Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Bw. Amour Zacarias Kupela (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya Mashujaa na siku ya kumuenzi muasisi wa taifa hilo Samora Machel's leo jijini Dar es salaam.Kushoto ni mshauri wa Ubalozi wa Msumbiji nchini Jacinto Maguni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...