Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la kada wa Chama Cha Mapinduzi marehemu Mzee Juma Singano wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo mchana.
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Yusuf Makamba wakishiriki kumuombea dua kada wa CCM Marehemu Juma Singano wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo mchana.(picha na Freddy Maro).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...