressing a press conference on the launch of Stanbic Islamic Banking. Left is the bank's Director Personal Business Banking, Douglas Kamwando and Stanbic Head of Marketing and Corporate Affairs, Abdallah Singano.
Stanbic Tanzania, moja kati ya benki zinazoongoza hapa nchini, inatarajia kuzindua mfumo wa benki unaofuata kanuni za Shariah tarehe 4 Mei, 2010.

Mfumo wa benki wa Shariah unaenda sambamba na kanuni za dini ya Kiislamu, ambao unakataza upokeaji na ulipaji wa riba. Pia uwekezaji wa fedha katika biashara ambazo huendana kinyume na maadili ya dini za Kiislamu hauruhusiwi.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya Stanbic, Bwana Bashir Awale alisisitiza umuhimu wa huduma hii katika nchi hii, hasa ukizingatia uwepo mkubwa wa waumini wa dini ya Kiislamu.

“Tukiwa kama benki inayoheshimu tamaduni na imani za wateja wetu, tumeona umuhimu mkubwa wa kuwa na huduma ya mfumo wa benki wa Shariah nchini. Zaidi ya asilimia hamsini ya watanzania ni waislamu, kwa hiyo ni muhimu kwa benki kuwapatia huduma zinazoendana na matakwa ya imani yao”.

Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza kati ya nchi 17 iliyomo benki ya Stanbic, inayojulikana pia kama Standard Bank, kuanzisha huduma hii.

Uzinduzi huu utashuhudiwa na viongozi na wakurugenzi kutoka makao makuu ya benki ya Standard pamoja na viongozi wa Serikali, wafanyabiashara na viongozi wa dini ya Kiislamu.

“Tunaamini kuwa huduma hii itakuwa na mafanikio makubwa kwa watanzania na kuwa msaada kwa jumuiya ya waumini wa dini ya Kiislamu ambao hawaamini mfumo wa ulipaji na upokeaji wa riba”, alimalizia kusema Bwana Awale.

Kwa taarifa Zaidi:
Abdallah Singano
Head of Marketing and Corporate Affairs
Stanbic Bank Tanzania
+255 754 566944
+255 22 196343


kpindi cha power breakfast cha clouds FM kikirushwa sasa toka kempinski



Kutoka kulia ni Kamishna wa Madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini Dr Kafumu,Muongozaji wa Kipindi Sebastian Maganga,Barbra Hassan,Paul James pamoja na Gerald Hando wakiwa Live asubuhi ndani ya hoteli ya Kilimanjaro Kempinsk. Clouds Fm 88.4 kupitia kipindi chake cha Power Breakfast wakizungumza Live sasa hivi katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinsk (Frame tree Lounge) na Kamishna wa madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Dr.D.P Kafumu ,kuhusiana na masuala mbalimbali yahusuyo sekta ya madini ikiwemo na sheria yetu mpya ya madini ambayo baadhi ya watu wamekuwa na walakini nayo.


dogo wa USWAZI leo



The Next Level Season 6 Concert


If you have anything going down on 2nd May 2010, CANCEL IT!!!!!
The biggest gospel concert to hit Dar es Salaam is finally here!
Venue: City Christian Centre Auditorium (Opp Mzumbe University Dar Campus) http://www.ccc-upanga.org/
Guest Group : Krystaal from Canada

http://www.krystaal.com/
Time: 3pm
Entrance:
VIP: Tsh 10,000
Normal: Tsh 5,000
Children: Tsh 2,000
Get your tickets from the entrance gate

Or contact + 255 754 262 020 or +255 715 090 456
Or Email: thenextleveltz@gmail.com
Forward to all your address book
--
For
The Next Level Team
Email:thenextleveltz@gmail.com
Blog: http://thenextleveltz.blogspot.com/


Uwajibikaji, Umakini, Ukweli na Uwazi katika matumizi ya fedha ni nyenzo katika kuleta Maendeleo.

