





Archive for October 2010
Sunday, October 31, 2010
dr. slaa akipiga kura leo
Sunday, October 31, 2010
ratiba ya kuaga mwili wa marehemu Syllersaid Mziray "Super Coach"
Habari Ndg Michuzi,
Ratiba ya kuaga mwili wa marehemu Syllersaid Mziray, "Super Coach" kwa ajili ya mazishi yake yanayotarajiwa kufanyika kesho kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar.
Taratibu hizi zitaanzia Makao Makuu ya Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania, Kinondoni Biafra kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Tutashukuru sana.
4.00 – 05.00 Kuwasili Waombolezaji
05.00 – 5.30 Viongozi, Wageni Waalikwa wa CKHT kuchukua nafasi zao.
05.30 – 6.00 Nyimbo za Maombolezo.
06.00 – 07.00 Kuwasili Mwili na Ndugu wa Marehemu.
07.00 – 07.15 Wimbo wa CKHT kupigwa.
07.15 -08.15 Misa/Sala.
08.15 – 08.20 Maelezo ya Wizara ya Michezo, Mwakilishi wa Wizara.
08.20 – 08.25 Maelezo ya TFF, Mwakilishi wa TFF.
08.25 – 08.30 Maelezo ya Simba Sport Club , Mwakilishi wa Simba.
08.30 – 08.25 Wasifu wa Marehemu CKHT .
08.35 – 08.40 Maelezo ya mwisho ya MMC VC.
08.40 – 08.45 Shukrani ya Familia,Mhusika wa Familia,
08.45 – 09.45 Kuaga mwili wa Marehemu.
10.00 – 10.05 Wimbo wa Chuo.
10.05 Kuelekea Makaburini Kinondoni
Ratiba ya kuaga mwili wa marehemu Syllersaid Mziray, "Super Coach" kwa ajili ya mazishi yake yanayotarajiwa kufanyika kesho kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar.
Taratibu hizi zitaanzia Makao Makuu ya Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania, Kinondoni Biafra kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Tutashukuru sana.
4.00 – 05.00 Kuwasili Waombolezaji
05.00 – 5.30 Viongozi, Wageni Waalikwa wa CKHT kuchukua nafasi zao.
05.30 – 6.00 Nyimbo za Maombolezo.
06.00 – 07.00 Kuwasili Mwili na Ndugu wa Marehemu.
07.00 – 07.15 Wimbo wa CKHT kupigwa.
07.15 -08.15 Misa/Sala.
08.15 – 08.20 Maelezo ya Wizara ya Michezo, Mwakilishi wa Wizara.
08.20 – 08.25 Maelezo ya TFF, Mwakilishi wa TFF.
08.25 – 08.30 Maelezo ya Simba Sport Club , Mwakilishi wa Simba.
08.30 – 08.25 Wasifu wa Marehemu CKHT .
08.35 – 08.40 Maelezo ya mwisho ya MMC VC.
08.40 – 08.45 Shukrani ya Familia,Mhusika wa Familia,
08.45 – 09.45 Kuaga mwili wa Marehemu.
10.00 – 10.05 Wimbo wa Chuo.
10.05 Kuelekea Makaburini Kinondoni
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 5
Sunday, October 31, 2010
kuahirishwa kwa uchaguzi katika baadhi ya majimbo
YAH: KUAHIRISHA BAADHI YA CHAGUZI MBALIMBALI
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuwatangazia wananchi wote kuwa katika kikao chake cha tarehe 30/10/2010 imefanya maamuzi ya kuahirisha Uchaguzi katika baadhi ya Majimbo na Kata kutokana na upungufu uliojitokeza hususan katika karatasi za kura.
Kata na Majimbo ambayo Chaguzi zake zimeahirishwa ni kama ifuatavyo:-
1. Uchaguzi wa Wabunge katika majimbo ya Nkenge, Mpanda Mjini na Mpanda vijijini.Kwa upande wa Zanzibar (Unguja) Majimbo ya Mwanakwerekwe,Mtoni na Magogoni,na Wete (Pemba)
2. Uchaguzi wa Madiwani katika kata zifuatazo:-
Na.