Soma ukipata muda, ni changamoto katika swala zima la matumizi ya fedha na kuwa realistic katika utekelezaji wa mipango, na malengo.

by Andrew M. Mwenda
Last week I was in Kigali, this time at the heels of a cabinet decision to impound all luxurious four wheel drive vehicles bought at government expense and driven by ministers, security and military chiefs, foreign experts and their local handlers. In a morning crackdown, all the big men and women of this republic woke up to find that police constables along the main roads were stopping and taking away their vehicles and leaving them to walk to office.
The international donor community, known all over Africa for its corrupt and profligate life styles which they indulge in the name of fighting poverty, was this time caught with their pants down. They claim to fight poverty while riding in luxurious four-wheel drive vehicles, sitting in opulently furnished offices, earning obscene salaries and living in executive mansions. In a bold act of defiance, Rwanda impounded even those vehicles belonging to donor projects. After cleaning his own government of corruption, he has now taken on the profligacy of the international aid industry and its experts are now scared.

In a discussion with President Paul Kagame, he told me that he had looked at some of the "poverty reduction" projects and they smelt bad. "There are projects here worth only $5m and when I looked at their expenses, I found that $1m was going into buying these cars, each one of them at $70,000.

Another $1m goes to buy office furniture, more $1m for meetings and entertainment, and yet another $1m as salaries for technical experts, leaving only $1m for the actual expenditure on a poverty reducing activity. Is this the way to fight poverty?" he asked as I shifted with glee in my chair.

Already, the government is auctioning these vehicles and so far has gotten over $3m from the sales. Mr Kagame has now issued a new directive, saying government should not purchase cars for its officials with more than 2,500 cc. But there is more: the government has placed a ceiling on mobile telephone expenses for all its ministers, military and security chiefs to 50,000 Rwanda Francs (Shs150, 000), and also ordered MTN Rwanda to cut off their international roaming access.

The directive also stops the holding of workshops, seminars and conferences on poverty reduction in posh hotels like the Intercontinental, Mille Collins etc, insisting they should be in government owned buildings at no cost. The order also requires all government ministries; departments and agencies to move from privately owned buildings where they pay high rents to government owned buildings.

I told Kagame that whereas some of the most highly skilled Africans are going to Europe and North=2 0America to clean streets and toilets, our development partners send us Å’technical experts on these projects at individual monthly salaries of between $10,000 and $20,000, a salary that could pay 12 Africans of better training and experience and save this continent from severe brain drain. In fact, most of these so-called experts are a miserable, career-stranded lot in their own countries, but are dumped in Africa and other poor countries through foreign aid protocols.

Donors never shy from lecturing our governments on fiscal frugality, yet their aid driven projects are the most profligate. Of total project aid to Uganda's ministry of Health, 93 percent of it goes into technical assistance (i.e. salaries and allowances for the experts) and overheads (i.e. four wheel drive vehicles, opulent office furniture, computers, stationary, tea and cakes).

Only a miserable 7 percent of this aid goes into purchase of drugs. Now you understand why, in spite of a huge health budget, our people cannot find drugs in hospitals. We in the media have been shouting ourselves hoarse against government corruption. It is time to expose the worse forms of profligacy, which forces our governments to pile up huge sums in debt.
In fact, of the total money from the Uganda government budget to the ministry of Health, 98 percent reaches its intended beneficiaries, clearly showing that in spite of its corrupt ways, the government of Uganda is a better evi l than donors. Of total project aid to Uganda, 68 percent goes into overheads and technical assistance. Only 32 percent to its intended beneficiaries.
A few weeks ago I presented the above facts to President Yoweri Museveni and asked him to act. My heart bleeds to say he is so deeply discredited by his inability to tackle corruption in his government, and his own profligate public administration expenditure that he lacks moral authority to take on donors.

The other reason is that his regime lives off this coalition of mutual deceit with donors that both are fighting to eradicate poverty in Uganda. Kagame, however, is able to act boldly because he occupies a moral high ground in fighting corruption, has ensured fiscal frugality and also because his government pursues strategies of survival - not necessarily dependant on donor approval.
In Rwanda, ministers and other high ranking public officials resign and or are fired by the week because of allegations of corruption. From the lowest clerk in a government office to the most powerful minister or military or security chief, no one is immune to jail when they steal; none close to the president, none distant from him. You steal, you get jailed.

If there is some prima facie case that you stole, but there isn't not enough evidence to convict you in a court of law, then you are asked to resign or get fired. What a tough guy this Kagame man is!!

Mdau Benedict Kimbache
skype Name: Kimbache1


FFU ughaibuni kupiga kwata Munich Mei 8, 2010

Kamnada wa FFU Ughaibuni Ras Makunja akiwajibika


FFU wa ughaibuni a.k.a Ngoma Africa band watapiga kwata katika sherehe za washabiki wa Wold Cup 2010,huko Munchen aka Bayern,Munich May 8, 2010!


Onyesho litafanyika eneo la
Pfarrheim.St.Joseph,
Joseph Platz 1.
München

Wazee hawa wa kukaanga mbuyu wenye maskani yao huko Ujerumani wanatarajiwa kuwasili mjini Munich aka Muchen siku ya jumamosi ya 8 May 2010 kwa ajili ya kufanya onesho la shamra shamra ya Sherehe za kombe la kandanda la Dunia,ambalo kwa mara ya kwanza litafanyikia nchini Afrika Kusini aka Azania.


Shamra shamra hizo zimeandaliwa na jumuiya za Wafrika Mashirika yasio ya kiserekali pamoja na Chama cha urafiki kati ya Tanzania na Ujerumani.Sherehe hizo inasemekana zitaudhuriwa na mabalozi wa nchi mbali mbali.

Wakazi na washabiki wa mji wa Munich,ambako ndipo makao makuu ya klabu ya mashuhuri ya kandanda "Bayern,Munich" ,watapata bahati ya kusakata mziki wa dansi kutoka kwa mzimu wa dansi "The Ngoma Africa Band".

Bendi ambayo inasifa za tabia ya kupelekana mchaka mchaka na washabiki wake kwa kutumia mdundo wake wa dansi. Hebu cheki mwenyewe:

Bendi hiyo ni juzi tu waliachia singo CD yao iliyobeba jina la "Jakaya Kikwete 2010" na kufanikiwa kuteka washabiki lukuki katika youtube!


Karandinga la FFU wa Ngoma Africa band litahakikisha limewasili mapema mjini Munich aka Munchen ,huku likiwa na mabox ya kutosha yaliojaa virungu vya mziki, na magitaa kwa ajili ya ligwaride hilo.

Wadau wa Bayern kaeni tayari tayari kwa kusakata magoma mpaka asubuhi lakini hamna kukesha! Shotooooozzzzzzz GEUKA! Whaaaaam!

kwa maelezo zaidi wasiliana na Mr.Temu
ambaye ndie mratibu wa tamasha hilo kwa
simu +49(0)179 6661748


karibuni nyote!


good news from the american people

Chief Executive Officer of the U.S.-funded Millennium Challenge Account – Tanzania, Mr. Bernard Mchomvu, and representatives from Aarsleef/BAM signed a contract worth more than US $97.1 million for the upgrading of the km 96.5 Laela – Sumbawanga road on April 29, 2010 in Dar es Salaam.
This road project is one of six different road segments that will be rehabilitated and upgraded under the more than $698.1 million Millennium Challenge Corporation Compact funded by the American people.
U.S. Ambassador to Tanzania Alfonso E. Lenhardt (L) and Hon. Haroun Ali Suleiman, Zanzibar's Minister of Education and vocational training (R) cutting the ribbon to celebrate the renovation of the historic Kizimkazi mosque in Zanzibar early this week.