HALMASHAURI KATA
1 Newala DC Mtonya
2 Mbulu DC Endegikot
3 Manyoni DC Kitaraka
4 Same DC Kisiwani
5 Kibaha DC Janga
6 Rufiji (a)Kibiti
(b) Chemchem
(c) Ngorongo
(d) Kipugira
(e) Mjawa
7 Uyui DC (a)KIgwa
(b)Ibelamilundi
8 Sikonge Kisanga
9 Njombe Mji Mwema
10 Ulanga DC Msogezi
11 Karagwe DC (a) Kimuli
(b) Kamuli
12 Kasulu Kitagata
13 Chato DC Buseresere
14 Mwanza (Jiji) (a) Mkuyuni
(b) Mirongo
3 Manyoni DC Kitaraka
4 Same DC Kisiwani
5 Kibaha DC Janga
6 Rufiji (a)Kibiti
(b) Chemchem
(c) Ngorongo
(d) Kipugira
(e) Mjawa
7 Uyui DC (a)KIgwa
(b)Ibelamilundi
8 Sikonge Kisanga
9 Njombe Mji Mwema
10 Ulanga DC Msogezi
11 Karagwe DC (a) Kimuli
(b) Kamuli
12 Kasulu Kitagata
13 Chato DC Buseresere
14 Mwanza (Jiji) (a) Mkuyuni
(b) Mirongo
Hata hivyo katika majimbo hayo matatu ambapo Uchaguzi wa Wabunge umeahirishwa, Uchaguzi wa Rais na Madiwani utanaendelea kufanyika leo kama ilivyopangwa.
Vile vile, katika Kata ambazo Uchaguzi wa Madiwani umeahirishwa, Uchaguzi wa Rais na Wabunge utaendelea kufanyika kama ilivyopangwa.
Aidha, Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuwajulisha wananchi wote kuwa tarehe za kufanyika kwa chaguzi hizo itatangazwa hapo baadaye.
(Rajabu R. Kiravu)
Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 8
Sunday, October 31, 2010
Mh. Tsere akisubiri kupiga kura
Mheshimiwa Patrick Tsere Balozi wa Tanzania nchini Malawi (wa tatu shoto) akiwa kijijini kwao, Rhotia jimbo la Karatu akiwa katika foleni na wapiga kura wengine akisubiri zamu yake ili apige kura.
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 0
Sunday, October 31, 2010
In the everlasting Memory of our beloved father
Mwl. Zephaniah E. R. N. MembaIt’s already five years since you departed from us to join our father in Heaven. Your sweet and fond memories are still so vivid in our hearts and minds. Although physically you are not with us, spiritually you are in our hearts daily. Indeed you were a special gift to us from GOD. We thank the Almighty GOD for the time you spent with us. We miss you great but we always take courage and hope in the verse you left with us from Romans 8: 31 “If GOD Be For US, Who Can Be against Us?”
You are deeply missed and remembered by your wife, Mama Ukende P Memba, Your children, Joyce, Albert, Rhoda, Imani, Flora and Peter, in-laws, Maria Makalla Memba, William Stephen Kotta, Johnson Nyingi, and grandchildren, Joshua, Milan David, Nkambujah Romeo, Rodney, Ukende Ronia, Rowan Tyalambula, Rondelle and Rochelle.
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 2
Sunday, October 31, 2010
JK na Mama Salma wakipiga kura leo
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 2
Sunday, October 31, 2010
dr. shein na mh. warioba wakipiga kura leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dr. Ali Mohamed Shein akipiga kura kwenye kituo cha Uchaguzi Shule ya Msingi Oyesterbay jijini Dar es salaam mapema leo asubuhi.