The Kizimkazi Mosque, is one of the oldest continuously used Islamic places of worship in Africa. However it was in danger of severe damage due to deterioration.
According to Hamad H. Omar, Director of Zanzibar's Department of Archives, Museums and Antiquities Division in Zanzibar, the Antiquities Department requested a grant of $21,500 through the U.S. Ambassador's Fund for Cultural Preservation to restore the historic 12th century mosque in partnership with the American people, so that the valuable structure might last for hundreds more years. (Photos courtesy of the American Embassy.)


wahenga wa kijitonyama wawalamba wa Afya 4-1

Katika kushehekea sikukuu ya Muungano, wahenga wa Kijitonyama (jezi bluu) waliwakaribisha wahenga wa Wizara ya Afya katika mchezo wa kirafiki. Katika mchezo huo wahenga wa Kijitonyama walishinda 4-1.
Habari na picha zaidi tembelea:
http://knyamaveteran.blogspot.com



ajali ya basi tanga iliyoua 18 tanga kwa hisani ya ITV

Mara kadhaa watu wamekuwa wakitoa maoni kuhusiana na vyanzo vya ajali, ikiwemo vyombo vibovu vya usafiri, barabara mbaya, kukosa umakini kwa dereva na kauli chochezi za abiria.

Hili la baadhi ya abiria kuwa ni chanzo cha ajali za barabarani limedhihirika katika ajali iliyotokea mkoani Tanga ambapo wanafunzi wapatao kumi na wanane (18) walipoteza uhai na wengine mia moja, ishirini na watano (125) kujeruhiwa.

Wanafunzi wa chuo Cha Shamsil-Maarif, Dunga - Tanga walikuwa wamepakia lori aina ya Fuso wakitoka katika sherehe za Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhamad (S.A.W) iliyokuwa katika kijiji cha Kibafuta.

Inasemekana abiria hao walikuwa wakimshawishi dereva kuongeza mwendo na walipofika sehemu ya kipita-shoto walimtaka dereva kurudia kuzunguka mzunguko huo na ndipo tairi ilipogonga katika kiambaza na kusababisha ajali katika eneo hilo.

Mtembelee SUBI kwa habari zaidi

BOFYA HAPA


AY na FA wanakuambia usije mjini...

Tungo zao mara nyingi zimekuwa na tabia ya kugeuka na kuwa misemo ya mjini,gumzo la mitaani na hata kutumiwa “kibiashara” na makampuni kadhaa ya biashara. Bila shaka unakumbuka chanzo cha misemo kama vile Habari Ndio Hiyo,Nangoja Ageuke, Unaoa lini:Bado nipo nipo,Bed and Breakfast nk

Ni vijana ambao mpaka hivi sasa wanaweza kusema ‘wana mafanikio” fulani kutokana na kazi zao za muziki.Walianzia East Coast na mara kundi hilo lililokuwa na makazi yake pale Upanga-Dar-es-salaam,liliposambaratika wao wameendelea kuwa pamoja kama marafiki na pia wasanii wanaoshirikiana.

Tunawaongelea Mwana FA na A.Y ambaye siku chache zilizopita alipata tuzo ya Teenz kutoka nchini Kenya kama Favourite Artist wa East Africa. Safari hii wimbo unaitwa Usije Mjini. Kwanini nisije mjini wakati mjini nasikia ndio mambo yote? Kila mtu anataka kuja mjini.Mjini hata kwa kuuza maji tu unaweza kujipatia kipato.Mjini kuna starehe zote…inaaminika. Sasa kwanini A.Y na Mwana FA wanasema Usije Mjini? Sikiliza kwa makini tungo hizi;
Nenda kwa Globu kaka ya Jamii Bongo Celebrity


Sporah Show to be aired on Star TV!


Sporah with TID and Ali Kiba in London recently


sera ya TEKNOHAMA Tanzania

Kuna wadau wamekuwa wakisaka sera ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TECHNOHAMA) Tanzania.
Ifuatayo katika link hii chini ndio sera yenyewe
http://www.ethinktanktz.org/esecretariat/DocArchive/Tz%20National%20ICT%20Policy%20%28March%202003%29.pdf


President Kikwete arrives in Kampala for The East Africa Investment Conference

Uganda's Vice President Prof.Gilbert Bukenya welcomes President Jakaya Mrisho Kikwete shortly after he arrived at Entebbe International airport for The 3rd East Africa Investment conference.
A young ugandan girl Clarissa Kanyenjeka presents a bouquet of flowers to president Jakaya Kikwete shortly after he arrived at Entebbe International Airport for the EAC investment conference to be held ta Munyonyo Speke Resort in Kampala.
Traditional dancers intertain President Jakaya Mrisho Kikwete and his entourage shortly after he arrived at Entebbe airport for the crucial EAC conference on investment.
Uganda's Vice President Prof.Gilbert Bukenya escorts president Jakaya Kikwete through Entebbe airport shortly after he arrived for the 3rd East Africa Investment conference to be held at Munyonyo speke Resort in Kampala
(photos by Freddy Maro)


SHEREHE YA JUMUIYA YA WATANZANIA READING

SHEREHE YA KUSIMIKWA KWA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA READING 03.05.2010


Jumuiya ya watanzania Reading inapenda kuwaalika watanzania wote waishio Uingereza kwenye sherehe ya kuwasimika viongozi wapya waliochaguliwa tarehe 24.04.2010.


Jumuiya imewaalika viongozi mbalimbali wa kitaifa na vyama visivyo vya kiserikali. Mgeni rasmi katika hafla hii atakuwa ni mh. Mama balozi Mwanaidi Maajar.


Jumuiya imeandaa shughuli mbali mbali siku hiyo ikiwemo nyimbo, mwakilishi wa reading post, wagombea ubunge kutoka vyama vya Labour, Conservative na Liberal Democratic pia wamealikwa kuwasimika viongozi.


Kingilio na vinywaji Bure


Ukumbi: The warehouse
1A Cumberland Road
Reading
RG1 3LB


Tarehe:03.05.2010


Muda: Kuanzia Saa 10 Jioni (4pm)
Mpaka Saa 5 Usiku (11pm)


Burundani: Italetwa na Dj Richie wa Bongo DEEJAYS
Kwa mawasiliano zaidi piga 07954563709, 07876126862, 07979428883


Nyote Mnakaribishwa


--
Jumuiya Ya Watanzania Reading-UK
http://www.tanzaniaassociation-reading.blogspot.com/


LIBENEKE LA LUGHA GONGANA....


YA UKRANE NUSURA YATOKEE KWENYE BARAZA LA MADIWANI WA MANISPAA YA MOSHI

Mwanasheria wa manispaa ya Moshi Bi. Kyssa Limo akimtaka Diwani wa kata ya Mji Mpya Bw. Abuu Shayo kutoka nje ya lilao cha baraza la madiwani kwa kilichodaiwa kukiuka kanuni za vikao
Madiwani wa Chadema toka shoto Bw. Abuu Shayo na Bw. Jafary Michael wakiwasilikiliza askari mgambo walipotakiwa kutoka ndani ya ukumbi wa mkutano
Diwani wa kata ya Pasua Jafary Michael akilalamika kwa Meya baada ya kutolewa kwa amri ya kutaka kutolewa nje ya kikao kwa diwani huyo
Diwani wa kata ya Rau Christopher Limo akisoma taarifa iliyokuwa ikizungumzia mafaniko ya Halmashauri jambo lililopelekea kutokea varangati hilo
Mh. Lucy Owenya akiongea kwa hisia
Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi Bernadete Kinabo akiomba mwongozo wa Meya Lameck Kaaya wa kumtaka kumtoa nje ya Kikao Diwani wa Pasua Japhary Michael
Madiwani Abou Shayo na Japhary Michael
Habari na picha na Dixon Busagaga
wa Globu ya Jamii, Moshi
HOJA ya kuipa hati Usu ya miaka 33 kampuni ya Discovery Tanzania Heritage (DTH),kumiliki uwanja wa Uhuru Park mjini Moshi, leo ulizua tafrani baada ya madiwani CHADEMA kufanya vurugu katika kikao cha baraza la madiwani kwa kuwapiga Meya na mkurugenzi wa manispaa hiyo kwa kutumia majoho na kofia zao.

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ilitoa hati ya eneo la Uhuru Park kwa kampuni hiyo ili iitumie hati hiyo, kukopa Shilingi Bilioni 1.5 benki kwa ajili ya kuendeleza eneo hilo.