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Joseph Sinde Warioba akipiga kura kwenye kituo cha uchaguzi Shule ya Msingi Oyesterbay jijini Dar es Salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Ali Mohamed Shein akisalimiana na mmoja wa Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Visiwa vya Ushelisheli walipokutana kwenye Kituo cha Uchaguzi Shule ya Msingi Oyesterbay wakati Makamu wa Rais alipokuja kupiga kura. wa tatu kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Ndg. Jordan Rugimbana akisikiliza mazungumzo hayo jijini Dar es Salaam.
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 9
Sunday, October 31, 2010
U.S. Ambassador visit polling stations
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 3
Sunday, October 31, 2010
dk. salim katika zoezi la kupiga kura mjini dar leo

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Salim Ahmed Salim, akipiga kura leo jijini Dar es salaam ya kumchagua Rais , Mbunge na Diwani. Dkt Salim aliwasili katika Eneo la Soko la Samaki Msasani saa 12.50 Asubuhi na kufanikiwa kupiga kura katika Kituo B 3 cha Soko la Samaki Msasani saa 1.30 Asubuhi.
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Salim Ahmed Salim akisubiri Kitambulisho chake kutoka kwa Karani wakati Karani huyo akiendelea na uhakiki ili kudhibitisha kama kweli jina lake limo katika daftari la wapiga kura ili aweze kwenda kupata katarasi za majina ya wagombea ili kushiriki zoezi la upigaji kura za kumchagua Rais, Mbunge na Diwani.
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 1
Sunday, October 31, 2010
UCHAGUZI MWEMA
LEO NDIO SIKU MAMA YA DEMOKRASIA NCHINI TANZANIA AMBAPO WANANCHI WATAPIGA KURA KUCHAGUA MADIWANI, WABUNGE NA RAIS WA KUTUONGOZA KWA MIAKA MITANO IJAYO. GLOBU YA JAMII INAWATAKIA WATANZANIA WOTE UCHAGUZI MWEMA NA WA AMANI NA ATAYEIBUKA KIDEDEA TUNAMPA PONGEZI. SHIME SHIME KILA ALIYEJIANDIKISHA KUPIGA KURA ASITUPE NAFASI HII YA KUCHAGUA VIONGOZI ANAOWAPENDA BILA KUJALI DINI AMA KABILA LA MGOMBEA.MUNGU IBARIKI TANZANIA
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 9
Sunday, October 31, 2010
lala unono ya Profesa Lipumba na CUF huko Morogoro leo
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 1
Sunday, October 31, 2010
lala unono ya JK na CCM leo jijini Dar
JK akipanda jukwaani kwa mbwembwe huku akicheza 'kiduku' kabla ya kuhutubia mkutano wake wa mwisho wa kampeni viwanja vya jangwani jijini Dar leo
JK akimpa mkono mai waifu wake Mama Salma Kikwete baada ya kuhutubia huku mgombea mwenza Dk. Mohamed Ghalib Bilal, Katibu Mkuu wa CCM Mh. Yusuf Makamba, Makamu wa CCM (Bara) Mh. Pius Msekwa na marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mh. Benjamin Mkapa pamoja na Waziri Mkuu mstaafu Mh. Joseph Sinde Warioba wakisubiri zamu zao
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 4
Sunday, October 31, 2010
lala unono ya dk. slaa na CHADEMA jijini mbeya leo
Mgombea urais wa CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akihitimisha mikutano yake ya kampeni jijini Mbeya leo. Chini ni wafuasi wa chama hicho na bango lao
Sunday, October 31, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 9
Saturday, October 30, 2010
CCM yafunga mikutano yake ya kampeni katika viwanja vya jangwani leo
JK akisalimiana na mgombea mwenza wake Dk. Mohamed Gharib Bilal wakati akishuka jukwaani baada ya kumaliza kutoa salamu kwenye hafla ya kufunga mikutano ya kampeni kwa CCM, iliyofanyika kwenye viwanja wa Jangwani jioni hii.
Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Rais Mstaaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa na rais Mstaafu wa awamu ya pili,Mh. Ali Hassan Mwinyi wakati alipomaliza kutoa salamu zake kwa wapenzi na wanachama wa CCM waliofurika leo katika viweanja vya Jangwani jijini Dar wakati wa hafla ya kufunga mikutano ya kampeni.
JK akisalimiana na wananchi wakati alipowasili kwenye viwanja vya Jangwani leo kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni kwa CCM.
Saturday, October 30, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 0
Saturday, October 30, 2010
SHUKRANI
Familia ya Marehemu Mchungaji Matiku Thomas Nyitambe iishio Uingereza na Tanzania, kwa moyo mkunjufu, tunapenda kuchukua nafasi hii kuishukuru Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza, Jumuiya ya watanzania Reading na Slough ,Kanisa La wasabato (Angaza SDA Church -Reading), Madhehebu yote ya kidini hapa UK ,vyama vyote vya kisiasa,Waganga wote kutoka Mkoa wa Mara ,Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na pia bila kusahau blog zote zilizo shiriki kutoa taarifa(Hakingowi,Issa Michuzi,Majid Mjengwa ,TZUK,Watanzaniaoslo,Musoma -tanzania ,wavuti n.k) , kwa kufanikisha shughuli zote za msiba wa Marehemu baba yetu Mchungaji Matiku Thomas Nyitambe ambaye alifariki Kutokana na ajali ya gari tarehe 3/October /2010 na hatimaye kuzikwa tarehe 9 /October/2010 kijijini kwake Kirongwe Tarime MkoaniMara.
Tunapenda pia kutoa shukrani nyingi kwa majirani,ndugu,jamaa na marafiki kwa misaada yenu ya hali na mali ambayo imewezesha familia ya marehemu walioko Uingereza kuweza kuwahi mazishi.
Kwa kuwa ni vigumu kumshukuru kila mtu kipekee, tunasema tu kwamba Asanteni sana kwa michango yenu ya hali na mali ambayo ilisaidia katika mipango na mikakati yote ya kuuhifadhi mwili wa Marehemu hadi kuzika.
Hatuna cha kuwalipa bali tunamwomba Mwenyezi Mungu awajalie na kuwazidishia mibaraka katika shughuli zenu za kila siku.Tumeambatanisha picha za ajali .
Sisi tulimpenda sana Marehemu Nyitambe lakini
Mwenyezi Mungu amempenda zaidi,
Jina la Bwana lihimidiwe.
Asanteni sana
Amen
Tunapenda pia kutoa shukrani nyingi kwa majirani,ndugu,jamaa na marafiki kwa misaada yenu ya hali na mali ambayo imewezesha familia ya marehemu walioko Uingereza kuweza kuwahi mazishi.
Kwa kuwa ni vigumu kumshukuru kila mtu kipekee, tunasema tu kwamba Asanteni sana kwa michango yenu ya hali na mali ambayo ilisaidia katika mipango na mikakati yote ya kuuhifadhi mwili wa Marehemu hadi kuzika.
Hatuna cha kuwalipa bali tunamwomba Mwenyezi Mungu awajalie na kuwazidishia mibaraka katika shughuli zenu za kila siku.Tumeambatanisha picha za ajali .
Sisi tulimpenda sana Marehemu Nyitambe lakini
Mwenyezi Mungu amempenda zaidi,
Jina la Bwana lihimidiwe.
Asanteni sana
Amen
Saturday, October 30, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 3
Saturday, October 30, 2010
prof. Lipumba katika mkutano wa kampeni za lala salama morogoro
Saturday, October 30, 2010
~
Copyright: Michuzi Blog
~
Mtumie Rafiki Yako
,
Maoni: 0






















