Huku wakitoka nje ya kikao cha baraza hilo,Madiwani hao sita wakiongozwa na diwani wa kata ya Mji Mpya, Bw. Abuu Shayo alikuwa akirusha joho, kofia na koti lake la suti katika meza kuu ya viongozi huku wakisema wamechoshwa na vitendo vya kuburuzwa.

Katika kikao hicho ambacho kiliitishwa kwa dharura ili kutengua uamuzi wa awali wa baraza hilo kumpa nusu hati mwekezaji kampuni hiyo ya jijini Dar es salaam,kilitengua rasmi uamuzi wake wa awali wa Machi 31 mwaka huu.
Tafrani katika kikao hicho na kuibua malumbano na baadaye madiwani hao kutoka nje ilitokana na kitendo cha diwani wa kata ya Rau kusoma agenda nyingine badala ya mwenendelezo wa agenda kuu iliyotolewa na diwani wa Kaloleni, Michael Mwita ambaye aliomba kubatilishwa kwa uamuzi wa awali.
Wakati akisoma hoja iliyohusu ujenzi wa shule za msingi katika baadhi ya kata,madiwani hao akiwemo wa kata ya Pasua,Japhary Michael alianza kupinga kitendo hicho kwa madai kuwa agenda ilikuwa ni moja ya kubatilisha uamuzi huo na si vinginevyo na hata hivyo kanuni hairuhusu.

Kauli hiyo iliunga mkono na madiwani wa Kiborloni Vicent Rimoy, viti maalum Hawa Mushi na mbunge wa viti maalum Lucy Owenya ambao walisema hawakubaliani na baraza hilo kuleta hoja juu ya hoja.

Kutokana na kitendo cha diwani Lyimo kuendelea kusoma taarifa hizo,madiwani Shayo na Michael walisimama na kutaka meya wa manispaa hiyo kuwapa nafasi ya kutoa taarifa lakini walipoona hawasikilizwi waliamua kutoka nje ya kikao.

“Mheshimiwa Meya nini mnatufanyia hapa……agenda ilikuwa ni moja ya Uhuru Park, hili suala la ujenzi wa madaraja na madarasa linatoka wapi,
Aliongeza”Umesikia yaliyotokea nchini Ukraine!! Acha kusoma hiyo taarifa yako nenda kaisomee katika vikao vya CCM, hamuwezi kutuchezea hapa, hii hoja si mliipitisha ninyi wenyewe, leo yamewafika mnataka kutunyima nafasi ya kuijadili”.

Kutokana na hali hiyo Meya Kaaya aliagiza madiwani Shayo na Michael kutolewa na askari nje ya ukumbi na askari wa manispaa,ambapo walikuja askari Dismas Raphael na Mwasiti Shabani ambao kwa maelekezo ya mwanasheria,Kisa Lyimo waliwatoa nje ya ukumbi madiwani hao huku wenzao wakiwafuata.

Wakati wakitoka nje ya ukumbi,diwani Shayo alivua joho lake na kumtupia meya Kaaya huku akivua kofia yake na kumtupia mkurugenzi Kinabo kwa madai kuwa wanayumbisha na madiwani wa CCM hivyo kushindwa kufuata kanuni na sheria zilizopo.

Kufuatia vitendo hivyo,Meya Kaaya alitangaza madiwani hao kufikishwa katika kamati za maadili huku diwani Shayo akisimamishwa kutohudhuria vikao vitatu vya baraza hilo.

Mapema mwezi Machi kampuni ya DTH iliyokuwa na mkataba wa mika 10 iliomba kupatiwa hati Usu ya kumiliki eneo hilo ili waweze kuomba mkopo huo wa Bilioni 1.5 ili kuendeleza bustani hiyo.

Baadaye wadau mbalimbali wakiwemo wananchi walipinga uamuzi wa madiwani hao huku wengine wakitishia kufanya maandamano ili kupinga hatua hiyo .
mwisho.








Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker